Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hongera mh Anne Kilango Malecela

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 32
    1. #1
      OkSIR's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd June 2009
      Posts : 109
      Rep Power : 533
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Hongera mh Anne Kilango Malecela

      Mnamo majira ya saa tisa kamili pale kibaha tar 31 oct
      MAMA YETU KIPENZI MH SANA MBUNGE ANNE MALECELA.K ANATARAJIA KUPATA DEGREE YAKE YA BCOM.....UKIWA KAMA MCHUKIA UFISADI
      MUADIILIFU WA UMMA...MPENDA WAPIGANAJI ,

      MCHUKIA DEGREE FEKI DUNIANI

      HATUNA BUDI KUPMONGEZA MAMA YETU KWA HATUA HII ALIOFANIKIWA KATIKA MAISHA YAKE,,NI WENGI SANA WAMEITWA MA DK..WANA DEGREE BAYA ZAIDI WAMEPEWA MAMLAKA MAKUBWA HADFI KUFIKA UKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM.....LAKINI LEO HII MAMA YETU UMEONYESHA SHULE AINA UKUBWA....TUKIWA KAMA VIJANA TUNASHUKURU KWA MAMBO YAFUATAYO

      1) KWANZA KWA KUITENDEA HAKI ELIMU YA TANZANIA

      2) KWA KULITENDEA HAKI BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KWA KUWA MBUNGE MMOJA WAPO MWENYE DEGREE HALALI

      3)TUNASHUKURU SISI KAMA WAPIGANAJI ,WACHUKIA MAFISADI KWA KUTUTENDEA HAKI KUWAONYESHA KWAMBA ELIMU SI KWA NYIE MNAOCHOTA PESA ZA WALIPA KODI HATA SIE TUNAOPINGA UFISADI ELIMU NDIO ILIOTULETA HAPA TULIPO

      4)TUNASHUKURU KWA KUITENDEA HAKI FAMILIA YAKO MAMA...HIVI SASA BUNGENI FAMILIA NYINGI AMA WABNGE WENGI HAWANA AMANI KABISA KWA KUSHTUKIWA NA VYETI FEKI...NA SISI KAMA WAPPIGANAJI TUNAKUPONGEZA KWA KUTOINGIA MKUMBO WA KUCCHAFUA JINA LA FAMILIA YAKO........MAFISADI PIGA MAKOFI TAFADHALI........

      5)HII IWE FUNDISHO KWA WALE MA VIHIYO WALIOKIMBILIA VYETI FEKI VYA KUNUNUA....

      MWISHO TUNAKUOMBEA MUNGU ELIMU ULIOIPATA IWE FUNDISHO NA KIADHIBIO KWA WALE MAFISADI WOTE WATAKAOPITA ANGA ZAKO KAMA VIPI LAZIMA UFIE NAO KIDONDANI ........


    2. #2
      Teamo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 9th January 2009
      Location : KIJIWE SAMRI-BOM BOM
      Posts : 12,171
      Rep Power : 11903
      Likes Received
      806
      Likes Given
      636

      Default Re: Hongera mh anne kilango malecela kwa kupata degree halali

      is the damn thread that much political?
      '!....Ahadi za Kiongozi wako Zinatekelezekaa?..SASA NI WAKATI WA UWAJIBIKAJI....!'

    3. #3
      Masanilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2007
      Location : Swat valley, Keta Keta
      Posts : 19,256
      Rep Power : 5511
      Likes Received
      3578
      Likes Given
      1990

      Default Re: Hongera mh anne kilango malecela kwa kupata degree halali

      Tukipongeza kila mwenye bachelor patakuwa hapatoshi hapa.....! Hongera Iron lady Anne Kilango wa Malecela

      Kindness is the language which the deaf can hear and the blind can see - Mark Twain
      CCM is enemy of GOD

    4. #4
      Kimey's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th March 2009
      Location : Counter ya Juu!
      Posts : 4,093
      Rep Power : 1340
      Likes Received
      763
      Likes Given
      673

      Default Re: Hongera mh anne kilango malecela kwa kupata degree halali

      Mnamo majira ya saa tisa kamili pale kibaha tar 31 oct
      MAMA YETU KIPENZI MH SANA MBUNGE ANNE MALECELA.K ANATARAJIA KUPATA DEGREE YAKE YA BCOM.....UKIWA KAMA MCHUKIA UFISADI
      MUADIILIFU WA UMMA...MPENDA WAPIGANAJI
      ,
      Chuo gani?
      I may be walking slowly, But I never walk backwards! and Whenever I walk backwards, Its for a long jump!!

