TMF|JamiiForums Blog
  • Member Login:
http://www.jamiiforums.com/zain.jpg

+ Reply to Topic
Page 1 of 2 1 2 LastLast
Results 1 to 20 of 30
  1. #1
    JF Senior Expert Member Lunyungu will become famous soon enough Lunyungu will become famous soon enough Lunyungu will become famous soon enough Lunyungu will become famous soon enough Lunyungu will become famous soon enough Lunyungu will become famous soon enough Lunyungu will become famous soon enough Lunyungu will become famous soon enough
    Join Date
    Tue Dec 2006
    Location
    Malampaka
    Posts
    4,724
    Thanks : 1
    Thanked 230 Times in 116 Posts
    Rep Power
    33

    Default Wadau mmesikia haya ya Zanzibar... CUF imepigwa chenga ama ?

    Date::11/24/2009Shamhuna,Khatib watia doa shangwe ya Karume, Maalim SeifNa Salma Said, Zanzibar
    Â
    WAKATI Zanzibar ikiendelea kushangilia maafikiano ya kihistoria baina ya Rais Amani Abeid Karume na katibu mkuu wa CUF, Seif Sharif Hamad, juu ya uwezekano wa kuwepo kwa Serikali ya Mseto, mawaziri wawili wamejitokeza hadharani kutia doa shangwe hizo.

    Wameeleza bayana kuwa Serikali ya Mseto si muhimu visiwani hapa.

    Naibu Waziri Kiongozi wa Zanzibar, Ali Juma Shamhuna na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Muungano), Mohammed Seif Khatib, wametofautiana na msimamo wa Karume ambaye alisema kuwa uamuzi wa kuwa na Serikali ya Mseto ni wa Wazanzibari wenyewe.

    Tamko hilo la Karume alilitoa siku chache baada ya kukutana kwa faragha na Maalim Seif, ambaye baadaye aliitisha mkutano wa hadhara na kueleza kuwa CUF imeamua kumtambua rais huyo kwa kuwa kufanya hivyo kutarahisisha mazungumzo ya kutafuta muafaka.

    Lakini Shamhuna, ambaye pia ni Waziri wa Habari wa Serikali ya Mapinduzi (SMZ), alisema Zanzibar haihitaji Serikali ya Mseto wala Serikali ya Umoja wa Kitaifa, bali kinachotakiwa ni kujenga utamaduni wa kukubali matokeo ya uchaguzi ya kushinda na kushindwa.

    Alisema hayo katika kipindi cha “Harakati za Kisiasa” kinachorushwa hewani kila siku ya Jumanne na kituo cha redio cha Zenji FM, ambacho kinamilikiwa na Waziri Seif.

    Tamko hilo la Shamhuna lilirudiwa kwa siku tatu mfululizo; Jumapili, Jumatatu na jana asubuhi, kuonyesha kuwa hakuna haja ya ajenda hiyo ambayo imekuwa kikwazo kikubwa kwenye mazungumzo ya muafaka baina ya vyama hivyo viwili vikuu visiwani Zanzibar.
    Â
    “Zanzibar haihitaji Serikali ya Mseto wala Serikali ya Umoja wa Kitaifa wala serikali ya nini hapana, la msingi ni tujenge utamaduni wa kukubali kushindwa na kushinda... tukijenga utamaduni huo tutafanya kazi kwa pamoja na rais atakayeingia madarakani atachagua watu wenye uwezo wa kufanya kazi,” alisema Shamhuna.
    Â
    Shamhuna alisema watu wengi wanafikiri kwamba suluhisho la mgogoro wa kisiasa visiwani Zanzibar ni kuunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa na serikali hiyo ndio itakayoweza kuondoa matatizo yaliyopo, lakini hilo sio sahihi kwa kuwa hata ikiundwa serikali ya umoja matatizo bado yataendelea kuwepo.

    “Masuala yaliyopo yanatokana na baadhi yetu kuweka mbele umimi na si utaifa kwa hivyo kuundwa au kutokuundwa kwa serikali ya umoja wa kitaifa hakutusaidia,” alisema.

    “Kadiri umimi utakavyokuwepo miongoni mwetu wana siasa, tatizo bado litaendelea. Solution (suluhisho) ni kuondoa umimi. Hakuhitajiki hotuba wala hakuhitajiki mikutano, kunataka management,” alisema Shamhuna kwa kujiamini.

    Shamhuna alikwenda mbali zaidi na kusema watu wanasahau kwamba Zanzibar ni nchi ya kimapinduzi na wanadhani kwamba ni nchi ya watu kupiga kura na kutangazwa tu huku wengine wakifikiri kuwa Zanzibar ni nchi yenye watu walegevu legevu.
    Â
    Lakini hakufafanua anamaanisha nini, ingawa suala la mapinduzi limekuwa likizua mgogoro baina ya wafuasi wa vyama hivyo viwili, baadhi wakipinga mapinduzi hayo na wengine wakiunga mkono.

