Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: JF Exclusive: Wawindaji tuliowauzia wanyama wetu tukichekelea!

    Report Post
    Page 7 of 8 FirstFirst ... 5678 LastLast
    Results 121 to 140 of 150
    1. #1
      Invisible's Avatar
      Robot Array
      Join Date : 11th February 2006
      Location : Here...!
      Posts : 9,329
      Rep Power : 100000
      Likes Received
      4985
      Likes Given
      5766

      Default JF Exclusive: Wawindaji tuliowauzia wanyama wetu tukichekelea!

      Sijui kama mnanisoma....!








      Ficha Upumbavu wako; Usiifiche Hekima yako!
      24/7 Email SUPPORT: [email protected]


    2. Miaka 50

    3. #121
      chipanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th September 2010
      Posts : 271
      Rep Power : 494
      Likes Received
      39
      Likes Given
      30

      Default

      Quote By HosannaTech
      kama kweli tuna serikali, ifanye hivihivi kwenye mafuta yao ili bei ishuke! <br />
      Ndege ya JWTZ ikafyonze mafuta kiulaini hivi tuone!
      <br />
      <br />
      Ndege ya JWTZ iko busy kubeba watu kama Freeman Aikaeli Mbowe kwenda Arusha mahakamani, iko busy sana.

    4. #122
      Josh Michael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2009
      Location : Kibandani
      Posts : 2,503
      Rep Power : 1007
      Likes Received
      50
      Likes Given
      348

      Default Re: JF Exclusive: Wawindaji tuliowauzia wanyama wetu tukichekelea!

      Kuna haja ya kuona hata serikali yenyewe imeshiriki katika kuvunja katiba ya Jamuhuri wa Muungano wa Tanzania kwa kuuza rasilimali za Nchi tena Wizara so kuna ulazima wa Waziri kujiuzuru na kuona kuwa Taifa wanyama wote wanarudi na pengine rais atuwambie wanyama wetu wapo wapi kwa sasa tunataka warudi katika tifa letu Tanzania!! =
      Those who are too smart to engage in politics are punished by being governed by those who are dumber. ~Plato:D

    5. #123
      Hakikwanza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th December 2010
      Posts : 1,108
      Rep Power : 2653
      Likes Received
      147
      Likes Given
      18

      Default Re: JF Exclusive: Wawindaji tuliowauzia wanyama wetu tukichekelea!

      Tz is a black country,believe or not.

    6. #124
      Chakaza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2007
      Location : everywhere
      Posts : 3,559
      Rep Power : 1477
      Likes Received
      893
      Likes Given
      530

      Default Re: JF Exclusive: Wawindaji tuliowauzia wanyama wetu tukichekelea!

      Niko mbele ya keyboard lakini nimekosa cha kuchangia kwa hasira.
      Hatutajua chochote iwapo hatutahoji na kudadisi

    7. Omr
      #125
      Omr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th November 2008
      Location : maswa
      Posts : 1,162
      Rep Power : 768
      Likes Received
      89
      Likes Given
      51

      Default Re: JF Exclusive: Wawindaji tuliowauzia wanyama wetu tukichekelea!

      Acheni wivu nyie wapuuzi, matusi kibao bila mpango, hao wameingia kihalali na wamewinda kihalali, nyie mnakwenda Dubai kununua vikopo vyenu wao wanakuja TZ kula nyama pori hivyo ndio Dunia inavyokwenda. Sio lazima kila anaekuja TZ awekeze.

      Leteni picha ya jamaa ameua Tembo au Twiga ndio tujadili lasivyo hakuna mada hapa. Mimi naona hiyo Lexus ndio imewatoa roho, si unajua tena wabongo tukiona mtu mwenye kizuri lazima tumyee.
      Silencer likes this.

    8. RukaaJuu Final

    9. #126
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,518
      Rep Power : 46714
      Likes Received
      16433
      Likes Given
      8467

      Default Re: JF Exclusive: Wawindaji tuliowauzia wanyama wetu tukichekelea!

      Quote By Omr
      Acheni wivu nyie wapuuzi, matusi kibao bila mpango, hao wameingia kihalali na wamewinda kihalali, nyie mnakwenda Dubai kununua vikopo vyenu wao wanakuja TZ kula nyama pori hivyo ndio Dunia inavyokwenda. Sio lazima kila anaekuja TZ awekeze.

