Stop This Theft At Dar Port - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Jukwaa la Siasa


Jukwaa la Siasa Tanzania & World Politics General Discussion Forum. You need to be registered in order to post your comment(s)


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 18th July 2007, 08:47 AM   #1
Stop This Theft At Dar Port
Ibrah Ibrah is offline 18th July 2007, 08:47 AM

Niliagiza gari kutoka Japan na mwezi huu gari hilo lilifika. Ajabu ni kuwa baada ya kuliofanyia taratibu husika na kukabidhiwa na Wakala wangu nikagundua kuwa kuna baadhi ya vifaa vimenyofolewa!

Kumekuwa na vilio kutoka kwa waingizaji wa magari kuhusiana na wizi unaofanyika pale Bandarini Dar es Salaam mara kwa mara. La kushangaza ni kuwa gari linapoingizwa nchini funguo zote huhifadhiwa na Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA) na huwa chuini ya ulinzi wa TPA wenyewe! Maswali yangu kwa wahusika ni:-

Je, kuna wezi ambao huingia ndani ya Bandari na kuiba vifaa kama radio na button za kufungulia madirisha? Kama wapo, wanapataje funguo na kuweza kuingia ndani ya magari na kuiba?

Wito wangu ni kuwa menejimenti ya TPA ichukue hatua za makusudi kuzuia wizi huu ambao unawatia waagizaji wa magari hasara kubwa kwa muda mrefu sasa. Wizi huu unaondoa credibility yetu kama Watanzania na ni kwa hasara yetu maana baadhi ya nchi zimeamua kupitishia magari yao katika Bandari ya Mombasa. STOP THIS THEFT
__________________
"Then you will know the truth, and the truth will set you free; I am the way, the truth and the life." Jn 8:32; 14:6

 
Ibrah's Avatar
Ibrah
JF Premium Member
Points: 597,104, Level: 100 Points: 597,104, Level: 100 Points: 597,104, Level: 100
Activity: 2% Activity: 2% Activity: 2%
Join Date: Thu Mar 2007
Location: TZ
Posts: 1,263
Thanks: 81
Thanked 80 Times in 48 Posts
Views: 478
Reply With Quote
  #2  
Old 18th July 2007, 08:59 AM
Shy Shy is offline
Shy is yours
Banned
Points: 2,380,404, Level: 100 Points: 2,380,404, Level: 100 Points: 2,380,404, Level: 100
Activity: 9% Activity: 9% Activity: 9%
 
Join Date: Thu Nov 2006
Posts: 4,258
Thanks: 0
Thanked 170 Times in 112 Posts
Rep Power: 0
Shy will become famous soon enoughShy will become famous soon enoughShy will become famous soon enoughShy will become famous soon enoughShy will become famous soon enoughShy will become famous soon enoughShy will become famous soon enoughShy will become famous soon enough
Send a message via Yahoo to Shy
Default

Hi Ibra

Pole Kwa Kuibiwa Lakini Kuna Watu Wa Kusasiliana Nao Ungeenda Wizara Husika Au Kampuni Husika Kisha Ndio Uje Kuandika Kutokana Na Majibu Uliyopewa Hapo Nyuma Halafu Nafikiri Ujumbe Wako Sio Mahala Pake Hapa

Ahsante
Reply With Quote
  #3  
Old 19th July 2007, 05:51 PM
Koba Koba is offline
Koba has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 279,454, Level: 100 Points: 279,454, Level: 100 Points: 279,454, Level: 100
Activity: 13% Activity: 13% Activity: 13%
 
Join Date: Tue Jul 2007
Location: Pasadena California
Posts: 3,262
Thanks: 87
Thanked 100 Times in 68 Posts
Rep Power: 29
Koba will become famous soon enoughKoba will become famous soon enoughKoba will become famous soon enoughKoba will become famous soon enoughKoba will become famous soon enoughKoba will become famous soon enoughKoba will become famous soon enoughKoba will become famous soon enough
Default