    Akizungumzia urais, Shamhuna alisema Zanzibar haihitaji rais kijana wala mzee, lakini inahitaji rais meneja ambaye ataweza kuwakusanya watu wote pamoja na kukabiliana na changamoto zilizopo sasa katika visiwa vya Unguja na Pemba.
    Â
    “Karume anamaliza muda wake; nikiulizwa tunataka rais wa aina gani nitajibu tunataka rais meneja (kiongozi) sijui nimefahamika,” alisema waziri huyo machachari.
    “Kwa hapa tulipofikia, tunataka tuwe na kiongozi meneja na sio lazima awe kijana kama wengi mnavyodhani. Zanzibar hatutaki rais kijana wala mzee, tunataka meneja ili aweze kuondoa challenges (changamoto) zote...sasa nani ana quality (ubora) ya umeneja,” alihoji.
    Â
    Alisema rais wa aina hiyo atachagua watu wenye kuweza kufanya kazi hata bila ya kujali ametoka wapi.
    Â
    “Sio huyu anatoka wapi na huyu anatoka wapi watu ni inclusive government (serikali inayojumuisha) na sio idadi ya watu kutoka chama cha siasa... tufanye hivyo kwa matakwa yetu na sio kulazimishwa, hapo tutajenga umoja na tutafanya kazi.”
    Â
    Shamhuna alisema mbio za urais kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka 2010 tayari zimeshaunda makundi zaidi ya matatu na kwamba tayari wapo watu wameshaanza kupigia debe viongozi wao. Alisema watu hao wameanza kutoa lugha za vitisho kuwa mgombea wa kundi lao asipopitishwa na CCM, hawatakipigia kura chama hicho.
    Â
    “Tunawasikia wanasema hivyo wengine wanasema sasa ni zamu yetu; wengine wanasema sisi vijana tuchagueni ili tufanye mabadiliko ya nchi; wengine wameamua kunyamaza kimya; tegemeo lao hatulijui. Sasa tuna makundi matatu mpaka manne hivi yanayotafuta urais wa Zanzibar,” alisema Shamhuna. Â
    Â
    Akizungumzia suala linalopendekezwa na baadhi ya watu kuwa safari hii rais atoke Pemba ili kupunguza joto la kisiasa, Shamhuna aliwaita watu wenye mapendekezo hayo kuwa wamefilisika kisiasa.
    Â
    “Zanzibar hatuchagui rais kwa zamu na suala la kusema sasa zamu yetu Wapemba; zamu yetu  Waunguja limekwisha. Hiyo ni hoja batili na anayezungumza lugha hiyo sijui nimuite kwa lugha gani,” alisema Shamhuna.
    Â
    “Rais Amani anaondoka na Rais Kikwete anaendelea kipindi cha pili na hapa mitazamo tofauti kwa kuwa anayeondoka anataka arithiwe na ni nani huyo wa kurithi?

    “Muungano unataka apatikane mtu kutoka Zanzibar ambaye ataweza kufanya naye kazi hivyo ndio mitizamo miwili ya msingi hii, mitizamo ya kuwa anatoka Pemba au Unguja ni mitizamo ya umimi na huko ni kufilisika kisiasa kwa jinsi navyoangalia suala hilo haraka haraka.”
    Â Â
    Naye Waziri Seif, ambaye anatajwa kama mmoja wa watu wanaoweza kujitokeza kuwania urais wa Zanzibar, aliwaambia wananchi wa kisiwani Pemba wiki hii kwamba umoja wa Wazanzibari hauhitaji kushirikishwa chama kingine chochote kwa kuwa CCM pekee inaweza kuweka umoja na mshikamano kwa kuwa hiyo ndio sera ya chama hicho.

    Aliwaambia wananchi wa kisiwa hicho kwamba MwanaCCM wa Pemba anakuwa ni CCM wa kweli kweli kwa kuwa wanakabiliana na mambo mbalimbali yanayofanywa na wapinzani, lakini wameweza kumudu na kuvumilia bila ya kutoka katika chama hicho.

    “Nikwambieni ndugu zangu kuwa katika suala la umoja hakuna haja ya kushirikiana na chama kingine kwani CCM wenyewe tunaweza sana kuwaunganisha Wazanzibari wote. Na huku Pemba, CCM anakuwa wa kweli kweli maana vitimbi na vituko anavyofanyiwa na wafuasi wa CUF ni vingi, lakini bado anaweza kubakia kuwa CCM, hilo si jambo dogo,” alisema Khatib katika kipindi kilichorushwa na Zenj FM wakati wa ziara yake kisiwani Pemba.

    Hii ni mara ya pili kwa Waziri Shamhuna kupingana na viongozi wakuu wa nchi katika kipindi cha miaka mitatu. Oktoba 5, 2006 Shamhuna alipingana na Rais Kikwete kuhusu suala la mwafaka wa Zanzibar.

    Wakati Rais Jakaya Kikwete akisema utatuzi wa mpasuko wa kisiasa Zanzibar umefikia mahali pazuri, Shamhuna, aliibuka na kusema kamwe serikali ya umoja wa kitaifa au ya mseto haitaundwa visiwani.

