Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tendwa sasa aiangukia Chadema

    Report Post
    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 21 to 40 of 73
    1. #1
      Zak Malang's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2008
      Posts : 4,835
      Rep Power : 1921
      Likes Received
      187
      Likes Given
      2

      Default Tendwa sasa aiangukia Chadema

      Leo asubuhi ktk kipindi cha Nipashe cha Radio 1 Stereo Tendwa alionekana akiwabembeleza CDM wakutane naye, akitoa haja kwamba ule mkutano wa juzi kati yake na vyama hauhusiani kabisa na madai yao, hivyo anawashangaa kwa nini hawakuhudhuria mkutano, na hata vyama vingine vilivyohudhuria viliwashangaa CDM.

      Kama kawaida mtangazaji aliyekuwa akimhoji alishindwa kumuuliza swali la msingi kabisa - kwa nini yeye Tendwa, baada ya tukio la kuuwawa kwa Mwangosi alikimbilia kwenda vyombo vya habari na kutoa kauli ya moja kwa moja kuilaumu CDM kuhusiana na tukio hilo na kutishia kukifuta CDM?

      Yaani mtangazaji hakumuuliza kwa nini hata kabla ya tume ya uchunguzi kufanya kazi yake yeye aliishaamua kuwa CDM ndiyo wakosaji, hivyo kingefaa kufutwa. Pia mtangazaji hakumuuliza Tendwa kwa nini badala ya kwenda vyombo vya habari asiombe kwanza kukutana na CDM kabya ya kubwabwaja katika vyombo vya habari?

      Kwa ujumla Tendwa alionekana kama vile anawabembeleza CDM wakutane.

      Ushauri wangu: CDM wakutane na Tendwa lakini kwa sharti moja -- afute na aombe radhi kauli yake kwa vyombo vya habari kwamba CDM ndiyo mhusika wa tukio la mauaji ya Mwangosi hadi kufikia kutishia kukifuta chama.
      Being prolific doesnt mean you are an accomplished person

    2. Miaka 50

    3. #21
      masopakyindi's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 3,706
      Rep Power : 4188
      Likes Received
      989
      Likes Given
      410

      Default Re: Tendwa sasa aiangukia Chadema

      Quote By ZeMarcopolo
      Katika thread post mbona hakuna sehemu inayoonyesha kuwa Tendwa kaiangukia CDM?
      Mkuu ni ile litu inaitwa wishful thinking, au pengine jamaa wanatafuta mwanya wa kupiga u- turn iliruzuku isiote mbawa.
      "If you don't know where you are going, any road will get you there-nowhere”

    4. #22
      segwanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th March 2011
      Posts : 1,333
      Rep Power : 680
      Likes Received
      335
      Likes Given
      0

      Default Re: Tendwa sasa aiangukia Chadema

      Tendwa hakuwalaum moja kwa moja cdm,alikuwa makini ktk kauli yake kwamba chama chochote kitakacho sababisha kifo katika mikutano yake hatasita kukifuta.Of course mlengwa ni cdm

    5. #23
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,628
      Rep Power : 10157
      Likes Received
      5644
      Likes Given
      12664

      Default Re: Tendwa sasa aiangukia Chadema

      waislamu waliandmana k chekundu bila kibali.atawafuta?
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    6. #24
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,435
      Rep Power : 19775
      Likes Received
      4279
      Likes Given
      906

      Default

      Tatizo viongozi wa serikali ya ccmweli hawawezi kukubali kuomba msamaha na huwa hawaoni kama wanakosea!

      Quote By NDEVU SI MZIGO
      Leo asubuhi ktk kipindi cha Nipashe cha Radio 1 Stereo Tendwa alionekana akiwabembeleza CDM wakutane naye, akitoa haja kwamba ule mkutano wa juzi kati yake na vyama hauhusiani kabisa na madai yao, hivyo anawashangaa kwa nini hawakuhudhuria mkutano, na hata vyama vingine vilivyohudhuria viliwashangaa CDM.

