Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Jengo linalomilikiwa na NSSF linanuka?

    Report Post
    Results 1 to 17 of 17
    1. #1
      Huduma's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th January 2008
      Location : Zanzibar
      Posts : 68
      Rep Power : 591
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Jengo linalomilikiwa na NSSF linanuka?

      Hivi majuzi nilikwenda kuomba kazi katika gazeti moja jipya ambalo ofisi zake ziko kwenye ghrofa linalomilikiwa kwa sasa na NSSF.

      Karibu kila korido ilikuwa na harufu mbaya na kali ya kinyesi. Nikajiuliza kulikoni shirika lenye jina na umaarfu kama NSSF kushindwa kuwa makini katika kutunza majengo yake.
      Au ndio tena ile ajira kwa ndugu, mjomba, shangazi au watoto wa wakubwa na wakiharibu hakuna hatua yoyote inayochukuliwa? Hali hii ilini put off na nikaamua nikatafute kazi mahala pengine lakini sio kwenye gazeti hilo ambalo limepangisha kwenye jengo la NSSF.

      Kwa wengine ukona vyaelea vimeundwa, kwa hawa jamaa ukion vinaelea ndani kumeoza. Katika kudadisi kwangu nikasikia eti uamuzi ulifikiwa wa kukata umeme na kuzima mitambo ya maji eti kwa sababu kuna maji yalidondokea kwenye duka la bi mkubwa mmoja ambaye anaonekana kwa kweli ni bi mkubwa. Maana kama mtu unawanyima wapangaji wengine katika ghorofa 10 huduma ya maji na umeme ama huyo mtu kwa kweli ni mkubwa.

      Nakubaliana na wenzangu kwamba kwa kujenga NSSF ndio wenyewe, kwa matunzo na maintenance ya majengo yao kwa bati mbaya ni sifuri au ziro kabisaaaa!
      Last edited by Silencer; 5th December 2009 at 22:31.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,504
      Rep Power : 46710
      Likes Received
      16369
      Likes Given
      8423

      Default Re: 'Ubalozi wa uingereza ' unanuka kinyesi

      Ungesema jengo lenyewe lilipo ili watu waende kujionea wenyewe.. (au kujinusia)..
      mwa[email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    4. #3
      Jayfour_King's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2009
      Location : Tanzania
      Posts : 1,148
      Rep Power : 713
      Likes Received
      84
      Likes Given
      186

      Default Re: 'Ubalozi wa uingereza ' unanuka kinyesi

      Hapa hakukuwa na sababu ya kusema jengo fulani linalomilikiwa na nssf kwa kuwa ni suala la kisayansi (kwamba mtu akienda leo ataikuta hali hiyo) ungetaja jengo lililopo mtaa fulani ili mamlaka husika ziweze kushughulikia hili kwani wadau wengine tunao humuhumu.
      Wrong is a mirror for the rights

    5. #4
      Preta's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : yaeda chini
      Posts : 14,753
      Rep Power : 15106
      Likes Received
      7212
      Likes Given
      6886

      Default Re: 'Ubalozi wa uingereza ' unanuka kinyesi

      Kichwa cha habari na habari yenyewe mbona comfyusheni?
      Life is too short to waste time hating anyone.........

    6. #5
      klorokwini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2009
      Location : Pharmacy
      Posts : 8,720
      Rep Power : 7635
      Likes Received
      4926
      Likes Given
      7318

      Default Re: 'Ubalozi wa uingereza ' unanuka kinyesi

      ulijaribu kunusa nguo zako? samtaimu inakuwa si mazingira ni nguo zako. ishawahi kunitokezea hii. nilitafta kinyesi kumbe nanuka mimi.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Injinia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Location : Seriously? In your CPU
      Posts : 854
      Rep Power : 744
      Likes Received
      13
      Likes Given
      11

      Default Re: 'Ubalozi wa uingereza ' unanuka kinyesi

      Quote By Naniliu
      Kichwa cha habari na habari yenyewe mbona comfyusheni?

      Si ndio, jamaa kasema alienda kutafuta kazi katika gazeti moja jipya. Hawa ndio wale wanaoandika vichwa vya habari vikuuuubwa, ukisoma habari yenyewe haihusiani kabisa na kichwa.

      Au kama basi ana maana yake kuita hilo jengo "Ubalozi wa Uingereza" walau angegusia ndani ya habari yenyewe sababu zake.

      Ndio yale yale ya www.udaku.com
      Alcoholism is an infectious disease. It is caught from open bottles

    9. #7
      Omseza Mkulu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th June 2009
      Posts : 36
      Rep Power : 513
      Likes Received
      3
      Likes Given
      11

      Default Re: 'Ubalozi wa uingereza ' unanuka kinyesi

      Yaliyoandikwa hayaendani na kichwa cha habari hii.
      Ushauri: mtoa mada mmoja ameshauri yawezekana nguzo zake zinautata, jinuse pengine zinanuka!

