re: Mbeya: Ofisa Usalama auawa kinyama!

By
Spike Lee
Umeshakuwa msiba wenu? Acheni vyombo vya sheria vifanye kazi yake!
Muuaji atapatina mara moja kama hakuwa mtu wao.
Ikiona hakupatikana tu ujue ni wao wenyewe wazee wa mabwepande
wakati Cuf wanataka kuchukua nchi mwaka 2000 CCM walikuja na single ya kusema Cuf ni waislamu na kwa sasa wanadai sisi Chadema ni chama cha wakristo sasa CCM nacho ni cha watu gani? Watu wakajibu mashetaaaaaniiiiii.!---Wana Kigoma.
....Pamoja na kansa ya uongozi wa CCM watu wataendelea kukichagua,au watu wanaweza wakachoka na kusema potelea mbali wakachagua chama KINGINE....Julius. Kambarage. NYERERE"
Follow Us Here