Kikwete amkubalia Mwanyika kung'oka - Page 3 - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Jukwaa la Siasa


Jukwaa la Siasa Tanzania & World Politics General Discussion Forum. You need to be registered in order to post your comment(s)


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 6th October 2009, 09:36 AM  
Kikwete amkubalia Mwanyika kung'oka
Bill Bill is offline 6th October 2009, 09:36 AM

RAIS Jakaya Kikwete amekubali kustaafu kwa lazima kwa Mwansheria Mkuu wa Serikali, Bw. Johnson Mwanyika, ifikapo Novemba 6, mwaka huu.
Bw. Mwanyika anastaafu kwa lazima katika kipindi ambacho Mkutano wa 17 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania utakuwa ukiendelea, ukitarajia kuhitimisha sakata la mkataba tata wa Richmond, ambao ulisainiwa wakati akiwa Mshauri Mkuu wa Serikali wa mambo yote ya kisheria.

Habari za kustaafu kwa lazima Bw. Mwanyika ambaye amekanusha mara kadhaa kuhusika kwake na Richmond, zimethibitishwa Dar es Salaam jana na Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma.

Majibu ya maandishi kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma kwa gazeti hili, iliyosainiwa na Mkuu wa Kitengo cha Habari, Elimu na Mawasiliano (OR-MUU) Bi. Zamarad Kawawa, ilieleza; "Bw. Mwanyika amekubaliwa kustaafu atakapofikisha umri wa kustaafu kwa lazima wa miaka 60 ifikapo tarehe 6 Novemba, 2009."

Hatua ya Bw. Mwanyika kukubaliwa kutaafu kwa lazima inaibua maswali mengi, hasa kwa kuzingatia kuwa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kifungu cha 59, haina kipengele kinachoeleza kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali atastaafu baada ya kufikisha umri wa miaka 60.

Kifungu kidogo cha (5) kinaeleza kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali atashika madaraka yake mpaka (a) uteuzi wake utakapofutwa na Rais au (b) mara tu kabla ya Rais mteule kushika madaraka ya Rais.

Kwa maana hiyo ya katiba Bw. Mwanyika angeweka kuacha kushika wadhifa huo ama kwa kuachishwa na Rais au kusubiri mwakani baada ya Uchaguzi Mkuu, kabla ya Rais mteule kushika wadhifa wa rais.

Kutokana na wadhifa wake huo, baada ya mkataba kati ya TANESCO na Richmond Development Company LLC kusainiwa, na baadaye bunge kuuda Kamati Teule ya kuchunguza utata uliogubika mkataba huo chini ya Dkt. Harrison Mwakyembe (Kyela), ilibainika kuwa utiaji saini mkataba huo ulisheheni makosa mengi.

Wakati akiwasilisha taarifa ya kamati iliyochungusa utiaji saini mkataba huo bungeni, Dkt. Mwakyembe alisema;

"Mkataba umesheheni makosa mengi ya kisheria yanayoashiria udhaifu mkubwa wa kitaalamu katika Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali au ukosefu wa umakini katika kuiwakilisha serikali."

Dkt. Mwakyemba alisema Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Wakili wa Serikali, Bw. Donald Chidowu ambaye ushiriki wake katika GNT haukuwa na tija yoyote, hivyo, "Wawajibishwe na mamlaka ya juu ya nchi kwa kuchangia kuiingiza nchi katika mkataba wa aibu," alisema Dkt. Mwakyembe wakati akiwasilisha mapendekezo ya Kamati yake kwa bunge kuhusu hatua alizopaswa kuchukuliwa Mwanyika.

Baada ya Kamati hiyo kutoa mapendekezo hayo, Serikali kupitia Waziri Mkuu, Bw. Mizengo Pinda, ilitoa ufafanuzi kuhusu utekelezaji wa mapendekezo ya kamati, akisema kikatiba, Mamlaka ya Nidhamu ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

"Kwa hiyo, Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambaye alikuwa miongoni mwa watendaji wakuu watatu waliokuwa wanaishauri Serikali, suala lake la kuhusishwa kwake katika mchakato mzima wa mkataba huo linashughulikiwa na Ofisi ya Rais, IKULU," alisema Bw. Pinda.

