Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mtoto wa Wassira ajiunga Chadema

    Report Post
    Page 2 of 9 FirstFirst 1234 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 162
    1. #1
      ibange's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 1,358
      Rep Power : 1108
      Likes Received
      403
      Likes Given
      23

      Default Mtoto wa Wassira ajiunga Chadema

      Katika watu wanaikashifu Chadema na kuwa na maneno ya maudhi ni Waziri Wassira. Sasa kwa kuonyesha kuwa M4C haina msamaha hata kwa familia yake mtoto wake aishie USA aitwae Makongoro Wassira amejiunga na M4C.

      Akizungumza wakati anakabidhiwa kadi alisema yeye ni wa kwanza tu kujiunga M4C lakini ndugu zake wote wapo mbioni kujiunga na anadhani baba yake pekee ndie atabaki CCM.

      Peopleeeeeeeeeeeeeeee power.


      Viongozi wa Tawi la Chadema Houston wamkabidhi Kadi ya Chadema Makongoro Wassira
      Angalia picha hapa CHADEMA USA
      Kaa la Moto, Kidatu, Mboko and 8 others like this.

    2. Miaka 50

    3. #21
      Concrete's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2011
      Posts : 1,741
      Rep Power : 983
      Likes Received
      461
      Likes Given
      0

      Default Re: Mtoto wa Wassira ajiunga Chadema

      Niliwahi kusikia pia Steven Wassira alikuwa ni miongoni mwa waasisi wa Chadema, wengine ni Bob Makani, Edwin Mtei, Freeman Mbowe nk.

      Mwenye kumbukumbu za uhakika anaweza kunisahihisha kama nipo wrong.

    4. #22
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,498
      Rep Power : 19788
      Likes Received
      4313
      Likes Given
      1263

      Default Re: Mtoto wa Wassira ajiunga Chadema

      Ataangaliwa kwa ukaribu zaidi

    5. #23
      Nabihu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th March 2012
      Posts : 166
      Rep Power : 395
      Likes Received
      17
      Likes Given
      0

      Default Re: Mtoto wa Wassira ajiunga Chadema

      Atakuwa anafuata nyayo za baba yake kuhama hama vyama na mwisho wa yote atarudi kwa magamba

    6. #24
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,330
      Rep Power : 12591
      Likes Received
      5858
      Likes Given
      775

      Default Re: Mtoto wa Wassira ajiunga Chadema

      Safi sana kamanda karibu sana.

    7. #25
      Smile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : paradise
      Posts : 11,292
      Rep Power : 23400
      Likes Received
      8230
      Likes Given
      5854

      Default Re: Mtoto wa Wassira ajiunga Chadema

      Quote By Radhia Sweety
      Hawa Chadema ni kuokoteza watoto wa vigogo tu sasa
      wewe fia huko na umasikini wako
      It’s good to test a guy first before you believe him. But don’t let him wait that long

    8. RukaaJuu Final

    9. #26
      myhem's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 748
      Rep Power : 552
      Likes Received
      225
      Likes Given
      79

      Default Re: Mtoto wa Wassira ajiunga Chadema

      Kwa jinsi Wasira anavyochukia upinzani sidhani kama hakuna mchezo mchafu unaotaka kuchezwa hapo. Kumbuka hata baba yake aliwahi kutumika kama mamluki ili akavuruge upinzani

    10. #27
      Mr. President's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2010
      Location : Black House
      Posts : 1,669
      Rep Power : 766
      Likes Received
      322
      Likes Given
      11

      Default

      Quote By Crashwise
      Usikute katumwa.....hhahaaha
      I dought... Labda si mwanae, WASSIRA ANA KIJANA ANA SURA NZURI HIVI, hiyo Evolution imetake place very quick hivyo, may be mjukuu.... ahaaahaaa Zinjanthropus.....!!! Ka kweli atanyimwa fedha za matumizi atarudi bongo....
      Kirode likes this.

