Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Waliotandikwa viboko Ikulu hawa hapa

    Report Post
    Page 5 of 8 FirstFirst ... 34567 ... LastLast
    Results 81 to 100 of 155
    1. #1
      Nyati's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th March 2009
      Posts : 633
      Rep Power : 646
      Likes Received
      141
      Likes Given
      48

      Thumbs down Waliotandikwa viboko Ikulu hawa hapa

      Wakuu,

      Kumekuwepo na tetesi za muda mrefu kuwa wakati wa Mwalimu kuna watu waliitwa Ikulu wakatandikwa viboko baada ya kuenda kinyume na taratibu. Jana nilihakikisha hilo wakati wa kipindi cha Mwanzo Mwisho - TBC1. Tetesi zilieleza kuwa baada ya kuamuriwa kuwa watu waende JKT. Vijana wa Chuo Kikuu walianzisha kile wanachokiita KUNJI i.e MGOMO. Basi Maofisa usalama wa Taifa wakawaongopea viongozi wao kuwa Mwl. kawaandalia Ubwabwa wa nazi Ikulu. Nao bila kushtukia mtego uchwara huo wakapanda magari kwenda Ikulu. Kufika huko wakaambulia BAKORA sita matakoni badala ya UBWABWA. Na kusimamishwa chuo pia. Watu walihabarisha pia kuwa baada ya watu hao kupata madaraka wali-livenji kwa kuiua JKT.

      Watu wengi wamekuwa wanatoa majina ya waliocharazwa ambayo yamekuwa yanatofautiana mara kwa mara. Hivyo kama wewe wawafahamu waliocharazwa na aliyekuwa anawacharaza tupe majina

    2. Miaka 50

    3. #81
      Umushoshoro's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th April 2008
      Posts : 64
      Rep Power : 578
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: Waliotandikwa viboko Ikulu hawa hapa

      Pia kuna waliokufa kwa kuliwa na Simba na wanyama wengine kama Chui kwa ajili ya kuhamishwa kwa nguvu kutoka katika maeneo yao kwenda porini kuanzisha vijiji vya ujamaa.

      Wapo waliosekwa rumande muda mrefu bila ya kufunguliwa mashtaka kama James Mapalala

    4. #82
      Bulesi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2008
      Posts : 3,327
      Rep Power : 1236
      Likes Received
      339
      Likes Given
      72

      Default Re: Waliotandikwa viboko Ikulu hawa hapa

      Quote By Belo
      Samwel Sita aliwahi kula bakora zamani baada ya kugoma Chuo
      Huo ni uongo ambao unaweza kuenezwa na mafisadi papa na vikaragosi vyao. Mr. Six hajawahi chapwa viboko Ikulu na mtu yeyote. Acheni alinacha zenu.
      Invisible and Jasusi like this.

    5. #83
      Bongolander's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th July 2007
      Location : Tandale
      Posts : 4,032
      Rep Power : 1416
      Likes Received
      609
      Likes Given
      44

      Default Re: Waliotandikwa viboko Ikulu hawa hapa

      Quote By Mkandara
      Bongolander,

      Hapa umeniacha nje! wala simo katika ubishi huu..
      Mkuu najua Ben is not popular, hasa ukiangalia jinsi alivyoendesha privatization(na kujiuzia mgodi) na alivyo-foresee ufisadi, ana madoa mawili matatu ambayo ni makubwa sana kwenye rekodi yake, ambacho wengi tunakubaliana. Kitu ambacho ninamlaumu sana ni kuwa mwaka wa mwisho wa urais wake ni kama aliwazira watu aliokuwa anawaongoza. He looked like he was really looking forward to leaving the office, na kusema ngoja niachana na wajinga hawa. Alikuwa amezongwa sana na pressure ya mtandao kiasi kwamba akabaki na donge moyoni na akatuzira watanzania. He did not use the powers vested in him (kwenye chama na Serikali) kuandaa mwelekeo mzuri baada ya yeye kuondoka ofisini. That is why we are where we are now, and only God knows how we are going to get out of this quagmire.

      Lakini ukiangalia performance yake in general utaona kuwa he was much much better than awamu ya pili na awamu ya tatu, in many respects. Hatuwezi kumlinganisha na awamu ya kwanza kwa kuwa it was different era and different politics. He was no saint, and some of us would be happy to see him in court, but that does not change the fact he had a better team and provided better leadership than the current one.

