JK, Malecela na CCM mmemsikia Obama - JamiiForums |The Home of Great Thinkers

Go Back   JamiiForums |The Home of Great Thinkers > Public Forums > Jukwaa la Siasa


Jukwaa la Siasa Tanzania & World Politics General Discussion Forum. You need to be registered in order to post your comment(s)


Reply
 
LinkBack Thread Tools Rate Thread Display Modes
Old 19th July 2009, 12:41 PM   #1
JK, Malecela na CCM mmemsikia Obama
sawasawa sawasawa is offline 19th July 2009, 12:41 PM

Kutokutajwa kwa Tanzania katika hotuba ya Oboma ni ujumbe mahsusi kwa JK ambaye hivi karibuni alikuwa Marekani ambapo alikuwa rais kwa kwanza wa Africa kukutana na Obama. Tunakumbuka alimzawadia mpira wa basket. Alikuwa na kumbukumbu ya JK lakini Tanzania hakuitaja kama mfano wa kuigwa katika demokrasia barani Afrika. Inaelekea Obama anaelewa vyema kuwa japokuwa Tanzania inafanya uchaguzi, kama alivyosema yeye mwenyewe kuna mambo ambayo yanaua demokrasia katika uchaguzi ikiwamo wizi wa kura, rushwa katika uchaguzi wa serikali na hata katika jumuia za chama cha CCM. Vilevile Polisi wanatumika kupiga wafuasi wa vyama vya upinzani na pia wafuasi wa CCM wanatumwa na chama chao kuwapiga wafuasi wa vyama vya upinzania na wanalindwa na polisi. Kuhusu wizi wa kura Malecela amekuwa ndiye kinara. Na kila anapoonekana ujue wizi wa kura unafuatia. Huyu Malecela aliwahi kutufunda sisi wanafunzi wa chuo kikuuu baada ya kupewa kadi za CCM kule Dodoma kuwa sasa tuhakikishe chama kinaendelea kutawala. Na ili kuendeleza utawala wa CCM lazima kutumia mbinu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuendesha propaganda, kuiba kura na hata kuua ikiwezekana. Hili hawezi kubisha. Kwa hiyo JK, Malecela pamoja na chama chao cha CCM ndio mnaoua demokrasia hapa Tanzania na ndio maana Rais Obama hakutaja Tanzania kama mfano wa kuigwa. Obama haangalia sura ya mtu na nadhani sasa safari za JK huko Marekani zitapungua sana, wewe unasemaje?

sawasawa
Junior Member
Points: 52,177, Level: 100 Points: 52,177, Level: 100 Points: 52,177, Level: 100
Activity: 0% Activity: 0% Activity: 0%
Join Date: Mon Jul 2009
Posts: 1
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Views: 185
Reply With Quote
  #2  
Old 19th July 2009, 02:10 PM
MC MC is offline
MC has no status.
Senior Member
Points: 100,246, Level: 100 Points: 100,246, Level: 100 Points: 100,246, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Fri Oct 2007
Posts: 170
Thanks: 30
Thanked 8 Times in 7 Posts
Rep Power: 23
MC will become famous soon enoughMC will become famous soon enoughMC will become famous soon enoughMC will become famous soon enoughMC will become famous soon enoughMC will become famous soon enoughMC will become famous soon enoughMC will become famous soon enough
Default Re: JK, Malecela na CCM mmemsikia Obama

OK, Asante kwa ujumbe mzuri,

Ila JK kwa kujipendekeza sidhani kuwa ataacha kwenda huko....

Pia, inaonekana ulishawahi kuwa karibu sana na Malechela kwa hiyo tueleze yote mliyoambiwa wakati mnapewa kadi kwa kuwa mambo uliyodokeza ni nyeti sana eg. 'kuua'

Otherwise kama utatoa mambo nusu nusu tutakuhesabu kuwa bado Ka-UCCM hakajakuisha.
__________________
'CCM alianzisha Nyerere, Sasa imezeeka' - Munishi
Reply With Quote
  #3  
Old 19th July 2009, 02:22 PM
Interested Observer Interested Observer is offline
Interested Observer has no status.
JF Senior Expert Member
Points: 161,479, Level: 100 Points: 161,479, Level: 100 Points: 161,479, Level: 100
Activity: 1% Activity: 1% Activity: 1%
 
