Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Bodi ya mikopo yatoa majina ya wanaodaiwa.

    Report Post
    Page 3 of 5 FirstFirst 12345 LastLast
    Results 41 to 60 of 93
    1. #1
      Mr. Zero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2007
      Posts : 4,076
      Rep Power : 1436
      Likes Received
      481
      Likes Given
      72

      Default Bodi ya mikopo yatoa majina ya wanaodaiwa.

      Moderator, Naomba hii ikae kwa muda ili tupate some infomation kutoka kwa walio nchini.


      Nasikia Bodui ya mikopo leo imetoa majina ya wanaodaiwa na wametowa siku 30 otherwise wanakufikisha kotini.

      Kuna wengine kama sisi ambao tulimaliza zaidi ya miaka 13 iliyopita nasikia kuwa majina yetu yapo.

      I am not sure if I am wrong, kwavile wanaonekana wana details zetu kwa nini hawakuamua kutuandikia barua kwenye permanent address zetu kutupa hii taarifa. Au wana assume wote tuna access na magazeti. Toka ni graduate hiyo miaka ya 90 sikuwahi kusikia anything kuhusu huo mkopo na namna ya kuulipa until today niliposikia kuwa jina langu limetoka kenye the Gurdian ya leo.

      Mwenye info naomba atuletee hapa, sitaki nijekuwa arrested airport nikirudi likizo.
      "The Only Necessary for the Triumph of Evil is for Good Men to do Nothing" Edmund Burke (1729 - 97)

    2. RukaaJuu Final

    3. #41
      Teamo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 9th January 2009
      Location : KIJIWE SAMRI-BOM BOM
      Posts : 12,162
      Rep Power : 11898
      Likes Received
      805
      Likes Given
      631

      Default Re: Bodi ya mikopo yatoa majina ya wanaodaiwa.

      Quote By Pape
      kuna baadhi ya wanafunzi waliomba kwa mfano $10,000/= per year na akapiga mi-signature yake....bodi ikatuma $9000/=, je mtu kama huyo malipo yake itakuwaje kwani documents zinaonyesha alikopa $10,000/=, msaada plz...
      kila kitu kipo kwenye maandishi?
      '!....Wakatafuta Namna Nzuuuuuuuuriiiiii.....WAKASHUG HULIKA....!'

    4. #42
      Asked for a BAN's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 11th December 2008
      Posts : 5,550
      Rep Power : 0
      Likes Received
      21
      Likes Given
      0

      Default Re: Bodi ya mikopo yatoa majina ya wanaodaiwa.

      Quote By Geoff
      kila kitu kipo kwenye maandishi?
      ndiyo, watu waliomba $10,000/= na walisaini lkn wakatumiwa $9000/=, hapo inakuwaje? kwenye maandishi na siginecha ni $10,000/= lkn kitu halisi ni $9000/=.....je hizo $1000/= zimeenda wapi? na wakija kujumlisha kila kitu wakati wa makato itakuwaje?

    5. #43
      Kiby's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2009
      Posts : 3,508
      Rep Power : 1190
      Likes Received
      600
      Likes Given
      33

      Default Re: Bodi ya mikopo yatoa majina ya wanaodaiwa.

      Quote By pape
      kuna baadhi ya wanafunzi waliomba kwa mfano $10,000/= per year na akapiga mi-signature yake....bodi ikatuma $9000/=, je mtu kama huyo malipo yake itakuwaje kwani documents zinaonyesha alikopa $10,000/=, msaada plz...
      ebo! We unadhani mwizinishaji atakula wapi? Hayo ndio mambo ya ten percent baba. Hii inaonyesha imekula kwako

    6. #44
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,740
      Rep Power : 10181
      Likes Received
      5676
      Likes Given
      12666

      Default Re: Bodi ya mikopo yatoa majina ya wanaodaiwa.

      Quote By Geoff
      watabeba boksi na kulipa kidogo kidogo!
      ukweli ni kwamba hizo hela mzilipe
      umeambiwa urusi kuna maboksi? labda wabebe mabarafu
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    7. #45
      Original Pastor's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2007
      Location : Mwanza Ilemela
      Posts : 1,129
      Rep Power : 809
      Likes Received
      19
      Likes Given
      24

      Default Re: Bodi ya mikopo yatoa majina ya wanaodaiwa.

