Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Taifa likiingia vitani leo,Itakuwaje?

    Report Post
    Page 4 of 4 FirstFirst ... 234
    Results 61 to 66 of 66
    1. #1
      Chakaza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2007
      Location : everywhere
      Posts : 3,717
      Rep Power : 1513
      Likes Received
      969
      Likes Given
      563

      Default Taifa likiingia vitani leo,Itakuwaje?

      Nimejiuliza sana swali hili bila majibu. Nisaidieni.

      Mwaka 1978 tuliingia vitani na Uganda chini ya Idd Amin, lakini tulipambana kama Taifa vita ile kwa pamoja yaani viongozi wetu, makamanda, askari, Taasisi mbalimbali na Raia wote hadi tukashinda.

      Sasa hivi hatuna tena maelewano ya aina ile. Tunachokiona ni uhasama kati Bunge na Serikali, Serikali na Raia wake, Taasisi na Taasisi na hata Askari na Raia. Ufisadi umeshika kasi ndani ya Taasisi muhimu za Umma kiasi kufikia kununua vifaa vya kijeshi vinavyodhaniwa kuwa viko chini ya kiwango (fake) hasa tukikumbuka vitu kama Helicopter zinazoanguka hovyo na mabomu yanayolipuka hovyo.

      Jee kwa hali kama hiyo, ikitokea nchi jirani kushambulia mipaka yetu tunao uwezo wa kuhimili mapigo kama ule wa mwaka 1978 kama Taifa? Ama tutaita wawekezaji wa kijeshi kutulindia mipaka yetu huku sisi tukiendelea kupiga soga la malumbano?
      Kichuguu likes this.
      Hatutajua chochote iwapo hatutahoji na kudadisi


    2. #61
      punainen-red's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th November 2010
      Posts : 1,737
      Rep Power : 857
      Likes Received
      390
      Likes Given
      19

      Default Re: Taifa likiingia vitani leo,Itakuwaje?

      Dhaifu afunge safari akawaombe wawekezaji waje wapigane! Hivi raia wa Tz apigane kwa ajili ya nini hasa???

    3. #62
      Mzee Msemakweli's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Posts : 130
      Rep Power : 467
      Likes Received
      29
      Likes Given
      34

      Default Re: Taifa likiingia vitani leo,Itakuwaje?

      Quote By Chakaza View Post
      Nimejiuliza sana swali hili bila majibu. Nisaidieni.

      Mwaka 1978 tuliingia vitani na Uganda chini ya Idd Amin, lakini tulipambana kama Taifa vita ile kwa pamoja yaani viongozi wetu, makamanda, askari, Taasisi mbalimbali na Raia wote hadi tukashinda.

      Sasa hivi hatuna tena maelewano ya aina ile. Tunachokiona ni uhasama kati Bunge na Serikali, Serikali na Raia wake, Taasisi na Taasisi na hata Askari na Raia. Ufisadi umeshika kasi ndani ya Taasisi muhimu za Umma kiasi kufikia kununua vifaa vya kijeshi vinavyodhaniwa kuwa viko chini ya kiwango (fake) hasa tukikumbuka vitu kama Helicopter zinazoanguka hovyo na mabomu yanayolipuka hovyo.

      Jee kwa hali kama hiyo, ikitokea nchi jirani kushambulia mipaka yetu tunao uwezo wa kuhimili mapigo kama ule wa mwaka 1978 kama Taifa? Ama tutaita wawekezaji wa kijeshi kutulindia mipaka yetu huku sisi tukiendelea kupiga soga la malumbano?
      Umoja na Mshikamano wa Kitaifa kwa sasa hatuna kabisa na hii inatokana na Udhaifu wa Uongozi wa Juu hasa Rais ambaye ni Amiri Jeshi Mkuu wa Nchi. Tanzania inahitaji kiongozi mwenye uchungu na Nchi yetu ambapo kwa sasa hatuna viongozi wa namna hii. Tulionao wote ni viongozi wachumia tumbo tu. Natamani kama ningezaliwa Kenya au Rwanda.