Join Date: Mon Mar 2006
Posts: 748
Thanks: 75
Thanked 100 Times in 56 Posts
Rep Power: 25
Interested Observer will become famous soon enoughInterested Observer will become famous soon enoughInterested Observer will become famous soon enoughInterested Observer will become famous soon enoughInterested Observer will become famous soon enoughInterested Observer will become famous soon enoughInterested Observer will become famous soon enoughInterested Observer will become famous soon enough
Default Re: JK, Malecela na CCM mmemsikia Obama

Quote:
View Post
Kutokutajwa kwa Tanzania katika hotuba ya Oboma ni ujumbe mahsusi kwa JK ambaye hivi karibuni alikuwa Marekani ambapo alikuwa rais kwa kwanza wa Africa kukutana na Obama. Tunakumbuka alimzawadia mpira wa basket. Alikuwa na kumbukumbu ya JK lakini Tanzania hakuitaja kama mfano wa kuigwa katika demokrasia barani Afrika. Inaelekea Obama anaelewa vyema kuwa japokuwa Tanzania inafanya uchaguzi, kama alivyosema yeye mwenyewe kuna mambo ambayo yanaua demokrasia katika uchaguzi ikiwamo wizi wa kura, rushwa katika uchaguzi wa serikali na hata katika jumuia za chama cha CCM. Vilevile Polisi wanatumika kupiga wafuasi wa vyama vya upinzani na pia wafuasi wa CCM wanatumwa na chama chao kuwapiga wafuasi wa vyama vya upinzania na wanalindwa na polisi. Kuhusu wizi wa kura Malecela amekuwa ndiye kinara. Na kila anapoonekana ujue wizi wa kura unafuatia. Huyu Malecela aliwahi kutufunda sisi wanafunzi wa chuo kikuuu baada ya kupewa kadi za CCM kule Dodoma kuwa sasa tuhakikishe chama kinaendelea kutawala. Na ili kuendeleza utawala wa CCM lazima kutumia mbinu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuendesha propaganda, kuiba kura na hata kuua ikiwezekana. Hili hawezi kubisha. Kwa hiyo JK, Malecela pamoja na chama chao cha CCM ndio mnaoua demokrasia hapa Tanzania na ndio maana Rais Obama hakutaja Tanzania kama mfano wa kuigwa. Obama haangalia sura ya mtu na nadhani sasa safari za JK huko Marekani zitapungua sana, wewe unasemaje?
Huyu Malecela aliwahi kutufunda sisi wanafunzi wa chuo kikuuu baada ya kupewa kadi za CCM kule Dodoma kuwa sasa tuhakikishe chama kinaendelea kutawala. Na ili kuendeleza utawala wa CCM lazima kutumia mbinu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuendesha propaganda, kuiba kura na hata kuua ikiwezekana. Hili hawezi kubisha.
Reply With Quote
Reply

Bookmarks

Tags
ccm, jk, malecela, mmemsikia, obama


Currently Active Users Viewing This Thread: 1 (0 members and 1 guests)
 
Thread Tools
Display Modes Rate This Thread
Rate This Thread:

Posting Rules
You may not post new threads
You may not post replies
You may not post attachments
You may not edit your posts

BB code is On
Smilies are On
[IMG] code is On
HTML code is Off
Trackbacks are Off
Pingbacks are Off
Refbacks are On


Similar Threads
Thread Thread Starter Forum Replies Last Post
Sakata la Nape Nnauye na UVCCM Gembe Jukwaa la Siasa 1524 1st December 2008 02:19 PM
Muafaka: Uamuzi wa CCM Butiama wafananishwa na ufisadi wa Bubu Ataka Kusema Jukwaa la Siasa 9 2nd April 2008 03:49 AM
CCM ya Waswahili wa Pwani itadumu? Mtu wa Pwani Habari na Hoja mchanganyiko 24 23rd October 2007 07:20 PM
Patashika nguo kuchanika.... Bubu Ataka Kusema Jukwaa la Siasa 8 27th August 2007 10:06 PM
Kenya Waamua Kuwa Na Ccm Yao Ole Habari na Hoja mchanganyiko 4 25th January 2007 07:46 PM

Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako!


All times are GMT +3. The time now is 11:39 AM.

Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com