| Find/Invite Friends | Register | Calendar | Search | Today's Posts | Mark Forums Read |
| FAQ | Members List | Bongo Flava | Zilipendwa | Taarab | Injili |
|
|
#1 | |||||||||||
|
||||||||||||
|
Views: 620
|
||||||||||||
|
#2
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Hongera sana Mazeee kwa kazi nzuri.
__________________
Check out EastAfricanTube at eastafricantube.com
& Bongo Radio at bongoradio.com |
|
#3
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
mmh... i might change my mind. I'm touched.
thank you. |
|
#4
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Be honest with yourself, and with everyone else as well. There are some things you like and other things you dislike, and that's just fine.
Be fully accepting of yourself, and of others as well. You are who you are, with your dreams and passions, preferences and interests, and each person is delightfully unique. What you run from or hide from or seek to deny, grows bigger and more influential as a result. By getting things out in the open, by seeing them for what they truly are, you become free of their control. You are where you are and life is the way it is. The more completely you accept it, the more power you have to do something about it. This moment carries enormous opportunity. No positive purpose is served by fighting against it. Instead, accept what is, the way you are, the way you feel, and the things that life has brought to you. Then you can make the very most of it all. Mdudu for Pwani Forums http://*****************/viewforum.php...8fafb3eec39fef Last edited by Shy; 31st August 2007 at 07:42 PM.. |
|
#5
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
It is honorable to acknowledge the source.
__________________
'Mwalimu' Kasema: It can be Done. Play your Part. |
|
#6
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
a quote from inspirational speaker Ralph Marston
__________________
Nchi hii imewahi kung' oa masultani wa kila aina. Tukianza kuvumilia masultani wakuchaguliwa tutapanda mbegu ya masultani wa kuzaliwa. - Nyerere katika "Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania" |
|
#7
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Duh,
Mzee wangu yaani ndio unataka kung'atuke?... ama kweli tumezeeka. Tahadhali tu mkumbuke hadithi ya kule mlikotoka, Msiiweke kapuni mtakwisha..kwa kuwakumbusha tu kumbukeni Mtawala mweusi ni hatari kuliko yule mweupe kwa sababu huyu ni ndugu yako, jirani yako na mzazi wako...msemo wa Komandoo kumkoma nyani giledi.. mtazame usoni! A re-reading of Nyerere's major essays and hindsight reflection on the first 25 years of Tanzanian independence, suggest that his central domestic preoccupations were fourfold:- 1). The development of the Tanzanian economy, which he saw as a sine qua non for the accomplishment of most if not all other objectives; 2) securing and retaining national control of the direction of Tanzania's economic development; 3) creating political institutions that would be widely participatory and sustain the extraordinary sense of common purpose which in these early years united Tanzanians under his leadership and that of the Tanzanian African National Union (TANU); and 4) building a just society in Tanzania that would be genuinely equitable for all its citizens. Ushauri wa mzee aliyezaliwa kabla ya Uhuru! - Hata ubepari unayakubali mawazo haya!
__________________
Exploration of reality |
|
#8
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Mkandara, safi kabisa.. kwani pasipo kuwa na dira ni vigumu kufika mtu anakotaka.
__________________
Nchi hii imewahi kung' oa masultani wa kila aina. Tukianza kuvumilia masultani wakuchaguliwa tutapanda mbegu ya masultani wa kuzaliwa. - Nyerere katika "Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania" |
|
#9
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Hongera ,nawaambia vijana kuwa kila kizazi kina wajibu ,je umetimiza wajibu wako kwako binafsi,familia yako,kijiji chako, mkoa wako taifa lako, bara lako na ulimwengu kwa ujumla.