Hata hivyo, katika Mkutano wa 16 wa Bunge uliomalizika mjini Dodoma, Serikali kupitia Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Bw. Adam Malima, ilitangaza utekelezaji wa awamu ya pili mapendekezo ya Kamati ya Dkt. Mwakyembe, ambapo alisema Bw. Mwanyika hakuwa na kosa analoonekana kutenda kutokana na wadhifa wake huo.

Bw. Malima alisema iwapo mtumishi yeyote wa umma atatajwa na watuhumiwa walioko mahakamani kuwa alihusika katika makosa ya jinai, Serikali haitasita kumfikisha mahakamani

Hata hivyo utekelezaji wa mapendekezo hayo pamoja na yaliyohusu maofisa wengine ulikataliwa na Bunge na kuiagiza Serikali kuwasilisha upya utekelezaji mwingine wa maazimio yake katika mkutano wa Bunge unaotarajiwa kuanzia Oktoba 27, mwaka huu siku tisa kabla ya Bw. Mwanyika kustaafu.

Source: Majira 06 October 2009
Mwandishi: Reuben Kagaruki


Bill
JF Senior Expert Member
Points: 196,431, Level: 100 Points: 196,431, Level: 100 Points: 196,431, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
Join Date: Fri Oct 2007
Posts: 626
Thanks: 32
Thanked 30 Times in 19 Posts
Views: 1690
Reply With Quote
  #21  
Old 6th October 2009, 05:25 PM
Fundi Mchundo Fundi Mchundo is offline
Fundi Mchundo has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 538,968, Level: 100 Points: 538,968, Level: 100 Points: 538,968, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Fri Nov 2007
Posts: 3,467
Thanks: 394
Thanked 479 Times in 222 Posts
Rep Power: 150
Fundi Mchundo is a splendid one to beholdFundi Mchundo is a splendid one to beholdFundi Mchundo is a splendid one to beholdFundi Mchundo is a splendid one to beholdFundi Mchundo is a splendid one to beholdFundi Mchundo is a splendid one to beholdFundi Mchundo is a splendid one to beholdFundi Mchundo is a splendid one to beholdFundi Mchundo is a splendid one to beholdFundi Mchundo is a splendid one to beholdFundi Mchundo is a splendid one to behold
Default Re: Kikwete amkubalia Mwanyika kung'oka

Hivi tena kama kuna kitu kinachoitwa kustaafu kwa lazima kwa nini mtu uombe tena kibali cha kustaafu? Si angekaa kimya hadi hapo ambapo angeombwa kuongeza muda kwa mkataba maalum. Hapo ndipo angeweza kukataa kuongeza muda. Au waandishi wanataka ku-spin kuonyesha kama vile amelazimishwa? Ninachohisi ni kuwa jamaa alimtaarifu Mkuu kuwa muda wake wa kustaafu unakaribia. Si vinginevyo.

Amandla......
__________________
Fundi Utumbo a.k.a Uwiano Usio Maalum
Reply With Quote
  #22  
Old 6th October 2009, 05:33 PM
Bubu Ataka Kusema's Avatar
Bubu Ataka Kusema Bubu Ataka Kusema is offline
Bubu Ataka Kusema says life is GOOD!
JF Premium Member
Points: 12,662,314, Level: 100 Points: 12,662,314, Level: 100 Points: 12,662,314, Level: 100
Activity: 69% Activity: 69% Activity: 69%
 
Join Date: Sun Feb 2007
Location: Mfaranyaki
Posts: 12,663
Thanks: 1,027
Thanked 1,188 Times in 690 Posts
Rep Power: 2049
Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!Bubu Ataka Kusema is one of most respected JF members!
Default Re: Kikwete amkubalia Mwanyika kung'oka

Quote:
View Post
Sio Tanzania!
Sio chini ya serikali ya Kikwete!
Sio baada ya kuona kilichotokea kwa watangulizi wa hili saga!