    Shamhuna alitoa msimamo alipokuwa akiwahutubia viongozi wa ngazi mbalimbali na wazee wa CCM wa Kikombweni Wilaya ya Kaskazini A, Unguja na hotuba hiyo kutangazwa na vyombo vya habari vya SMZ.
    Â "Hakuna Serikali ya Mseto itakayoundwa nchini kama inavyodaiwa na viongozi wa chama cha upinzani," alisema Shamhuna.
    Facebook

  2. #2
    JF Senior Expert Member Masatu is infamous around these parts
    Join Date
    Mon Jan 2007
    Location
    Mbagala, Jeshini
    Posts
    3,745
    Thanks : 0
    Thanked 96 Times in 68 Posts
    Rep Power
    0

    Default Re: Wadau mmesikia haya ya Zanzibar ? CUF imepigwa chenga ama ?

    Wewe yanakuhusu nini? yako ya Chadema yanawashinda.....
    Mkulima kala Mbegu......

  3. The Following User Says Thank You to Masatu For This Useful Post:

    Ngida1 (25th November 2009)

  4. #3
    JF Senior Expert Member Buchanan will become famous soon enough Buchanan will become famous soon enough Buchanan will become famous soon enough Buchanan will become famous soon enough Buchanan will become famous soon enough Buchanan will become famous soon enough Buchanan will become famous soon enough Buchanan will become famous soon enough Buchanan's Avatar
    Join Date
    Tue May 2009
    Posts
    4,479
    Thanks : 1,110
    Thanked 1,730 Times in 1,062 Posts
    Rep Power
    30

    Default Re: Wadau mmesikia haya ya Zanzibar ? CUF imepigwa chenga ama ?

    Uzuri wa Shamhuna huwa ni mkweli na haumi maneno! Karume anapodai kuwa suala la serikali ya mseto anawaachia Wazanzibari wenyewe ni kuuma maneno bila kuelezea ukweli wa mambo! Seif na Libumba mmeliwa mchana kweupeee!
    "Neither is there salvation in any other: for there is none other name under heaven (except the name of Jesus Christ of Nazareth) given among men, whereby we must be saved!" (Acts 4:12).

  5. The Following User Says Thank You to Buchanan For This Useful Post:

    Ngida1 (25th November 2009)

  6. #4
    JF Senior Expert Member Tumain will become famous soon enough Tumain will become famous soon enough Tumain will become famous soon enough Tumain will become famous soon enough Tumain will become famous soon enough Tumain will become famous soon enough Tumain will become famous soon enough Tumain will become famous soon enough Tumain's Avatar
    Join Date
    Sun Jun 2009
    Posts
    3,360
    Thanks : 1,173
    Thanked 1,111 Times in 718 Posts
    Rep Power
    28

    Default Re: Wadau mmesikia haya ya Zanzibar ? CUF imepigwa chenga ama ?

    Quote Originally Posted by Masatu View Post
    Wewe yanakuhusu nini? yako ya Chadema yanawashinda.....
    Kaka CUF ni chama cha kisiasa..kwa Tanzania nzima kinategemewa kuchukua nchi na kuongoza wananchi wote ..wanachama na wasio wanachama..hivyo kina mhusu kila mtu Mtanzania..so usituambia haimhusu

    Mimi nilijua hili deal ni maumivu kwa CUF na ikifika 2010 kazi yenu ndio imekwisha..mgawanyiko kati ya wanachama na viongozi ..take my words.
    " Fear and Surrender are not the options for me"

  7. #5
    JF Senior Expert Member Lunyungu will become famous soon enough Lunyungu will become famous soon enough Lunyungu will become famous soon enough Lunyungu will become famous soon enough Lunyungu will become famous soon enough Lunyungu will become famous soon enough Lunyungu will become famous soon enough Lunyungu will become famous soon enough
    Join Date
    Tue Dec 2006
    Location
    Malampaka
    Posts
    4,724
    Thanks : 1
    Thanked 230 Times in 116 Posts
    Rep Power
    33

    Default Re: Wadau mmesikia haya ya Zanzibar ? CUF imepigwa chenga ama ?

    Seif atawekwa na labda kufukuzwa chama maana amepata amani na kula kwa mgongo wa marehemu walio mwaga damu. Waha tuone na majibu ya CUF yatakuwaje. Hivi Zanzibar kuna viongozi wakuu wangapi ?

  8. The Following User Says Thank You to Lunyungu For This Useful Post:

    Ngida1 (25th November 2009)

  9. #6
    JF Senior Expert Member Sonara will become famous soon enough Sonara will become famous soon enough Sonara will become famous soon enough Sonara will become famous soon enough Sonara will become famous soon enough Sonara will become famous soon enough Sonara will become famous soon enough Sonara will become famous soon enough
    Join Date
    Thu Oct 2008
    Posts
    458
    Thanks : 7
    Thanked 49 Times in 26 Posts
    Rep Power
    22

    Default Re: Wadau mmesikia haya ya Zanzibar ? CUF imepigwa chenga ama ?