    5. #5
      OkSIR's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd June 2009
      Posts : 109
      Rep Power : 533
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Hongera mh anne kilango malecela kwa kupata degree halali

      Quote By kimey View Post
      ,
      chuo gani?

      out


    6. #6
      OkSIR's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd June 2009
      Posts : 109
      Rep Power : 533
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Hongera mh anne kilango malecela kwa kupata degree halali

      THE DEGREE OF BACHELOR OF COMMERCE (B.COM)
      Na. JINA Reg. No. JINSIA MKOA
      1 Agness Dominick Kimoi 22584/T.06 KE D'SALAAM
      2 Aisha Maggid Nyasama 18882/T.05 KE D'SALAAM
      3 Amos Eshiwakwe 11020/T.03 ME D'SALAAM
      15
      4 Amos Felex Bwahama 05031/T.99 ME D'SALAAM
      5 Anaclet Moris 09048/T.02 ME D'SALAAM
      6 Andrew R. Dominic 03043/T.97 ME
      7 Anna, Augustino Msoffe 19176/T.06 KE D'SALAAM
      8 Anne Kilango Malecela 08032/T.01 KE D'SALAAM
      9 Arnold August Ndesangia 20257/T.06 ME D'SALAAM
      10 Bakari Nampenya 23055/T.06 ME D'SALAAM
      11 Bernard Ndewingia 20417/T.06 ME D'SALAAM
      12 Bertha Mtuya Kabalika 18033/T.05 KE D'SALAAM
      13 Caroline Ndossi 23070/T.06 KE D'SALAAM
      14 Cuthbert Mhagama 11112/T.03 ME D'SALAAM
      15 Danford Steward Ziguye 26148/T.07 ME TANGAga
      16 Daniel Sent 20327/T.06 ME D'SALAAM
      17 Denis Mulokozi Rutahilwa 20308/T.06 ME D'SALAAM
      18 Dionis Martin Salekio 23190/T.06 ME ARUSHA
      19 Dionisius Rwejuna 15429/T.05 ME D'SALAAM
      20 Dorah Ngassa 20267/T.06 KE ARUSHA
      21 Edson Michael Chongollo 10206/T.03 ME ARUSHA
      22 Edson Robert stambul Mdakilwa 09513/T.02 ME D'SALAAM
      23 Edward Dogani Nkwabi 23097/T.06 ME D'SALAAM
      24 Edward Lubega 20452/T.06 ME D'SALAAM
      25 Eliakimu Mniko 20190/T.06 ME D'SALAAM
      26 Estomiah Ndetalio Urassa 20527/T.06 ME ARUSHA
      27 Felis Bernard 20427/T.06 ME MANYARA
      28 Festo J.M. Saroni 17274/T.05 ME SINGIDA
      29 Flanswazi Alphonce Msiga 23869/T.07 KE MANYARA
      30 Flora Hans Korosso 22620/T.06 KE D'SALAAM
      31 Frida Dunford Mlumba 18890/T.05 KE D'SALAAM
      32 George Michael 11113/T.03 ME D'SALAAM
      33 George Mpejiwa 20198/T.06 ME D'SALAAM
      34 Gibson Tamson Haonga 20428/T.06 ME D'SALAAM
      35 Gloria Henry 11028/T.03 KE D'SALAAM
      36 Godbless Adonia Kapaya 18070/T.05 KE D'SALAAM
      37 Godfrey Hussein Kipingu 22594/T.06 ME
      38 Goodluck Mtega 26362/T.07 ME
      39 Habiba Uweso 20011/T.06 KE
      40 Happiness Raphael Mwakabonga 22988/T.06 KE
      41 Herodia Maurice Kambaga 22519/T.06 ME
      42 Hosea Maghimbi 17188/T.05 ME
      43 Hosiana Ndetaramo 17982/T.05 ME
      44 Hunnington Julius Missango 12071/T.03 ME
      45 Ibrahim Makumba 26329/T.07 ME
      46 Ibrahim Mkomwa Bakari 22304/T.06 ME
      47 Ignas Remigius Laurian 10124/T.02 ME
      48 James Malley 20142/T.06 ME
      49 Jordan Mchami 20471/T.06 ME
      50 Joseph Mulemwa Bwaira 07160/T.01 ME
      51 Joyce Massangu 20465/T.06 KE
      52 Kandida Komba 22617/T.06 KE

