- Inaonyesha mpaka wa Tanzania na Malawi .
- Mikoa mipya na wilaya mpya 19.
- Inaonyesha mpaka wa Tanzania na Malawi .
- Mikoa mipya na wilaya mpya 19.
Good point!........sidhani kama watu wanasema kwa serikali kutoa hiyo Ramani ndio tumemaliza "gogoro" lililopo..........kinachosemwa hapa ni kama ifuatavyo:
Under sheria za nchi...idara husika imetoa ramani ili kuondoa confusions zilizopo nchini....kwani kuna versions za kila aina za ramani ya Tanzania....hadi kwenye majengo mengine ya seriakali........we were just taking this matter lightly!!.......wakati versions za ramani zetu nyingi hadi machinga mtaani wanaziuza.......zina makosa kibao..........
pili, baadhi ya wajumbe wanatoa wito kwa wahusika kuwajibika na kuwa proactive na sio kuwa reactive..........
Dah, nina mashaka na uelewa wako, jiulize tu, nchi zinapomeguka e.g Sudani na Sudan Kusini, Eritrea na Ethiopia, ramani zilibaki vile vile? Au zilirekebishwa! Najua utakuwa ulishapata jibu. Kwa maana hiyo, ramani hiyo itapelekwa kote huko na kuonesha ongezeko na mipaka mipya ya tanzania. Pia nchi nyingi tu zimebadilisha mipaka na majimbo yao ya ndani na kuja na mipaka mipya kwa ndani, hili si suala jipya mkuu.
Hivi Joyce Banda ana mme? She might be frustrated
ramani hii inahusu mikoa na wilaya kimsingi,ukiangalia tanzania ni ya mwaka 1964 na tanganyika ni kabla ya 1964.pia ukiangalia znz ni visiwa ambavyo vlko nje ya ramani ya tanganyika,je hili litaleta ushawishi wa kimantiki kuhusu mpaka wetu na malawi?
ni jambo jema
Tanzania Tunaishi zaidi kwa Mazoea kwa vile baadhi ya watanzania wameitumia fursa hiyo kujitengenea maisha yao binfsi hivyo kila jambo lipo shaghala baghala.
Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.
“In the new map, the boundary between Tanzania and Malawi is in the middle of lake Nyasa as it is shown in the old map,” said Dr Mayunga
Reacting to the development, Deputy Minister of Foreign Affairs Rachael Zulu said in an interview yesterday that the government would challenge the development at the next round of discussions with Tanzania over the dispute.
"I am not sure if we expected this. That's a very new development to the situation and it will be subject to discussions as well. However, this is a legal matter and we will have to map the way forward," said Zulu, observing that despite the development, round table talks would continue between the two.
"This will not jeopardise the talks. We are still waiting for the attorney generals of both countries to exchange legal opinions, once that is done, the dates will be set for a fresh round of talks," Zulu said.
The Citizen newspaper of Tanzania quotes that country's Director of Survey and Mapping in the ministry of Land, Housing and Human Settlement Development, Selasie Mayunga as saying the new map now clears the "confusion" regarding the Tanzania-Malawi border on the lake which Tanzania calls Nyasa.
"In the new map, the boundary between Tanzania and Malawi is in the middle of Lake Nyasa [Malawi] as it is shown in the old map," Mayunga is quoted as saying in The Citizen.
The move should come as a surprise to Lilongwe at a time government officials of both countries have been making assurances to commitment to the talks.
The last round of talks, scheduled for Tanzania were postponed after Tanzania signalled that it was not ready with its legal case.
Duh .. my TZ geography knowledge has essentially ''expired''! Maana ndiyo kwa mara ya kwanza naona majina ya ajabuajabu kama Mkalama, Itilima, Mlele, Wagingómbe, Momba, etc. My knowgeography ya TZ upya
Follow Us Here