Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Sheikh Farid Hadi Ahmed...Kulikoni?

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 27
    1. #1
      Eeka Mangi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th July 2008
      Posts : 2,692
      Rep Power : 1095
      Likes Received
      281
      Likes Given
      173

      Default Sheikh Farid Hadi Ahmed...Kulikoni?

      Nimekuwa nikiangalia taarifa mbalimbali za habari na kuangalia pia picha za huyu jamaa. Nimestushwa zidi kuwa huyu jamaa aliwahi kuwa mwanjeshi! Hilo sio baya sana ila kwa hili la kutumia alama ya CDM linanipa wasiwasi kidogo!

      Soon mtasikia chama hiki kinahusishwa na huyu jamaa! Inawezekana kabisa ukawa mpango mkakati wa jumuiya hii ya JUMIKI hasa Sheikh Farid kupandikizwa kama mbegu ya CHUKI dhidi ya Watanzania kuamini kuwa CDM ni chama chenye vurugu!

      I might be wrong but we have to connect the dots! Kwa nini anatumia alama hii maarufu kwa chadema hasa wakati huu akiwa anamulikwa sana na vyombo vya habari. Kwenye siasa wanasema kuna mchezo mchafu! Is this one of the dirty game? am just thinking!

    2. Miaka 50

    3. #2
      Father of All's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 3,093
      Rep Power : 1045
      Likes Received
      1830
      Likes Given
      3343

      Default Re: Sheikh Farid Hadi Ahmed...Kulikoni?

      Alama ya V si ya chadema bali ya ushindi. Hii alama ilikuwepo hata kabla ya kuwepo kwa chadema. Hii aihitaji shahada kujua.

    4. #3
      Eeka Mangi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th July 2008
      Posts : 2,692
      Rep Power : 1095
      Likes Received
      281
      Likes Given
      173

      Default Re: Sheikh Farid Hadi Ahmed...Kulikoni?

      Quote By Father of All
      Alama ya V si ya chadema bali ya ushindi. Hii alama ilikuwepo hata kabla ya kuwepo kwa chadema. Hii aihitaji shahada kujua.
      Nakubaliana na wewe kabisa na sina ubishi na hilo ila ni wewe unajua hivyo je wenzangu wa huku mamndenyi tunajua hilo?
      Father of All likes this.

    5. #4
      Father of All's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 3,093
      Rep Power : 1045
      Likes Received
      1830
      Likes Given
      3343

      Default Re: Sheikh Farid Hadi Ahmed...Kulikoni?

      Quote By Eeka Mangi
      Nakubaliana na wewe kabisa na sina ubishi na hilo ila ni wewe unajua hivyo je wenzangu wa huku mamndenyi tunajua hilo?
      Mnajua sema mnajifanya kutojua. Mbona mnajua kuwa ni alama ya Chadema kama hamjui? Sasa naamini mmejua na julishaneni ili wote mjue mnachopaswa kujua.
      Eeka Mangi likes this.

    6. #5
      Eeka Mangi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th July 2008
      Posts : 2,692
      Rep Power : 1095
      Likes Received
      281
      Likes Given
      173

      Default Re: Sheikh Farid Hadi Ahmed...Kulikoni?

      Quote By Father of All
      Mnajua sema mnajifanya kutojua. Mbona mnajua kuwa ni alama ya Chadema kama hamjui? Sasa naamini mmejua na julishaneni ili wote mjue mnachopaswa kujua.
      Hata neno "mshenzi sana yule" linaweza kuwa na maana nyingine pia!
      Father of All likes this.


    7. #6
      Synthesizer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th February 2010
      Posts : 811
      Rep Power : 715
      Likes Received
      369
      Likes Given
      32

      Default Re: Sheikh Farid Hadi Ahmed...Kulikoni?

      Quote By Eeka Mangi
      I might be wrong but we have to connect the dots! Kwa nini anatumia alama hii maarufu kwa chadema hasa wakati huu akiwa anamulikwa sana na vyombo vya habari. Kwenye siasa wanasema kuna mchezo mchafu! Is this one of the dirty game? am just thinking!
      Alama ya ya "V" ni kuashiria neno "Victory". Kwa hiyo si alama ya Chadema, hata CCM, CUF, NCCR nk mnaweza kuwatia moyo wawe wanaonyesha "V" kwenye mikutano yao kuonyesha wanashinda kama vile tu Chadema!
      Eeka Mangi likes this.

    8. #7
      SJUMAA26's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Posts : 327
      Rep Power : 623
      Likes Received
      69
      Likes Given
      2

      Default Re: Sheikh Farid Hadi Ahmed...Kulikoni?