    7. #7
      carmel's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th August 2009
      Posts : 2,804
      Rep Power : 1075
      Likes Received
      202
      Likes Given
      128

      Default Re: Hongera mh anne kilango malecela kwa kupata degree halali

      aah, hizi za out cooursework wanafanyiwa na watu, anyway congarats
      A gossip betrays a confidence; so avoid a man who talks too much.
      Proverbs 20:19


    8. #8
      OkSIR's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd June 2009
      Posts : 109
      Rep Power : 533
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Hongera mh anne kilango malecela kwa kupata degree halali

      is the damn thread that much political?

      ACHENI UNAFIKI..TUMWASHAMBULIA WABUNGE VIHIYO HAPA HAKUNA NENO KAMA HILO ULILOANDIKA..LEOO HII KUMPONGEZA MTU TAABU KWELI KWELI

      BASI
      HONGERA
      MAHANGA

      LUKUVI

      NAGU M

      ...UNGETUSAIDIA ZAIDI KUTULETEA MATOKEO YA HAO HAPO JUU WALIPOCHUKULIA DK ZAO KAMA NILIVYOKUPA YA HUYU ::"IRON LADY""

      HAPO TUTAHESHIMIANA ZAIDI

    9. #9
      OkSIR's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd June 2009
      Posts : 109
      Rep Power : 533
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Hongera mh anne kilango malecela kwa kupata degree halali

      aah, hizi za out cooursework wanafanyiwa na watu, anyway congarats

      ZOTE DEGREE CAMEL

    10. #10
      Gudboy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th August 2009
      Location : DSM
      Posts : 805
      Rep Power : 662
      Likes Received
      9
      Likes Given
      10

      Default Re: Hongera mh anne kilango malecela kwa kupata degree halali

      hongera, kaitumie kuwakomesha mafisadi
      Kuwa na Mashori wengi si kipimo cha Urijali, kama mwanaume wa kweli, nyumbani wapate Ugali

    11. #11
      Masanilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2007
      Location : Swat valley, Keta Keta
      Posts : 19,256
      Rep Power : 5511
      Likes Received
      3578
      Likes Given
      1990

      Default Re: Hongera mh anne kilango malecela kwa kupata degree halali

      Quote By OkSIR View Post
      aah, hizi za out cooursework wanafanyiwa na watu, anyway congarats

      ZOTE DEGREE CAMEL
      Oohhh yeah kama za akina Mkulo ....!

      Kindness is the language which the deaf can hear and the blind can see - Mark Twain
      CCM is enemy of GOD

    12. #12
      Kimey's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th March 2009
      Location : Counter ya Juu!
      Posts : 4,093
      Rep Power : 1340
      Likes Received
      763
      Likes Given
      673

      Default Re: Hongera mh anne kilango malecela kwa kupata degree halali

      Quote By carmel View Post
      aah, hizi za out cooursework wanafanyiwa na watu, anyway congarats
      Haya mamie tuambie degree zipi ni za kiukweli basi naona unazijua sana wewe!!
      I may be walking slowly, But I never walk backwards! and Whenever I walk backwards, Its for a long jump!!