    Quote Originally Posted by Lunyungu View Post
    Seif atawekwa na labda kufukuzwa chama maana amepata amani na kula kwa mgongo wa marehemu walio mwaga damu. Waha tuone na majibu ya CUF yatakuwaje. Hivi Zanzibar kuna viongozi wakuu wangapi ?

    Wapo wachache lakini nguvu zao ni kubwa kiasi kulitikisa Bunge la Tanzania na Rais wake, mfano mmoja ni ule wa BUTIAMA walipofoka kidogo tu Bunge zima lilitulia kama vile wapo kwa kinyozi.

  10. #7
    JF Premium Member Acid will become famous soon enough Acid will become famous soon enough Acid will become famous soon enough Acid will become famous soon enough Acid will become famous soon enough Acid will become famous soon enough Acid will become famous soon enough Acid will become famous soon enough Acid's Avatar
    Join Date
    Sat Apr 2008
    Location
    Dar - Tz
    Posts
    5,962
    Thanks : 2,490
    Thanked 2,500 Times in 1,456 Posts
    Rep Power
    35

    Default Re: Wadau mmesikia haya ya Zanzibar ? CUF imepigwa chenga ama ?

    sidhani kama mkutano wa seif na karume ulikuwa na lengo la kuunda serikali ya mseto, ule mkutano ulikuwa na mamlaka makugwa zaidi, and that was interest of zanzibaris

    Tuache kauchochezi
    I'm no psychologist but surely misplaced optimism can lead to a state of delusion

  11. The Following User Says Thank You to Acid For This Useful Post:

    Liz Senior (25th November 2009)

  12. #8
    JF Premium Member Ngida1 will become famous soon enough Ngida1 will become famous soon enough Ngida1 will become famous soon enough Ngida1 will become famous soon enough Ngida1 will become famous soon enough Ngida1 will become famous soon enough Ngida1 will become famous soon enough Ngida1 will become famous soon enough Ngida1's Avatar
    Join Date
    Tue Aug 2009
    Posts
    162
    Thanks : 122
    Thanked 39 Times in 35 Posts
    Rep Power
    22

    Default Re: Wadau mmesikia haya ya Zanzibar ? CUF imepigwa chenga ama ?

    Quote Originally Posted by Masatu View Post
    Wewe yanakuhusu nini? yako ya Chadema yanawashinda.....
    Nd. Masatu,
    Tafadhali zihurumie mbavu zetu!!!
    Hayo aliyoyasema Shamhuna ndio msimamo wa SMZ na yale ya Karume ilikuwa babaisha ***** tu! Kwa kweli inatia uchungu, Maalim Seif baada ya miaka zaidi ya 10 ndio sasa anajua maslahi ya Wa-zanzibari? Sasa zogo lote lile lilikuwa la nini? Kwa mimi Seif ndio awe wa mwanzo kupandishwa mahakamani kwa kuwarejesha nyuma Wa-zanzibari kwa ugomvi ambao kumbe sio wa kweli.

  13. #9
    JF Premium Member Liz Senior will become famous soon enough Liz Senior will become famous soon enough Liz Senior will become famous soon enough Liz Senior will become famous soon enough Liz Senior will become famous soon enough Liz Senior will become famous soon enough Liz Senior will become famous soon enough Liz Senior will become famous soon enough Liz Senior's Avatar
    Join Date
    Thu Apr 2007
    Posts
    319
    Thanks : 48
    Thanked 133 Times in 83 Posts
    Rep Power
    24

    Default Re: Wadau mmesikia haya ya Zanzibar ? CUF imepigwa chenga ama ?

    Quote Originally Posted by MTM View Post
    sidhani kama mkutano wa seif na karume ulikuwa na lengo la kuunda serikali ya mseto, ule mkutano ulikuwa na mamlaka makugwa zaidi, and that was interest of zanzibaris

    Tuache kauchochezi
    Utashangaa wengi wanye maoni hasi kuhusu Znz ni watu wa bara! Wengi wao wanayajua yanayotokea Znz kwa kusoma magazetini...(waandishi wetu mnawajua vizuri)...hawana taarifa sahihi kuhusu hali za wazanzibari na ugumu wa maisha yao. Shamhuna! Kati ya wote! Hivi yeye na dada yetu "Asha Ngedere" wana tofauti?

  14. #10
    JF Premium Member FirstLady1 will become famous soon enough FirstLady1 will become famous soon enough FirstLady1 will become famous soon enough FirstLady1 will become famous soon enough FirstLady1 will become famous soon enough FirstLady1 will become famous soon enough FirstLady1 will become famous soon enough FirstLady1 will become famous soon enough FirstLady1's Avatar
    Join Date
    Wed Jul 2009
    Posts
    8,039
    Thanks : 1,977
    Thanked 2,974 Times in 1,913 Posts
    Rep Power
    38

    Default Re: Wadau mmesikia haya ya Zanzibar ? CUF imepigwa chenga ama ?

    habari za siasa jamani zinaumiza kichwa huwezi fanya jambo likaonekana zuri
    na huwezi kumfurahisha kila mtu
    Malaki 2:15, 16
    Kwa hiyo jihadharini roho zenu; mtu awaye yote asimtende mke wa ujana wake mambo ya hiana. Maana mimi nakuchukia kuachana, asema BWANA.

