Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: CHADEMA yamuumbua mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 77
    1. #1
      Ringo Edmund's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2010
      Location : MDAWI
      Posts : 3,670
      Rep Power : 1360
      Likes Received
      885
      Likes Given
      586

      Default CHADEMA yamuumbua mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro

      Chama cha Demokrasia na Maendeleo kwa kuonyesha ukomavu wa hali ya juu kimemjibu mkuu wa mkoa Bwana Gamma katika mkutano ambao haujaonekana mkoani Kilimanjaro baada ya uchaguzi mkuu kwa kueleza kinaga ubaga kuhusu ziara ya madiwani kwenda mafunzoni nchini Rwanda.

      Akitoa ufafanuzi hatua kwa hatua huku akishangiliwa na umati wa wananchi meya wa manispaa ya moshi MICHAEL JAFFARY alimtuhumu mkuu wa mkoa kwa unafiki na kufanya mambo aliyotumwa na CCM ili kuiharibu na kuichonganisha na wananchi CHADEMA mkoani huko,alimhakikishia mkuu wa mkoa kuwa hakuna ufisadi kwa kuwa safari yote inajulikana ofisi ya waziri mkuu,mkuu wa mkoa mwenyewe na kuwa haitafutwa na iko palepale.

      Akafafanua kuwa hizo ni hasira za kufichuliwa ufisadi mkubwa katika miradi ya mabango ambapo manispaa ilikuwa inapata mil 70 nyingine zinaingia mifukoni mwa mafisadi,baada ya kuwabana sasa hivi mabango yanaingiza 400mil.

      Akawataka UVCCM kuandamana kwa ufisadi mkubwa unaofanywa na serikali yao kwa rais kukaa hoteli za dola 10000 na timu za watu 20 na zaidi.

      Amewahakikishia wana Kilimanjaro kuwa CDM haiwezi kuwasaliti na kamwe wasidanganywe na CCM.

      Walifanya ziara Japan kwa kodi za walipa kodi wa Japan na sasa imefikia mahali manispaa imeamua kwa makusudi ya maendeleo na usafi wa mji wa Moshi kwenda kujifunza kwa wenzao.
      ​kusema ni fedha na kusikilizwa ni zahabu.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Zak Malang's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2008
      Posts : 4,835
      Rep Power : 1921
      Likes Received
      187
      Likes Given
      2

      Default re: CHADEMA yamuumbua mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro

      CCM wanafiki sana. Huyo rais wao anayetangatanga dunia nzima na bakuli mkononi na kikundi cha watu 30+ analeta tija gani hapa nchini?

      Sana sana anautangazia ulimwengu jinsi Watz tulivyo mafala.
      Being prolific doesnt mean you are an accomplished person

    4. #3
      Zak Malang's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2008
      Posts : 4,835
      Rep Power : 1921
      Likes Received
      187
      Likes Given
      2

      Default re: CHADEMA yamuumbua mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro

      Quote By Counterpunch
      CCM wanafiki sana. Huyo rais wao anayetangatanga dunia nzima na bakuli mkononi na kikundi cha watu 30+ analeta tija gani hapa nchini?

      Sana sana anautangazia ulimwengu jinsi Watz tulivyo mafala.

      Umenena mkuu. Huyo rais wao kama kweli anaitakia mema nchi yetu angefanya jambo la tija iweapo angekwenda Uswisi akapiga kambi kule hadi mamlaka za kibenki za nchi hiyo zimpe majina ya mafisadi vigogo katika serikali yake waliowekewa mabilioni ya hela katika benki za huko.

      Ninachofahamu yeye mwenyewe anaweweseka kuhusu majina yaliyomo katika orodha hiyo.
      Being prolific doesnt mean you are an accomplished person

    5. #4
      Magesi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th July 2012
      Posts : 1,172
      Rep Power : 1003
      Likes Received
      264
      Likes Given
      1

      Default re: CHADEMA yamuumbua mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro

      Hakika CHADEMA 2natisha kamanda James olle Millya amewafurahisha wananchi kwa hotuba yake iliyowaingia barabara.Kasoro iliyokuepo ni kitendo cha kadi zilizokua zinauzwa sh.1500 kuisha pia kamanda GODBLES LEMA hakuweza kuhudhuria kama ilivyopangwa kwn ameenda kushiriki katika kumuaga aliyekua baba wa mbunge wa Singida mashariki kamanda Tundu Lisu
      jogoolakigoma. likes this.