    6. #84
      Bluray's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th March 2008
      Posts : 3,450
      Rep Power : 1272
      Likes Received
      26
      Likes Given
      0

      Default Re: Waliotandikwa viboko Ikulu hawa hapa

      Quote By Mkandara
      Mkuu nimerudi.. Wala sii kweli kabisa kwani Nigeria si wana mafuta? Labda tazama fact book kisha nambie kwa nini hao wengine wamekwama..As a fact Mrusi anaongoza duniani kutoa mafuta kuliko Saudia lakini Mchina anampika kaa kasimama..

      Mkuu Masri unaisikia tu ktk magazeti.. hatuwapi hata kwa nini yaani kifupi kimaendeleo mimi nadhani baada ya South wao wanafuata.. Mkuu hawa jamaa wamejenga subway hivi majuzi tu nambie ni nchi gani ya kiafrika inaweza kuyafanya hayo pasipo kuwa na mafuta.. Acheni uchukozi wakuu zangu ukweli utabakia kwamba sisi nchi za kina Yakhe Udikteta tu ndio unatakiwa.. nchi zote ambazo sii za Ulaya (wazungu) ukiona zimepiga hatua mbele basi tazama kiongozi wao ni dikteta..

      Zipo nchi chahce sana kama Botswana hizi ni kama wana hela za EPA. yaani ibeni mtakavyo iba humuwezi kuzimaliza, laa sivyo wao na sisi wote tumo bus moja tu.
      Unapokosea katika comparison ni pale unapochukua nchi yenye a totally failed leadership na mafuta katika hii mix (Nigeria) na kuitolea mfano kama nchi yenye mafuta ambayo imeshindwa kufanikiwa.

      Mimi nasema huwezi kujilinganisha na Libya (nchi yenye mafuta na mfumo repressive lakini si a totally failed leadership) kwa sababu ya mafuta bado, wala huwezi kulinganisha madini na mafuta, hata kwa output tu hayalingani. Na lazima tu employ principle ya accounting ya realization, hiyo mi gold tunayoisema inaweza kupambana na bahari ya mafuta ya waLibya?

      Kama issue ni kulinganisha natural resources are we really that much better au tunajilinganisha na watu wenye neema isiyo katika league yetu?
      The Singularity is Near.

    7. #85
      Mtu B's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2008
      Posts : 872
      Rep Power : 707
      Likes Received
      20
      Likes Given
      3

      Default Re: Waliotandikwa viboko Ikulu hawa hapa

      Quote By Jasusi
      Hapana. Mark Bomani hakuwemo. Wakati huo tayari alikuwa Attorney General.
      Namfahamu mmoja tu, marehemu Mwabulambo. JKT iliuliwa enzi za Mwinyi.
      Joseph Sinde Warioba?

    8. Study Abroad

    9. #86
      Jasusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2006
      Posts : 10,612
      Rep Power : 2890
      Likes Received
      3826
      Likes Given
      12202

      Default Re: Waliotandikwa viboko Ikulu hawa hapa

      Quote By Mtu B
      Joseph Sinde Warioba?
      Warioba hakuchapwa viboko. Pia sina hakika kama alikuwa kwenye kundi la wanachuo waliorudishwa nyumbani baada ya maandamano ya kupinga national service. Najua Sitta alikuwa miongoni mwao.
      Invisible likes this.

    10. #87
      Pezzonovante's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st May 2008
      Posts : 648
      Rep Power : 693
      Likes Received
      33
      Likes Given
      7

      Default Re: Waliotandikwa viboko Ikulu hawa hapa

      Wilfred mwabulambo, nadhani na mkapa

    11. #88
      Invisible's Avatar
      Robot Array
      Join Date : 11th February 2006
      Location : Here...!
      Posts : 9,326
      Rep Power : 100000
      Likes Received
      4882
      Likes Given
      5599

      Default Re: Waliotandikwa viboko Ikulu hawa hapa

      Quote By Mkandara
      Zakumi,
      Muamar Ghadafi na Hussein Mubarak hawa wamefanya vizuri kuliko marais wote wa demokrasia combined...
      I see... You gotta be kidding me!
      Mkandara, Ogah and Jasusi like this.
      Ficha Upumbavu wako; Usiifiche Hekima yako!
      24/7 Email SUPPORT: [email protected]


    12. #89
      Jasusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2006
      Posts : 10,612
      Rep Power : 2890
      Likes Received
      3826
      Likes Given
      12202

      Default Re: Waliotandikwa viboko Ikulu hawa hapa

      Quote By Invisible
      I see... You gotta be kidding me!
      It is always good to look back and see what we said then.
      Invisible and Ogah like this.