  15. #11
    Senior Member Kikambala will become famous soon enough Kikambala will become famous soon enough Kikambala will become famous soon enough Kikambala will become famous soon enough Kikambala will become famous soon enough Kikambala will become famous soon enough Kikambala will become famous soon enough Kikambala will become famous soon enough
    Join Date
    Sat Jun 2008
    Posts
    54
    Thanks : 0
    Thanked 6 Times in 6 Posts
    Rep Power
    23

    Default Re: Wadau mmesikia haya ya Zanzibar ? CUF imepigwa chenga ama ?

    Duu hiyo kali kama Asha Ngedele

  16. #12
    JF Senior Expert Member Kibunango is one of most respected JF members! Kibunango is one of most respected JF members! Kibunango is one of most respected JF members! Kibunango is one of most respected JF members! Kibunango is one of most respected JF members! Kibunango is one of most respected JF members! Kibunango is one of most respected JF members! Kibunango is one of most respected JF members! Kibunango is one of most respected JF members! Kibunango is one of most respected JF members! Kibunango is one of most respected JF members! Kibunango's Avatar
    Join Date
    Tue Aug 2006
    Location
    Tampere
    Posts
    5,022
    Thanks : 440
    Thanked 253 Times in 202 Posts
    Rep Power
    4035

    Default Re: Wadau mmesikia haya ya Zanzibar ? CUF imepigwa chenga ama ?

    Kuna chenga gani hapo?
    Save Water Drink Beer. "Alcohol doesn't solve any problems,
    But, if you think again, neither does milk."
    Vituko Vya Zenj

  17. The Following User Says Thank You to Kibunango For This Useful Post:

    Acid (25th November 2009)

  18. #13
    JF Senior Expert Member Boramaisha will become famous soon enough Boramaisha will become famous soon enough Boramaisha will become famous soon enough Boramaisha will become famous soon enough Boramaisha will become famous soon enough Boramaisha will become famous soon enough Boramaisha will become famous soon enough Boramaisha will become famous soon enough
    Join Date
    Wed Apr 2009
    Posts
    746
    Thanks : 260
    Thanked 399 Times in 227 Posts
    Rep Power
    23

    Default Re: Wadau mmesikia haya ya Zanzibar ? CUF imepigwa chenga ama ?

    si jambo la kushangaza kuona Shamhuna hayuko na Karume katika hilo lakini nashangaa kusikia Mohamed Khatibu naye yumo. Niliamini kwamba Khatibu amewiva kisiasa na anapenda maendeleo kumbe sivyo. Maamuzi ya Karume na Maalim Seif ni ya kushangiliwa na watu wote wapenda amani na maendeleo. Shamhuna siku zote hudhihirishwa kwamba ana mawazo mgando.

  19. #14
    Senior Member Konaball will become famous soon enough Konaball will become famous soon enough Konaball will become famous soon enough Konaball will become famous soon enough Konaball will become famous soon enough Konaball will become famous soon enough Konaball will become famous soon enough Konaball will become famous soon enough
    Join Date
    Wed Mar 2009
    Posts
    233
    Thanks : 0
    Thanked 65 Times in 47 Posts
    Rep Power
    22

    Default Re: Wadau mmesikia haya ya Zanzibar ? CUF imepigwa chenga ama ?

    watu mnahukumu mambo yangali mapema tuvuteni subira tuoni yatakayoendelea, sisi tuombeni kwa MUNGU yawe mazuri ili watu waishi kwa amani na upendo na waijenge ZANZIBAR yao

  20. #15
    JF Premium Member Acid will become famous soon enough Acid will become famous soon enough Acid will become famous soon enough Acid will become famous soon enough Acid will become famous soon enough Acid will become famous soon enough Acid will become famous soon enough Acid will become famous soon enough Acid's Avatar
    Join Date
    Sat Apr 2008
    Location
    Dar - Tz
    Posts
    5,962
    Thanks : 2,490
    Thanked 2,500 Times in 1,456 Posts
    Rep Power
    35

    Default Re: Wadau mmesikia haya ya Zanzibar ? CUF imepigwa chenga ama ?

    Quote Originally Posted by Kibunango View Post
    Kuna chenga gani hapo?
    Mkuu hata mimi nshangaa, hakuna chenga... sometime ukizoea sana jungu, hata ukiambia "habari gani" unaanza kuhisi jamaa ananipiga jungu!!!