    6. #5
      Ringo Edmund's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2010
      Location : MDAWI
      Posts : 3,670
      Rep Power : 1360
      Likes Received
      885
      Likes Given
      586

      Default re: CHADEMA yamuumbua mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro

      Eti mkuu wa mkoa anasema hela zikanunue madawati,hajaziona za rada,dowans,meremetasafari za rais,magari ya kifahari nk.
      QUALITY likes this.
      ​kusema ni fedha na kusikilizwa ni zahabu.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      commited's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2012
      Posts : 820
      Rep Power : 528
      Likes Received
      274
      Likes Given
      18

      Default re: CHADEMA yamuumbua mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro

      yap, nami nimefarijika sana hayo maelezo ya makamanda kupitia moshi-fm
      KUENDELEA KUICHAGUA SISIEMU NI KUCHAGUA UMASKINI NA MAJANGA. TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA.

    9. #7
      Ronal Reagan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 2,627
      Rep Power : 958
      Likes Received
      615
      Likes Given
      256

      Default re: CHADEMA yamuumbua mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro

      RC huyo na yule wa Arusha wanafanana sana. Kama Pinda alivyosema wako ki-CCM zaidi na kwa kazi maalum. Kazi zao kubwa ni kwa ajili ya kuihujumu CHADEMA na kuumiza wananchi wa mikoa husika, yote mawili sambamba.

      Hawajui kufanya hivyo kunaiimarisha zaidi na hapo hapo CCM kuzidi kuchukiwa na wananchi. Wote pamoja na kikwete ni viongozi vipofu wanaoongoza chama kipofu - CCM

      Njama zao hazitafaulu na ukombozi utatimia mbele ya macho yao.
      Ringo Edmund and QUALITY like this.

    10. #8
      MBWA HARUKI's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd July 2012
      Posts : 143
      Rep Power : 374
      Likes Received
      38
      Likes Given
      10

      Default re: CHADEMA yamuumbua mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro

      LILE LIMKUU LA MKOA LENYEWE LIMEKULA MPAKA HALIWEZI HATA KUTEMBEA KWA SASA, LINATIA HASARA SERIKALI MAANA HATA SHANGINGI ANALOTUMIA LAZIMA LITAKUWA LINAKULA MAFUTA ZAIDI MAANA LIMEBEBA MZIGO MKUBWA KULIKO UWEZO WAKE! amebakia kuzinduaFIESTA tu kwake, hivi ndio vitu vya maana!
      ni huyo mwenye tracksuti nyeusi
      nditolo and Las Mas Bobos like this.
      Nirudieni mimi nasamehe, geukeni sasa niwaponye asema bwana wa majeshi!


    11. #9
      Mzee wa Rula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Posts : 6,361
      Rep Power : 12708
      Likes Received
      2188
      Likes Given
      1819

      Default re: CHADEMA yamuumbua mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro

      Nadhani huo ulikuwa ni mkutano wa pili kufanyika. Kiukweli mkuu wa mkoa alichofanya ni propaganda lakini nadhani matokeo yake ameshayapata.
      Ringo Edmund likes this.


    12. #10
      TOFU's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 26th August 2012
      Posts : 106
      Rep Power : 360
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default re: CHADEMA yamuumbua mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro

      Ccm kamata ...!
      Kamata.....!!!
      Weka chini.....!!
      Shindiliah Shindiliah Shindiliah Shindiliah Shindiliah Shindiliaaasaaaaaaaaaaaaaaaaaa aaaaaaaaaaaaaaah
      Mpaka ipotelee..

    13. #11
      everybody's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2010
      Location : Everywhere
      Posts : 333
      Rep Power : 905
      Likes Received
      90
      Likes Given
      30

      Default re: CHADEMA yamuumbua mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro

      Ndugu zangu madiwani wa CHADEMA Moshi, kwa hiyo kama huyo Rais wa CCM anatangatanga hovyo kwa kufuja hela za wananchi na sisi CDM ndo tutangetange na kula hela za wananchi bila sababu? Hivi kweli tunahitaji madiwani wote kwenda Rwanda kujifunza usafi? hatuoni aibu? Tuache masihara jamani na tufanye mambo yenye msingi. Bora mngesema hata mnatumia hizo hela kukusanya nguvu ya wananchi wajitolee kufanyia usafi jiji la Moshi walau kwa siku mbili then muwanunulie chakula wale.

      Kila mtu anajua usafi, tusidanganyane kwamba tunaenda kujifunza Rwanda. Mtoto akijinyea na wewe mtu mzima ukajinyea wakati unajua kabisa sio sahihi, sisi watu wazima wenzio tutakushangaa sana.

      CHADEMA msiingie kwenye mkumbo wa CCM wa kufuja hela za wananchi bila sababu.

