Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: On Star TV: Ipi Misingi ya Amani Tanzania? Sehemu ya 3

    Report Post
    Page 4 of 7 FirstFirst ... 23456 ... LastLast
    Results 61 to 80 of 135
    1. #1
      Yahya Mohamed's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Posts : 267
      Rep Power : 495
      Likes Received
      300
      Likes Given
      134

      Default On Star TV: Ipi Misingi ya Amani Tanzania? Sehemu ya 3

      Salaam wakuu

      Katika muendelezo wa mjadala juu ya Amani ya Tanzania, Leo tupo katika sehemu ya Tatu na lengo lilikuwa kuzungumza na Viongozi wa Dini na Jeshi la Polisi.

      Viongozi wa Jeshi la Polisi wametoa udhuru na tutajaribu tena JUMAPILI ijayo.

      Dar wapo:
      Mzee Salum Jazaa - mstaafu JWTZ
      Mzee Juma Farijala - Mwananchi Mkazi wa Dar

      Mwanza wapo:

      Sheikh Hassan Kabeke - m/Kiti JUKUSUTA
      Mch.Garlod Deuli - akimwakilisha M/Kiti umoja wa Makanisa Mkoa wa Mza

      Karibuni kwa mjadala!

      Kwa kumbukumbu:

      On STAR TV: Ipi misingi ya Amani? Sehemu ya Pili
      &
      On Star TV: Ipi Misingi ya Kuendeleza Amani Tanzania?
      GLORY TO GOD


    2. #61
      dudus's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 2,339
      Rep Power : 1018
      Likes Received
      1323
      Likes Given
      531

      Default Re: On Star TV: Ipi Misingi ya Amani Tanzania? Sehemu ya 3

      Quote By Maxence Melo View Post
      Hiyo sauti ni ya Mbunge, nadhani wengi mmeshajua nani! Kajiita nani vile? Hahahaha
      Ha ha ha ha ha! Sauti ilikuwa obvious Mkuu. Kajiita Zahra kutoka Morogoro. Hawa jamaa uongo ni jadi yao; wanasahau pia uongo ni miongoni mwa mambo yanayohatarisha amani ya nchi yetu tena unashika nafasi ya juu.

      Bila aibu mtu mkubwa kama yeye anaingiza uongo katika mijadala ya kawaida kabisa. In short, aliyejiita Zahra ni miongoni mwa wenyeviti kule mjengoni na ingeshangaza kama angeongea kinyume na aliyoyaongea.

    3. #62
      julian ashton's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Posts : 34
      Rep Power : 367
      Likes Received
      7
      Likes Given
      3

      Default Re: On Star TV: Ipi Misingi ya Amani Tanzania? Sehemu ya 3

      Quote By NYAKIMWE View Post
      (Si ya kusoma)
      Mkuu Yahya leo mmechemka sana kutuletea hao makada wa CCM. Mmeshindwa ku balance mjadala wa leo. Mzee Falijara na mwenzio ni wanachama wa CCM, nashauri mjirekebishe

      Asante Mkuu
      Du huyu mzee wa Dar ameua zaidi hapa mwishoni, kwa kusema tusiwadharau star tv, bali tupeleke maoni yetu ITV wakati hata haihusiki. inaonyesha hawa wazee hawana sera, the brain has nothing constructive, amewatukana ITV for nothing just kukwepa mjadala mzito uliopo mezani, wanataka tu kulinda CCM, hell!!!!

    4. #63
      Mtego wa Noti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2010
      Location : kichakani
      Posts : 2,078
      Rep Power : 849
      Likes Received
      328
      Likes Given
      580

      Default Re: On Star TV: Ipi Misingi ya Amani Tanzania? Sehemu ya 3

      Hivi Mods wa leo ni akina nani? wamenifurahisha sana jinsi wanavyo-breakdown maswali ya wachangiaji...BIG UP MOds and JF Founder!
      Ncha ya mkuki haipigwi ngumi, na kina cha maji hakipimwi kwa kutia miguu yote kwenye maji!!!

    5. #64
      Ringo Edmund's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2010
      Location : MDAWI
      Posts : 3,673
      Rep Power : 1365
      Likes Received
      886
      Likes Given
      586

      Default Re: On Star TV: Ipi Misingi ya Amani Tanzania? Sehemu ya 3

      kha,wazee tulionao ndo hawa,hawezi kuwa hata na hekima ya kujua kutaja itv katika kituo cha star tv kwa shutuma kali hivyo ni kosa.

