Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Serikali inamfahamu huyu mchonganishi?

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 44
    1. #1
      kipuyo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 30th July 2009
      Posts : 237
      Rep Power : 547
      Likes Received
      74
      Likes Given
      74

      Default Serikali inamfahamu huyu mchonganishi?


    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      kisima jongoo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th January 2013
      Posts : 36
      Rep Power : 327
      Likes Received
      4
      Likes Given
      6

      Default Re: Serikali inamfahamu huyu mchonganishi?

      Ni malalamiko na kulialia tu mwanzo mwisho. Kweli elimu ni muhimu watanzania wenzangu, tuwekeze zaidi katika elimu ili basi kama sisi tumechelewa basi watoto wetu wasikose tulichokosa sisi. Huyo ----- hana jipya ni malalamiko ambayo yamezoeleka lakini yote msingi wake ni uduni wa elimu ya mhusika pamoja na wafuasi wake.

      Quote By kipuyo

    4. #3
      paulk's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th March 2009
      Posts : 235
      Rep Power : 567
      Likes Received
      2
      Likes Given
      5

      Default Re: Serikali inamfahamu huyu mchonganishi?

      anafahamika ni sheikh ilunga, au kumfaham ki vp?

    5. #4
      Deshmo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th December 2012
      Posts : 1,010
      Rep Power : 525
      Likes Received
      121
      Likes Given
      193

      Default Re: Serikali inamfahamu huyu mchonganishi?

      Ndiyo 3% Hapana 6% Sijui 91%

    6. #5
      IGWE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Location : Blue Plaza Building-Arusha
      Posts : 5,094
      Rep Power : 3260
      Likes Received
      1246
      Likes Given
      1196

      Default Re: Serikali inamfahamu huyu mchonganishi?

      Quote By kipuyo
      serikali ndio iliyomtuma mkuu,,.....
      "We should learn to help others,not only in our prayer but also in daily life,if we cannot help them_then,the least thing we can do is to desist from harming them"

    7. Miaka 50

    8. #6
      Mpita Njia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd March 2008
      Posts : 6,703
      Rep Power : 3255
      Likes Received
      984
      Likes Given
      754

      Default Re: Serikali inamfahamu huyu mchonganishi?

      Ni ajabu kuwa katika siku za hivi karibuni kumekuwa na mambo mengi yanayoashiria uchochezi lakini serikali imeihsia kutoa matamko ya kuwataka watu wanaofanya hivyo waache. Utadhani kuwa hatuna sheria zinazokataza mambo hayo. Kwa nini serikali inashindwa kuwachukulkia watu kama hawa na taasisi hatua kali kwani wanavunja sheria za nchi?
      Ndahani and Mafie PM like this.
      I assume full responsibility for my actions, except the ones that are someone else's fault.

    9. #7
      salmar's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th October 2012
      Posts : 306
      Rep Power : 393
      Likes Received
      80
      Likes Given
      0

      Default Re: Serikali inamfahamu huyu mchonganishi?

      Ni kama padri alipoilalamikia serikali ooo kusiwe na mahkama ya kadhi wala waislamu wasipate haki ya kujiunga na oic cuz u...o utakufa

    10. #8
      kikilo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 13th January 2013
      Posts : 33
      Rep Power : 325
      Likes Received
      9
      Likes Given
      5

      Default Re: Serikali inamfahamu huyu mchonganishi?

      Huyu kwanini mpaka sasa yupo nje hajaungana na ponda na wale wanauamsho kweli mahakamani.
      Kidatu likes this.

    11. #9
      Nyalotsi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2011
      Posts : 2,653
      Rep Power : 927
      Likes Received
      587
      Likes Given
      83

      Default

      Quote By mchongo
      anafahamika ni sheikh ilunga, au kumfaham ki vp?
      most of these are psychiatric patients. Take note of my words! Angekuja mtu wa psychiatry mnh angetuthibitishia ni clients wazuri tu wa pale. Lakini hawa jamaa zetu ndo wanaowaamini na ndo wanaowashawishi wafanye fujo.