    11. #28
      Uwezo Tunao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2010
      Posts : 6,900
      Rep Power : 2295
      Likes Received
      1154
      Likes Given
      1496

      Default Re: Mtoto wa Wassira ajiunga Chadema

      Enyi wenzetu Wana-CHADEMA wa tawi la Texas nchini Marekani, sote hapa tunafurahia sana moto wenu mkubwa wa mabadiliko inavyochacharika hadi hivi sasa.

      Hakika juhudi zenu hivi sasa tunazilinganisha na zile za wenzetu wengine wa kule kwenye matawi letu yetu ya Washingto DC na ile ya Uingereza. Kote huko tunawaona watu mlivyo serious na juhudi za mabadiliko hadharani kweupe bila kificho mpaka raha.

      Katika matawi yetu yote hayo huko Ughaibuni wenzetu tunachokiona kwenu ni mashina ya chama yaliosheheni watu mliopevuka akili, uzoefu na demokrasia katika uhalisia wake na ni mahala ambako kila Kamanda katika kambi hizo waonekana kuhaha uwanja mzima kama Drogba katika harakati za kutafuta kusimika utawala mpya hapa nchini mwetu.

      Na sasa pongezi za pekee ziwaendee Makamanda wapya Makongoro Wasira Junior, na Neema Kambona kwa kutoa mfano wa mwelekeo mpya kwa vijana kote nchini. Karibuni sana tukapiganie mabadiliko sote kwa pamoja tutashinda ufisadi na mauaji ya raia inayotekelezwa na CCM hivi sasa.



    12. #29
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,203
      Rep Power : 5040
      Likes Received
      2438
      Likes Given
      2227

      Default Re: Mtoto wa Wassira ajiunga Chadema

      Kwahiyo huyo kijana credential pekee anayoweza kujivunia na ambayo chadema imeiona asset ni utoto wa Wassira!!!
      "To greed, all nature is insufficient"

    13. #30
      Marire's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st May 2012
      Posts : 2,267
      Rep Power : 967
      Likes Received
      612
      Likes Given
      0

      Default Re: Mtoto wa Wassira ajiunga Chadema

      Chadema tuwe makini si kila kingaacho ni dhahabu,tunateswa na shibuda,zzk hatujakoma tu? Tusishabikie kila kitu jemeni

    14. #31
      T2015CCM's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 13th September 2012
      Posts : 3,673
      Rep Power : 0
      Likes Received
      38
      Likes Given
      14

      Default Re: Mtoto wa Wassira ajiunga Chadema

      Ameenda kwa kazi maalum,akiikamilisha anarudi

    15. #32
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,203
      Rep Power : 5040
      Likes Received
      2438
      Likes Given
      2227

      Default Re: Mtoto wa Wassira ajiunga Chadema

      Quote By Uwezo Tunao

      Na sasa pongezi za pekee ziwaendee Makamanda wapya Makongoro Wasira Junior, na Neema Kambona kwa kutoa mfano wa mwelekeo mpya kwa vijana kote nchini. Karibuni sana tukapiganie mabadiliko sote kwa pamoja tutashinda ufisadi na mauaji ya raia inayotekelezwa na CCM hivi sasa.

      Huyo Makongoro na Neema wana nini special mpaka unawapa pongezi za pekee? Je wao ni bora kuliko wengine waliojiunga? Je, hawa wakigombea uongozi hawatabebwa na huo uspecial mnaowapa?
      Je, haya ndio mabadiliko mnayohubiri?
      Uwezo Tunao likes this.
      "To greed, all nature is insufficient"

    16. #33
      Shark's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 25th January 2010
      Posts : 4,573
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1305
      Likes Given
      245

      Default Re: Mtoto wa Wassira ajiunga Chadema

      Katika zama hizi inahitaji akili ya maiti kuweza kuitetea CCM, otherwise labda uwe Mzee!!

