Wakuu nawaomba mnipatie mawazo yakinifu ili nisiendelee kukwazika juu ya mahakama hii.
Kila kukicha utasikia Al-Bashir akamatwe apelekwe huko,mara Nkunda na wengine wengi tu.
Sasa lini tutamsiki Blair ,Bush na watu kama hao wanatiwa nguvuni kupelekwa huko?
Tafadhali nifungueni macho..

Reply With Quote
Follow Us Here