      Kama kawaida mtangazaji aliyekuwa akimhoji alishindwa kumuuliza swali la msingi kabisa - kwa nini yeye Tendwa, baada ya tukio la kuuwawa kwa Mwangosi alikimbilia kwenda vyombo vya habari na kutoa kauli ya moja kwa moja kuilaumu CDM kuhusiana na tukio hilo na kutishia kukifuta CDM?

      Yaani mtangazaji hakumuuliza kwa nini hata kabla ya tume ya uchunguzi kufanya kazi yake yeye aliishaamua kuwa CDM ndiyo wakosaji, hivyo kingefaa kufutwa. Pia mtangazaji hakumuuliza Tendwa kwa nini badala ya kwenda vyombo vya habari asiombe kwanza kukutana na CDM kabya ya kubwabwaja katika vyombo vya habari?

      Kwa ujumla Tendwa alionekana kama vile anawabembeleza CDM wakutane.

      Ushauri wangu: CDM wakutane na Tendwa lakini kwa sharti moja -- afute na aombe radhi kauli yake kwa vyombo vya habari kwamba CDM ndiyo mhusika wa tukio la mauaji ya Mwangosi hadi kufikia kutishia kukifuta chama.

    7. #25
      Mama Mdogo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2007
      Posts : 1,346
      Rep Power : 856
      Likes Received
      662
      Likes Given
      72

      Default Re: CHADEMA wasusa ruzuku ya Tendwa

      Quote By Ngoromiko
      Thubutu!!! we-we-we CDM hawana ubavu wa kususia ruzuku. In fact Mbowe ataua mtu iwapo ruzuku itakatwa. Amekuwa akijenga CDM kwa lengo la kupata ruzuku zaidi, sasa iweje asuse? Ni sawa na kuwa na hisa kwenye kampuni halafu wakati wa kugawana gawiwo ususe kupokea.


      Hayo ndiyo matatizo ya mtu kukurupuka kuandika taarifa wakati kichwani bado ana hangover ya mikiki mikiki ya maisha ya jana yake!!! Kajipange vizuri ndipo uje uandike!!!
      Chakaza and Chakaza like this.
      Anyone who has never made a mistake has never tried anything new - Albert Einstein
      No problem can be solved from the same level of consciousness that created it
      - Albert Einstein


    8. Study Abroad

    9. #26
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,152
      Rep Power : 24267
      Likes Received
      4662
      Likes Given
      2294

      Default Re: Tendwa sasa aiangukia Chadema

      Tendwa ni kada wa ccm, hakuna haja ya kukubali wito wake, chadema wakomae!
      "Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."

    10. #27
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,663
      Rep Power : 1907
      Likes Received
      1562
      Likes Given
      676

      Default Re: Tendwa sasa aiangukia Chadema

      Quote By Adolph
      haka kazeee nakachukia mpaka akasababishwa nikapigwa ban..ndo nimerudi juzi asije akanipandisha hasira nikapigwa ban tena...
      Mkuu Adolph hivi vibabu vinavyotetemeka vikiona kaburi huwa ni hatarishi sana kwa ban

    11. #28
      sambamba's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 162
      Rep Power : 391
      Likes Received
      23
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By SIERA
      Walishindwa kususia shangingi la mbowe itakua ruzuku aaaaaaaaah
      Hata wagonjwa wa akili ni sehemu ya jamii yetu ucjali na ugonjwa wako bado tunakuthamini ila punguza kubwabwaja

    12. #29
      sambamba's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 162
      Rep Power : 391
      Likes Received
      23
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By BAK
      Alikurupuka huyu mtumishi wa magamba sasa anaijutia kauli yake. Amejidhihirisha kama ni kibaraka anayetumiwa na magamba.
      Andika wewe

    13. #30
      Jiwejeusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2011
      Posts : 359
      Rep Power : 478
      Likes Received
      41
      Likes Given
      0

      Default Re: Tendwa sasa aiangukia Chadema

      nilitaka nimtukane sana huyu babu lakini nikakumbuka ban.