    12. #10
      Ulukolokwitanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th September 2010
      Location : ndzengelendete
      Posts : 2,588
      Rep Power : 1069
      Likes Received
      1428
      Likes Given
      259

      Default Re: Serikali inamfahamu huyu mchonganishi?

      Kanifurahisha sana alipoifananisha Zanzibar na MBWA...

      Hivi Nyerere alidanganywa na nani kutuunganisha na hawa watu Ustaadh anaowaita MBWA???

    13. #11
      kipuyo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 30th July 2009
      Posts : 237
      Rep Power : 547
      Likes Received
      74
      Likes Given
      74

      Default Re: Serikali inamfahamu huyu mchonganishi?

      Quote By mchongo
      anafahamika ni sheikh ilunga, au kumfaham ki vp?
      Kwa uchonganishi anaoufanya.Anawachonganisha watu wa bara na wa visiwani kwa kuwaambia wazanzibari kuwa wizara ya ulinzi ipo kwenye mambo ya muungano ili wanajeshi wa bara waletwe zanzibar kulinda mfumo kristo na si kuwalinda wazanzibari.Hataki hata kusikia kuwa watu kutoka musoma wanakwenda kule wakiwa wanajeshi

    14. #12
      Izack Mwanahapa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st April 2011
      Location : Mwanza
      Posts : 314
      Rep Power : 472
      Likes Received
      129
      Likes Given
      94

      Default Re: Serikali inamfahamu huyu mchonganishi?

      Mhhh!! hii ni atari.
      Simplicity is the key to brilliance.

    15. #13
      MNYISANZU's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,311
      Rep Power : 0
      Likes Received
      592
      Likes Given
      76

      Default Re: Serikali inamfahamu huyu mchonganishi?

      Matunda ya JK haya

    16. #14
      Mthuya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2011
      Posts : 1,012
      Rep Power : 605
      Likes Received
      110
      Likes Given
      4

      Default Re: Serikali inamfahamu huyu mchonganishi?

      Serekali hovyohovyo

    17. #15
      Mvaa Tai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2009
      Location : Ngudu, Mwanza
      Posts : 3,448
      Rep Power : 1187
      Likes Received
      1424
      Likes Given
      929

      Default Re: Serikali inamfahamu huyu mchonganishi?

      Namshukuru Mungu kwa kunifanya niwe na uwezo mzuri wa kufikiri na kuzaliwa bara, vinginevyo ningeweza kuzaliwa upande wa pili alafu nikawa ni mmoja wa watu wanaingizwa chaka na vilaza aina hii
      Mnang'oa meno ya Tembo ili mukayauze, mnang'oa meno na Kucha za Watanzania wasio na hatia ili iweje?

    18. #16
      Bubu Msemaovyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th May 2007
      Location : All around the World
      Posts : 2,059
      Rep Power : 1751
      Likes Received
      757
      Likes Given
      768

      Default Re: Serikali inamfahamu huyu mchonganishi?

      Quote By IGWE
      serikali ndio iliyomtuma mkuu,,.....
      While saying "Inshaallah at least do not sit down waiting for Inshaallah, try doing something and of course trying doing so that is the really Inshaallah. Masikini unalalamika mpaka wanao wanaanza kulia wakidhani baba yao unalia.
      Bigirita likes this.
      "If you talk to a man in a language he understands, that goes to his head. If you talk to him in his language, that goes to his heart." Nelson Mandela

    19. #17
      Mr.Mak's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd February 2011
      Posts : 1,148
      Rep Power : 651
      Likes Received
      156
      Likes Given
      84

      Default Re: Serikali inamfahamu huyu mchonganishi?