...watu inabidi wafanye kazi jamani maana kila corner ni usumbufu tuu posta,wizarani,hospitali,passport etc....kitu kidogo kama hiki Wakuu wa bandari wangeweza kabisa kudhibiti kwa kutumia resouces walizonazo lakini wapi bwana...mambo kama haya ndio yanamwonyesha JK hafanyi kazi kumbe may be mzee wa watu naye anaibiwa tuu kama wengine...anyway kila mtu kuanzia humu jamboforums jitahidini kufanya kazi kwa bidii na bila wizi labda itasaidia
Reply With Quote
  #4  
Old 19th July 2007, 06:54 PM
Katibu Tarafa Katibu Tarafa is offline
Katibu Tarafa a president to be
JF Senior Expert Member
Points: 147,270, Level: 100 Points: 147,270, Level: 100 Points: 147,270, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Fri Feb 2007
Posts: 1,130
Thanks: 1
Thanked 1 Time in 1 Post
Rep Power: 26
Katibu Tarafa will become famous soon enoughKatibu Tarafa will become famous soon enoughKatibu Tarafa will become famous soon enoughKatibu Tarafa will become famous soon enoughKatibu Tarafa will become famous soon enoughKatibu Tarafa will become famous soon enoughKatibu Tarafa will become famous soon enoughKatibu Tarafa will become famous soon enough
Default

sasa kabla ya mshahara mpya nilikuwa nalipwa 65000,ni mimi sina mtoto wala mke.sasa walau 85000,hebu nisaidieni kupanga bajeti.kama sio kufanya part-time bandarini ni nini ?
Reply With Quote
  #5  
Old 19th July 2007, 07:17 PM
Mzalendohalisi Mzalendohalisi is offline
Mzalendohalisi has no status.
JF Premium Member
Points: 430,274, Level: 100 Points: 430,274, Level: 100 Points: 430,274, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Sun Jun 2007
Posts: 3,708
Thanks: 36
Thanked 12 Times in 12 Posts
Rep Power: 30
Mzalendohalisi will become famous soon enoughMzalendohalisi will become famous soon enoughMzalendohalisi will become famous soon enoughMzalendohalisi will become famous soon enoughMzalendohalisi will become famous soon enoughMzalendohalisi will become famous soon enoughMzalendohalisi will become famous soon enoughMzalendohalisi will become famous soon enough
Default

Ibra,
Pole ndugu yangu! Wizi hapo haujaanza leo- hao wanaonekana wana funguo malaya! Hata mimi yalinifika 2003 -walichukua system ya radio/casseti. Tatizo I had limited time kufuatilia- niliripoti TPA kwa maandishi- wakaomba samahani wakasema watafuatilia.
Ni wafanyakazi vibarua humo ndani- kuna jamaa alisema unaweza kutoa pesa kidogo- wakakulindia mtu asitoe kitu!
Mimi nilidhani since then ulinzi huenda umeimarika na huu wizi umepungua- kumbe hasha!
Reply With Quote
  #6  
Old 19th July 2007, 07:35 PM
DAR si LAMU DAR si LAMU is offline
DAR si LAMU has no status.
JF Premium Member
Points: 176,724, Level: 100 Points: 176,724, Level: 100 Points: 176,724, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Sat Mar 2007
Posts: 2,519
Thanks: 0
Thanked 8 Times in 6 Posts
Rep Power: 28
DAR si LAMU will become famous soon enoughDAR si LAMU will become famous soon enoughDAR si LAMU will become famous soon enoughDAR si LAMU will become famous soon enoughDAR si LAMU will become famous soon enoughDAR si LAMU will become famous soon enoughDAR si LAMU will become famous soon enoughDAR si LAMU will become famous soon enough
Default hao vijana....

..wengi wao wanakuwa na vijimifuko fulani,wanasingizia kuwa watia funguo humo[za magari wanayotoa melini]kumbe wevi tu!

..walinzi wangeweza kuwakagua wakati wakitoka kwenye hizo yard,lakini inaonekana wanashirikiana nao!

..mzee,audio sys. kama ya pioneer,kenwood,alpine,n.k....zile kali yaani unawezapata kwa 3k[300,000/=],wakati bei halali ni 1m na kuendelea!

