Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Viongozi wengine wa Uamsho Mbaroni leo Zanzibar

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 59
    1. #1
      Mwana Mpotevu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th September 2011
      Posts : 1,972
      Rep Power : 856
      Likes Received
      908
      Likes Given
      878

      Default Viongozi wengine wa Uamsho Mbaroni leo Zanzibar

      Wana JF

      Polisi Zanzibar leo imewatia mbaroni Katibu wa Jumuiya ya uamsho Sheikh Abdallah Madawa na Sheikh Fikirini Majaliwa.

      Viongozi hao wamekamatwa maeneo ya Mwanakwerekwe walipokua wamekwenda kusikiliza kesi ya Uchochezi inayowakabili Sheikh Farid na wenzie. Polisi hawajasema sababu ya kuwatia mbaroni viongozi hao.

      Hata hivyo tukio hilo limekuja siku mbili baada ya Padri mmoja kupigwa risasi na watu wasiojulikana huku Zanzibar na Polisi ikiahidi kuwasaka waliotenda kitendo hicho
      Don't break the LAW, just Bend It!

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      NATA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2007
      Posts : 4,255
      Rep Power : 8416
      Likes Received
      1133
      Likes Given
      390

      Default Re: Viongozi wengine wa Uamsho Mbaroni leo Zanzibar

      Jamani haya mambo ya kikatiri sana mara wanawamwagia tindikali wenzao , mara lisasi kwa padri hivi hawa watu wanaroho gani?

    4. #3
      Mwana Mpotevu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th September 2011
      Posts : 1,972
      Rep Power : 856
      Likes Received
      908
      Likes Given
      878

      Default Re: Viongozi wengine wa Uamsho Mbaroni leo Zanzibar

      Quote By NATA
      Jamani haya mambo ya kikatiri sana mara wanawamwagia tindikali wenzao , mara lisasi kwa padri hivi hawa watu wanaroho gani?
      si unajua kila shetwani ana mbuyu wake
      Don't break the LAW, just Bend It!

    5. #4
      Nyenyere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 1,866
      Rep Power : 0
      Likes Received
      485
      Likes Given
      689

      Default Re: Viongozi wengine wa Uamsho Mbaroni leo Zanzibar

      Mi nadhani shehe Ilunga ni hatari kuliko Faridi na Joyce Banda combined.
      kyumana likes this.

    6. #5
      Globu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th January 2011
      Location : Giningi
      Posts : 4,861
      Rep Power : 3306
      Likes Received
      539
      Likes Given
      30

      Default Re: Viongozi wengine wa Uamsho Mbaroni leo Zanzibar

      Uonevu tu, na ukiukwaji wa haki za binadamu. Ndicho kinachoendelea ZNZ. Jee nani anaemiliki silaha za moto ZNZ kama sio vyombo vya usalama vyenyewe? Tafakari.

    7. Miaka 50

    8. #6
      TUKUTUKU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2010
      Location : KIPALAPALA TU
      Posts : 8,363
      Rep Power : 2113
      Likes Received
      1728
      Likes Given
      675

      Default Re: Viongozi wengine wa Uamsho Mbaroni leo Zanzibar

      Quote By Globu
      Uonevu tu, na ukiukwaji wa haki za binadamu. Ndicho kinachoendelea ZNZ. Jee nani anaemiliki silaha za moto ZNZ kama sio vyombo vya usalama vyenyewe? Tafakari.
      Hakuna cha uonezi,hata watu binafsi wanamiliki silaha isivyo halali!
      Masumbuko r bilali likes this.
      "A friend in need,is a friend indeed"

    9. #7
      saimon111's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th April 2012
      Posts : 157
      Rep Power : 390
      Likes Received
      22
      Likes Given
      225

      Default Re: Viongozi wengine wa Uamsho Mbaroni leo Zanzibar

      Udhaifu wa serikali ya mdhaifu
      a wise man always think twice b4 action

    10. #8
      Mwana Mpotevu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th September 2011
      Posts : 1,972
      Rep Power : 856
      Likes Received
      908
      Likes Given
      878

      Default Re: Viongozi wengine wa Uamsho Mbaroni leo Zanzibar

      Quote By Nyenyere
      Mi nadhani shehe Ilunga ni hatari kuliko Faridi na Joyce Banda combined.
      Shehe Ilunga ndio yupi huyo mkuu?
      Don't break the LAW, just Bend It!