Hakuna mwenye nia wala haja ya kuwachukulia hatua yoyote yenye tija wote wale waliohusika na njama za kuiibia nchi hii kupitia Ricmond, achilia mbali wizi mwingine wowote. Serikali iko macho "kiulinzi" bwana!
Kikwete asema, "Najivunia rekodi yangu ya kupambana na ufisadi nchini." Mnategemea nini Waungwana! ndiyo maana nimesema huyu jamaa hastahili kabisa kugombea 2010. Akitaka kugombea kwa maoni yangu ni namna nyingine ya ufisadi kutaka kugombea kuiongoza nchi wakati uongozi umeshakushinda na kuna ushahidi wa kutosha kuhusu kushindwa kwake uongozi.
__________________
~*~Life is Good~*~
Reply With Quote
  #23  
Old 6th October 2009, 05:56 PM
Kamakabuzi Kamakabuzi is offline
Kamakabuzi has no status.
Senior Member
Points: 93,068, Level: 100 Points: 93,068, Level: 100 Points: 93,068, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Mon Dec 2007
Posts: 243
Thanks: 38
Thanked 37 Times in 21 Posts
Rep Power: 23
Kamakabuzi will become famous soon enoughKamakabuzi will become famous soon enoughKamakabuzi will become famous soon enoughKamakabuzi will become famous soon enoughKamakabuzi will become famous soon enoughKamakabuzi will become famous soon enoughKamakabuzi will become famous soon enoughKamakabuzi will become famous soon enough
Default Re: Kikwete amkubalia Mwanyika kung'oka

Quote:
View Post
Naomba kujua wakuu amestafu yeye mwenyewe au ndio umiri wake umefika au amembiwa kufanya hivyo??

"Bw. Mwanyika amekubaliwa kustaafu atakapofikisha umri wa kustaafu kwa lazima wa miaka 60 ifikapo tarehe 6 Novemba, 2009."

Hatua ya Bw. Mwanyika kukubaliwa kutaafu kwa lazima inaibua maswali mengi, hasa kwa kuzingatia kuwa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kifungu cha 59, haina kipengele kinachoeleza kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali atastaafu baada ya kufikisha umri wa miaka 60.

Kifungu kidogo cha (5) kinaeleza kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali atashika madaraka yake mpaka (a) uteuzi wake utakapofutwa na Rais au (b) mara tu kabla ya Rais mteule kushika madaraka ya Rais.

Kwa maana hiyo ya katiba Bw. Mwanyika angeweza kuacha kushika wadhifa huo ama kwa kuachishwa na Rais au kusubiri mwakani baada ya Uchaguzi Mkuu, kabla ya Rais mteule kushika wadhifa wa rais."


Majibu ya swali lako yamo katika maelezo hayo. Ukisoma between the lines utagundua kuwa kuna kitu hapo, lakini bado huyo ni samaki wa kawaida na katika kundi lake bado Hosea! Mapapa bado kabisa hawajaguswa na huenda wasiguswe kabisa kwani JK wakati anajibu maswali tulimsikia wazi akimtetea EL; na baadae EL akaibuka na kusema urafiki wake na JK ulianza zamani, hawawezi kuachana maana hawakukutana barabarani! Je walikutana wapi?
Reply With Quote
  #24  
Old 6th October 2009, 06:29 PM
Mayolela Mayolela is offline
Mayolela -Wenye Visa Watu.
JF Senior Expert Member
Points: 102,892, Level: 100 Points: 102,892, Level: 100 Points: 102,892, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
 
Join Date: Mon Sep 2009
Posts: 305
Thanks: 109
Thanked 39 Times in 30 Posts
Rep Power: 21
Mayolela will become famous soon enoughMayolela will become famous soon enoughMayolela will become famous soon enoughMayolela will become famous soon enoughMayolela will become famous soon enoughMayolela will become famous soon enoughMayolela will become famous soon enoughMayolela will become famous soon enough
Default Re: Kikwete amkubalia Mwanyika kung'oka