    14. #31
      raymg's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Posts : 643
      Rep Power : 475
      Likes Received
      143
      Likes Given
      15

      Default Re: Tendwa sasa aiangukia Chadema

      No one in the current system anaweza kuomba msamaha to the mass.......tendwa hawez fanya hivyo hata cku moja! Na viongoz wetu hasa waliopo kwenye mihimiri tofaut hufanya kaz kwa pressure kubwa toka juu, na hii n kuotoka na kuteuliwa na only one person, hivyo kuomba msamaha n kwenda kinyume na aliyekuweka hapo......"Katiba yetu"

    15. #32
      Kashishi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th April 2010
      Posts : 230
      Rep Power : 508
      Likes Received
      50
      Likes Given
      29

      Default Re: Tendwa sasa aiangukia Chadema

      Quote By NDEVU SI MZIGO
      Leo asubuhi ktk kipindi cha Nipashe cha Radio 1 Stereo Tendwa alionekana akiwabembeleza CDM wakutane naye, akitoa haja kwamba ule mkutano wa juzi kati yake na vyama hauhusiani kabisa na madai yao, hivyo anawashangaa kwa nini hawakuhudhuria mkutano, na hata vyama vingine vilivyohudhuria viliwashangaa CDM.
      Kama kawaida mtangazaji aliyekuwa akimhoji alishindwa kumuuliza swali la msingi kabisa - kwa nini yeye Tendwa, baada ya tukio la kuuwawa kwa Mwangosi alikimbilia kwenda vyombo vya habari na kutoa kauli ya moja kwa moja kuilaumu CDM kuhusiana na tukio hilo na kutishia kukifuta CDM?

      Yaani mtangazaji hakumuuliza kwa nini hata kabla ya tume ya uchunguzi kufanya kazi yake yeye aliishaamua kuwa CDM ndiyo wakosaji, hivyo kingefaa kufutwa. Pia mtangazaji hakumuuliza Tendwa kwa nini badala ya kwenda vyombo vya habari asiombe kwanza kukutana na CDM kabya ya kubwabwaja katika vyombo vya habari?

      Kwa ujumla Tendwa alionekana kama vile anawabembeleza CDM wakutane.

      Ushauri wangu: CDM wakutane na Tendwa lakini kwa sharti moja -- afute na aombe radhi kauli yake kwa vyombo vya habari kwamba CDM ndiyo mhusika wa tukio la mauaji ya Mwangosi hadi kufikia kutishia kukifuta chama.
      Wacha Chadema waendelee kumsusia hivyo hivyo. Na wamwache huyo mtu mzima hovyo huyo akiendelea kuweweseka na kula matapishi ya kauli zake mwenyewe. Tendwa ameshakuwa "antique" na hana msaada wowote kwenye haraka za ukombozi wa Tanzania kwani amekosa sifa zote za mlinzi wa haki za jamii ya Tanzania.

    16. #33
      dudus's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 2,294
      Rep Power : 1004
      Likes Received
      1288
      Likes Given
      520

      Default Re: Tendwa sasa aiangukia Chadema

      Basi thread kama hizi ndio utaona wale viroboto wa magamba wamejazana huku. Mbona hamjaonekana kwenye ile ya Star TV kuhusu Amani ya Tanzania na wale wazee wenu wa Dar (Farijala, et. al.) walioishia kutukana? Nendeni na kule mkachangie kama mna ubavu.
      babuwaloliondo likes this.

    17. #34
      iseesa's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 940
      Rep Power : 0
      Likes Received
      204
      Likes Given
      53

      Default Re: Tendwa sasa aiangukia Chadema

      Quote By Ringo Edmund
      Yule mzee nilishamweka kwenye kundi la wazee wanaozeeka vibaya.
      Alikuwa haja"MIMINA" KONYAGI?