      Mimi kwa sasa najishughulisha na Biashara zangu mwenyewe na nilikopa Sijawahi kukatwa sehemu ya mshahara wangu kwani watanipata wapi Hela weazile sasa account empty ndo wanatudai sisi walalahoi kama wanaweza kumnitafuta wanitafute mdhamini wangu amededi sasa watanipata wapi? kwanza nawaruka naambia mfuateni aliyekopa sio mimi nilishomeshwa tuuu.
      Jino kwa Jino

    8. Miaka 50

    9. #46
      Josh Michael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2009
      Location : Kibandani
      Posts : 2,503
      Rep Power : 1007
      Likes Received
      50
      Likes Given
      348

      Default Re: Bodi ya mikopo yatoa majina ya wanaodaiwa.

      Sasa kama leo wanafunzi wanashindani kwa kupewa kubwa asilimia hivyo ndio faida ya kwa wale wanalipa pesa hizi kwa sasa
      Those who are too smart to engage in politics are punished by being governed by those who are dumber. ~Plato:D

    10. #47
      Prodigal Son's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th December 2009
      Location : Dili - ET
      Posts : 739
      Rep Power : 637
      Likes Received
      151
      Likes Given
      60

      Default Re: Bodi ya mikopo yatoa majina ya wanaodaiwa.

      Quote By Mr. Zero
      Moderator, Naomba hii ikae kwa muda ili tupate some infomation kutoka kwa walio nchini.


      Nasikia Bodui ya mikopo leo imetoa majina ya wanaodaiwa na wametowa siku 30 otherwise wanakufikisha kotini.

      Kuna wengine kama sisi ambao tulimaliza zaidi ya miaka 13 iliyopita nasikia kuwa majina yetu yapo.

      I am not sure if I am wrong, kwavile wanaonekana wana details zetu kwa nini hawakuamua kutuandikia barua kwenye permanent address zetu kutupa hii taarifa. Au wana assume wote tuna access na magazeti. Toka ni graduate hiyo miaka ya 90 sikuwahi kusikia anything kuhusu huo mkopo na namna ya kuulipa until today niliposikia kuwa jina langu limetoka kenye the Gurdian ya leo.

      Mwenye info naomba atuletee hapa, sitaki nijekuwa arrested airport nikirudi likizo.
      Ndugu zangu ni vema tuwe waungwana kidogo, ni wengi tumefaidika na udhamini wa Serekali,ni vema tulipe ili tuwasaidie na wadogo zetu wasome, na lingekuwa ni jambo la busara hata kama tutapeleka details zetu wenyewe bila kusubiri tuandikwe kwenye magazeti na makato yake ni pesa kidogo tena sidhani kama kwa mwezi inaweza zidi 20,000, ikumbukwe idadi ya watanzania imeongezeka maradufu na bila msaada wa hii bodi wengi watashindwa kupata elimu ya juu,
      ,,,Give a man a fish and you feed him for a day; teach him to fish and you feed him forever,,,

    11. #48
      Msanii's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2007
      Posts : 6,207
      Rep Power : 1927
      Likes Received
      210
      Likes Given
      249

      Default Re: Bodi ya mikopo yatoa majina ya wanaodaiwa.

      Kama aliyekopeshwa bado ana hanjahanja mtaani hajapata kazi unadhani kutalipika kitu hapo??

      Hapa ni kuidai serikali iwasomeshe bure watu wake kama hawawezi wakae pembeni waje wanaoweza kudhibiti matumizi holela wawekeze ktk elimu. Nadhani ili kuwepo na fairness inabidi waliosomeshwa tangu uhuru waanze kulipa au kurejesha kiwango fulani cha fedha ili wanafunzi wa leo wahamasike kulipa mikopo.

      Concept ya kuwapatia mikopo wanafunzi elimu ya juu imeshawishiwa na World Bank ambao hawana dhamana na uhai, uchumi wala ufukara wa watanzania. wao wataendelea kutoa misaada ili tuendelee kulipa madeni ya riba kwa 500 years to come. Gadem.

      Mikopo ni Ubeberu mamboleo tena Ubepari usiotimilika. Nadeclare interest. Sijawahi kukopa kutoka Bodi ya mikopo. zaidi nakopa kwa mangi na ninamlipa kila baada ya two months kama dili ikiiva
      " If you hear a voice within you say "you cannot paint", then by all means paint, and that voice will be silenced"
      [email protected]

    12. #49
      Bluray's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th March 2008
      Posts : 3,450
      Rep Power : 1273
      Likes Received
      26
      Likes Given
      0

      Default Re: Bodi ya mikopo yatoa majina ya wanaodaiwa.

