Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: M4C chini ya kamanda Mawazo yaendelea kuvunja ngome ya CCM Geita

    Report Post
    Results 1 to 15 of 15
    1. #1
      OMUSILANGA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Posts : 284
      Rep Power : 425
      Likes Received
      171
      Likes Given
      0

      Default M4C chini ya kamanda Mawazo yaendelea kuvunja ngome ya CCM Geita

      Ndiyo wakuu, heshima kwenu. Katika kutimilika kwa kauli ya mjinga akijitambua,mwelevu upo matatani ,hali imeendelea kujidhihirisha wiki hii ktk jimbo la Busanda, mkoani geita.

      Kwa mujibu wa maelezo ya Kamanda Mawazo Seleman, diwani wa zamani wa kata ya Sombetini, Arusha, aliye jivua gamba na kuvaa gwanda ni kuwa katika kata ya Katoro walivuna wanachama 150, kata ya Kaseme ktk vijiji vya kaduda na magenge walivuna wanachama 200, jana ktk kata ya Lwamugasa walivuna wanachama 200, jana hiyo hiyo jioni katika maeneo ya Kilombero moja walivuna wanachama 78 na Kilombero mbili walivuna wanachama 110.

      Leo mashambulizi yata endelea katika kata ya Bulela. Hivyo kwa uhalisia tu M4C wiki hii imevuna jumla ya wanachama wapatao 738. Haya ni maeneo ya vijijini ndani kabisa ambapo ccm chini propaganda za Nape wamekuwa wakijidai kuwa ni mtaji kwao. Je kwa mrejesho huu bado ccm ina mtaji vijijini? Zaidi tuta endelea kujuzana kuhusu harakati hizi. Naomba kuwasilisha.
      Kimox Kimokole, Mungi and Filipo like this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      KOMBAJR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Posts : 3,853
      Rep Power : 5948
      Likes Received
      798
      Likes Given
      227

      Default re: M4C chini ya kamanda Mawazo yaendelea kuvunja ngome ya CCM Geita

      Tulianza na Mungu na Tutamaliza na Mungu.........
      Filipo likes this.
      Face Reality As it Is, Not As it Was or As You Wish It To Be.

    4. #3
      Gwankaja Gwakilingo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th January 2012
      Location : Masoko Busisya
      Posts : 1,199
      Rep Power : 608
      Likes Received
      326
      Likes Given
      32

      Default re: M4C chini ya kamanda Mawazo yaendelea kuvunja ngome ya CCM Geita

      kila la kheri
      kwa pamoja ni lazima twende mbali zaidi ya maneno yetu...........039.mac

    5. #4
      Crashwise's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Safarini
      Posts : 13,087
      Rep Power : 14280
      Likes Received
      3980
      Likes Given
      3246

      Default re: M4C chini ya kamanda Mawazo yaendelea kuvunja ngome ya CCM Geita

      Chadema inanze kufundisha wapiga kura kulinda kura zao baada ya kupiga, wakifanya hivyo CCM bye bye 2015....
      genekai and Filipo like this.
      Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.... Malcolm X Nasubiri 'breaking news... '





    6. #5
      Sabung'ori's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th July 2011
      Posts : 822
      Rep Power : 560
      Likes Received
      233
      Likes Given
      16

      Default M4c yaitesa ccm geita

      *Wanachama wake 300
      watimkia Chadema
      ZAIDI ya wanachama 308 wa
      Chama Cha Mapinduzi (CCM)
      wilayani hapa, wamejiunga na
      Chama cha Demokrasia na
      Maendeleo (CHADEMA).
      Wanachama hao wamejiunga
      na Chadema kupitia mikutano
      mbalimbali ya Operesheni
      Sangara ya chama hicho chini ya
      kauli mbiu yake ya Vuguvugu la
      Mabadiliko (M4C).
      Mikutano hiyo inayofanyika
      katika vijiji mbalimbali vya
      Wilaya ya Geita, inaongozwa na
      aliyekuwa Diwani wa Sombetini
      mkoani Arusha kuptia CCM,
      aliyehamia Chadema, Alphonce
      Mawazo.
      Wanachama hao ambao baadhi
      yao ni wafuasi wa CUF,
      wanatoka vijiji vya Bukondo,
      Kaduda na Katoro, huku kati ya
      hao, 100 ni wanachama wapya
      wasiokuwa na vyama.
      Wakizungumza na Mtanzania
      kuhusiana na sababu za
      kujiunga na Chadema,
      wanachama hao walisema ni
      kutokana na Serikali ya CCM
      kukithiri kwa ufisadi.
      Walisema ufisadi na wizi wa
      fedha za umma umekuwa
      mkubwa serikalini, hali ambayo
      imefanya Serikali ishindwe
      kutatua kero mbalimbali
      zinazowakabili wananchi wa
      kipato cha chini.
      Mkazi mmoja wa Kijiji cha
      Kadudu, aliamua kujiunga na
      Chadema pamoja na wake zake
      wawili, kutokana na kuchoshwa
      na uonevu aliofanyiwa na
      Mtendaji wa Kijiji hicho, Fundi
      Makanza.
      Mtendaji huyo anadaiwa
      kumweka ndani mkazi huyo
      kwa kosa la kuwaandaa watu
      kujitokeza katika mkutano wa
      hadhara uliokuwa uhutubiwe
      na viongozi wa Chadema.
      Alisema ameamua kujiunga
      Chadema pamoja na wake zake
      wawili baada ya kuchoshwa na
      manyanyaso ya mtendaji huyo
      aliyejigeuza Mungu mtu na
      kwamba ameigeuza ofisi yake
      kuwa Mahakama.
      “Nashukuru viongozi wa
      Chadema wamenitoa, kutokana
      na shukurani hizi nimeamua
      nihamie Chadema maana
      pamoja na kuwa kada mzuri wa
      CCM sioni mabadiliko yoyote
      zaidi ya manyanyaso ya kila siku
      tunayofanyiwa na mtendaji.
      “Ukifikishwa ofisini kwake ni
      kama umefikishwa
      mahakamani, maana yeye
      huyohuyo ni mtendaji, ni polisi
      na mahakama, kwa hali hiyo
      unawezaje kuipenda CCM na
      kuendelea kubaki
      huko?”alilalama mwananchi
      huyo.
      Chanzo:Gazeti la Mtanzania