    17. #34
      T2015CCM's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 13th September 2012
      Posts : 3,673
      Rep Power : 0
      Likes Received
      38
      Likes Given
      14

      Default Re: Mtoto wa Wassira ajiunga Chadema

      Makongoro nyerere amewahi kuwa mbunge wa arusha mjini kupitia nccr mageuzi lakini leo hii ni mwenyekiti wa ccm mkoa wa mara na ni mbunge wa afrika mashariki kupitia ccm

    18. #35
      IsayaMwita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2008
      Location : Tarime
      Posts : 1,046
      Rep Power : 871
      Likes Received
      82
      Likes Given
      6

      Default Re: Mtoto wa Wassira ajiunga Chadema

      Quote By Concrete
      Niliwahi kusikia pia Steven Wassira alikuwa ni miongoni mwa waasisi wa Chadema, wengine ni Bob Makani, Edwin Mtei, Freeman Mbowe nk.Mwenye kumbukumbu za uhakika anaweza kunisahihisha kama nipo wrong.
      uko sawa mkuu ana kadi namba 5, na bado hajarudisha,

    19. #36
      Uwezo Tunao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2010
      Posts : 6,900
      Rep Power : 2295
      Likes Received
      1154
      Likes Given
      1496

      Default Re: Mtoto wa Wassira ajiunga Chadema

      ZeMarcopolo mkuu nimekugongea LIKE hapo juu kutokana na sababu moja tu; umeonyesha kuwa ni CRITICAL THINKER mwenye uthubutu wa kuhoji mambo.

      Ni kutokana na sifa hiyo hiyo ndio maana Mkuu Ritz aka Ritz1 pamoja na Mkuu Pasco wato wamekua wakidaka sana tu ma-LIKES zangu ingawaje naelewa fika kwamba wote GAMBA GUMU SANA lakini katika makundi hasimu tofauti mle mle ndani ya CCM hii inayomfia Mkuu wa Kaya miguuni hivi sasa.


      Quote By ZeMarcopolo
      Huyo Makongoro na Neema wana nini special mpaka unawapa pongezi za pekee? Je wao ni bora kuliko wengine waliojiunga?

      Je, hawa wakigombea uongozi hawatabebwa na huo uspecial mnaowapa?
      Je, haya ndio mabadiliko mnayohubiri?
      ZeMarcopolo likes this.

    20. #37
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,233
      Rep Power : 28912
      Likes Received
      11714
      Likes Given
      4819

      Default

      Na kweli. Kwa hali ilivyo sio busara kuweka mayai yote kwenye kapu moja.
      Quote By Kaunga
      Au amesoma upepo akajua ili jina lao libaki lazima aingie kwenye chama chenye future!

    21. #38
      kichwat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th March 2010
      Posts : 1,044
      Rep Power : 692
      Likes Received
      215
      Likes Given
      24

      Default Re: Mtoto wa Wassira ajiunga Chadema

      tutaweza kutoka hapa tukiacha mambo ya 'Mtoto wa fulani' ...unless they're under 18.

    22. #39
      KOMBAJR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Posts : 3,895
      Rep Power : 5958
      Likes Received
      806
      Likes Given
      229

      Default

      Quote By ibange
      Katika watu wanaikashifu Chadema na kuwa na maneno ya maudhi ni Waziri Wassira. Sasa kwa kuonyesha kuwa M4C haina msamaha hata kwa familia yake mtoto wake aishie USA aitwae Makongoro Wassira amejinga na M4C. Akizungumza wakati anakabidhiwa kadi alisema yeye ni wa kwanza tu kujiunga M4C lakini ndugu zake wote wapo mbioni kujiunga na anadhani baba yake pekee ndie atabaki CCM. Peopleeeeeeeeeeeeeeee power.


      Viongozi wa Tawi la Chadema Houston wamkabidhi Kadi ya Chadema Makongoro Wassira
      Angalia picha hapa CHADEMA USA
      Nilikuwa nasubiri kusikia hata baba take typo mbioni kuvua gamba.otherwise good step

    23. #40
      Laurence's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th June 2011
      Location : ULIMWENGUNI
      Posts : 2,043
      Rep Power : 1394
      Likes Received
      175
      Likes Given
      41

      Default Re: Mtoto wa Wassira ajiunga Chadema

      Wacha tumtizame kwanza akileta tamaa kama za mzee wake tunampiga chini

    Page 2 of 9 FirstFirst 1234 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...