    Tanzania ngumu sana aisee!!
    I'm no psychologist but surely misplaced optimism can lead to a state of delusion

  21. #16
    Senior Member simplemind will become famous soon enough simplemind will become famous soon enough simplemind will become famous soon enough simplemind will become famous soon enough simplemind will become famous soon enough simplemind will become famous soon enough simplemind will become famous soon enough simplemind will become famous soon enough
    Join Date
    Fri Apr 2009
    Posts
    81
    Thanks : 1
    Thanked 10 Times in 6 Posts
    Rep Power
    22

    Default Re: Wadau mmesikia haya ya Zanzibar ? CUF imepigwa chenga ama ?

    Quote Originally Posted by Lunyungu View Post
    Date::11/24/2009Shamhuna,Khatib watia doa shangwe ya Karume, Maalim SeifNa Salma Said, Zanzibar
    Â
    WAKATI Zanzibar ikiendelea kushangilia maafikiano ya kihistoria baina ya Rais Amani Abeid Karume na katibu mkuu wa CUF, Seif Sharif Hamad, juu ya uwezekano wa kuwepo kwa Serikali ya Mseto, mawaziri wawili wamejitokeza hadharani kutia doa shangwe hizo.

    Wameeleza bayana kuwa Serikali ya Mseto si muhimu visiwani hapa.

    Naibu Waziri Kiongozi wa Zanzibar, Ali Juma Shamhuna na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Muungano), Mohammed Seif Khatib, wametofautiana na msimamo wa Karume ambaye alisema kuwa uamuzi wa kuwa na Serikali ya Mseto ni wa Wazanzibari wenyewe.

    Tamko hilo la Karume alilitoa siku chache baada ya kukutana kwa faragha na Maalim Seif, ambaye baadaye aliitisha mkutano wa hadhara na kueleza kuwa CUF imeamua kumtambua rais huyo kwa kuwa kufanya hivyo kutarahisisha mazungumzo ya kutafuta muafaka.

    Lakini Shamhuna, ambaye pia ni Waziri wa Habari wa Serikali ya Mapinduzi (SMZ), alisema Zanzibar haihitaji Serikali ya Mseto wala Serikali ya Umoja wa Kitaifa, bali kinachotakiwa ni kujenga utamaduni wa kukubali matokeo ya uchaguzi ya kushinda na kushindwa.

    Alisema hayo katika kipindi cha “Harakati za Kisiasa” kinachorushwa hewani kila siku ya Jumanne na kituo cha redio cha Zenji FM, ambacho kinamilikiwa na Waziri Seif.

    Tamko hilo la Shamhuna lilirudiwa kwa siku tatu mfululizo; Jumapili, Jumatatu na jana asubuhi, kuonyesha kuwa hakuna haja ya ajenda hiyo ambayo imekuwa kikwazo kikubwa kwenye mazungumzo ya muafaka baina ya vyama hivyo viwili vikuu visiwani Zanzibar.
    Â
    “Zanzibar haihitaji Serikali ya Mseto wala Serikali ya Umoja wa Kitaifa wala serikali ya nini hapana, la msingi ni tujenge utamaduni wa kukubali kushindwa na kushinda... tukijenga utamaduni huo tutafanya kazi kwa pamoja na rais atakayeingia madarakani atachagua watu wenye uwezo wa kufanya kazi,” alisema Shamhuna.
    Â
    Shamhuna alisema watu wengi wanafikiri kwamba suluhisho la mgogoro wa kisiasa visiwani Zanzibar ni kuunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa na serikali hiyo ndio itakayoweza kuondoa matatizo yaliyopo, lakini hilo sio sahihi kwa kuwa hata ikiundwa serikali ya umoja matatizo bado yataendelea kuwepo.

    “Masuala yaliyopo yanatokana na baadhi yetu kuweka mbele umimi na si utaifa kwa hivyo kuundwa au kutokuundwa kwa serikali ya umoja wa kitaifa hakutusaidia,” alisema.

    “Kadiri umimi utakavyokuwepo miongoni mwetu wana siasa, tatizo bado litaendelea. Solution (suluhisho) ni kuondoa umimi. Hakuhitajiki hotuba wala hakuhitajiki mikutano, kunataka management,” alisema Shamhuna kwa kujiamini.

    Shamhuna alikwenda mbali zaidi na kusema watu wanasahau kwamba Zanzibar ni nchi ya kimapinduzi na wanadhani kwamba ni nchi ya watu kupiga kura na kutangazwa tu huku wengine wakifikiri kuwa Zanzibar ni nchi yenye watu walegevu legevu.
    Â
    Lakini hakufafanua anamaanisha nini, ingawa suala la mapinduzi limekuwa likizua mgogoro baina ya wafuasi wa vyama hivyo viwili, baadhi wakipinga mapinduzi hayo na wengine wakiunga mkono.