      HIVI MZEE KAMA HUYU ANGEKERWA NA WAZIRI MKUU ANGEMFANYAJE.
      ​kusema ni fedha na kusikilizwa ni zahabu.

    6. #65
      morenja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Posts : 297
      Rep Power : 431
      Likes Received
      56
      Likes Given
      8

      Default

      Quote By Zhu View Post
      Wangealikwa CDM pia.
      du star tv leo .hawo wazee .wamechafua hali ya hewa ,kwa ujumla leo mmechemsha


    7. #66
      BHULULU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Posts : 3,176
      Rep Power : 8416
      Likes Received
      903
      Likes Given
      740

      Default Re: On Star TV: Ipi Misingi ya Amani Tanzania? Sehemu ya 3

      Hao wazee wa DAR wamejichanganya kweli, wameonesha wameegemea wapi

    8. SG8 is offline
      SG8
      #67
      SG8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th December 2009
      Location : DSM
      Posts : 2,587
      Rep Power : 4187
      Likes Received
      780
      Likes Given
      733

      Default Re: On Star TV: Ipi Misingi ya Amani Tanzania? Sehemu ya 3

      Yahya umeonyesha busara na weledi wa hali ya juu kuiomba msamaha ITV.

      James Range alipswa kumzuia yule Mzee kutaja chombo kingine cha habari kupitia chombo cha habari.

      Hongera sana Yahya Mohamed kwa jinsi unavyoendesha mijadala Star TV
      "Tumefika hapa kutokana na udhaifu wa Rais Kikwete,Uzembe wa Bunge na Upuuzi wa CCM"

    9. #68
      Toto14's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 11th September 2012
      Posts : 6
      Rep Power : 342
      Likes Received
      1
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By Gwalihenzi View Post
      Mzee Farijara na huyo mzee mwenzio naomba mtufahamishe, Polisi kazi zao ni kukamata watuhumiwa na kuwafikisha mahakamani, iweje waanze kujitwalia sheria mikononi na kuwaadhibu watuhumiwa?

      Kote walikoua watu, watu hao hawakuwa na silaha yoyote mikononi mwao, kwanini polisi waliwaua badala ya kuwakamata na kuwafikisha mahakamani?
      Hawa wazee frm dsm wameboa sana kwakweli yaan hovyo kabisa! Halafu Jestita muhagama amepiga simu amepanic mwisho wasiku eti hao wazee wapo sawa Khaa! Hovyo kabisaa 'mzee kachemka mpaka amesababisha hawa mtangazaj aombe Radhi kwa ITV aisee StarTv muwe mnatuletea watu walio timamu maana tunaacha usingizi wetu halafu ukikuta ujinga kama huu unaishia kukasirika 'Sheikh na Askof mkovizuri

    10. #69
      julian ashton's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Posts : 34
      Rep Power : 367
      Likes Received
      7
      Likes Given
      3

      Default Re: On Star TV: Ipi Misingi ya Amani Tanzania? Sehemu ya 3

      Quote By dudus View Post
      Ha ha ha ha ha! Sauti ilikuwa obvious Mkuu. Kajiita Zahra kutoka Morogoro. Hawa jamaa uongo ni jadi yao; wanasahau pia uongo ni miongoni mwa mambo yanayohatarisha amani ya nchi yetu tena unashika nafasi ya juu.

      Bila aibu mtu mkubwa kama yeye anaingiza uongo katika mijadala ya kawaida kabisa. In short, aliyejiita Zahra ni miongoni mwa wenyeviti kule mjengoni na ingeshangaza kama angeongea kinyume na aliyoyaongea.
      Ni hatariiiiiiiiiiii
      Huyu mamaa ni afisa tawala wa ngazi za juu wa CCM, anajifanya mwema, kumbe analinda kitumbua chake....du
      samahani mama tayari kitumbua chako kimeshangia mchanga, tena wa pwani

    11. #70
      Mupirocin's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th January 2011
      Location : Tanzania
      Posts : 1,564
      Rep Power : 809
      Likes Received
      525
      Likes Given
      411

      Default Re: On Star TV: Ipi Misingi ya Amani Tanzania? Sehemu ya 3

      Yahya unabusara sana, hongera kwa ufafanuzi kuhusu ITV coz huyu mzee anaonekana ni limbukeni. Na ndiyo maana watazmaji wengi leo wamelaum coz ya misimamo kama hiyo ambayo direct inaonyesha uko upande gani wa mawazo.

