Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mtoto wa Wassira ajiunga Chadema

    Report Post
    Page 5 of 9 FirstFirst ... 34567 ... LastLast
    Results 81 to 100 of 162
    1. #1
      ibange's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 1,358
      Rep Power : 1107
      Likes Received
      403
      Likes Given
      23

      Default Mtoto wa Wassira ajiunga Chadema

      Katika watu wanaikashifu Chadema na kuwa na maneno ya maudhi ni Waziri Wassira. Sasa kwa kuonyesha kuwa M4C haina msamaha hata kwa familia yake mtoto wake aishie USA aitwae Makongoro Wassira amejiunga na M4C.

      Akizungumza wakati anakabidhiwa kadi alisema yeye ni wa kwanza tu kujiunga M4C lakini ndugu zake wote wapo mbioni kujiunga na anadhani baba yake pekee ndie atabaki CCM.

      Peopleeeeeeeeeeeeeeee power.


      Viongozi wa Tawi la Chadema Houston wamkabidhi Kadi ya Chadema Makongoro Wassira
      Angalia picha hapa CHADEMA USA
      Kaa la Moto, Kidatu, Mboko and 8 others like this.

    2. Miaka 50

    3. #81
      Jodoki Kalimilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Location : Ihayabuyaga
      Posts : 2,278
      Rep Power : 893
      Likes Received
      779
      Likes Given
      1480

      Default Re: Mtoto wa Wassira ajiunga Chadema

      Quote By ChiefmTz
      Huyo sio mtoto wa Steven Wasira. Kalaga baho.
      Mtoto wa kaka yake bila shaka? maana si unajua tena mtu anataka ajinadi kupitia jina maana huwa watu wanateleza kwa kuchagua jina la ukoo bila kuangalia uwezo wa kuongoza

    4. #82
      Kidatu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th June 2008
      Posts : 1,430
      Rep Power : 1476
      Likes Received
      134
      Likes Given
      760

      Default Re: Mtoto wa Wassira ajiunga Chadema

      Karibu sana kamanda. Chadema mwendo mdundo, maamuzi yako ni ya hekima sana. Vua gamba vaa gwanda.

    5. #83
      Mkwawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th June 2011
      Location : Kalenga
      Posts : 613
      Rep Power : 3564
      Likes Received
      694
      Likes Given
      388

      Default Re: Mtoto wa Wassira ajiunga Chadema

      Quote By Jodoki Kalimilo
      Mtoto wa kaka yake bila shaka? maana si unajua tena mtu anataka ajinadi kupitia jina maana huwa watu wanateleza kwa kuchagua jina la ukoo bila kuangalia uwezo wa kuongoza
      Kijana amejiunga CDM kachukua tu kadi kawa mwanachama ni haki yake ya kikatiba.
      Bondpost likes this.
      Nilijitoa mhanga kwa watu wangu; watoeni watawala wadhalimu na mafisadi kwa ustawi wa nchi yetu.

    6. Ame
      #84
      Ame's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th March 2011
      Location : Global Citizen
      Posts : 1,513
      Rep Power : 1184
      Likes Received
      650
      Likes Given
      2615

      Default Re: Mtoto wa Wassira ajiunga Chadema

      Quote By ibange
      Katika watu wanaikashifu Chadema na kuwa na maneno ya maudhi ni Waziri Wassira. Sasa kwa kuonyesha kuwa M4C haina msamaha hata kwa familia yake mtoto wake aishie USA aitwae Makongoro Wassira amejinga na M4C. Akizungumza wakati anakabidhiwa kadi alisema yeye ni wa kwanza tu kujiunga M4C lakini ndugu zake wote wapo mbioni kujiunga na anadhani baba yake pekee ndie atabaki CCM. Peopleeeeeeeeeeeeeeee power.


      Viongozi wa Tawi la Chadema Houston wamkabidhi Kadi ya Chadema Makongoro Wassira
      Angalia picha hapa CHADEMA USA
      Mfano mzuri kabisa kwani hamuwezi wote mkawa manafanana mawazo na ukiona hivyo ujue kuna mtu kai azima akili kwa mwenzake yaani kwa yule mwenye wazo. Mwenye mawazo independent ni mtu ambaye anajitambua na anaweza fika kule Mungu alikopanga afike kwani si tegemezi kwa mwanadamu mwenzake.

      Mungu mwenyewe katuumba hatufanani vipi wewe uwe unakubali kila unachoambiwa bila kuangalia ni vipi hicho kinaendana na vision yako katika maisha?