    10. #8
      Josh Michael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2009
      Location : Kibandani
      Posts : 2,503
      Rep Power : 1006
      Likes Received
      50
      Likes Given
      348

      Default Re: 'Ubalozi wa uingereza ' unanuka kinyesi

      Hata Mimi sijaelewa hata mimi
      Those who are too smart to engage in politics are punished by being governed by those who are dumber. ~Plato:D

    11. #9
      Lunyungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th August 2006
      Location : Malampaka
      Posts : 8,017
      Rep Power : 2561
      Likes Received
      785
      Likes Given
      28

      Default Re: 'Ubalozi wa uingereza ' unanuka kinyesi

      Mimi nimetoka kapa .Alitaka kusema nini ?

    12. #10
      WomanOfSubstance's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2008
      Posts : 5,484
      Rep Power : 1682
      Likes Received
      707
      Likes Given
      721

      Default Re: 'Ubalozi wa uingereza ' unanuka kinyesi

      Una bahati hufahamiki.Ungeshtakiwa kwa defamation!
      Ubalozi wa uingereza unahusikanaje na nyumba ya NSSF?
      Educating the mind without educating the heart is no education at all.... Aristotle



    13. #11
      IMBOMBONGAFU's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th June 2009
      Posts : 128
      Rep Power : 532
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: 'Ubalozi wa uingereza ' unanuka kinyesi

      Ubalozi wa Uingereza wapi? JAMAICA? mwe!mwe!Viongozi hawaeleweki,wananchi nao...

    14. #12
      Magezi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th October 2008
      Posts : 2,654
      Rep Power : 1073
      Likes Received
      33
      Likes Given
      50

      Default Re: 'Ubalozi wa uingereza ' unanuka kinyesi

      nafikiri huyu jamaa ameandika akiwa ameweka kidogo waragi

    15. #13
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,839
      Rep Power : 7368
      Likes Received
      6153
      Likes Given
      22273

      Default Re: 'Ubalozi wa uingereza ' unanuka kinyesi

      Mod, itendee haki hii post, Ubalozi wa Uingereza uko Umoja House, kumbe Umoja House ni jengo la NSSF?. Kumbe kwenye jengo hilo kuna wapangaji kibao likiwemo hilo gazeti daiwa?. Please do the needfully, pamoja na maroroso ya viza za Uingereza, at least utendee haki ubalozi huo kwenye issue ya jengo.

      utendee haki Ubalozzi

    16. #14
      Pretty's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th March 2009
      Location : Chumbani.
      Posts : 2,287
      Rep Power : 1118
      Likes Received
      188
      Likes Given
      84

      Default Re: 'Ubalozi wa uingereza ' unanuka kinyesi

      .....Mbona haeleweki, kichwa cha habari na habari iliyopo ni vitu viwili tofauti.
      Inaelekea huyu ni mwandishi wa habari wa magazeti ya udaku.
      A mother who is really a mother is never free.

    17. #15
      August's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th June 2007
      Posts : 2,744
      Rep Power : 1162
      Likes Received
      251
      Likes Given
      2511

      Default Re: 'Ubalozi wa uingereza ' unanuka kinyesi

      nafikiri ana maanisha lile jengo linaloitwa hifadhi hse, zamani palikwa na ubalozi wa uingereza. kwenye hiyo round about ya yule askari wa zamani.

    18. #16
      Asked for a BAN's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 11th December 2008
      Posts : 5,550
      Rep Power : 0
      Likes Received
      21
      Likes Given
      0

      Default Re: 'Ubalozi wa uingereza ' unanuka kinyesi

      'Ubalozi wa uingereza ' unanuka kinyesi
      yalaaaaaaa...

    19. #17
      Jayfour_King's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2009
      Location : Tanzania
      Posts : 1,148
      Rep Power : 713
      Likes Received
      84
      Likes Given
      186

      Default Re: 'Ubalozi wa uingereza ' unanuka kinyesi

      Quote By VeraCity
      Una bahati hufahamiki.Ungeshtakiwa kwa defamation!
      Ubalozi wa uingereza unahusikanaje na nyumba ya NSSF?
      Brother you know um a watchman, so to make me laugh while um alone is not fair. Be good on your answers, but thanx.
      Wrong is a mirror for the rights

    Similar Topics

    1. Replies: 47
      Last Post: 30th April 2013, 15:33
    2. Jiji chafu na linanuka.....lol
      By Rutashubanyuma in forum Jamii Photos
      Replies: 27
      Last Post: 21st July 2011, 10:47
    3. Gazeti linalomilikiwa na mwizi Na. 1 lamtukana Dr Slaa
      By Zak Malang in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 10
      Last Post: 28th October 2010, 10:48
    4. Jiji la Dar linanuka kupindukia
      By Magobe T in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 35
      Last Post: 15th April 2009, 17:04

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...