      Quote By Abdulhalim
      Unajua humu kuna watu makanithi wanaongea kama wanaujauzito mchanga. Eti unang'ang'aniza watu walipe mikopo..hivi unajua kuwa suala la mkopo ni suala binafsi? Unajua conditions na schedules za mikopo? Unajua ni kiasi gani? Unajua agreed contractual terms? Unawajua parties husika na responsibilities zao? etc..Kama hujui una-comment nini sasa? nyambafu.

      Wewe kama baba yako ni fisadi alikusomesha private college, tuliza kitenesi wala usitie mguu kwenye personal issues za watu..hii thread itabaki kama reminder au taarifa tu na katu mtu asidhanie anaweza kumfanya mtu alipe mkopo kwa mijikwara mbuzi na hoja za kijinga eti wengine wasome. Kusoma kwa mtu A hakuna uhusiano wa mojakwamoja na mkopo wa mtu B.
      Concept nzima ya kutaka kumfunga mdaiwa inanuka kodi ya kichwa, ukoloni na fiefdoms za ulaya za 19th century.Watu wanao aspire kuwa katika a developed society hawawezi kuelewa hii conept ya kumfunga mtu kwa deni, why, they even invented bankruptcy to get around that.

      Halafu kama unavyosema, haya maswala ni personal.Hawa watu walivyochukua mikopo walichukua kivyao vyao, wao na bodi, sasa mbona kudai malipo bodi inataka kudai hadharani? Sikatai mkopaji ana wajibu wa kulipa, lakini ni lazima kuwadhalilisha hivi?

      Nchi za watu you can get sued for some shyt like that.
      The Singularity is Near.

    13. Shy
      #50
      Shy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2006
      Posts : 4,922
      Rep Power : 0
      Likes Received
      75
      Likes Given
      0

      Default Re: Bodi ya mikopo yatoa majina ya wanaodaiwa.

      Pamoja na hayo toka mwaka 2006 bodi ya mikopo imekuwa ikiwaandikia barua baadhi ya waajiri kuomba taarifa za wafanyakazi wao waliosoma elimu ya juu ili waweze kulipa mikopo hiyo inawezekana baadhi ya waajiri wanaficha taarifa au baadhi ya wafanyakazi hawataki kulipa na mambo kama hayo mbona watu wanaokwepa kodi wanawekwa kwenye magazeti na kampuni zao hatulalamiki

    14. #51
      Kang's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2008
      Posts : 3,515
      Rep Power : 1355
      Likes Received
      527
      Likes Given
      24

      Default Re: Bodi ya mikopo yatoa majina ya wanaodaiwa.

      Quote By Pape
      ndiyo, watu waliomba $10,000/= na walisaini lkn wakatumiwa $9000/=, hapo inakuwaje? kwenye maandishi na siginecha ni $10,000/= lkn kitu halisi ni $9000/=.....je hizo $1000/= zimeenda wapi? na wakija kujumlisha kila kitu wakati wa makato itakuwaje?
      Hiyo utashinda mahakani nadhani, bank record zako zitaonyesha kuwa ulipata hiyo 9,000 tu. Kuomba 10,000 sio tatizo.

      Tena nina wasiwasi ukiwabana wanaweza kukusamehe kabisa maana hiyo 1,000 wameipiga panga wenyewe KWENDA MAHAKAMANI NOMA!!!
      “Society is like a stew. If you don't stir it up every once in a while then a layer of scum floats to the top.”

    15. #52
      NasDaz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2009
      Location : Ushenzini
      Posts : 3,109
      Rep Power : 5355
      Likes Received
      1470
      Likes Given
      1685

      Default Re: Bodi ya mikopo yatoa majina ya wanaodaiwa.

      Quote By Mr. Zero
      Moderator, Naomba hii ikae kwa muda ili tupate some infomation kutoka kwa walio nchini.


      Nasikia Bodui ya mikopo leo imetoa majina ya wanaodaiwa na wametowa siku 30 otherwise wanakufikisha kotini.

      Kuna wengine kama sisi ambao tulimaliza zaidi ya miaka 13 iliyopita nasikia kuwa majina yetu yapo.

      I am not sure if I am wrong, kwavile wanaonekana wana details zetu kwa nini hawakuamua kutuandikia barua kwenye permanent address zetu kutupa hii taarifa. Au wana assume wote tuna access na magazeti. Toka ni graduate hiyo miaka ya 90 sikuwahi kusikia anything kuhusu huo mkopo na namna ya kuulipa until today niliposikia kuwa jina langu limetoka kenye the Gurdian ya leo.