      Quote By Eeka Mangi
      Nimekuwa nikiangalia taarifa mbalimbali za habari na kuangalia pia picha za huyu jamaa. Nimestushwa zidi kuwa huyu jamaa aliwahi kuwa mwanjeshi! Hilo sio baya sana ila kwa hili la kutumia alama ya CDM linanipa wasiwasi kidogo! Soon mtasikia chama hiki kinahusishwa na huyu jamaa! Inawezekana kabisa ukawa mpango mkakati wa jumuiya hii ya JUMIKI hasa Sheikh Farid kupandikizwa kama mbegu ya CHUKI dhidi ya Watanzania kuamini kuwa CDM ni chama chenye vurugu!
      I might be wrong but we have to connect the dots! Kwa nini anatumia alama hii maarufu kwa chadema hasa wakati huu akiwa anamulikwa sana na vyombo vya habari. Kwenye siasa wanasema kuna mchezo mchafu! Is this one of the dirty game? am just thinking!
      Na je kama huyo Farid alikuwa anamueleza huyo askari kuwa walikuwa wawili kwenye hilo sakata? Kwani kufanya hivyo vidole ni ishara ya Chadema tu? Na mbili kwa vidole unaionyeshaje sasa? Only narrow-minded people can have such kind of a notion!

    9. #8
      Pendael6410's Avatar
      Member Array
      Join Date : 18th October 2012
      Posts : 17
      Rep Power : 335
      Likes Received
      5
      Likes Given
      2

      Default Re: Sheikh Farid Hadi Ahmed...Kulikoni?

      tafsiri ya kitu au jambo hutegemea sana elimu,wakati,mahali na nia ya anayetafsiri!kwa kuwa watz wengi ni mburula,na kwakuwa wengi wao ni bendera tu,ni rahisi sana kubadilishwa mawazo na wapuuzi wachache.Nakubali nembo ya v ni ya enzi na enzi lakini tusipuuze ukweli kwamba siasa za bongo ni mshikemshike ndege tunduni!
      Eeka Mangi likes this.

    10. #9
      Eeka Mangi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th July 2008
      Posts : 2,692
      Rep Power : 1095
      Likes Received
      281
      Likes Given
      173

      Default Re: Sheikh Farid Hadi Ahmed...Kulikoni?

      Quote By SJUMAA26
      Na je kama huyo Farid alikuwa anamueleza huyo askari kuwa walikuwa wawili kwenye hilo sakata? Kwani kufanya hivyo vidole ni ishara ya Chadema tu? Na mbili kwa vidole unaionyeshaje sasa? Only narrow-minded people can have such kind of a notion!
      Mbona povu linakutoka! Hata hivyo huyo askari huyo sio mpelelezi wala maudhui hayalingani na utetezi wako

    11. #10
      MR. ABLE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Posts : 1,265
      Rep Power : 613
      Likes Received
      580
      Likes Given
      487

      Default Re: Sheikh Farid Hadi Ahmed...Kulikoni?

      The V sign is a hand gesture in which the index and middle fingers are raised and parted, while the other fingers are clenched. It has various meanings, depending on the cultural context and how it is presented. It is most commonly used to represent the letter "V" as in "victory"; as a symbol of peace (usually with palm outward); as an offensive gesture (palm inward); and to represent the number 2. It was adopted by the 1960s counterculture movement as a sign for peace.
      Eeka Mangi likes this.

    12. #11
      SJUMAA26's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Posts : 327
      Rep Power : 623
      Likes Received
      69
      Likes Given
      2

      Default Re: Sheikh Farid Hadi Ahmed...Kulikoni?

      Quote By Eeka Mangi
      Mbona povu linakutoka! Hata hivyo huyo askari huyo sio mpelelezi wala maudhui hayalingani na utetezi wako
      Kwani mtuhumiwa anapokuwa mikononi mwa Polisi ni lazima aulizwe swali na Mpelelezi tu? By the way, unajuaje kama huyo askari siyo mpelelezi? Ina maana maaskari wote wapelelezi na wapelelezi wasio maaskari wote unawajua?

    13. #12
      Eeka Mangi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th July 2008
      Posts : 2,692
      Rep Power : 1095
      Likes Received
      281
      Likes Given
      173

      Default Re: Sheikh Farid Hadi Ahmed...Kulikoni?

      Quote By MR. ABLE
      The V sign is a hand gesture in which the index and middle fingers are raised and parted, while the other fingers are clenched. It has various meanings, depending on the cultural context and how it is presented. It is most commonly used to represent the letter "V" as in "victory"; as a symbol of peace (usually with palm outward); as an offensive gesture (palm inward); and to represent the number 2. It was adopted by the 1960s counterculture movement as a sign for peace.
      Can we say that Sheikh Farid "V" sign is for victory? If yes victory on what?

    14. #13
      Mtz.mzalendo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd July 2012
      Posts : 284
      Rep Power : 400
      Likes Received
      39
      Likes Given
      3

      Default Re: Sheikh Farid Hadi Ahmed...Kulikoni?

      Yaani unashindwa kuelewa hata maana ya alama v?

    15. #14
      Eeka Mangi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th July 2008
      Posts : 2,692
      Rep Power : 1095
      Likes Received
      281
      Likes Given
      173

      Default Re: Sheikh Farid Hadi Ahmed...Kulikoni?