      Leteni picha ya jamaa ameua Tembo au Twiga ndio tujadili lasivyo hakuna mada hapa. Mimi naona hiyo Lexus ndio imewatoa roho, si unajua tena wabongo tukiona mtu mwenye kizuri lazima tumyee.
      Kwa ajili yako tu labda utaweza kuchangia sasa:







      Jasusi, Tutafika and VIKWAZO like this.
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    10. Omr
      #127
      Omr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th November 2008
      Location : maswa
      Posts : 1,162
      Rep Power : 768
      Likes Received
      89
      Likes Given
      51

      Default Re: JF Exclusive: Wawindaji tuliowauzia wanyama wetu tukichekelea!

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Kwa ajili yako tu labda utaweza kuchangia sasa:







      Mbona hawa jamaa hawajavaa vilemba, leta picha ya hao jamaa wa Dubai wakiangusha tembo au simba. Hilo ndio swali langu

    11. #128
      Jethro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd March 2009
      Posts : 1,961
      Rep Power : 923
      Likes Received
      207
      Likes Given
      0

      Default Re: JF Exclusive: Wawindaji tuliowauzia wanyama wetu tukichekelea!

      Quote By Omr
      Mbona hawa jamaa hawajavaa vilemba, leta picha ya hao jamaa wa Dubai wakiangusha tembo au simba. Hilo ndio swali langu

      My Take:


      Wawe wameangusha hawaja angusha mnyama fulani ilimradi wamewinda wanyama wetu wote lao ni mmoja wanatuhujumu kwa mali zetu. Hebu jiulizeni leo Hizi mbuga zingekuwa huko nchini kwao Sisi ngozi Nyeusi tunge thubutu kwenda kulaghai nchi zao kama wao wanavyo jitawala hapa kwetu??

      Upuuzi tunao ufanya sisi nchini kwao hatuwezi kuufanya iweje wao wajipe raha tuuuuuu????

      Nchi za wenzetu ukimnyanysa Mnyama yeyote tuu ni issue kuwinda kibari kwao hutoka bila kona kona huku kwetu ni kona kona nyingi sasa huwa sielewi hizo nazo huwani muhuri mwekundu ati Confidential Document ????

    12. #129
      The Mockingjay's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2011
      Location : District 13, Panem
      Posts : 380
      Rep Power : 500
      Likes Received
      105
      Likes Given
      14

      Default Re: JF Exclusive: Wawindaji tuliowauzia wanyama wetu tukichekelea!

      Invisible na wakuu wengine, salaams.<br />
      <br />
      It might be important to elaborate what exactly is happening with legal hunting in Tanzania.<br />
      The guys on the pictures have hunting blocks. How they got the blocks I don't know. But their block is legal just like other hunting blocks owned by many Tanzanians.<br />
      Hunting is one of utalii mkubwa sana nchini kwetu and very controlled. (What happened to Qatar illegal abduction and exportation of our animals should not tarnish the legal hunting tourism industry).<br />
      These hunting blocks are outside the national parks. It is illegal to hunt within the National Parks boundaries.<br />
      Additionally, if you understand the animal kingdom, especially Swala, Simba and the sorts, they have Harlems. Meaning, in a group of 20 females or so, there would be one male who dominates them and breeds with them until the stronger guy comes and over throw him. Therefore, only male animals are allowed to be hunted (because the other 19 males are just there with other males, wangekuwa humans labda wangekuwa gay or something :-) they are not able to reproduce with other males na kazi iloyobakia ni kukimbiza na kula pundamilia. It is illegal to hunt a female animal hata ikiwa nje ya national parks. This helps controlling the population.<br />
      Last but not least, each block is assigned how many animals they can hunt in a season. It is not a free spree of unlimited hunting.<br />
      <br />
      By the way, mie sio mwindaji wala sipendi hunting. <br />
      But kama mnataka watu wasiwinde, itabidi hunting iwe declared illegal. Then jamaa wataenda Mozambique na Botswana. Huko pia wana ruhusu legal hunting.

    13. #130
      The Mockingjay's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2011
      Location : District 13, Panem
      Posts : 380
      Rep Power : 500
      Likes Received
      105
      Likes Given
      14

      Default

      Quote By Omr
      Mbona hawa jamaa hawajavaa vilemba, leta picha ya hao jamaa wa Dubai wakiangusha tembo au simba. Hilo ndio swali langu
      <br />
      <br />

      Omr, wewe kumbe shida yako ni vilemba or not vilemba.

      Shame!