      Mwenye info naomba atuletee hapa, sitaki nijekuwa arrested airport nikirudi likizo.
      Sitakuwa na tatizo la kulipa huo mkopo wakinipa terms zilizotumika na contract ambayo niliingia nao otherwise, am ready to go kwa pilato coz' am sure hawana physical evidence kwamba walinipa kiasi fulani cha pesa.ni kuwatia adabu tu ili wawe makini next time

    16. #53
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,518
      Rep Power : 46714
      Likes Received
      16434
      Likes Given
      8471

      Default Re: Bodi ya mikopo yatoa majina ya wanaodaiwa.

      Quote By NasDaz
      Sitakuwa na tatizo la kulipa huo mkopo wakinipa terms zilizotumika na contract ambayo niliingia nao otherwise, am ready to go kwa pilato coz' am sure hawana physical evidence kwamba walinipa kiasi fulani cha pesa.ni kuwatia adabu tu ili wawe makini next time
      if you are serious tutakutafutia wanasheria....
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    17. #54
      Wasunuka's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 21st December 2008
      Location : silverspring Maryland
      Posts : 2
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Bodi ya mikopo yatoa majina ya wanaodaiwa.

      Nafikiri huu ni ufisadi. Mimi wakati ninasoma sikuwahi kuandikiwa barua kuwa nimekopwa kiasi gani,na pia sikuambiwa utaratibu wa kuzilipa baada ya kumaliza masomo utakuwaje.
      Hivyo nafikiri itakuwa wafanye verification juu ya utaratibu wa kulipa na watuandikie,maana information zetu wanazo,ili tuweze kuchangia elimu za wadogo zetu huko nyumbani. Otherwise utakuwa ni ufisadi mtupu.
      Ni aibu kubambikizia watu madeni katika karne hii ya sayansi na teknolojia.

    18. #55
      October's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2009
      Posts : 2,045
      Rep Power : 903
      Likes Received
      44
      Likes Given
      49

      Default Re: Bodi ya mikopo yatoa majina ya wanaodaiwa.

      Haaa!!! Hivi kuna watu hawalipi mkopo wa elimu ya juu?
      Jamani hebu lipeni deni lenu acheni kukwepa majukumu, huu ndio uungwana.
      You will only be remembered for two things: the problems you solved or the ones you created.” -- Mike Murdock

    19. #56
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,518
      Rep Power : 46714
      Likes Received
      16434
      Likes Given
      8471

      Default Re: Bodi ya mikopo yatoa majina ya wanaodaiwa.

      Quote By Prodigal Son
      Ndugu zangu ni vema tuwe waungwana kidogo, ni wengi tumefaidika na udhamini wa Serekali,ni vema tulipe ili tuwasaidie na wadogo zetu wasome, na lingekuwa ni jambo la busara hata kama tutapeleka details zetu wenyewe bila kusubiri tuandikwe kwenye magazeti na makato yake ni pesa kidogo tena sidhani kama kwa mwezi inaweza zidi 20,000, ikumbukwe idadi ya watanzania imeongezeka maradufu na bila msaada wa hii bodi wengi watashindwa kupata elimu ya juu,
      Nyinyi ndio mnauwezesha mfumo wa kifisadi kushamiri! kwa vile serikali "imesema" basi mnajipanga mstari hata kuhoji hamtaki kuhoji.
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    20. #57
      Kaa la Moto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2008
      Location : Bristol
      Posts : 6,877
      Rep Power : 1955
      Likes Received
      438
      Likes Given
      4311

      Default Re: Bodi ya mikopo yatoa majina ya wanaodaiwa.

      Jamani wasomi nyinyi mlionishambulia na kuniuliza elimu yangu nimesomea wapi? Ni kwamba mimi bwana nimemaliza darasa la nne enzi ya mjerumani. Sijafika kwenye elimu yenu kubwa ya vyuo. Najiandaa kusoma elimu ya sekondari kisha nisome chuo kikuu huria niwafikie nanyi. Na sijui hii inazuia mtu asilipe deni?

      Lakini hivi kweli kulipa mnaona shida wakati mlikubali pesa hizo kwamba ni mkopo na kwamba mtalipa?