    13. #13
      OkSIR's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd June 2009
      Posts : 109
      Rep Power : 533
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Hongera mh anne kilango malecela kwa kupata degree halali

      Quote By masanilo View Post
      oohhh yeah kama za akina mkulo ....!
      masanilo ugomvi huo

      sisi bado ajarekebisha barabara ..asije tusahau kabisa nasikia ndio anashikilia kapu la ha-zinaa

    14. #14
      Masanilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2007
      Location : Swat valley, Keta Keta
      Posts : 19,256
      Rep Power : 5511
      Likes Received
      3578
      Likes Given
      1990

      Default Re: Hongera mh anne kilango malecela kwa kupata degree halali

      Quote By OkSIR View Post
      masanilo ugomvi huo

      sisi bado ajarekebisha barabara ..asije tusahau kabisa nasikia ndio anashikilia kapu la ha-zinaa
      Hapana mpwa.....tumpongeze kwa kiasi isije onekana amefanya kitu cha ajabu sana hapo OUT! Mwanzo Mzuri kwa huyu mama aliyekuwa form four tena failure!

      Kindness is the language which the deaf can hear and the blind can see - Mark Twain
      CCM is enemy of GOD

    15. #15
      Muadilifu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 26th September 2007
      Posts : 147
      Rep Power : 629
      Likes Received
      18
      Likes Given
      88

      Default Re: Hongera mh anne kilango malecela kwa kupata degree halali

      Quote By carmel View Post
      aah, hizi za out cooursework wanafanyiwa na watu, anyway congarats
      Haya, za wapi ambako huwa hawafanyiwi na watu?

    16. #16
      hsagachuma's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd October 2009
      Posts : 22
      Rep Power : 498
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Hongera mh Anne Kilango Malecela

      Hiyo degree ya out ni ya chupi tu. wengi wanaandikiwa. Angesoma saa ngapi wakati mda wake anatumia kutafuta jina na kelele za ufisadi

    17. #17
      WildCard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2008
      Posts : 6,481
      Rep Power : 1989
      Likes Received
      1810
      Likes Given
      59

      Default Re: Hongera mh Anne Kilango Malecela

      Kumbe ana akili nyingi za kuzaliwa! Hakuwa hata na kadigrii kamoja au anabadili fani?

    18. #18
      Kimey's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th March 2009
      Location : Counter ya Juu!
      Posts : 4,093
      Rep Power : 1340
      Likes Received
      763
      Likes Given
      673

      Default Re: Hongera mh Anne Kilango Malecela

      Quote By hsagachuma View Post
      Hiyo degree ya out ni ya chupi tu. wengi wanaandikiwa. Angesoma saa ngapi wakati mda wake anatumia kutafuta jina na kelele za ufisadi
      Si mtaje tu hizo ambazo sio za chupi hapa? au fitina tu!
      I may be walking slowly, But I never walk backwards! and Whenever I walk backwards, Its for a long jump!!

    19. #19
      EMMANUEL SHOMBE's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd October 2009
      Posts : 89
      Rep Power : 511
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Hongera mh Anne Kilango Malecela

      Sasa kibaha ni chuo gani? au njuweni?

    20. #20
      EMMANUEL SHOMBE's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd October 2009
      Posts : 89
      Rep Power : 511
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Hongera mh Anne Kilango Malecela

      mama endeleaaa...........ila leo nimeota kuwa umeteuliwa kuwa WAZIRI WA TAMISEM.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. A vote of confidence for Mama Anne-Kilango Malecela
      By Mwafrika wa Kike in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 128
      Last Post: 24th April 2012, 14:16
    2. Huko kwa mama Malecela (Anne Kilango) Vipi?
      By Jibaba Bonge in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 0
      Last Post: 29th July 2010, 16:40
    3. Mh. Anne Kilango Malecela analalamika nini?
      By Andrew Nyerere in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 0
      Last Post: 22nd June 2010, 21:08
    4. EYE SPY: Viva Anne Kilango Malecela!
      By BAK in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 11
      Last Post: 22nd June 2008, 20:00
    5. KLH Exclusive:Mhe Anne Kilango Malecela Alonga!
      By Mzee Mwanakijiji in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 114
      Last Post: 2nd June 2008, 21:12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...