      Quote By SJUMAA26
      Kwani mtuhumiwa anapokuwa mikononi mwa Polisi ni lazima aulizwe swali na Mpelelezi tu? By the way, unajuaje kama huyo askari siyo mpelelezi? Ina maana maaskari wote wapelelezi na wapelelezi wasio maaskari wote unawajua?
      You are very general brother. Inaonyesha ulivyo! Sio kosa lako! Ukiona mtoa mapovu ujue kuna pahala limemgusa! Sorry chap!

    16. #15
      SJUMAA26's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Posts : 327
      Rep Power : 623
      Likes Received
      69
      Likes Given
      2

      Default Re: Sheikh Farid Hadi Ahmed...Kulikoni?

      Quote By Eeka Mangi
      Mbona povu linakutoka! Hata hivyo huyo askari huyo sio mpelelezi wala maudhui hayalingani na utetezi wako
      Kwani mtuhumiwa anapokuwa mikononi mwa Polisi ni lazima aulizwe swali na Mpelelezi tu? By the way, unajuaje kama huyo askari siyo mpelelezi? Ina maana maaskari wote wapelelezi na wapelelezi wasio maaskari wote unawajua?

    17. #16
      Eeka Mangi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th July 2008
      Posts : 2,692
      Rep Power : 1095
      Likes Received
      281
      Likes Given
      173

      Default Re: Sheikh Farid Hadi Ahmed...Kulikoni?

      Quote By Mtz.mzalendo
      Yaani unashindwa kuelewa hata maana ya alama v?
      Aliyekwambia sijui nani? Mimi nimetaka kujua matumizi yake! Matumizi ya tooth brush ni kinywani ukitumia kwenye tundu la choo sio matumizi yake!

    18. #17
      Jakubumba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th March 2011
      Location : United states
      Posts : 1,156
      Rep Power : 716
      Likes Received
      305
      Likes Given
      125

      Default Re: Sheikh Farid Hadi Ahmed...Kulikoni?

      Quote By Eeka Mangi
      Nimekuwa nikiangalia taarifa mbalimbali za habari na kuangalia pia picha za huyu jamaa. Nimestushwa zidi kuwa huyu jamaa aliwahi kuwa mwanjeshi! Hilo sio baya sana ila kwa hili la kutumia alama ya CDM linanipa wasiwasi kidogo!

      Soon mtasikia chama hiki kinahusishwa na huyu jamaa! Inawezekana kabisa ukawa mpango mkakati wa jumuiya hii ya JUMIKI hasa Sheikh Farid kupandikizwa kama mbegu ya CHUKI dhidi ya Watanzania kuamini kuwa CDM ni chama chenye vurugu!

      I might be wrong but we have to connect the dots! Kwa nini anatumia alama hii maarufu kwa chadema hasa wakati huu akiwa anamulikwa sana na vyombo vya habari. Kwenye siasa wanasema kuna mchezo mchafu! Is this one of the dirty game? am just thinking!
      Mbona kichwa cha habari na habari yenyewe haviendani? Umesema sheikh farid...ahmed, unamanisha nini?
      tanzania kwanza!

    19. #18
      Elizabeth Dominic's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 7th December 2007
      Posts : 2,741
      Rep Power : 5465
      Likes Received
      1963
      Likes Given
      2652

      Default Re: Sheikh Farid Hadi Ahmed...Kulikoni?

      Yah its politics, dirty games blah blah blah.................kumbe CDM inatwanga kotekote kwa UAMSHO na Katoliki........Waunguja/Pemba hadi Kaskazini.........lol
      Eeka Mangi likes this.
      BE RESPECTED............DEMAND RESPECT

    20. #19
      Eeka Mangi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th July 2008
      Posts : 2,692
      Rep Power : 1095
      Likes Received
      281
      Likes Given
      173

      Default Re: Sheikh Farid Hadi Ahmed...Kulikoni?

      Quote By Jakubumba
      Mbona kichwa cha habari na habari yenyewe haviendani? Umesema sheikh farid...ahmed, unamanisha nini?
      Usichoelewa nini sasa. Ukisikia Faridi Sungura we unafikiri sungura mnyama! Sungura nalo jina kama Hadi lilivyo jina mkuu!

    21. #20
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,533
      Rep Power : 1263
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      28

      Default Re: Sheikh Farid Hadi Ahmed...Kulikoni?

      Quote By Father of All
      Alama ya V si ya chadema bali ya ushindi. Hii alama ilikuwepo hata kabla ya kuwepo kwa chadema. Hii aihitaji shahada kujua.
      hata mi nashangaa wanavosema ni alama ya chadema wabongo bana utafikiri wamezaliwa juzi..hiyo alama imekuepo tangu enzi za malcom X
      Every saint has a past, every sinner has a future' ...Oscar Wilde

      One man's good fortune is another man's misfortune


    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...