Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hali ya Wilfred Lwakatare yazidi Kudorora

    Report Post
    Page 5 of 6 FirstFirst ... 3456 LastLast
    Results 81 to 100 of 105
    1. #1
      Masanilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2007
      Location : Swat valley, Keta Keta
      Posts : 19,057
      Rep Power : 5466
      Likes Received
      3485
      Likes Given
      1899

      Default Hali ya Wilfred Lwakatare yazidi Kudorora

      Taarifa kutoka vyanzo vya kuaminika

      Hali ya Kisukari ya Kamanda Lwakatare ni mbaya vipimo ya muda mfupi uliopita vimesomeka 19 mmol/ polisi wanadai Dr wao amempima imeonyesha ni 15mmol/l. Yote hivyo ni vipimo bila kujali accuracy. Kibaya zaidi wamewakatalia mawakili wetu kumpeleka hospital. Hii ni mbaya sana.

      Kwa wale walio kwenye fani ya tabibu wanajua nini kinaweza mtokea kamanda Lwakatare. Hii inaweza sababisha baadhi ya viungo muhimu kushindwa kufanya kazi zake na kuharibika. Blurred vision kupelekea upofu, blood pressure na matatizo kwenye moyo, haya ni baadhi ya madhara ya hyperglycaemia Kiwango cha juu cha sukari mwilini.

      Chonde chonde Polisi muwahisheni kamanda hospital kabla hali haijawa mbaya.

      Kindness is the language which the deaf can hear and the blind can see - Mark Twain
      CCM is enemy of GOD

    2. Miaka 50

    3. #81
      Mingoi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st July 2012
      Location : Not reachable
      Posts : 2,135
      Rep Power : 609
      Likes Received
      241
      Likes Given
      213

      Default Re: Hali ya Wilfred Lwakatare yazidi Kudorora

      Quote By Capital Hill
      whaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaat!!!!!!!! !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
      uko wapi TZ au sio MTZ,WHATCH OUT, what goes aruond comes around!
      Potelea mbali tumechoka na hawa wauaji.


    4. #82
      Ronn M's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd May 2012
      Location : Moshi~Arusha
      Posts : 1,283
      Rep Power : 611
      Likes Received
      660
      Likes Given
      403

      Default Re: Hali ya Wilfred Lwakatare yazidi Kudorora

      Ninachokiona hapa ni polisi na wahusika wote wamekosea step. Inaelekea ushahidi pekee walionao ni hiyo clip. Sasa wanajua wazi 'admissibility' yake itakuwa ngumu. Credibility ya hiyo clip ni so weak unless kuna ushahidi mwingne utakaoipa nguvu. Pengine wanaendelea kumshikilia wakitegemea kupata something extra. Na kama ni yakupika inakuwa ngumu maana huwezi kupata watu ambao walishiriki na wana direct evidence. Kumwachia mapema ingekuwa vyema na ingeongeza heshma ya jeshi. Wamekurupuka sana na chance ya kuloose ni kubwa ukweli au upikwaji wa clip notwithstanding!
      master peace likes this.

    5. ilu
      #83
      ilu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th December 2011
      Posts : 73
      Rep Power : 391
      Likes Received
      16
      Likes Given
      14

      Default

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Kweli mtu anakuwa chini ya polisi kwa masaa karibu 72 bila kuwa charged na watu wanasema wanaheshimu 'utawala wa sheria'?

      Kama Polisi wangekuwa na ushahidi wa kutosha kutengeneza kesi wangeshamfikisha mahakamani kwa mara ya kwanza ili awe charged. Sasa hivi inaonekana hawatafuti ukweli tena bali wanatafuta namna ya kuwa-tie watu wengine kwenye huu uzi ambao wanaamini wanao.

      Mkuu unadhani hata wanajua wamshtaki kwa kosa gani. Kiufupi hawajui kakosa nn. inasikitisha sana.
      master peace likes this.

    6. #84
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,309
      Rep Power : 36527
      Likes Received
      7468
      Likes Given
      4604

      Default

      Quote By Capital Hill
      whaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaat!!!!!!!! !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
      uko wapi TZ au sio MTZ,WHATCH OUT, what goes aruond comes around!
      Usishangae yupo tanzania hii hii tena ukute ananuka shida mpaka kwenye visigino na ndio mana anaganga njaa jf kutetea mafisadi
      master peace likes this.