    Akizungumzia urais, Shamhuna alisema Zanzibar haihitaji rais kijana wala mzee, lakini inahitaji rais meneja ambaye ataweza kuwakusanya watu wote pamoja na kukabiliana na changamoto zilizopo sasa katika visiwa vya Unguja na Pemba.
    Â
    “Karume anamaliza muda wake; nikiulizwa tunataka rais wa aina gani nitajibu tunataka rais meneja (kiongozi) sijui nimefahamika,” alisema waziri huyo machachari.
    “Kwa hapa tulipofikia, tunataka tuwe na kiongozi meneja na sio lazima awe kijana kama wengi mnavyodhani. Zanzibar hatutaki rais kijana wala mzee, tunataka meneja ili aweze kuondoa challenges (changamoto) zote...sasa nani ana quality (ubora) ya umeneja,” alihoji.
    Â
    Alisema rais wa aina hiyo atachagua watu wenye kuweza kufanya kazi hata bila ya kujali ametoka wapi.
    Â
    “Sio huyu anatoka wapi na huyu anatoka wapi watu ni inclusive government (serikali inayojumuisha) na sio idadi ya watu kutoka chama cha siasa... tufanye hivyo kwa matakwa yetu na sio kulazimishwa, hapo tutajenga umoja na tutafanya kazi.”
    Â
    Shamhuna alisema mbio za urais kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka 2010 tayari zimeshaunda makundi zaidi ya matatu na kwamba tayari wapo watu wameshaanza kupigia debe viongozi wao. Alisema watu hao wameanza kutoa lugha za vitisho kuwa mgombea wa kundi lao asipopitishwa na CCM, hawatakipigia kura chama hicho.
    Â
    “Tunawasikia wanasema hivyo wengine wanasema sasa ni zamu yetu; wengine wanasema sisi vijana tuchagueni ili tufanye mabadiliko ya nchi; wengine wameamua kunyamaza kimya; tegemeo lao hatulijui. Sasa tuna makundi matatu mpaka manne hivi yanayotafuta urais wa Zanzibar,” alisema Shamhuna. Â
    Â
    Akizungumzia suala linalopendekezwa na baadhi ya watu kuwa safari hii rais atoke Pemba ili kupunguza joto la kisiasa, Shamhuna aliwaita watu wenye mapendekezo hayo kuwa wamefilisika kisiasa.
    Â
    “Zanzibar hatuchagui rais kwa zamu na suala la kusema sasa zamu yetu Wapemba; zamu yetu  Waunguja limekwisha. Hiyo ni hoja batili na anayezungumza lugha hiyo sijui nimuite kwa lugha gani,” alisema Shamhuna.
    Â
    “Rais Amani anaondoka na Rais Kikwete anaendelea kipindi cha pili na hapa mitazamo tofauti kwa kuwa anayeondoka anataka arithiwe na ni nani huyo wa kurithi?

    “Muungano unataka apatikane mtu kutoka Zanzibar ambaye ataweza kufanya naye kazi hivyo ndio mitizamo miwili ya msingi hii, mitizamo ya kuwa anatoka Pemba au Unguja ni mitizamo ya umimi na huko ni kufilisika kisiasa kwa jinsi navyoangalia suala hilo haraka haraka.”
    Â Â
    Naye Waziri Seif, ambaye anatajwa kama mmoja wa watu wanaoweza kujitokeza kuwania urais wa Zanzibar, aliwaambia wananchi wa kisiwani Pemba wiki hii kwamba umoja wa Wazanzibari hauhitaji kushirikishwa chama kingine chochote kwa kuwa CCM pekee inaweza kuweka umoja na mshikamano kwa kuwa hiyo ndio sera ya chama hicho.

    Aliwaambia wananchi wa kisiwa hicho kwamba MwanaCCM wa Pemba anakuwa ni CCM wa kweli kweli kwa kuwa wanakabiliana na mambo mbalimbali yanayofanywa na wapinzani, lakini wameweza kumudu na kuvumilia bila ya kutoka katika chama hicho.

    “Nikwambieni ndugu zangu kuwa katika suala la umoja hakuna haja ya kushirikiana na chama kingine kwani CCM wenyewe tunaweza sana kuwaunganisha Wazanzibari wote. Na huku Pemba, CCM anakuwa wa kweli kweli maana vitimbi na vituko anavyofanyiwa na wafuasi wa CUF ni vingi, lakini bado anaweza kubakia kuwa CCM, hilo si jambo dogo,” alisema Khatib katika kipindi kilichorushwa na Zenj FM wakati wa ziara yake kisiwani Pemba.

    Hii ni mara ya pili kwa Waziri Shamhuna kupingana na viongozi wakuu wa nchi katika kipindi cha miaka mitatu. Oktoba 5, 2006 Shamhuna alipingana na Rais Kikwete kuhusu suala la mwafaka wa Zanzibar.

    Wakati Rais Jakaya Kikwete akisema utatuzi wa mpasuko wa kisiasa Zanzibar umefikia mahali pazuri, Shamhuna, aliibuka na kusema kamwe serikali ya umoja wa kitaifa au ya mseto haitaundwa visiwani.

    Shamhuna alitoa msimamo alipokuwa akiwahutubia viongozi wa ngazi mbalimbali na wazee wa CCM wa Kikombweni Wilaya ya Kaskazini A, Unguja na hotuba hiyo kutangazwa na vyombo vya habari vya SMZ.
    Â "Hakuna Serikali ya Mseto itakayoundwa nchini kama inavyodaiwa na viongozi wa chama cha upinzani," alisema Shamhuna.