    7. #85
      Mohamedi Mtoi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th December 2010
      Location : Lushoto - Kwemakame.
      Posts : 2,074
      Rep Power : 24553
      Likes Received
      3158
      Likes Given
      358

      Default Mtoto wa Wassira ajiunga Chadema

      Quote By tatanyengo
      Historia inatuambia kuwa Wassira aliwahi kujinga na chama cha upinzani (NCCR MAGEUZI).Pengine siku za mwisho za CCM zikikaribia anaweza kuwa mwanachama wa CHADEMA.
      Mkuu kwa kuweka tu kumbukumbu sahihi ni kwamba wasira amesha wahi kuwa mwanachama wa chadema na ni miongoni mwa waasisi wa chama hicho ambao wako wenye list ya waasisi. Kama utakumbuka kamanda Mbowe alimtaja kwenye msiba wa Bob Makani baada ya katibu wa magamba kuleta uzushi kuhusu uongozi wa chadema.

      Sent from BlackBerry 8520 authorized by JamiiForums.
      tatanyengo likes this.
      "No man is a true believer unless he desires for his brother that which he desires for himself" Muhammad SAW

    8. RukaaJuu Final

    9. #86
      Kurunzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st July 2009
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 1,949
      Rep Power : 888
      Likes Received
      383
      Likes Given
      144

      Default Re: Mtoto wa Wassira ajiunga Chadema

      Nimefurahi sana kwani baada ya kusoma thread hii nimegundua vijana w CDM ni makini sana wanahofu sana juu ya uasi.

    10. #87
      Filipo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : Kiding'a
      Posts : 6,357
      Rep Power : 18617
      Likes Received
      3518
      Likes Given
      1689

      Default

      Quote By Ritz
      Safi sana kamanda karibu sana.
      Ritz bana!

    11. #88
      Filipo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : Kiding'a
      Posts : 6,357
      Rep Power : 18617
      Likes Received
      3518
      Likes Given
      1689

      Default

      Quote By Mohamedi Mtoi
      Mkuu kwa kuweka tu kumbukumbu sahihi ni kwamba wasira amesha wahi kuwa mwanachama wa chadema na ni miongoni mwa waasisi wa chama hicho ambao wako wenye list ya waasisi. Kama utakumbuka kamanda Mbowe alimtaja kwenye msiba wa Bob Makani baada ya katibu wa magamba kuleta uzushi kuhusu uongozi wa chadema.

      Sent from BlackBerry 8520 authorized by JamiiForums.
      Mkuu, hapa hujaweka kumbukumbu sawa! Ndio kwanza umeziapotosha. Kumbukumbu zinaonesha kwamba mmoja wa waasisi wa cdm ni George Wassira na si vinginevyo!

    12. #89
      Duble Chris's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2011
      Posts : 2,340
      Rep Power : 872
      Likes Received
      382
      Likes Given
      309

      Default Re: Mtoto wa Wassira ajiunga Chadema

      Quote By Crashwise
      Usikute katumwa.....hhahaaha
      hata kama katumwa CHADEMA ipo imara kila idara angalia inavyo washughulikia madiwani wake ndumila kuwili

      jambo la msingi mi naona ni bora tumpe muda tusimhukumu mapema kwa dhamana ya babaye
      frustration is given by expectationdivide by
      outcome
      ie
      frustration = expectation/outcome


    13. #90
      Tewe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2008
      Posts : 452
      Rep Power : 670
      Likes Received
      64
      Likes Given
      12

      Default Re: Mtoto wa Wassira ajiunga Chadema

      Kama si mpango mkakati basi saa hii wasira kapandwa na pressure

    14. #91
      fugees's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th August 2012
      Location : dar es salaam
      Posts : 586
      Rep Power : 458
      Likes Received
      62
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Ritz
      Safi sana kamanda karibu sana.
      mkuu heshima sana nacho kukubali wewe si mnafiki.

    15. #92
      ibange's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 1,358
      Rep Power : 1107
      Likes Received
      403
      Likes Given
      23

      Default Re: Mtoto wa Wassira ajiunga Chadema

      Quote By ChiefmTz
      Huyo sio mtoto wa Steven Wasira. Kalaga baho.
      Kama si mtoto wa Wassira ni mtoto wa nani? Ukweli unasimama ni mtoto wa Wassira na ndugu zake wote watavua magamba pia

    16. #93
      aminiusiamini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th August 2011
      Posts : 313
      Rep Power : 454
      Likes Received
      72
      Likes Given
      61

      Default Re: Mtoto wa Wassira ajiunga Chadema

      Quote By Luckymito
      wewe fia huko na umasikini wako
      Hahhaa. Sio fresh hivyo. Dah