    13. #90
      Ogah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Posts : 5,666
      Rep Power : 21814
      Likes Received
      733
      Likes Given
      3184

      Default Re: Waliotandikwa viboko Ikulu hawa hapa

      Quote By Jasusi
      It is always good to look back and see what we said then.
      .....well well well......tusiangalie kirahisi.......sometimes hii kitu maendeleo ni very subjective.....mbali ya kwamba maendeleo yana principles na indicators zake.....

      Ukiwauliza CCM leo kuwa...je? mmewaletea maendeleo wananchi wa Tanzania?.....Y'all know the answer....ambalo mimi na nyie na wengine some/most of the times we argue/debate about....

      Juzi Mzee Mwanakijiji kauliza swali........je uwezo wetu wa kutatua tatizo la maji limeshia kwenye kuchimba visima tu?.... Companero akajibu......labda vizazi vijavyo ndio vinaweza kujitoa kwenye lindi la kufikir zaidi ya upeo tulionao.......however hata kwa kutambaa tutafika tu......it is an interesting mada to read trust me!......

      Kanali Gadafi, Hosni Mubarak, Saddam Hussein na Hata Kamuzu Banda kwa mfano,.....je tunaweza kusema wao walileta maendeleo kwa nchi zao.......mbali ya udikteta wao.....lets look at their economic stats.....wakati wao........halafu tuangalie hao waliochukua nchi baada mikakati yao ikoje na kama itawatoa.........let this be our h/work.....
      Mkandara and Invisible like this.

    14. #91
      Machiavelli's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd October 2007
      Location : The Settlement, British Virgin Islands
      Posts : 69
      Rep Power : 607
      Likes Received
      10
      Likes Given
      39

      Default Sitta alipigwa viboko ikulu kama mtoto wa shule

      SITTA ni mnafiki sana naomba kuwasilisha kwamba huyu jamaa alipigwa viboko Ikulu na Nyerere kwa fitna zake ndio maana alikuwa kwenye political wilderness for a long time. If it was not for BWM kumuweka TIC he would have been a has been long time ago. Asilete za kuleta KAMA ANABISHA ALETE HOJA DATA TUNAZO! Habari hiyo naiwakilisha JF mtafakari!!! Opportunistic people hawatakiwi TZ

    15. #92
      Kindimbajuu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th July 2009
      Posts : 685
      Rep Power : 1044
      Likes Received
      207
      Likes Given
      168

      Default Re: Sitta alipigwa viboko ikulu kama mtoto wa shule

      Quote By Machiavelli
      SITTA ni mnafiki sana naomba kuwasilisha kwamba huyu jamaa alipigwa viboko Ikulu na Nyerere kwa fitna zake ndio maana alikuwa kwenye political wilderness for a long time. If it was not for BWM kumuweka TIC he would have been a has been long time ago. Asilete za kuleta KAMA ANABISHA ALETE HOJA DATA TUNAZO! Habari hiyo naiwakilisha JF mtafakari!!! Opportunistic people hawatakiwi TZ
      na wewe political wilderness yako inatokana na nini?. ulipigwa viboko kama sitta?

    16. #93
      tedo's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th August 2011
      Location : uchochoroni
      Posts : 5,479
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1259
      Likes Given
      880

      Default Re: Sitta alipigwa viboko ikulu kama mtoto wa shule

      Ngoja nijibane kwa hapa nisikilizie....

    17. #94
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,104
      Rep Power : 13052
      Likes Received
      14067
      Likes Given
      14838

      Default Re: Sitta alipigwa viboko ikulu kama mtoto wa shule

      kupigwa viboko kunakula ubongo???