    14. #131
      habiba issah's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 29th June 2011
      Posts : 2
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: JF Exclusive: Wawindaji tuliowauzia wanyama wetu tukichekelea!

      huu uroho wa fedha na ubinafsi wa tanzania wenzetu utatumaliza jamani kizazi kijacho kitatuhukumu vibaya baada ya nchi yetu kubaki magofu tu ya madini na mbuga za wanyama please our leaders its time to change

    15. #132
      habiba issah's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 29th June 2011
      Posts : 2
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: JF Exclusive: Wawindaji tuliowauzia wanyama wetu tukichekelea!

      stop selfishness nyinyi mliopewa dhamana hii !

    16. #133
      Hute's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 1,410
      Rep Power : 713
      Likes Received
      354
      Likes Given
      23

      Default Re: JF Exclusive: Wawindaji tuliowauzia wanyama wetu tukichekelea!

      hawa waarabu magaidi watu wa kujilipua hawana maana wamelaaniwa hawa sijui wanakuja kutafuta nini hapa kwetu zaidi ya kuleta majini ya kufuga na kufundisha au kutafuta network za kigaidi tu hapa...ndio maana wamarekani wanawa....nyuma.....masifuri wanaojifanya wana hela kumbe kichwani mambumbumbu hawana hata akili zote zimechukuliwa na mashetani.....hii si mbuga ya loliondo ambayo Mwinyi ndo aliuza au ni ingine, na hilo sakata la msekwa ndo likoje jamani mtusaidie...
      Kama huna meno,usile bisi, kula Bwimbwi yaani kimbugi. Uongozi ukikushinda waachie wanaoweza!

    17. #134
      Hute's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 1,410
      Rep Power : 713
      Likes Received
      354
      Likes Given
      23

      Default Re: JF Exclusive: Wawindaji tuliowauzia wanyama wetu tukichekelea!

      Quote By Omr
      Mbona hawa jamaa hawajavaa vilemba, leta picha ya hao jamaa wa Dubai wakiangusha tembo au simba. Hilo ndio swali langu
      hao jamaa wenye vilemba wamekulamba wapi hadi unajitongozesha na kuwatetea kiasi hicho mzee, hebu tuambie wamekupa nini hadi uwe addicted nao kiasi hicho? shame on you unayejali tu vilemba, udini umekujaa, hapa hatuongelei vilemba tu mzee.
      Kama huna meno,usile bisi, kula Bwimbwi yaani kimbugi. Uongozi ukikushinda waachie wanaoweza!

    18. #135
      Tutafika's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2009
      Posts : 723
      Rep Power : 630
      Likes Received
      215
      Likes Given
      164

      Default Re: JF Exclusive: Wawindaji tuliowauzia wanyama wetu tukichekelea!

      Mama weee!, haya ndio matunda ya miche aliyopanda mzee Mwinyi. 1995 mlipoambiwa mwinyi ameuza ngorongoro mliona Mrema mzushi!, huu ni mwendelezo tu. Kupambana na mafisadi na wahujumu uchumi tuanze na Mwinyi
      Jasusi likes this.

    19. #136
      Mupirocin's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th January 2011
      Location : Tanzania
      Posts : 1,562
      Rep Power : 806
      Likes Received
      523
      Likes Given
      408

      Default Re: JF Exclusive: Wawindaji tuliowauzia wanyama wetu tukichekelea!

      Thanks invisible

    20. #137
      MANGI MASTA's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th July 2011
      Location : morogoro
      Posts : 174
      Rep Power : 432
      Likes Received
      56
      Likes Given
      4

      Default Re: JF Exclusive: Wawindaji tuliowauzia wanyama wetu tukichekelea!

      U know what!the govt is too weak to handle these guys.Bora tuunde vikundi vya wanavjiji ili tuwafanyie ambush na kuwawinda mpaka kuwaua kama wanavyofanya kwa wanyama wetu.

    21. #138
      Tutafika's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2009
      Posts : 723
      Rep Power : 630
      Likes Received
      215
      Likes Given
      164

      Default Re: JF Exclusive: Wawindaji tuliowauzia wanyama wetu tukichekelea!