    14. #12
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14620
      Likes Received
      2841
      Likes Given
      1961

      Default re: CHADEMA yamuumbua mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro

      Wanaenda kujifunza kufagia? viwanda vingine noma.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    15. #13
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,141
      Rep Power : 5028
      Likes Received
      2391
      Likes Given
      2216

      Default re: CHADEMA yamuumbua mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro

      Nimesoma habari kama mara tatu lakini sijaona sehemu ambayo CHADEMA imemuumbua Mkuu wa Mkoa zaidi ya kuona tu kuwa Meya amejiumbua mwenyewe na wenzake waliotaka kufuja pesa za umma...
      babuwaloliondo likes this.
      "To greed, all nature is insufficient"

    16. #14
      masopakyindi's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 3,707
      Rep Power : 4188
      Likes Received
      989
      Likes Given
      410

      Default re: CHADEMA yamuumbua mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro

      Quote By ZeMarcopolo
      Nimesoma habari kama mara tatu lakini sijaona sehemu ambayo CHADEMA imemuumbua Mkuu wa Mkoa zaidi ya kuona tu kuwa Meya amejiumbua mwenyewe na wenzake waliotaka kufuja pesa za umma...
      Kaika hili CDM hawasafishiki!
      "If you don't know where you are going, any road will get you there-nowhere”

    17. #15
      darison andrew's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th April 2012
      Posts : 62
      Rep Power : 371
      Likes Received
      9
      Likes Given
      1

      Default re: CHADEMA yamuumbua mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro

      kweli itakuweka hurun mtusaidie tunakufa kwa umasikini wa mmmmmm!!!!

    18. #16
      Mag3's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 31st May 2008
      Posts : 3,529
      Rep Power : 1802
      Likes Received
      2446
      Likes Given
      2488

      Default re: CHADEMA yamuumbua mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro



      Wanakula nini hawa?
      Jasusi, Fredrick Sanga and MALUNGU like this.
      The true sign of intelligence is not knowledge but imagination.
      Education is what remains after one has forgotten what one has learned in School
      -Albert Einstein.


    19. #17
      Bitabo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th September 2011
      Posts : 1,375
      Rep Power : 661
      Likes Received
      447
      Likes Given
      261

      Default re: CHADEMA yamuumbua mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro

      Mleta uzi nadhani kuna mistari umeisahau kwenye hii single yako. naomba uiweke ili heading ilete maana la sivyo utakuwa mdaku kama Shigongo ambaye huwa anaweka heading kuuuubwa ila ukisoma ni ***** tu
      Uovu wa siku moja, unaondoa wema wa MWAKA MZIMA

    20. #18
      Ukwaju's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Location : Dodoma
      Posts : 3,422
      Rep Power : 1119
      Likes Received
      628
      Likes Given
      824

      Default re: CHADEMA yamuumbua mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro

      Hawa mapro wa CDM wana hasira zao kwani nani asiyejua Madiwani wanavyoshindana kula hela za Minara ya mawailiano hapo mjini na ugomvi wa Memorial sasa L. Gama wa nini tena? Yy katembelea kiwanda cha Ngozi huku makamanda eti wanamnanga haya kaeni na Mikoa yenu

    21. #19
      JERUSALEMU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th September 2012
      Posts : 789
      Rep Power : 492
      Likes Received
      231
      Likes Given
      150

      Default re: CHADEMA yamuumbua mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro

      Unafiki mtupu, watu wanakwenda kujifunza yeye anawawekea kauzibe haoni mjiwa wa MOSHI ulivyo safi? aende akamzuie vasco da gama kutumia fedha za umma kukodi wanamziki wakawaburudishe nyumba ndogo zao huko marekani na uingereza. mbona vasco dagama katumia ndege ya serikali kwenda kumnasua rizmoja huko uchina aliko kamatwa na madawa?

    22. #20
      timbilimu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2010
      Location : DSM
      Posts : 2,664
      Rep Power : 974
      Likes Received
      579
      Likes Given
      10

      Default re: CHADEMA yamuumbua mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro

      Tatizo hapa ni Katiba ya nchi jinsi gani wananchi wanaweza wabana wawakilishi wao wasiwe wabadhirifu! Kama wananchi wanakubaliana na hizi cost na wahusika wamefuata taratibu kwanini RC analeta siasa? Kuna kitu kinaitwa retreat,je huyu mkuu wa mkoa anaelewa maana yake? Moja ya makosa makubwa alifanya Mwl. Nyerere ni kwa akili ndogo kwenda kuongoza akili kubwa.. Lazima nchi itakwama! Mtu mwenye akili za kitumwa ataongozaje mtu mchapa kazi na mwenye kutaka maendeleo?!
      Ringo Edmund and JERUSALEMU like this.

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...