| Find/Invite Friends | Register | Calendar | Search | Today's Posts | Mark Forums Read |
| FAQ | Members List | Bongo Flava | Zilipendwa | Taarab | Injili |
|
|
#1 | |||||||||||
|
||||||||||||
|
Views: 2902
|
||||||||||||
|
#2
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Aiii! heading isomeke "...Mapambano ya Askari na Majambazi.."
__________________
Next time satan reminds you of your past; remind him of his future! |
|
#3
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
baada ya tetemeko lililoikumba Arusha kwa karibu wiki nzima sasa, hii nayo inaendeleza shock kwa wakazi wa Arusha.
Ni mara yangu ya kwanza kusikia majambazi na polisi wakiwa katika mapambano ya aina hii. Inasemekana mapolisi wote wako huko, pamoja na kikosi kizima cha FFU, na wanaongezewa nguvu na wanajeshi (kama kweli) wananchi wa eneo hilo wako katika hali mbaya sana kutokana na ndirimo za risasi na mabomu..wengine walifikiri tetemeko limepamba moto..Ama kweli vita dhidi ya ujambazi si lelemama. Kinachokera ni kwamba majambazi hao ni wa kutoka Kenya, ila wana wafadhili Arusha. Jana tu tulisikia tukio jingine la ujambazi huko Mto wa Mbu amabapo majambazi yaliyovalia kininja yalivamia hoteli na kuingia chumba hadi chumba na kuwaibia watalii waliokuwamo. Hii inaleta hofu sio tu kwa wenyeji bali hata kwa watalii..kiasi kwamba kuna wanaosema hhuu unaweza kuwa mpamngo wa kuharibu utalii Tanzania kwa makusudi kwa wenzetu Mungiki..and the EAC muungano is coming.. |
|
#4
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
habari hizi niza kweli zimetufikia kwa sasa tunaongea na polisi kutoka Arusha na waandishi wa habari mapambano nimakali na wanajeshi JWTZ Tank'S wame wasili katika eneo la tukio kwa kazi moja tu imesemekana kuna uwezekano wa kuiweka hiyo nyumba chini kama ikibidi habari hizi ni kutoka kwa wawakilishi wetu katika jeshi la polisi Tanzania, MAMBOMU YANATUMIKA SASA TUNAPO ONGEA,
Tutawaletea habari zaidi ni nini kinacho endelea, |
|
#5
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
At long last majambazi wa Mungiki wameamua kujisalimisha; wametoka nje na kukutana na kikosi kizima cha wapiganaji..Duh!
Cheeers! |
|
#6
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Hivi Polisi wetu hawawezi kukabiliana na majambazi sita mpaka waongezewe nguvu na jeshi? kama nihivyo ni aibu.
|
|
#7
|
|||||||||||||||
|
|||||||||||||||
Kwani hilo jeshi ni la Tanzania ama?
__________________
Abstinence is the only key to no regrets! |
|||||||||||||||
|
#8
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Mi naona wangewamaliza tu na sio kuwakamata, au angalau wangevunja miguu na kuwaachia kilema cha maisha!!!!
__________________
A positive thinker! |
|
#9
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
kazi ipo,pole pole ndio mwendo.ipo siku tutafika
|
|
#10
|
|||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
|||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
..mapambano mengine huwa heavy,sasa,kama mnataka mfanikiwe lazima muwe heavier! ..majambazi si wezi wa kawaida,wanaweza kuwa hata na silaha za kijeshi....sasa hapo fill the gaps!
«
Previous Thread
|
Next Thread
»
Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako! All times are GMT +3. The time now is 10:21 AM.
Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com | |||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||