    11. #9
      Globu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th January 2011
      Location : Giningi
      Posts : 4,861
      Rep Power : 3306
      Likes Received
      539
      Likes Given
      30

      Default

      Quote By TUKUTUKU
      Hakuna cha uonezi,hata watu binafsi wanamiliki silaha isivyo halali!
      Kwa ZNZ ni marufuku kumiliki silaha za moto.

    12. #10
      TUKUTUKU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2010
      Location : KIPALAPALA TU
      Posts : 8,363
      Rep Power : 2113
      Likes Received
      1728
      Likes Given
      675

      Default Re: Viongozi wengine wa Uamsho Mbaroni leo Zanzibar

      Quote By Globu
      Kwa ZNZ ni marufuku kumiliki silaha za moto.
      Wanamiliki isivyo halali!Unataka kuniambia Zanziba hakuna majambazi wanaomiliki silaha isivyo halali?
      "A friend in need,is a friend indeed"

    13. #11
      Nyenyere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 1,866
      Rep Power : 0
      Likes Received
      485
      Likes Given
      689

      Default Re: Viongozi wengine wa Uamsho Mbaroni leo Zanzibar

      Quote By Mwana Mpotevu
      Shehe Ilunga ndio yupi huyo mkuu?
      Cheki hii kitu hapa halafu amua mwenyewe.

      The glory of Christianity is to conquer by forgiveness - William Blake

    14. #12
      Tukundane's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2012
      Posts : 868
      Rep Power : 804
      Likes Received
      130
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By TUKUTUKU
      Hakuna cha uonezi,hata watu binafsi wanamiliki silaha isivyo halali!
      pia wapo wanaozimiliki kihalali ila wanaweza kuzitumia isivyo.

    15. #13
      pambanua's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 6th December 2012
      Posts : 26
      Rep Power : 0
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default Re: Viongozi wengine wa Uamsho Mbaroni leo Zanzibar

      mfumo wa kikafiri unaendelea kutekeleza mambo yake, hao mashehe wapi na wapi na mauaji ya padiri, mi nazani Wazanzibari imefika wakati watangaze jihadi manake inahusu nini majambazi yafanye uhalifu wakamatwe watu kutokana na shinikizo la wakatoliki?

      tangazeni jihadi hao wakatoliki warudi huku bara mikoani kwao kwani lazima wakatekeleze ukafiri wao kule si warudi dodoma na kwengineko wakajenge hayo makanisa ya kikatoliki waabudu huo msalaba wao.

    16. #14
      TUKUTUKU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2010
      Location : KIPALAPALA TU
      Posts : 8,363
      Rep Power : 2113
      Likes Received
      1728
      Likes Given
      675

      Default Re: Viongozi wengine wa Uamsho Mbaroni leo Zanzibar

      Quote By Mwana Mpotevu
      Shehe Ilunga ndio yupi huyo mkuu?
      Huyu ni gaidi anayeamasisha waislamu wawaue mapadri,maaskofu na makadinali.Uamasishaji huu ulianza baada ya kifo cha shehe Logo wa Mombasa.Pia alifurahishwa sana na kitendo cha Abdallah mwamwindi kumuua Dr kleruu aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Iringa enzi za utawala wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere!!
      "A friend in need,is a friend indeed"

    17. #15
      TUKUTUKU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2010
      Location : KIPALAPALA TU
      Posts : 8,363
      Rep Power : 2113
      Likes Received
      1728
      Likes Given
      675

      Default Re: Viongozi wengine wa Uamsho Mbaroni leo Zanzibar

      Quote By Tukundane
      pia wapo wanaozimiliki kihalali ila wanaweza kuzitumia isivyo.
      Mkuu,hili nalo neno!!
      "A friend in need,is a friend indeed"

    18. #16
      Mwana Mpotevu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th September 2011
      Posts : 1,972
      Rep Power : 856
      Likes Received
      908
      Likes Given
      878

      Default Re: Viongozi wengine wa Uamsho Mbaroni leo Zanzibar

      Quote By TUKUTUKU
      Huyu ni gaidi anayeamasisha waislamu wawaue mapadri,maaskofu na makadinali.Uamasishaji huu ulianza baada ya kifo cha shehe Logo wa Mombasa.Pia alifurahishwa sana na kitendo cha Abdallah mwamwindi kumuua Dr kleruu aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Iringa enzi za utawala wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere!!
      Duh hii kali
      Don't break the LAW, just Bend It!