    7. #85
      moes's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2012
      Posts : 336
      Rep Power : 480
      Likes Received
      59
      Likes Given
      127

      Default Re: uzalimu gani huu afanyiwao Wilfred lwakatare

      [QUOTE=bainamugisha;5930390]Ndugu wanajamiiforum Kama Kweli W.L level yake ya sukari imefikia either 15mmol/l au 17mmol/l madhara yafuatayo yaweza mpata wakati wowote
      1.DKA(diabetic ketoacidosis)ambapo anaweza pata madhara ya kupoteza faham atimaye kuharibu ubongo Na hata kifo within short time.
      2.shindikizo la damu ambalo likasababisha macho kutoona,pia stroke(kupalalize) Na figo kuharibika.
      Lwakatare afanyiwe utaratib aashushiwe sukari hiyo
      viongozi chadema fuatilieni hili[/QUOTE

      kwa daktari yeyote anajua kinachoendelea kwenye mwili wa lakatware,uwezekano wa DKA kutokea ni mkubwa.yani polisi wala hawajui kinachoenda kutokea kwa mgonjwa,by any means atolewe apelekwe hospital within few hours from now.

    8. FemaTV & Radio

    9. #86
      Ronn M's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd May 2012
      Location : Moshi~Arusha
      Posts : 1,283
      Rep Power : 611
      Likes Received
      660
      Likes Given
      403

      Default

      Quote By manyimbo
      Ala! leo hii tena ndo mnaaza kujua kuwa hata mtuhumiwa/muhalifu anayo haki ya kupata matibabu?
      si ni nyinyi CDM mloshikilia mabango kuwa sheikh Ponda na viongozi wetu wa UAMSHO wasipewe haki hizo mnazozipigia makelele leo. Mkuki kwa nguruwe?
      Kumbe DPP nae Chadema!!?

    10. #87
      artorius's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 498
      Rep Power : 471
      Likes Received
      92
      Likes Given
      0

      Default Re: Hali ya Wilfred Lwakatare yazidi Kudorora

      mwakyembe aliwahi kusema jeshi la polisi popote duniani linapata clue tu kuwawezesha kuanza uchunguzi lakini hili la ccm linasubiri waletewe ushahidi mezani,jeshi linalotegemea you tube kupata taarifa,where on earth were they trained?kama mnajiamini kwanini msimpeleke mahakamani?tatizo wapelelezi nao ni form 4 failures,course za ma-failures,people who can't reason outside the box!

    11. #88
      manyimbo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd December 2011
      Posts : 73
      Rep Power : 388
      Likes Received
      6
      Likes Given
      6

      Default Re: Hali ya Wilfred Lwakatare yazidi Kudorora

      Quote By Masanilo
      No Apology @ manyimbo ni kilaza of the first order
      Kilaza kama alivyo lwakatare anayepanga UGAIDI halafu akasingizia kuumwa akiamini kuwa Dola itamhurumia.

    12. #89
      moes's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2012
      Posts : 336
      Rep Power : 480
      Likes Received
      59
      Likes Given
      127

      Default Re: Hali ya Wilfred Lwakatare yazidi Kudorora

      jumatatu ni mbali sana kama hatua za kitabibu hazitachukuliwa,ivi polisi wameamua kuua?

    13. #90
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,309
      Rep Power : 36527
      Likes Received
      7468
      Likes Given
      4604

      Default

      Quote By manyimbo
      Kilaza kama alivyo lwakatare anayepanga UGAIDI halafu akasingizia kuumwa akiamini kuwa Dola itamhurumia.
      jamani wewe..... Si ujaribu hata kidogo kuficha huo upumbavu wako

    14. #91
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,309
      Rep Power : 36527
      Likes Received
      7468
      Likes Given
      4604

      Default

      Quote By moes
      jumatatu ni mbali sana kama hatua za kitabibu hazitachukuliwa,ivi polisi wameamua kuua?
      Policcm kuua ni kawaida yao

    15. #92
      Baitani Jr's Avatar
      Member Array
      Join Date : 14th March 2013
      Posts : 23
      Rep Power : 314
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default

      hapa hakuna justice. kudhoofisha hali ya lwakatare ni dhairi kuwa wana wasiwasi na wakubwa wao kuumbuka. mungu atamponya kama mwakyembe alipona baada ya kuchungulia kaburi sembuse lwakatare kamanda.