..sasa,ndo maana watu wasiopenda magari yao kuwa-adultrated/tempered with wanapitishia mombasa.

..si ndio maana pale holili magari kibao!,halafu kodi ilikuwa poa!

..kuna watu nawafahamu huko north,walishaacha kutumia dar port long time ago!wao wajua mombasa tu.

..hata baadhi ya jamaa wa dar,nao hupitishia mombasa...ukijumlisha na kodi poa...ambayo nadhani siku hizi haipo!
__________________
Dar na Lamu yote ni miji ya pwani,lakini haifanani!
Reply With Quote
  #7  
Old 19th July 2007, 07:39 PM
DAR si LAMU DAR si LAMU is offline
DAR si LAMU has no status.
JF Premium Member
Points: 176,724, Level: 100 Points: 176,724, Level: 100 Points: 176,724, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Sat Mar 2007
Posts: 2,519
Thanks: 0
Thanked 8 Times in 6 Posts
Rep Power: 28
DAR si LAMU will become famous soon enoughDAR si LAMU will become famous soon enoughDAR si LAMU will become famous soon enoughDAR si LAMU will become famous soon enoughDAR si LAMU will become famous soon enoughDAR si LAMU will become famous soon enoughDAR si LAMU will become famous soon enoughDAR si LAMU will become famous soon enough
Default kweli,kunalipa!

Quote:
View Post
sasa kabla ya mshahara mpya nilikuwa nalipwa 65000,ni mimi sina mtoto wala mke.sasa walau 85000,hebu nisaidieni kupanga bajeti.kama sio kufanya part-time bandarini ni nini ?
...si kama hivyo huo udokozi!kama unapenda kudokoa lakini!
__________________
Dar na Lamu yote ni miji ya pwani,lakini haifanani!
Reply With Quote
  #8  
Old 19th July 2007, 08:05 PM
Mr. Zero Mr. Zero is offline
Mr. Zero has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 278,552, Level: 100 Points: 278,552, Level: 100 Points: 278,552, Level: 100
Activity: 3% Activity: 3% Activity: 3%
 
Join Date: Tue Jun 2007
Posts: 1,271
Thanks: 28
Thanked 70 Times in 51 Posts
Rep Power: 25
Mr. Zero will become famous soon enoughMr. Zero will become famous soon enoughMr. Zero will become famous soon enoughMr. Zero will become famous soon enoughMr. Zero will become famous soon enoughMr. Zero will become famous soon enoughMr. Zero will become famous soon enoughMr. Zero will become famous soon enough
Default

Wangeimprove clearing procedures ingesaidia. Magari yalitakiwa yawe cleared hata kabla hayajafika kwa vile yanakuwa inspected na GCS siku likifika tu unatokanalo. Ndiyo hivyo wenzetu wa bondeni wanavyofanya.
__________________
"Money never made a man happy yet, nor will it. There is nothing in its nature to produce happiness. The more a man has, the more he wants. Instead of filling a vacuum, it makes one" by --Benjamin Franklin-- scientist, inventor, statesman, printer, philosopher, musician and economist
Reply With Quote
  #9  
Old 19th July 2007, 08:07 PM
Ogah Ogah is offline
Ogah is Omnipotent
JF Premium Member
Points: 5,280,770, Level: 100 Points: 5,280,770, Level: 100 Points: 5,280,770, Level: 100
Activity: 13% Activity: 13% Activity: 13%
 
Join Date: Fri Mar 2006
Posts: 3,412
Thanks: 1,392
Thanked 383 Times in 211 Posts
Rep Power: 2031
Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!Ogah is one of most respected JF members!
Default

1.magari pale bandarini huingia kwa idadi atleast 100 to 200. wanaofanya WIZI ni wale madereva wa kukodiwa/wafanyakazi (ambao wengi wao si waaminifu) wa TPA wakati wa kutoa magari melini mpaka kwenye Yard ya TPA. HAPO NDIO KUNA MCHEZO WOTE na ni wizi unafanywa na huyo huyo driver i.e kuchomoa hiyo control system.