      Kama mlitaka msidhalilishwe mgefanya haya:
      1. Msingekubali kuchukua pesa zile kama mkopo ila mgeliikomalia seriakali iwasomeshe bure.
      2. Au mgefanya juhudi za kutafuta wenyewe takwimu za madeni yenu na kukubaliana na bodi jinsi ya kulipa lakini excuse zenu hapa mnazotoa nyie wasomi zinatupa mashaka kama kweli mlikuwa na mpango wa kulipa.

      Shida moja ninayoiona kwa nyie wasomi ni kutokubali kulipa kwa visingizio vingi tu.
      Bodi imetangaza mara nyingi kwamba nyie wasomi lipeni madeni yenu basi ili na wengine wapate opportunities za kupata bahati kama ya kwenu ya kwenda vyuo, lakini inaelekea watu hamu- respond sasa nyie mnataka wafanyeje? Waingie tena gharama ya kuwatafuta mmoja mmoja?

      Na nyie wasomi nani aliwambia kuwa mtu kuwekewa tangazo kuwa unadaiwa ni udhalilishaji? Mbona huwa tunaona hawa wanaonadi nyumba na mali zingine za wadaiwa wa benki huwa wanatutangazia kuwa mali ya fulani inauzwa na hii imesaidia hata ndugu ya wadaiwa kuingilia kati kusaidia kulipa ili kuokoa mali za ndugu zao?
      Hata katika magazeti wengi tu utangazwa kuwa wanadaiwa kama tunavyosoma humu kuwa kuna wakina RA walikopeshwa pesa wakanunue mchele na hawajalipa?

      Hoja zenu hazina msingi lipeni na acheni jaziba na matusi kwa kuambiwa ukweli. Wanetu wanahitaji kwenda kusoma pia.
      wakati Cuf wanataka kuchukua nchi mwaka 2000 CCM walikuja na single ya kusema Cuf ni waislamu na kwa sasa wanadai sisi Chadema ni chama cha wakristo sasa CCM nacho ni cha watu gani? Watu wakajibu mashetaaaaaniiiiii.!---Wana Kigoma.

      ....Pamoja na kansa ya uongozi wa CCM watu wataendelea kukichagua,au watu wanaweza wakachoka na kusema potelea mbali wakachagua chama KINGINE....Julius. Kambarage. NYERERE"

    21. #58
      Asked for a BAN's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 11th December 2008
      Posts : 5,550
      Rep Power : 0
      Likes Received
      21
      Likes Given
      0

      Default Re: Bodi ya mikopo yatoa majina ya wanaodaiwa.

      Quote By Kang
      Hiyo utashinda mahakani nadhani, bank record zako zitaonyesha kuwa ulipata hiyo 9,000 tu. Kuomba 10,000 sio tatizo.

      Tena nina wasiwasi ukiwabana wanaweza kukusamehe kabisa maana hiyo 1,000 wameipiga panga wenyewe KWENDA MAHAKAMANI NOMA!!!
      i see, itakuwa poa sana...

    22. #59
      Asked for a BAN's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 11th December 2008
      Posts : 5,550
      Rep Power : 0
      Likes Received
      21
      Likes Given
      0

      Default Re: Bodi ya mikopo yatoa majina ya wanaodaiwa.

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      if you are serious tutakutafutia wanasheria....
      mku mzima atishiwi nyau...

    23. #60
      Asked for a BAN's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 11th December 2008
      Posts : 5,550
      Rep Power : 0
      Likes Received
      21
      Likes Given
      0

      Default Re: Bodi ya mikopo yatoa majina ya wanaodaiwa.

      kazi kweli kweli....hivi zamani mlikuwa mnafundishwa kwa lugha gani? kijerumani, kizungu, kiarabu au kimatumbi?

    Page 3 of 5 FirstFirst 12345 LastLast

    Similar Topics

    1. Bodi ya mikopo
      By Mtende in forum Nafasi za Kazi na Tenda
      Replies: 16
      Last Post: 6th December 2011, 14:20
    2. Heslb:hatimaye bodi yatoa majina mengine
      By Said maneno in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 11
      Last Post: 14th November 2011, 23:57
    3. Bodi ya mikopo waanza kuwapunguza nguvu wanaodai mikopo
      By Innoexp in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 23
      Last Post: 12th October 2011, 06:23
    4. Bodi ya mikopo
      By Nguchiro in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 0
      Last Post: 19th July 2011, 20:20
    5. Wizi huu wa bodi ya mikopo ni wa kukemewa-wanaodaiwa na board tuamke
      By luckman in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 7
      Last Post: 10th June 2011, 14:49

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...