      Wanachoweza ni kupambana na haki za Wananchi bila sababu huku wakiunda sheria kandamizi bila sababu. Tukianzisha vita saa hizi lazima tuchapwe kichapo kitakatifu sana. Maana Nchi imejaa udini, ufisadi, watu kujichumia mali ya Nchi kama zao. Mungu utubariki tusipigwe mmpaka umoja na mshikamano utakapo fufuka tena.
      "Freedom is Comming Tomorrow"

    4. #63
      Zatara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2012
      Location : M/Nyamala
      Posts : 286
      Rep Power : 420
      Likes Received
      67
      Likes Given
      63

      Default Re: Taifa likiingia vitani leo,Itakuwaje?

      Quote By Original Pastor View Post
      Ahhh!! Hapa Kichapo kwa kwenda Mbele kwani mafisadi wameshajenga New Jesey
      Huo ndio wakati mzuri wa kumjua mzalendo wa kweli, mafisadi watakimbia na sisi ambao tunaojipambanua kuwa ni wazalendo tutafanyaje?

    5. #64
      salosalo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2012
      Location : Arusha
      Posts : 529
      Rep Power : 541
      Likes Received
      133
      Likes Given
      36

      Default Re: Taifa likiingia vitani leo,Itakuwaje?

      Quote By Chakaza View Post
      Nimejiuliza sana swali hili bila majibu. Nisaidieni.

      Mwaka 1978 tuliingia vitani na Uganda chini ya Idd Amin, lakini tulipambana kama Taifa vita ile kwa pamoja yaani viongozi wetu, makamanda, askari, Taasisi mbalimbali na Raia wote hadi tukashinda.

      Sasa hivi hatuna tena maelewano ya aina ile. Tunachokiona ni uhasama kati Bunge na Serikali, Serikali na Raia wake, Taasisi na Taasisi na hata Askari na Raia. Ufisadi umeshika kasi ndani ya Taasisi muhimu za Umma kiasi kufikia kununua vifaa vya kijeshi vinavyodhaniwa kuwa viko chini ya kiwango (fake) hasa tukikumbuka vitu kama Helicopter zinazoanguka hovyo na mabomu yanayolipuka hovyo.

      Jee kwa hali kama hiyo, ikitokea nchi jirani kushambulia mipaka yetu tunao uwezo wa kuhimili mapigo kama ule wa mwaka 1978 kama Taifa? Ama tutaita wawekezaji wa kijeshi kutulindia mipaka yetu huku sisi tukiendelea kupiga soga la malumbano?
      Hilo halitakuwa jambo la kutuumiza kichwa sisi watanzania bali itakuwa vita ya nchi zote zenye uwekezaji wa kifisadi hapa Tanzania kupitia Makampuni yao ili kutetea maslahi yao. Tena nahisi Marekani kaenda Malawi kuchagiza hilo maana tunajifanya tumemsahau na kumkaribisha mchina kwa kishindo

    6. #65
      kapongoliso's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th July 2011
      Location : Kisasa Area
      Posts : 204
      Rep Power : 441
      Likes Received
      41
      Likes Given
      92

      Default Re: Taifa likiingia vitani leo,Itakuwaje?

      Haaaapa tuombe tu vita istokee kwani tutachapwa hadi tutawaliwe na na kukaliwa juu na Malawi (Joyce Banda). Mwaka 1978 tuligangamala vijana wa mujibu wa sheria JKT, leo sijui mtampeleka nane frontline labda Nape na Ridhiwani


    7. #66
      Mtanzania1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2010
      Location : Kalenga, Liringa
      Posts : 992
      Rep Power : 627
      Likes Received
      125
      Likes Given
      94

      Default Re: Taifa likiingia vitani leo,Itakuwaje?

      ......ni mke na mume wapumbavu tu ndio watakao endelea na malumbano kuhusu uaminifu ktk ndoa yao huku wakimuona jambazi akivunja mlango na wasifanye kitu........

    Page 4 of 4 FirstFirst ... 234

    Similar Topics

    1. tabora kinenuka....ffu raia na jkt..vitani
      By Smarty in forum JF Chit-Chat
      Replies: 29
      Last Post: 13th November 2011, 04:09
    2. Kumbe Nchi Iko Vitani na Al-Shabaab
      By dudus in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 24
      Last Post: 30th October 2011, 13:59
    3. Tuko vitani
      By domokaya in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 18
      Last Post: 12th July 2011, 21:39
    4. Replies: 13
      Last Post: 4th June 2011, 23:11

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...