2. Kitu Kingine KINACHOKERA ni hiyo UPLIFT ya BEI za MAGARI!!!!! kwa mtindo huo watu wataendelea kuleta magari ya zamani (sorry to our environment + wasio kuwa na uwezo ktk tiba) kwani faini haitishi saaan kulinganisha na kulipia KODI baaada ya ku-UPLIFT BEI.
sijui tunamkomoa nani!! badala ya ku-encourage watu walete magari mazuri (i.e. at least within 5-7 years Old) TRA wanawabana hawa watu kwa kutumia UPLIFT YAO

3. kwa mwendo huu waTanzania wengi hivi sasa ndio maana hupitishia mizigo yao Mombasa.

4. matatizo yaliyopo bandarini yanajulikana sana (which is one step towards solving the problem), na hali imeendelea kuwa hivyo kuwa mbaya siku hadi siku!!! sijui kwa nini hali inaendelea kuwa vile................ooohhh my poor country
Reply With Quote
  #10  
Old 19th July 2007, 09:50 PM
Mwendapole Mwendapole is offline
Mwendapole has no status.
JF Premium Member
Points: 129,289, Level: 100 Points: 129,289, Level: 100 Points: 129,289, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
 
Join Date: Mon Dec 2006
Posts: 653
Thanks: 0
Thanked 1 Time in 1 Post
Rep Power: 25
Mwendapole will become famous soon enoughMwendapole will become famous soon enoughMwendapole will become famous soon enoughMwendapole will become famous soon enoughMwendapole will become famous soon enoughMwendapole will become famous soon enoughMwendapole will become famous soon enoughMwendapole will become famous soon enough
Default

Quote:
View Post
1.magari pale bandarini huingia kwa idadi atleast 100 to 200. wanaofanya WIZI ni wale madereva wa kukodiwa/wafanyakazi (ambao wengi wao si waaminifu) wa TPA wakati wa kutoa magari melini mpaka kwenye Yard ya TPA. HAPO NDIO KUNA MCHEZO WOTE na ni wizi unafanywa na huyo huyo driver i.e kuchomoa hiyo control system.

2. Kitu Kingine KINACHOKERA ni hiyo UPLIFT ya BEI za MAGARI!!!!! kwa mtindo huo watu wataendelea kuleta magari ya zamani (sorry to our environment + wasio kuwa na uwezo ktk tiba) kwani faini haitishi saaan kulinganisha na kulipia KODI baaada ya ku-UPLIFT BEI.
sijui tunamkomoa nani!! badala ya ku-encourage watu walete magari mazuri (i.e. at least within 5-7 years Old) TRA wanawabana hawa watu kwa kutumia UPLIFT YAO

3. kwa mwendo huu waTanzania wengi hivi sasa ndio maana hupitishia mizigo yao Mombasa.

4. matatizo yaliyopo bandarini yanajulikana sana (which is one step towards solving the problem), na hali imeendelea kuwa hivyo kuwa mbaya siku hadi siku!!! sijui kwa nini hali inaendelea kuwa vile................ooohhh my poor country
Naomba kueleweshwa hapa; hii uplift unayozungumzia ni ipi?
Kama naelewa vizuri ukiagiza gari la miaka fulani fulani unalipishwa penalty(sina uhakika ni miaka kuanzia wapi) ninavyojua, the newer the car, the less tax you pay, ili ku-discourage magari 'mazee' Na kuna magari ya miaka ya nyuma zaidi ambayo hayaruhusiwi kabisa; am I right?
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
dar, port, stop, theft


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
JF Search: Where is Godfrey Mwakikagile? Josh Michael Celebrities Forum 81 26th February 2010 09:33 AM
Mradi wa mabasi yaendayo kasi Dar Mgumu Jukwaa la Siasa 30 11th February 2010 03:04 PM
Revealed - Ticks Contract Was to Cost Govt Sh1 Trillion MaxShimba Business & Economic Forum 0 11th October 2009 11:36 PM
Barabara za juu kuja Dar! Kulikoni Jukwaa la Siasa 91 2nd September 2009 02:02 PM
$25m at stake over Dar water contract Bubu Ataka Kusema Habari na Hoja mchanganyiko 0 16th April 2007 04:17 AM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 04:52 AM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com