Huyu nae anahusika na richmond -tutamshitaki?
Reply With Quote
  #25  
Old 6th October 2009, 07:02 PM
Magezi Magezi is online now
Magezi has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 310,812, Level: 100 Points: 310,812, Level: 100 Points: 310,812, Level: 100
Activity: 11% Activity: 11% Activity: 11%
 
Join Date: Sun Oct 2008
Posts: 1,961
Thanks: 204
Thanked 396 Times in 232 Posts
Rep Power: 25
Magezi will become famous soon enoughMagezi will become famous soon enoughMagezi will become famous soon enoughMagezi will become famous soon enoughMagezi will become famous soon enoughMagezi will become famous soon enoughMagezi will become famous soon enoughMagezi will become famous soon enough
Default Re: Kikwete amkubalia Mwanyika kung'oka

wizi mtupu
Reply With Quote
  #26  
Old 6th October 2009, 07:58 PM
Maane Maane is offline
Maane ni mchukia dhuluma
JF Premium Member
Points: 121,977, Level: 100 Points: 121,977, Level: 100 Points: 121,977, Level: 100
Activity: 17% Activity: 17% Activity: 17%
 
Join Date: Thu Jul 2008
Posts: 1,507
Thanks: 42
Thanked 179 Times in 109 Posts
Rep Power: 25
Maane will become famous soon enoughMaane will become famous soon enoughMaane will become famous soon enoughMaane will become famous soon enoughMaane will become famous soon enoughMaane will become famous soon enoughMaane will become famous soon enoughMaane will become famous soon enough
Default Re: Kikwete amkubalia Mwanyika kung'oka

Kila la heri J. Mwanyika!!! Ukweli ninao ufahamu jamaa hakuwa na raha kabisa na huo wadhifa (from reliable sources). Cheo kile kinakulazimisha kufanya uproffessional decissions!!!! Hakupenda!!! Believe it or not. Ni kwa muda mrefu alitaka ajiuzulu!!! Ingeleta mtikisiko!!!
__________________
"Kama unaingia Ikulu kwa njia ya rushwa, je ni biashara gani iko huko ya kuwezesha kulipa fadhila ya rushwa hiyo???"
Reply With Quote
  #27  
Old 6th October 2009, 08:12 PM
mwanahalisi's Avatar
mwanahalisi mwanahalisi is offline
mwanahalisi has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 453,502, Level: 100 Points: 453,502, Level: 100 Points: 453,502, Level: 100
Activity: 18% Activity: 18% Activity: 18%
 
Join Date: Fri Apr 2008
Posts: 746
Thanks: 68
Thanked 145 Times in 82 Posts
Rep Power: 23
mwanahalisi will become famous soon enoughmwanahalisi will become famous soon enoughmwanahalisi will become famous soon enoughmwanahalisi will become famous soon enoughmwanahalisi will become famous soon enoughmwanahalisi will become famous soon enoughmwanahalisi will become famous soon enoughmwanahalisi will become famous soon enough
Default Re: Kikwete amkubalia Mwanyika kung'oka

Huyu nae anajipanga kuelekea mahakamani;hamkumbuki mgonja jamani;nyie subirini watastaafu wengi mwezi wa kumi na moja naona walichofanya ni kusoma na kuwahi nyakati mapema wajipange na mawakili wa kuwasimamia kesi zao

kazi unayo jk;fadhila zinakuponza;uliambiwa ukawadharau watu;kitumbua kinakutokea puani liveeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Reply With Quote
  #28  
Old 6th October 2009, 09:42 PM
Lunyungu Lunyungu is offline
Lunyungu Kisu Kikali Mno
JF Senior Expert Member
Points: 1,697,655, Level: 100 Points: 1,697,655, Level: 100 Points: 1,697,655, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Tue Dec 2006
Location: Malampaka
Posts: 4,706
Thanks: 1
Thanked 204 Times in 111 Posts
Rep Power: 33
Lunyungu will become famous soon enoughLunyungu will become famous soon enoughLunyungu will become famous soon enoughLunyungu will become famous soon enoughLunyungu will become famous soon enoughLunyungu will become famous soon enoughLunyungu will become famous soon enoughLunyungu will become famous soon enough
Default Re: Kikwete amkubalia Mwanyika kung'oka

Quote:
View Post
Wewe Congo,
Mimi natamani wote wanaohusika na Richmond waondoke kabisa serikalini. Hata kama Kikwete naye ni mhusika aondoke.