    17. #94
      Bondpost's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th October 2011
      Posts : 1,090
      Rep Power : 602
      Likes Received
      246
      Likes Given
      540

      Exclamation Re: Mtoto wa Wassira ajiunga Chadema

      Quote By Radhia Sweety
      Hawa Chadema ni kuokoteza watoto wa vigogo tu sasa
      Ukitaka na wewe unajitokeza kama una sifa na uwezo wa kukabiliana na mikiki ya siasa hakuna mashaka. Kwa watanzania wa sasa wala hawana mashaka na mtu kuwa mtoto wa kigogo kwani wanaufahamu wa kutosha na bado watafahamishwa zaidi, kujiunga kwake haimaanishi ndiyo mambo mswano, ataendelea kuwa subject to public trust mpaka ajijengee jina na sifa ya kuwa mzalendo wa kweli pamoja ansomeshwa kwa kodi yangu huko marekani.
      Utaujua msiba ila machungu ya msiba ni mpaka utakapofiwa

    18. #95
      Zimamoto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th March 2012
      Posts : 347
      Rep Power : 430
      Likes Received
      89
      Likes Given
      33

      Default Re: Mtoto wa Wassira ajiunga Chadema

      Hawa watu hawaaminiki. Baba yake alikuwa NCCR-Mageuzi, leo yuko wapi? Makongoro Nyerere alikuwa NCCR-Mageuzi, leo yuko wapi? Tuwe makini ni watu hawa.

    19. #96
      Mzalendo JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Posts : 907
      Rep Power : 532
      Likes Received
      277
      Likes Given
      213

      Default Re: Mtoto wa Wassira ajiunga Chadema

      Quote By Radhia Sweety
      Hawa Chadema ni kuokoteza watoto wa vigogo tu sasa
      Akitaka hakuna kumnyima ukombozi bana!
      "Happiness is what you think, what you say, and what you do are in harmony"

    20. #97
      Mndokanyi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th September 2012
      Posts : 188
      Rep Power : 375
      Likes Received
      25
      Likes Given
      0

      Default Re: Mtoto wa Wassira ajiunga Chadema

      CHADEMA kuweni makini,hajatumwa kweli?!!!!!!!!!!!!!!!!!

    21. #98
      iseesa's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 940
      Rep Power : 0
      Likes Received
      204
      Likes Given
      53

      Default Re: Mtoto wa Wassira ajiunga Chadema

      Huenda huyu mtoto akagombea ubunge wa Bunda kwa tiketi ya CDM. Kila la heri Wassira Jr. Kumbuka mzee alishawahi kuwa NCCR-MAGEUZI

    22. #99
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Mtoto wa Wassira ajiunga Chadema

      Quote By ibange
      Katika watu wanaikashifu Chadema na kuwa na maneno ya maudhi ni Waziri Wassira. Sasa kwa kuonyesha kuwa M4C haina msamaha hata kwa familia yake mtoto wake aishie USA aitwae Makongoro Wassira amejiunga na M4C.

      Akizungumza wakati anakabidhiwa kadi alisema yeye ni wa kwanza tu kujiunga M4C lakini ndugu zake wote wapo mbioni kujiunga na anadhani baba yake pekee ndie atabaki CCM.

      Peopleeeeeeeeeeeeeeee power.


      Viongozi wa Tawi la Chadema Houston wamkabidhi Kadi ya Chadema Makongoro Wassira
      Angalia picha hapa CHADEMA USA
      Wassira mwenyewe alikuwa CHADEMA au mmesahau?

      Huyo mwache huko akikuwa ataacha. "Mtoto akililia wembe"
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    23. #100
      nashy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Location : MANG'ORA
      Posts : 663
      Rep Power : 556
      Likes Received
      134
      Likes Given
      124

      Default Re: Mtoto wa Wassira ajiunga Chadema

      Quote By Candid Scope
      Si kujiunga tu, alikuwa mbunge kupitia NCCR Mageuzi, alimbwaga mzee wa tume ya katiba Warioba aliyegombea kupitia CCM
      Wasira ni moja ya waasisi wa chadema, badaye alihamia NCCR na kugombea ubunge, alishindwa na Warioba akafdungua kesi wakambwaga, njaa ilipozidi kahamia CCM na kugombea ubunge na kuwa mbunge hadi sasa.
      Candid Scope likes this.
      Kama unataka mabadiliko ya kweli katika Taifa hili hamia CHADEMA hujachelewa bado

    Page 5 of 9 FirstFirst ... 34567 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...