      Basi santa kayumba tuna makasha ya vichwa tu.

      Afu kuna kitu huwa kinaniudhi, ila basi tu
      eti mwalimu alikataza hiki, hivi sie wooote watanzania tuliobaki hatujui lipi zuri kwetu sasa??

      Mwalimu alifanya alofanya kwa wakati ule, na tunaukubali mchango wake.

      Lakini hii ya mazingira yashabadilika afu unasikia, alikataza, agrrrrrr
      kuna watz wenye akili kabisa ya kujua tunataka kwenda wapi kwa sasa.
      zomba likes this.

    18. #95
      ndomyana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 1,790
      Rep Power : 727
      Likes Received
      179
      Likes Given
      0

      Default Re: Sitta alipigwa viboko ikulu kama mtoto wa shule

      Naomba dk.slaa siku akingia ikulu amwite tena sita amtandike viboko kama nyerere alivomtandika enzi zile

    19. #96
      Jodoki Kalimilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Location : Ihayabuyaga
      Posts : 2,247
      Rep Power : 887
      Likes Received
      761
      Likes Given
      1433

      Default Re: Sitta alipigwa viboko ikulu kama mtoto wa shule

      Quote By Machiavelli
      SITTA ni mnafiki sana naomba kuwasilisha kwamba huyu jamaa alipigwa viboko Ikulu na Nyerere kwa fitna zake ndio maana alikuwa kwenye political wilderness for a long time. If it was not for BWM kumuweka TIC he would have been a has been long time ago. Asilete za kuleta KAMA ANABISHA ALETE HOJA DATA TUNAZO! Habari hiyo naiwakilisha JF mtafakari!!! Opportunistic people hawatakiwi TZ
      Kwani amefanyaje mkuu nanukuu hapo nilipo bold

    20. #97
      Never give up's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th September 2009
      Location : miles from nowhere
      Posts : 3,635
      Rep Power : 1219
      Likes Received
      722
      Likes Given
      585

      Default

      Quote By tedo
      Ngoja nijibane kwa hapa nisikilizie....
      nami ni habari mpya kwangu wacha tugande hapa..

    21. #98
      TAYADI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th July 2012
      Posts : 1,307
      Rep Power : 606
      Likes Received
      209
      Likes Given
      253

      Default Re: Waliotandikwa viboko Ikulu hawa hapa

      Ndiyo. Mwabulambo na Samwel Sita walicharazwa bakora sita - sita za matakoni!.. Bakora nzito kishenzi!.. Niliwahi kuambiwa na mtu wa karibu na sita kuwa alikiri kichapo alichochezea kilikuwa kizito - hajakisahau!...

    22. #99
      Nduka Original's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd August 2011
      Posts : 566
      Rep Power : 507
      Likes Received
      160
      Likes Given
      2

      Default Re: Waliotandikwa viboko Ikulu hawa hapa

      1. Samwel Sitta
      2. Moses Kibwana - former commissioner for foreign curency
      3. Arnold Kilewo

      Wote hawa walikuwa law faculty

    23. #100
      MNYISANZU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,305
      Rep Power : 2018
      Likes Received
      591
      Likes Given
      76

      Default Re: Waliotandikwa viboko Ikulu hawa hapa

      Nasikia hata Mizengo Pinda aliwahi kucharazwa bakora...

    24. FemaTV & Radio
    Page 5 of 8 FirstFirst ... 34567 ... LastLast

    LinkBacks (?)


    Similar Topics

    1. Wasiotaka Ikulu iwe na WEBSITE hawa hapa
      By Game Theory in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 115
      Last Post: 19th April 2013, 13:44
    2. Replies: 434
      Last Post: 1st December 2011, 00:23
    3. Watakaoamua mpangaji wa Ikulu hawa hapa
      By cabhatica in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 18
      Last Post: 11th October 2010, 21:18
    4. Mbeleko zilizombeba kikwete hadi ikulu ni hizi hapa!
      By Rutashubanyuma in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 16
      Last Post: 27th September 2010, 17:20
    5. Walimu waliotandikwa bakora wadai bil.3! weee
      By mwalimu Jr. in forum Jokes/Utani + Udaku/Gossips
      Replies: 2
      Last Post: 23rd July 2009, 18:21

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...