Nina hakika nchi inaweza kuenda mbele vizuri bila wababaishaji hawa wezi wakubwa.

Hakuna lolote litakaloharibika hata kama serikali yote iliyo madarakani ikiondoka. Ilimradi tubaki na serikali safi yenye hofu ya Mungu kwa kuwajibika kwao.

Lakini kwa sababu ya ujinga wao na wa baadhi ya watu wanadhani wakiondoka wao basi nchi haitabaki. Ni uongo na udanganyifu wao tu.
Tumechoka na wezi wa mali za nchi yetu hii tuliyopewa wote na mwenye enzi Mungu wetu.

Maneno haya ni mazito nayameniingia . Hofu ya Mungu na heshima kwa Watanzania walio iweka serikali madarakani .
Reply With Quote
  #29  
Old 6th October 2009, 10:33 PM
Keil Keil is offline
Keil has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 628,831, Level: 100 Points: 628,831, Level: 100 Points: 628,831, Level: 100
Activity: 4% Activity: 4% Activity: 4%
 
Join Date: Mon Jul 2007
Posts: 1,385
Thanks: 91
Thanked 300 Times in 133 Posts
Rep Power: 25
Keil will become famous soon enoughKeil will become famous soon enoughKeil will become famous soon enoughKeil will become famous soon enoughKeil will become famous soon enoughKeil will become famous soon enoughKeil will become famous soon enoughKeil will become famous soon enough
Default Re: Kikwete amkubalia Mwanyika kung'oka

Msije mkashangaa mkisikia kwamba Maria Kejo ndiyo Mwanasheria wa Mkuu Serikali ambaye atajaza nafasi itakayoachwa wazi na Bwana Mwanyika.
Reply With Quote
  #30  
Old 6th October 2009, 11:17 PM
WomanOfSubstance's Avatar
WomanOfSubstance WomanOfSubstance is offline
WomanOfSubstance is counting her blessings
JF Premium Member
Points: 795,045, Level: 100 Points: 795,045, Level: 100 Points: 795,045, Level: 100
Activity: 21% Activity: 21% Activity: 21%
 
Join Date: Fri May 2008
Posts: 3,646
Thanks: 408
Thanked 674 Times in 334 Posts
Rep Power: 29
WomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enoughWomanOfSubstance will become famous soon enough
Default Re: Kikwete amkubalia Mwanyika kung'oka

Quote:
View Post
Labda kuna kitu kinaweza kufuat baada ya huyu jamaa kusitaafu, na ukichukulia kustaafu kweneyewe kumekuwa kwa lazima.
Huyu Mkuu ni bahati mbaya tu kajikuta kwenye mkondo mbaya..otherwise he is A MAN OF IMPECABLE CHARACTER - UPRIGHT IN OTHER WORDS.
Ukikaa kwenye tenga la samaki wabovu nawe utanuka hata kama hujaoza bado.
__________________
Do not dwell in the past, do not dream of the future, concentrate the mind on the present moment. -- Buddha
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
amkubalia, kikwete, kungoka, mwanyika


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Nidhamu ya Chama: Kiini cha Kudorora Viongozi wa CCM! Mzee Mwanakijiji Jukwaa la Siasa 94 13th May 2009 01:45 AM
Urithi wa Kikwete na haiba iso sababu Pundit Jukwaa la Siasa 25 27th December 2008 07:42 AM
Miaka miwili Kikwete Ikulu, tumaini lililopotea Bubu Ataka Kusema Jukwaa la Siasa 2 16th December 2007 10:40 PM
Kikwete Relieved As Mkapa Opts Out Nyamgluu Habari na Hoja mchanganyiko 0 14th July 2006 06:43 AM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 10:26 PM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com