| Find/Invite Friends | Register | Calendar | Search | Today's Posts | Mark Forums Read |
| FAQ | Members List | Bongo Flava | Zilipendwa | Taarab | Injili |
|
|
#1 | |||
|
||||
|
Views: 542
|
||||
|
#2
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
EU wakishatoa wasiishie hapo follow up iwepo kuhakikisha kweli zimeenda huko kwenyewe!
|
|
#3
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
Ndio tunazidisha kuwa na ukungu kwenye akili zetu hali hii ni lazima tuikomishe kwa kukusanya kodi nyingi kutoka kwetu then hawa nao wanatupa Kodi za mwananchi wao baadae zinakuja kwa wachache na kutofanya mambo ya maendeleo, Tazama trend za misaada hiyo mingi kati yao inakwenda kwenye consumer products ambazo sio nzuri
|
|
#4
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
No wonder JK kila siku yuko safarini. Kumbe inalipa!!!!!
Ha ha ha aaaa, Nchi Ombaomba!!! Hivi kuna nchi inatuzidi duniani kwa kuombaomba???
__________________
"Money never made a man happy yet, nor will it. There is nothing in its nature to produce happiness. The more a man has, the more he wants. Instead of filling a vacuum, it makes one" by --Benjamin Franklin-- scientist, inventor, statesman, printer, philosopher, musician and economist |
|
#5
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
|
|
#6
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Mimi nadhani hiyo mihela ni mwendelezo wa kutukamata tusifurukute kabisa. Kila siku tufikirie kuna mtu atatuletea pesa. Na hiyo inatudumaza. Tunakuwa tegemezi, huku malighafi wanabeba. Si unakumbuka eti waholanzi wametishia kutotupa misaada kutokana na mwekezaji wao eti kanyimwa mpori ili afyeke misitu.
|
|
#7
|
||||||||||||
|
||||||||||||
What's our priority? I do thanks the donor countries, but no thank you on this free lunch. We can do much better if we can tight our belts.
__________________
It is NOT just a forum, it's a MOVEMENT! |
||||||||||||
|
#8
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
wao wanafatilia za kwao na wewe fatilia za kwako, jamaa wanachofanya wanakula hela zako za kodi wanaacha za wadhamini
kwa hiyo wewe hela zako za kodi ndio zinaliwa
__________________
You can not keep 40m people quite forever.... one year one month one day they will wake up.......... |
|
#9
|
||||||||||||
|
||||||||||||
|
|
|
#10
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
Acheni uhuni. Mnajua gharama za hiyo hela? You will spit out double that amount.
Badala ya kushangilia, mnatakiwa kusikitika.
__________________
Watanzania vilaza watamchagua Kikwete aendeleze ubabaishaji ikulu kwa awamu nyingine - Tafakari
«
Previous Thread
|
Next Thread
»
Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako! All times are GMT +3. The time now is 04:51 AM.
Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com | ||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||