      Next time tuangalie watu wa kuwaalika other wise watashusha hadhi tv imara kama Star Tv ambayo wakati wote imekuwa ikitoa matangazo yake bila upendeleo wowote.

      Other wise big up Star tv na watangazaji wake.
      jogoolakigoma. likes this.

    12. #71
      reformer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd July 2011
      Posts : 296
      Rep Power : 459
      Likes Received
      79
      Likes Given
      6

      Default Re: On Star TV: Ipi Misingi ya Amani Tanzania? Sehemu ya 3

      Yahya..leo nimekubali ww you are one of the few professional journalists hapa TZ baada ya kuapologize kwa pumba za huyo babu kuiponda ITV.
      Lakini tulishawahi kukuonya kuhusu huyo mzee kwamba hafai kualikwa kwenye mijadala..I hope leo mmejifunza.
      Kaa la Moto and Star TV like this.

    13. #72
      TOWNSEND's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th May 2011
      Location : kwa ngulelo
      Posts : 1,160
      Rep Power : 643
      Likes Received
      201
      Likes Given
      31

      Default Re: On Star TV: Ipi Misingi ya Amani Tanzania? Sehemu ya 3

      Quote By dudus View Post
      Ha ha ha ha ha! Sauti ilikuwa obvious Mkuu. Kajiita Zahra kutoka Morogoro. Hawa jamaa uongo ni jadi yao; wanasahau pia uongo ni miongoni mwa mambo yanayohatarisha amani ya nchi yetu tena unashika nafasi ya juu.

      Bila aibu mtu mkubwa kama yeye anaingiza uongo katika mijadala ya kawaida kabisa. In short, aliyejiita Zahra ni miongoni mwa wenyeviti kule mjengoni na ingeshangaza kama angeongea kinyume na aliyoyaongea.
      mimi nimeisikia hio sauti ni kama ya mama shelukindo sijui wenzangu maanake masikio yana uwezo tofauti ila hao wazee wakati wa kumalizia wameonesha hasra ya wazi....
      For tommorow belonging to those people who prepared fo it

    14. #73
      morenja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Posts : 297
      Rep Power : 431
      Likes Received
      56
      Likes Given
      8

      Default

      Quote By mpigauzi View Post
      Kama viongozi wote wa dini wangekuwa kama hawa waliopo Mwanza, haya matatizo yasingekuwepo.

      CCM inaeneza udini na imefanya kuwa mtaji wao, na baadhi ya viongozi wa dini wamejiingiza humo na kushabikia udini.
      vipi Range naona umeinamisha kichwa .wazee wanakutia aibu ,
      Kimox Kimokole likes this.

    15. #74
      Nicholas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 6,478
      Rep Power : 3917
      Likes Received
      1521
      Likes Given
      2681

      Default Re: LIVE on Star TV: Ipi Misingi ya Amani Tanzania? Sehemu ya 3

      Quote By Neiwa View Post
      Acha kupotosha... nyie ndio wale washabiki wakutia sumu katika akili za wakurupukaji na bendera fuata upepo bila kuuliza. Umemsikiliza, wafanyie haki Watanzania ambao hawajabahatika kusikiliza wajue kasema nini!

      Kaongea ya msingi na namuungua mkono kwa kiasi fulani, ingawa kaegemea mno upande mmoja.
      Sidhani kama na wewe un atofauti. Kuna vitu ni trickky sana na vinahitaji conventional wisdom kujibu. Kuna vitu sheria haiwezi vipa majibu ya wazi ila busara ndio kutoafautisha weledi wa watu. Hawa akina mama na jamaa wa studio leo hawawezi vuka hicho kikwazo.

      Yaani kama kusimama katika gari na kumpisha bibi mzee. Sheria haina jibu sahihi,kwani kama gari limejaa bibi angesubiri la nyuma, na kama ni haki kila mtu ana haki ya kusafiri,kama ni kulip anauli kila mtu nalipa hela ambayo ilipatika kwa taabu.
      SIMPLY THE RADICAL: I can`t wait to see the criminalization of CCM,UWT,Bunch of Policemen/women,and all wanafiki na wachumia tumbo.