    Facebook
    Zanzibari's must move on and forge unity.Retrogressive wabaguzu type who thrive on divisive politics wapuuzwe tu.Hawana jipya!

  22. #17
    JF Premium Member Acid will become famous soon enough Acid will become famous soon enough Acid will become famous soon enough Acid will become famous soon enough Acid will become famous soon enough Acid will become famous soon enough Acid will become famous soon enough Acid will become famous soon enough Acid's Avatar
    Join Date
    Sat Apr 2008
    Location
    Dar - Tz
    Posts
    5,962
    Thanks : 2,490
    Thanked 2,500 Times in 1,456 Posts
    Rep Power
    35

    Default Re: Wadau mmesikia haya ya Zanzibar ? CUF imepigwa chenga ama ?

    Quote Originally Posted by simplemind View Post
    Zanzibari's must move on and forge unity.Retrogressive wabaguzu type who thrive on divisive politics wapuuzwe tu.Hawana jipya!
    thanks mkuu
    I'm no psychologist but surely misplaced optimism can lead to a state of delusion

  23. #18
    JF Premium Member Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough Mkandara is a jewel in the rough
    Join Date
    Thu Mar 2006
    Location
    T dot
    Posts
    8,196
    Thanks : 1,158
    Thanked 1,851 Times in 814 Posts
    Rep Power
    82

    Default Re: Wadau mmesikia haya ya Zanzibar ? CUF imepigwa chenga ama ?

    Nyote hamuelewi ya CCM (ZnZ), Karume anajaribu kuunda nguvu dhidi ya Bilal (mpinzani wake na mwenye nguvu zaidi) kwa kuwatumia CUF lakini sidhani kama itamsaidia. CUF hawana matatizo, ila mata6tizo anayo Maalim Seif kwa Kutaka madaraka ambayo hawezi kuyapata.
    Exploration of reality

  24. The Following User Says Thank You to Mkandara For This Useful Post:

    Lampart (26th November 2009)

  25. #19
    Senior Member T_Tonga will become famous soon enough T_Tonga will become famous soon enough T_Tonga will become famous soon enough T_Tonga will become famous soon enough T_Tonga will become famous soon enough T_Tonga will become famous soon enough T_Tonga will become famous soon enough T_Tonga will become famous soon enough
    Join Date
    Tue Jul 2007
    Posts
    83
    Thanks : 0
    Thanked 3 Times in 3 Posts
    Rep Power
    24

    Default Re: Wadau mmesikia haya ya Zanzibar ? CUF imepigwa chenga ama ?

    asojua kitu haambiwi kitu shamhuna ana ukweli gani ungekuwa unajua basi bora usingesema kitu la kushangaza wengi wanao leta mada ya zanzibar basi hata huko zanzibar hawajafika wao wanasikia kwenye news tu shamhuna si lolote si chochote yeye ni msaka tonge tu yuko katika kutapatapa tu ili aonekane nae kasema na jua kila kitu kina muda wake mabadiliko lazima yatakuja tu zanzibar ukipenda usipende huwezi kuzuia hilo

  26. #20
    JF Senior Expert Member Who Cares? will become famous soon enough Who Cares? will become famous soon enough Who Cares? will become famous soon enough Who Cares? will become famous soon enough Who Cares? will become famous soon enough Who Cares? will become famous soon enough Who Cares? will become famous soon enough Who Cares? will become famous soon enough Who Cares?'s Avatar
    Join Date
    Fri Jul 2008
    Location
    JUPITER PLANET
    Posts
    447
    Thanks : 30
    Thanked 204 Times in 103 Posts
    Rep Power
    23

    Default Re: Wadau mmesikia haya ya Zanzibar ? CUF imepigwa chenga ama ?

    kwa uhalisia wa hali ya mambo ndani ya zanzibar na kauli ya mh. shamhuna wallah nakwambia cuf wameliwaaa....seif na karume wamepiga deal la kilevi baa kesho yake hakuna kinachoendelea...maana matarajio ya cuf ni serikali ya mseto ..wakati matarajio ya ccm ni uchaguzi uwe wa amani na kupata sifa za demokrasia huko kwa weupe..ili misaada na kuombaomba kwetu kuwe na justification tosha...

    HAPA NDIPO TATIZO LINAPOKUJA.....wao ccm wanasema walileta mapinduzi kwa upanga unadhani ni lini watampisha cuf nchi kwa maongezi ya baraza la gahawa????.....WATCH THE SHOW ...soon sterling mmoja atakafa kwenye hili movie
    if we die the next generation will fight them too..and the one after them untill the victory is on our side

  27. The Following User Says Thank You to Who Cares? For This Useful Post:

    Lampart (26th November 2009)


 

Topic Information

Users Browsing this Topic

There are currently 1 users browsing this thread. (0 members and 1 guests)

     

Tags for this Topic

Bookmarks

Posting Permissions

  • You may not post new threads
  • You may not post replies
  • You may not post attachments
  • You may not edit your posts