    19. #17
      TUKUTUKU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2010
      Location : KIPALAPALA TU
      Posts : 8,363
      Rep Power : 2113
      Likes Received
      1728
      Likes Given
      675

      Default Re: Viongozi wengine wa Uamsho Mbaroni leo Zanzibar

      Quote By pambanua
      mfumo wa kikafiri unaendelea kutekeleza mambo yake, hao mashehe wapi na wapi na mauaji ya padiri, mi nazani Wazanzibari imefika wakati watangaze jihadi manake inahusu nini majambazi yafanye uhalifu wakamatwe watu kutokana na shinikizo la wakatoliki?

      tangazeni jihadi hao wakatoliki warudi huku bara mikoani kwao kwani lazima wakatekeleze ukafiri wao kule si warudi dodoma na kwengineko wakajenge hayo makanisa ya kikatoliki waabudu huo msalaba wao.
      Nani kakwambia kukamatwa kwa hao mashehe kunausiana na kuvamiwa kwa padri?Unazani wote walioanzisha jihad walishinda?unafikiri toka dunia hii iumbwe na mungu jihad ngapi zimepiganwa?Jihad ngapi waislamu wameshinda na kama walishinda mbona hawaitawali dunia?acha vitisho vya kitoto na jihad zako,watu walishajiandaa na jihad miaka hamsini iliyopita kabla hata wewe haujazaliwa!!
      August likes this.
      "A friend in need,is a friend indeed"

    20. #18
      TUKUTUKU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2010
      Location : KIPALAPALA TU
      Posts : 8,363
      Rep Power : 2113
      Likes Received
      1728
      Likes Given
      675

      Default Re: Viongozi wengine wa Uamsho Mbaroni leo Zanzibar

      Quote By Mwana Mpotevu
      Duh hii kali
      Ndiyo hyo mkuu,mambo ya mashehe na dini ya kiislamu!
      "A friend in need,is a friend indeed"

    21. #19
      TUKUTUKU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2010
      Location : KIPALAPALA TU
      Posts : 8,363
      Rep Power : 2113
      Likes Received
      1728
      Likes Given
      675

      Default Re: Viongozi wengine wa Uamsho Mbaroni leo Zanzibar

      Quote By Mwana Mpotevu
      wenye uhusiano na Al Shabab au Al Qaeda hawakosi kumiliki silaha
      Zanzibar ni somalia ijayo,lazima yatazaliwa makundi ya mabwana vita na hatokalika tena!!
      "A friend in need,is a friend indeed"

    22. #20
      Bob G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : UK Manyasi
      Posts : 1,657
      Rep Power : 716
      Likes Received
      290
      Likes Given
      36

      Default

      Hao viongozi wa kikundi cha kigaidi cha UAMSHO wakamatwe wote, haiwezekani wakafanya uharamia wa watu wa imani nyingine then wawaache waendelee kuchafua amani yetu
      QUOTE=Mwana Mpotevu;5316710]Wana JF

      Polisi Zanzibar leo imewatia mbaroni Katibu wa Jumuiya ya uamsho Sheikh Abdallah Madawa na Sheikh Fikirini Majaliwa.
      Viongozi hao wamekamatwa maeneo ya Mwanakwerekwe walipokua wamekwenda kusikiliza kesi ya Uchochezi inayowakabili Sheikh Farid na wenzie. Polisi hawajasema sababu ya kuwatia mbaroni viongozi hao.

      Hata hivyo tukio hilo limekuja siku mbili baada ya Padri mmoja kupigwa risasi na watu wasiojulikana huku Zanzibar na Polisi ikiahidi kuwasaka waliotenda kitendo hicho[/QUOTE]

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...