      Quote By The Mockingjay
      Invisible na wakuu wengine, salaams.<br />
      <br />
      It might be important to elaborate what exactly is happening with legal hunting in Tanzania.<br />
      The guys on the pictures have hunting blocks. How they got the blocks I don't know. But their block is legal just like other hunting blocks owned by many Tanzanians.<br />
      Hunting is one of utalii mkubwa sana nchini kwetu and very controlled. (What happened to Qatar illegal abduction and exportation of our animals should not tarnish the legal hunting tourism industry).<br />
      These hunting blocks are outside the national parks. It is illegal to hunt within the National Parks boundaries.<br />
      Additionally, if you understand the animal kingdom, especially Swala, Simba and the sorts, they have Harlems. Meaning, in a group of 20 females or so, there would be one male who dominates them and breeds with them until the stronger guy comes and over throw him. Therefore, only male animals are allowed to be hunted (because the other 19 males are just there with other males, wangekuwa humans labda wangekuwa gay or something :-) they are not able to reproduce with other males na kazi iloyobakia ni kukimbiza na kula pundamilia. It is illegal to hunt a female animal hata ikiwa nje ya national parks. This helps controlling the population.<br />
      Last but not least, each block is assigned how many animals they can hunt in a season. It is not a free spree of unlimited hunting.<br />
      <br />
      By the way, mie sio mwindaji wala sipendi hunting. <br />
      But kama mnataka watu wasiwinde, itabidi hunting iwe declared illegal. Then jamaa wataenda Mozambique na Botswana. Huko pia wana ruhusu legal hunting.
      Who verifies the animals killed?, the number and sex?, hapo kwenye bold, hilo ndio la muhimu. huko serengeti ukiua hata mnyama aliekukuta nyumbani kwako ni illegal, iweje hao waarabu? kwa kifupi wananchi hawafaidiki nao so, bora waondoke waache wanyama wale wanyama wenzao
      Jasusi likes this.

    22. #139
      VIKWAZO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2011
      Location : Ukonga (uk)
      Posts : 1,603
      Rep Power : 743
      Likes Received
      457
      Likes Given
      397

      Default Re: JF Exclusive: Wawindaji tuliowauzia wanyama wetu tukichekelea!

      Quote By Omr
      Mbona hawa jamaa hawajavaa vilemba, leta picha ya hao jamaa wa Dubai wakiangusha tembo au simba. Hilo ndio swali langu
      wewe utakuwa mke wa mwaraabu umeomba picha umewekewa sasa unataka nini zaidi? kuwa mzalendo bana Taarifa ziko wazi kuna ndege ya jeshi ilitua KIA na kukusanya wanyama wakiwemo TWIGA ambao ni nembo ya TAIFA sasa watu wakae muda wote kutafuta jinsi kuku comfort wewe
      sasa kama sio kweli na ni wivu kama unavyodai wewe ina maana WAZIRI MAIGE naye ana wivu (kwa kumsimamisha kazi mkurugenzi wa uwindaji) na hao jamaa? kama ana wivu si angewanyima vibari?
      ----> nchi yetu ni ya vimemo

    23. #140
      The Mockingjay's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2011
      Location : District 13, Panem
      Posts : 380
      Rep Power : 500
      Likes Received
      105
      Likes Given
      14

      Default

      Quote By Tutafika
      Who verifies the animals killed?, the number and sex?, hapo kwenye bold, hilo ndio la muhimu. huko serengeti ukiua hata mnyama aliekukuta nyumbani kwako ni illegal, iweje hao waarabu? kwa kifupi wananchi hawafaidiki nao so, bora waondoke waache wanyama wale wanyama wenzao
      <br />
      <br />

      Tutafika,

      The hunting is very regulated. The professional hunter guide can tell the sex of an animal.
      And you are correct, you cannot kill an animal in Serengeti or within any TANAPA or Ngorongoro parks. You can only do it in assigned hunting blocks.
      Loliondo appears to be the most known due to media attention, but kuna zingine zipo Maswa in Shinyanga, Tabora, Malagalasi in Kigoma, etc.
      Zakhia Meghji aligawa nyingi sana wakati ni waziri wa utalii na maliasili.

    Page 7 of 8 FirstFirst ... 5678 LastLast

    Similar Topics

    1. Wale wanyama wetu waliopelekwa uarabun vip wamerudishwa?
      By Money stunna in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 1
      Last Post: 12th December 2011, 23:43
    2. Wanyama wetu wamerudishwa au hadi bunge lianze
      By luckman in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 2
      Last Post: 11th October 2011, 17:01
    3. Replies: 3
      Last Post: 19th August 2011, 15:58
    4. Wawindaji na nyati.
      By Jaguar in forum Jokes/Utani + Udaku/Gossips
      Replies: 2
      Last Post: 23rd April 2011, 11:39

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...