    16. #93
      Mkullya Damu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 18th July 2012
      Posts : 62
      Rep Power : 356
      Likes Received
      6
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By masanilo
      off topic ustaadhi, fungua thread nyingine....sorry
      off topic haswaaaaaaa

    17. #94
      Nswima John Edward's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th October 2012
      Location : MPANDA, KATAVI REGION
      Posts : 349
      Rep Power : 399
      Likes Received
      151
      Likes Given
      107

      Default Re: Hali ya Wilfred Lwakatare yazidi Kudorora

      Quote By cacico
      nakuonea huruma unavyojitia wazimu na kujitoa ufahamu!! huna utu unawaramba masaburi mabosi wako! ni bora kuwa maiti kuliko mtumwa wa ccm! kama ni mwanaume namhurumia mkeo, na kama wewe ni mwanamke hufai kuwa mmoja wetu!! shame on u!
      Point received, considered and accepted...! Umemzodoa hadi nimependa. Very good cacico

    18. #95
      s.massaun's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th December 2010
      Posts : 22
      Rep Power : 431
      Likes Received
      0
      Likes Given
      3

      Default Re: Hali ya Wilfred Lwakatare yazidi Kudorora

      ujasiri mdomoni udhaifu mwilini,pole kaka hiyo ndio siasa

    19. #96
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,411
      Rep Power : 10872
      Likes Received
      3788
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By Mingoi
      Sukari na ipande mpaka iwe asali shauri yake,mungu analipa hapa hapa duniani.
      Mamaaaaa Mingoi naona upo kazini.

    20. #97
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,204
      Rep Power : 12565
      Likes Received
      5768
      Likes Given
      754

      Default

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Kweli mtu anakuwa chini ya polisi kwa masaa karibu 72 bila kuwa charged na watu wanasema wanaheshimu 'utawala wa sheria'?

      Kama Polisi wangekuwa na ushahidi wa kutosha kutengeneza kesi wangeshamfikisha mahakamani kwa mara ya kwanza ili awe charged. Sasa hivi inaonekana hawatafuti ukweli tena bali wanatafuta namna ya kuwa-tie watu wengine kwenye huu uzi ambao wanaamini wanao.
      ha haa haaa!!! JF kuna vituko ulikuwa wapi kusema wakati Sheikh Ponda na Uamsho walivyoshikiliwa na polisi zaidi ya wiki mbili bila kufikishwa mahakamani au uchungu upo Chadema.

    21. #98
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,204
      Rep Power : 12565
      Likes Received
      5768
      Likes Given
      754

      Default

      Quote By Masanilo
      Taarifa kutoka vyanzo vya kuaminika

      Hali ya Kisukari ya Kamanda Lwakatare ni mbaya vipimo ya muda mfupi uliopita vimesomeka 19 mmol/ polisi wanadai Dr wao amempima imeonyesha ni 15mmol/l. Yote hivyo ni vipimo bila kujali accuracy. Kibaya zaidi wamewakatalia mawakili wetu kumpeleka hospital. Hii ni mbaya sana.

      Kwa wale walio kwenye fani ya tabibu wanajua nini kinaweza mtokea kamanda Lwakatare. Hii inaweza sababisha baadhi ya viungo muhimu kushindwa kufanya kazi zake na kuharibika. Blurred vision kupelekea upofu, blood pressure na matatizo kwenye moyo, haya ni baadhi ya madhara ya hyperglycaemia Kiwango cha juu cha sukari mwilini.

      Chonde chonde Polisi muwahisheni kamanda hospital kabla hali haijawa mbaya.
      Polisi fanyeni kazi taratibu kama mlivyofanya kwa Sheikh Ponda, hata Ponda anaumwa sukari zaidi ya Lwakatare.

    22. #99
      TIQO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Posts : 4,565
      Rep Power : 6845
      Likes Received
      1030
      Likes Given
      131

      Default Re: Hali ya Wilfred Lwakatare yazidi Kudorora

      Akiwafia miguuni mwao polisi watajibuje? Siombei litokee

    23. #100
      Mtumbwi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th January 2013
      Posts : 82
      Rep Power : 336
      Likes Received
      18
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Ritz
      Polisi fanyeni kazi taratibu kama mlivyofanya kwa Sheikh Ponda, hata Ponda anaumwa sukari zaidi ya Lwakatare.
      Kwahiyo wewe gamba unataka kutuhakikishia hapa, kwamba chama chenu ndiyo kinawaelekeza polisi namna ya kuwashughulikia wababe wenu wa hoja.

    Page 5 of 6 FirstFirst ... 3456 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...