    16. #75
      KIJOME's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2012
      Posts : 1,513
      Rep Power : 656
      Likes Received
      279
      Likes Given
      256

      Default Re: On Star TV: Ipi Misingi ya Amani Tanzania? Sehemu ya 3

      Kweli shetani ni noma akiamua kukuumbua anakupa kubwa!

      Huyo babu wa Dar tunamsema ana ngozi ya magamba anabisha; angalieni sasa amewaingiza mkenge kaitukana ITV kupitia Star tv, huu ni uvunjifu wa amani pia...

      Tunashukuru maoni yetu yamejiweka wazi next time jipangeni wakuu.
      dudus likes this.

    17. #76
      dudus's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 2,339
      Rep Power : 1018
      Likes Received
      1323
      Likes Given
      531

      Default Re: On Star TV: Ipi Misingi ya Amani Tanzania? Sehemu ya 3

      Quote By CHABURUMA View Post
      Falijala anatoa povu ni msengenyaji mkubwa anaikashfu ITV.
      Mwanzoni kabisa Post #2 nilionya aina ya watu walioletwa studio hususan Dar Mods wakaifuta. I knew this would happen.

      Imagine aina hii ya watu eti ndio watetezi wa CCM halafu unategemea chama kihesimiwe na kupendwa! Wapi na wapi bana?

      Enzi hizo zimepita hata waje na propaganda za aina gani wamefulia. Kweli kuitetea CCM ya sasa, lazima uwe na akili za ajabu.

    18. #77
      Godlove jn's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th July 2011
      Posts : 14
      Rep Power : 405
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: On Star TV: Ipi Misingi ya Amani Tanzania? Sehemu ya 3

      wazee wa dar jumapil ijayo Yahaya usiwalete kabisa!

    19. #78
      Las Mas Bobos's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2012
      Posts : 986
      Rep Power : 550
      Likes Received
      317
      Likes Given
      97

      Default Re: On Star TV: Ipi Misingi ya Amani Tanzania? Sehemu ya 3

      Sasa hawa wazee ndio taswira ya watu wanaosema wanatuongoza kwa haki na uadilifu. Mawazo shallow namna hii nani wa kuwasikiliza hawa huku mjini?

      Huyu mwanajeshi anaonekana angepata nafasi basi angelipua bomu la machozi tumboni kwa mtu kwa jinsi alivyo na jazba.
      By the time a man comes to realize that his father was right, he usually has a son who think he is wrong.

    20. #79
      dudus's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 2,339
      Rep Power : 1018
      Likes Received
      1323
      Likes Given
      531

      Default Re: On Star TV: Ipi Misingi ya Amani Tanzania? Sehemu ya 3

      Quote By KIJOME View Post
      Kweli shetani ni noma akiamua kukuumbua anakupa kubwa,huyo babu wa dar tunamsema anangozi ya magamba anabisha angalieni sasa amewaingiza mkenge kaitukana itv kupitia star tv,huu ni uvunjifu wa amani pia...tunashukuru maoni yetu yamejiweka wazi next time jipangeni wakuu.
      Mkuu gamba halijifichi hata ufanyeje! Nilionya kabla mods wakafuta post yangu. Enzi za ujinga zimepita.
      Kimox Kimokole likes this.

    21. #80
      Uncle Rukus's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2010
      Location : Kasulu Kigoma
      Posts : 2,364
      Rep Power : 934
      Likes Received
      353
      Likes Given
      288

      Default Re: On Star TV: Ipi Misingi ya Amani Tanzania? Sehemu ya 3

      Huyu mzee Farijala amemalizia kwa kuonyesha uhalisia wake... Kama hizi ndizo busara za wazee wetu basi Tanzania tuna safari ndefu sana..

      Pongezezi zangu nyingi kwa team mzima ya Statv kwa kutuletea kipindi hiki kizuri, naomba muwe makini na wageni wenu mnaowaleta Studio wanawaaribia kipindi chenu kama ilivyo tokea leo.

    Page 4 of 7 FirstFirst ... 23456 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...