    18. #35
      Filipo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : Kiding'a
      Posts : 6,349
      Rep Power : 18614
      Likes Received
      3508
      Likes Given
      1612

      Default

      Quote By dudus
      Basi thread kama hizi ndio utaona wale viroboto wa magamba wamejazana huku. Mbona hamjaonekana kwenye ile ya Star TV kuhusu Amani ya Tanzania na wale wazee wenu wa Dar (Farijala, et. al.) walioishia kutukana? Nendeni na kule mkachangie kama mna ubavu.
      huwa wanatafuta mahali wanaweza kutoa mipasho! Lol...

    19. #36
      Mtoboasiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th August 2009
      Location : Am at Large!
      Posts : 3,598
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1153
      Likes Given
      745

      Default Re: CHADEMA wasusa ruzuku ya Tendwa

      Quote By Ngoromiko
      Thubutu!!! we-we-we CDM hawana ubavu wa kususia ruzuku. In fact Mbowe ataua mtu iwapo ruzuku itakatwa. Amekuwa akijenga CDM kwa lengo la kupata ruzuku zaidi, sasa iweje asuse? Ni sawa na kuwa na hisa kwenye kampuni halafu wakati wa kugawana gawiwo ususe kupokea.
      Siamini ulikuwa unajua unachokisema kuhusu hapo kwenye RED, this is a Freudian Slip!

    20. #37
      Ngoromiko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th September 2011
      Posts : 452
      Rep Power : 437
      Likes Received
      85
      Likes Given
      114

      Default Re: CHADEMA wasusa ruzuku ya Tendwa

      Quote By Mama Mdogo


      Hayo ndiyo matatizo ya mtu kukurupuka kuandika taarifa wakati kichwani bado ana hangover ya mikiki mikiki ya maisha ya jana yake!!! Kajipange vizuri ndipo uje uandike!!!
      Mama Mdogo, sijakurupuka. Ukweli ni kwamba kwa wanaoifahamu CDM, kwa jinsi wanavyotembeza bakuli wakiwakamua walalahoi ili viongozi (Slaa/Mbowe/etc) waendelee kutanua na familia zao, leo hii kutangaza kususia ruzuku ni kiini macho.

      Siku CDM wakisusia hiyo ruzuku, mimi nitasusia mshahara wangu kwa mwaka mzima huku nikiendelea kuchapa mzigo kama kawa.

    21. #38
      Mama Mdogo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2007
      Posts : 1,346
      Rep Power : 856
      Likes Received
      662
      Likes Given
      72

      Default Re: CHADEMA wasusa ruzuku ya Tendwa

      Quote By masopakyindi
      Small Mother, umerudi!
      Karibu tena.
      Nipo nimerudi jana, nilikuwa huko vijijini Ushirombo / Bukombe. Nimekuja na matenga mawili ya kuku wa kienyeji. Mwatunyima nini huko kwenu???
      Anyone who has never made a mistake has never tried anything new - Albert Einstein
      No problem can be solved from the same level of consciousness that created it
      - Albert Einstein


    22. #39
      Imany John's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th July 2011
      Posts : 1,963
      Rep Power : 2975
      Likes Received
      470
      Likes Given
      4

      Default Re: Tendwa sasa aiangukia Chadema

      Ni haramu mwanaume ambaye hapimwi kwa kuvaa suruali kulamba matapishi yake mwenyewe.
      Cdm wasikubali kupulizwa na TENDWA WIND!

    23. #40
      dotto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2010
      Posts : 1,395
      Rep Power : 717
      Likes Received
      156
      Likes Given
      16

      Default Re: Tendwa sasa aiangukia Chadema

      cdm inasubiri sensible msajiri siyo huyu ins....ane. By Kambarage.

    24. FemaTV & Radio
    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...