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      KIJOME's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 7th June 2012
      Posts : 1,323
      Rep Power : 0
      Likes Received
      244
      Likes Given
      220

      Default

      Quote By Crashwise
      Chadema inanze kufundisha wapiga kura kulinda kura zao baada ya kupiga, wakifanya hivyo CCM bye bye 2015....
      Ndio somo lililopo mkuu kuna kauli mbiu,piga kura linda kura yako.

    9. #7
      tedo's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th August 2011
      Location : uchochoroni
      Posts : 5,479
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1259
      Likes Given
      880

      Default re: M4C chini ya kamanda Mawazo yaendelea kuvunja ngome ya CCM Geita

      CDM go go go......Tilianza na Mungu tunamaliza na Mungu

    10. #8
      Ringo Edmund's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2010
      Location : MDAWI
      Posts : 3,670
      Rep Power : 1360
      Likes Received
      885
      Likes Given
      586

      Default Re: M4c yaitesa ccm geita

      huko si nasikia serikali ya ccm imepewa tsh 22mil ili kuwalipa posho polisi ili wachome nyumba za wananchi.
      ​kusema ni fedha na kusikilizwa ni zahabu.

    11. #9
      moseskwaslema's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd May 2012
      Posts : 61
      Rep Power : 367
      Likes Received
      7
      Likes Given
      2

      Default re: M4C chini ya kamanda Mawazo yaendelea kuvunja ngome ya CCM Geita

      pamoko sana makamanda wa m4c

    12. #10
      Havizya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 773
      Rep Power : 513
      Likes Received
      156
      Likes Given
      60

      Default re: M4C chini ya kamanda Mawazo yaendelea kuvunja ngome ya CCM Geita

      M4C noumar! Mwendo mdundo mpaka 2015, hakuna kulala mpaka kieleweke!

    13. #11
      Emeka Anyaoku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Posts : 430
      Rep Power : 442
      Likes Received
      134
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By moseskwaslema
      pamoko sana makamanda wa m4c
      hongera Mawazo,WEWE ULISEMA UNAITAKA KARATU,toka hapo UDSM uende kupiga kambi M4C KARATU MKUU Japo ni chadema ila utaendeleza harakati

    14. #12
      PakaJimmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2009
      Posts : 14,682
      Rep Power : 22519
      Likes Received
      6338
      Likes Given
      2831

      Default Re: M4C chini ya kamanda Mawazo yaendelea kuvunja ngome ya CCM Geita

      Ndiyo dawa iliyobaki kumwadhibu dhalim ccm.
      Ndipo watajua kuwaTz ina wenyewe.
      Filipo likes this.

    15. #13
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,158
      Rep Power : 24268
      Likes Received
      4669
      Likes Given
      2294

      Default Re: M4C chini ya kamanda Mawazo yaendelea kuvunja ngome ya CCM Geita

      Asante OMUSILANGA kwa taarifa mkuu!
      Hivi Synovate hawawezi kutupatia idadi ya wanachama hai na watiifu kwa ccm?
      Masikini Kikwete wa watu!
      Filipo likes this.
      "Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."

    16. #14
      Communist's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Location : Ubungo
      Posts : 2,714
      Rep Power : 2263
      Likes Received
      599
      Likes Given
      783

      Default Re: M4C chini ya kamanda Mawazo yaendelea kuvunja ngome ya CCM Geita

      Kama mtoto wa miaka mitatu anajua people power, basi tena.
      Simple life is healthier than egoism.

    17. #15
      Filipo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : Kiding'a
      Posts : 6,349
      Rep Power : 18614
      Likes Received
      3508
      Likes Given
      1612

      Default Re: M4C chini ya kamanda Mawazo yaendelea kuvunja ngome ya CCM Geita

      Quote By Mungi
      Asante OMUSILANGA kwa taarifa mkuu!
      Hivi Synovate hawawezi kutupatia idadi ya wanachama hai na watiifu kwa ccm?
      Masikini Kikwete wa watu!
      Mkuu hawawezi kabisa. maana data zao wakishazipata wanapeleka "kivukoni" zikapikwe! Wanaposoma wanakuwa kama Samwel Kivuitu. Kwamba hata yeye hajui chochote. Amepewa asome tu!
      Times the time before time times you!

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...