      Quote By Mpita Njia
      Ni ajabu kuwa katika siku za hivi karibuni kumekuwa na mambo mengi yanayoashiria uchochezi lakini serikali imeihsia kutoa matamko ya kuwataka watu wanaofanya hivyo waache. Utadhani kuwa hatuna sheria zinazokataza mambo hayo. Kwa nini serikali inashindwa kuwachukulkia watu kama hawa na taasisi hatua kali kwani wanavunja sheria za nchi?
      mkuu usiangalie ulipoangukia ebu tafuta wapi umejikwaa? Amani haiwezi kudumu sehemu palipo nadhuruma. Ebu tukemee dhuruma tuone kama hali hii itakuwepo. utulivu huu uliopo tuuenzi kwa kusikilzana na kutendeana haki

    20. #18
      Mr.Mak's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd February 2011
      Posts : 1,148
      Rep Power : 651
      Likes Received
      156
      Likes Given
      84

      Default Re: Serikali inamfahamu huyu mchonganishi?

      Quote By kisima jongoo
      Ni malalamiko na kulialia tu mwanzo mwisho. Kweli elimu ni muhimu watanzania wenzangu, tuwekeze zaidi katika elimu ili basi kama sisi tumechelewa basi watoto wetu wasikose tulichokosa sisi. Huyo ----- hana jipya ni malalamiko ambayo yamezoeleka lakini yote msingi wake ni uduni wa elimu ya mhusika pamoja na wafuasi wake.
      we msmi kama una hoja siujibu hayo aliyozungumza, ebu yakanushe kwa hoja na darili kama alivyofanya. mbona nyie mnakuwa wa ajabu kwa kutokuwa tayari kusikiliz hoa zinazotlewa na wengine? hyo ndiyo lvel yen ya usomi?
      faby likes this.

    21. #19
      Kitoabu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th November 2012
      Posts : 1,516
      Rep Power : 594
      Likes Received
      229
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By kipuyo
      Mkuu tafuta kazi ya kufanya, ama kama hujui unacho sema uliza kwanza uwambiwe sio una kurupuka. kwafaida yako na wengine ( kama wewe ) Huyo ni mwana harakati a.k.a mpiga mfumo nyanyasaji ( mfumo kristo ) kaw waislamu. Kaziyake sio kuchochea/ kuchonganisha kama unavyo taka watu waamini, kama kazi yake ingekua ni hiyo ( kuchonganisha ) sasa hivi unge muona mahakamani, Ukitaka kumjua mchonganishi ktk Taifa hili tafuta kitabu cha Jan P.van Bergen, Development and Religion, utapata kumjua mchonganishi wa Taifahili
      faby and kichwa mbovu like this.

    22. #20
      kipuyo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 30th July 2009
      Posts : 237
      Rep Power : 547
      Likes Received
      74
      Likes Given
      74

      Default Re: Serikali inamfahamu huyu mchonganishi?

      Quote By Kitoabu
      Mkuu tafuta kazi ya kufanya, ama kama hujui unacho sema uliza kwanza uwambiwe sio una kurupuka. kwafaida yako na wengine ( kama wewe ) Huyo ni mwana harakati a.k.a mpiga mfumo nyanyasaji ( mfumo kristo ) kaw waislamu. Kaziyake sio kuchochea/ kuchonganisha kama unavyo taka watu waamini, kama kazi yake ingekua ni hiyo ( kuchonganisha ) sasa hivi unge muona mahakamani, Ukitaka kumjua mchonganishi ktk Taifa hili tafuta kitabu cha Jan P.van Bergen, Development and Religion, utapata kumjua mchonganishi wa Taifahili
      kwa kuwa wewe ndo wale wale anaowadanganya huwezi ukaona kama ni mchochezi.Karibu kila neno litokalo mdomoni mwa huyu jamaa yako ni uchonganishi mtupu

      Anasema kama si muungano zanzibar ingekuwa kama Dubai
      anasema wanajeshi waliopo zanzibar kutoka bara hawako kwa maslahi ya wazanzibar ila kwa maslahi ya wabara
      anasema miaka ya 1992 watoto wa zanzibar wote walikuwa na hela siku hizi hakuna kwa sababu ya wabara
      je huu si uchonganishi?

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...