| Find/Invite Friends | Register | Calendar | Search | Today's Posts | Mark Forums Read |
| FAQ | Members List | Bongo Flava | Zilipendwa | Taarab | Injili |
|
|
#1 | |||||||||||
|
||||||||||||
|
Views: 618
|
||||||||||||
|
#2
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Wewe yanakuhusu nini? yako ya Chadema yanawashinda.....
__________________
Mkulima kala Mbegu...... |
| The Following User Says Thank You to Masatu For This Useful Post: | ||
Ngida1 (25th November 2009) | ||
|
#3
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Uzuri wa Shamhuna huwa ni mkweli na haumi maneno! Karume anapodai kuwa suala la serikali ya mseto anawaachia Wazanzibari wenyewe ni kuuma maneno bila kuelezea ukweli wa mambo! Seif na Libumba mmeliwa mchana kweupeee!
__________________
"Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu...Mdhalimu kwa kiburi chake asema Hatapatiliza. Jumla ya mawazo yake, ni Hakuna Mungu!" (Zab. 14:1, 10:4). |
| The Following User Says Thank You to Buchanan For This Useful Post: | ||
Ngida1 (25th November 2009) | ||
|
#4
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Kaka CUF ni chama cha kisiasa..kwa Tanzania nzima kinategemewa kuchukua nchi na kuongoza wananchi wote ..wanachama na wasio wanachama..hivyo kina mhusu kila mtu Mtanzania..so usituambia haimhusu
Mimi nilijua hili deal ni maumivu kwa CUF na ikifika 2010 kazi yenu ndio imekwisha..mgawanyiko kati ya wanachama na viongozi ..take my words.
__________________
" Fear and Surrender are not the options for me" |
|
#5
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Seif atawekwa na labda kufukuzwa chama maana amepata amani na kula kwa mgongo wa marehemu walio mwaga damu. Waha tuone na majibu ya CUF yatakuwaje. Hivi Zanzibar kuna viongozi wakuu wangapi ?
|
| The Following User Says Thank You to Lunyungu For This Useful Post: | ||
Ngida1 (25th November 2009) | ||
|
#6
|
|||||||||||||||
|
|||||||||||||||
Wapo wachache lakini nguvu zao ni kubwa kiasi kulitikisa Bunge la Tanzania na Rais wake, mfano mmoja ni ule wa BUTIAMA walipofoka kidogo tu Bunge zima lilitulia kama vile wapo kwa kinyozi. |
|||||||||||||||
|
#7
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
sidhani kama mkutano wa seif na karume ulikuwa na lengo la kuunda serikali ya mseto, ule mkutano ulikuwa na mamlaka makugwa zaidi, and that was interest of zanzibaris
Tuache kauchochezi
__________________
I am on the move... |
| The Following User Says Thank You to De Novo For This Useful Post: | ||
Liz Senior (25th November 2009) | ||
|
#8
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Nd. Masatu,
Tafadhali zihurumie mbavu zetu!!! Hayo aliyoyasema Shamhuna ndio msimamo wa SMZ na yale ya Karume ilikuwa babaisha ***** tu! Kwa kweli inatia uchungu, Maalim Seif baada ya miaka zaidi ya 10 ndio sasa anajua maslahi ya Wa-zanzibari? Sasa zogo lote lile lilikuwa la nini? Kwa mimi Seif ndio awe wa mwanzo kupandishwa mahakamani kwa kuwarejesha nyuma Wa-zanzibari kwa ugomvi ambao kumbe sio wa kweli. |
|
#9
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Utashangaa wengi wanye maoni hasi kuhusu Znz ni watu wa bara! Wengi wao wanayajua yanayotokea Znz kwa kusoma magazetini...(waandishi wetu mnawajua vizuri)...hawana taarifa sahihi kuhusu hali za wazanzibari na ugumu wa maisha yao. Shamhuna! Kati ya wote! Hivi yeye na dada yetu "Asha Ngedere" wana tofauti?
|
|
#10
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
habari za siasa jamani zinaumiza kichwa huwezi fanya jambo likaonekana zuri
na huwezi kumfurahisha kila mtu
«
Previous Thread
|
Next Thread
»
Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako! All times are GMT +3. The time now is 04:53 AM.
Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com | ||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||