Tafakari na pia hujachelewa waweza kuanza kutimiza wajibu wako bado ni mapema sana. Hongera mjj kwani walau umesema na umewaamsha wengi. |
|
#10
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
Kaka Mwanakijiji Nilitoa udhuru kwamba nitakuwa msomaji zaidi ya kuchangia hapa JF. Na mara baada ya udhuru huo miezi kadhaa imepita sijaandika ujumbe wowote humu. Nilitaka kuandika kukupongeza kwa kukaribia kufikisha posts 4000 lakini nilidhamiria kuendelea kuwa kimya. Hata hivyo ujumbe wako huu umenigusa na kunigutua, sitaitendea haki dhamira yangu kama nisoweka wazi hisia zangu za pongezi kwako. Umenikumbusha maneno ya Frantz Fanon; umenikumbusha maneno ya Mwalimu Nyerere katika wosia wake wa mwisho kwa Vijana pale Kirumba. Mwalimu katika hotuba yake hiyo miaka michache kabla ya kufa kwake aliweka bayana utume wa kizazi kipya..nakumbuka mrindimo wa sauti yake..akitamka kila kizazi kina utume wake..akieleza walivyoweza na waliposhindwa kutimiza utume wao...alijaribu kubashiri utume wa kizazi kipya...lakini zaidi nakumbuka maneno yake mawili ambayo aliyarudia rudia kuhimiza nini kizazi kipya kianze ili kutimiza utume wako...alisema...THINK...and UNITE....na akamalizia kwa kusema ujumbe huo aliutoa kwa vijana wa Tanzania na Vijana wa Afrika....maandiko yako ni sehemu ya kufiri kwako...ngazi ya pili sasa ni kuungana... Umenikumbusha pia mwito wa mwanamuziki Profesa Jay katika wimbo NI WAKATI....naye anamalizia kwa kusema SHIRIKI KAMA UNAJALI....DEMOKRASIA SIO WAKATI WA UCHAGUZI TU.... Umenikumbusha harakati za vijana wa TYVA(www.vijanavision.org) na hasa ile AJENDA YA VIJANA 2005 na zile hotuba mbalimbali katika uzinduzi wake(nakumbuka SHY aliweka hapa baadhi ya nukuu!, naomba kama una hotuba kamili ya Edward Kinabo uiweke). Umenikumbusha wimbo wa Bob Marley akitoa changamoto kwa kizazi kipya...sijui nani ana lyrics za ule mwimbo wa Bob Marley kwa VIJANA....its time to be counted(as you always says)....IT'S TIME TO GET UP AND STAND UP.....kama Nesta alivyowahi kughani....unaweza kuwaghilibu watu wachache kwa muda mchache lakini huwezi kuwadanganya watu wote wakati wote.... Umenikumbusha kampeni zangu za uchaguzi pale Ubungo....huu ndio ulikuwa ujumbe wangu mahususi KIZAZI KIPYA, MAISHA MAPYA.... Natamani Eric Ongara naye aje kuchangia katika suala hili...yeye ni muumini zaidi wa utume wa kizazi kipya....... Ombi langu kwako....ujumbe wako uuweke kwenye PDF na kuuwekea nakshi kama ulivyofanya kwa yale majibu kuhusu Ndege ya Lowasa...halafu unitumie kwenye mnyika@yahoo.com, nauhitaji kupindukia kuna vijana ningependa kuwapatia nakala kama ulivyo. Naomba unipatie ujumbe huo ndani ya wiki hii Lets all dare to think and think to dare.... There is nothing for us without us..... Vijana wa vyama 18 vya Kenya walitutembelea hapa ofisini juzi...tulizungumza mambo kadhaa kuhusu utume wa kizazi kipya...wakaanza kulalama kwamba kule kwao 'young people are manipulated by their party leaders in tribal lines'....I blasted them...why should they wait to be manipulated? Why shouldn't you manipulate them instead? If you reject to be manipulated who will they manipulate? Are they able to go to the streets themselves if young people decide otherwise? Pamoja tutashinda.... Tuwe wakala wa mabadiliko tunayotaka kuyaona... JJ
__________________
Kizazi Kipya, Maisha Mapya New Generation, New Life Mabadiliko ya Kweli, Uhuru wa Kweli Real Change, Real Freedom John Mnyika Last edited by Ole; 1st September 2007 at 09:51 PM..
«
Previous Thread
|
Next Thread
»
Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako! All times are GMT +3. The time now is 12:19 PM.
Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com | ||||||||||||||||||||||||||||||||||||||