Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: CHADEMA yamuumbua mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro

    Report Post
    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 41 to 60 of 77
    1. #1
      Ringo Edmund's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2010
      Location : MDAWI
      Posts : 3,670
      Rep Power : 1360
      Likes Received
      885
      Likes Given
      586

      Default CHADEMA yamuumbua mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro

      Chama cha Demokrasia na Maendeleo kwa kuonyesha ukomavu wa hali ya juu kimemjibu mkuu wa mkoa Bwana Gamma katika mkutano ambao haujaonekana mkoani Kilimanjaro baada ya uchaguzi mkuu kwa kueleza kinaga ubaga kuhusu ziara ya madiwani kwenda mafunzoni nchini Rwanda.

      Akitoa ufafanuzi hatua kwa hatua huku akishangiliwa na umati wa wananchi meya wa manispaa ya moshi MICHAEL JAFFARY alimtuhumu mkuu wa mkoa kwa unafiki na kufanya mambo aliyotumwa na CCM ili kuiharibu na kuichonganisha na wananchi CHADEMA mkoani huko,alimhakikishia mkuu wa mkoa kuwa hakuna ufisadi kwa kuwa safari yote inajulikana ofisi ya waziri mkuu,mkuu wa mkoa mwenyewe na kuwa haitafutwa na iko palepale.

      Akafafanua kuwa hizo ni hasira za kufichuliwa ufisadi mkubwa katika miradi ya mabango ambapo manispaa ilikuwa inapata mil 70 nyingine zinaingia mifukoni mwa mafisadi,baada ya kuwabana sasa hivi mabango yanaingiza 400mil.

      Akawataka UVCCM kuandamana kwa ufisadi mkubwa unaofanywa na serikali yao kwa rais kukaa hoteli za dola 10000 na timu za watu 20 na zaidi.

      Amewahakikishia wana Kilimanjaro kuwa CDM haiwezi kuwasaliti na kamwe wasidanganywe na CCM.

      Walifanya ziara Japan kwa kodi za walipa kodi wa Japan na sasa imefikia mahali manispaa imeamua kwa makusudi ya maendeleo na usafi wa mji wa Moshi kwenda kujifunza kwa wenzao.
      ​kusema ni fedha na kusikilizwa ni zahabu.

    2. Miaka 50

    3. #41
      kibogo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th April 2012
      Location : MBEYA
      Posts : 1,674
      Rep Power : 691
      Likes Received
      418
      Likes Given
      312

      Default re: CHADEMA yamuumbua mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro

      Quote By JERUSALEMU
      Unafiki mtupu, watu wanakwenda kujifunza yeye anawawekea kauzibe haoni mjiwa wa MOSHI ulivyo safi? aende akamzuie vasco da gama kutumia fedha za umma kukodi wanamziki wakawaburudishe nyumba ndogo zao huko marekani na uingereza. mbona vasco dagama katumia ndege ya serikali kwenda kumnasua rizmoja huko uchina aliko kamatwa na madawa?
      Mkuu hapo kwenye RED ebu anzisha thread juu ya habari hii tuichangie imenigusa sana, kumbe ujio wa wachina kwa wingi Nchi hii kuna siri kubwa nyuma ya pazia.
      Nicholas likes this.
      ''IT'S BETTER TO HAVE HIV IN BLOOD THAN HAVING CCM IDEAS IN BRAIN''

    4. #42
      FreedomTZ's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th July 2012
      Posts : 146
      Rep Power : 373
      Likes Received
      22
      Likes Given
      45

      Default re: CHADEMA yamuumbua mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro

      Quote By masopakyindi
      Kaika hili CDM hawasafishiki!
      Siyo madiwani wa CDM tu ndio wanahusika; wapo mkurugenzi wa manispaa, watumishi wengine wa manispaa na madiwani wa CCM japo ni wachache. Lakini kuna ubaya gani madiwani kufanya ziara kama kuna fedha na ziara ina tija?
      "Freedom is never voluntarily given by the oppressor; it must be demanded by the oppressed"
      Martin Luther King, Jr

    5. #43
      JERUSALEMU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th September 2012
      Posts : 788
      Rep Power : 492
      Likes Received
      231
      Likes Given
      150

      Default re: CHADEMA yamuumbua mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro

      Quote By kibogo
      Mkuu hapo kwenye RED ebu anzisha thread juu ya habari hii tuichangie imenigusa sana, kumbe ujio wa wachina kwa wingi Nchi hii kuna siri kubwa nyuma ya pazia.
      ULIKUWA HUJUI?? Habari ndio hiyo.kila mchuma janga hula na wa kwao.kashikwa na mzigo fedha zetu zinatumika kumnasua.

    6. #44
      hacena's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 383
      Rep Power : 513
      Likes Received
      92
      Likes Given
      11

      Default re: CHADEMA yamuumbua mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro

      angezuia mwenge

    7. #45
      masopakyindi's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 3,706
      Rep Power : 4188
      Likes Received
      989
      Likes Given
      410

      Default re: CHADEMA yamuumbua mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro

      Quote By FreedomTZ
      Siyo madiwani wa CDM tu ndio wanahusika; wapo mkurugenzi wa manispaa, watumishi wengine wa manispaa na madiwani wa CCM japo ni wachache. Lakini kuna ubaya gani madiwani kufanya ziara kama kuna fedha na ziara ina tija?
      Kama wewe ni CDM wa kweli basi unijibu kama kuna uhalali wa kiongozi wa umma kufuja fedha na kodi za walalahoi.
      "If you don't know where you are going, any road will get you there-nowhere”

    8. Study Abroad

    9. #46
      T2015CCM's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 13th September 2012
      Posts : 3,673
      Rep Power : 0
      Likes Received
      37
      Likes Given
      14

      Default

      Quote By Counterpunch
      CCM wanafiki sana. Huyo rais wao anayetangatanga dunia nzima na bakuli mkononi na kikundi cha watu 30+ analeta tija gani hapa nchini?

      Sana sana anautangazia ulimwengu jinsi Watz tulivyo mafala.
      **** ni wewe peke ako usitusemee sisi wengine wala kutuingiza kwny ufala wako,baki nao huko huko

    10. #47
      T2015CCM's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 13th September 2012
      Posts : 3,673
      Rep Power : 0
      Likes Received
      37
      Likes Given
      14

      Default

      Quote By jogoolakigoma.
      Chama cha Demokrasia na Maendeleo kwa kuonyesha ukomavu wa hali ya juu kimemjibu mkuu wa mkoa Bwana Gamma katika mkutano ambao haujaonekana mkoani Kilimanjaro baada ya uchaguzi mkuu kwa kueleza kinaga ubaga kuhusu ziara ya madiwani kwenda mafunzoni nchini Rwanda.

      Akitoa ufafanuzi hatua kwa hatua huku akishangiliwa na umati wa wananchi meya wa manispaa ya moshi MICHAEL JAFFARY alimtuhumu mkuu wa mkoa kwa unafiki na kufanya mambo aliyotumwa na CCM ili kuiharibu na kuichonganisha na wananchi CHADEMA mkoani huko,alimhakikishia mkuu wa mkoa kuwa hakuna ufisadi kwa kuwa safari yote inajulikana ofisi ya waziri mkuu,mkuu wa mkoa mwenyewe na kuwa haitafutwa na iko palepale.

      Akafafanua kuwa hizo ni hasira za kufichuliwa ufisadi mkubwa katika miradi ya mabango ambapo manispaa ilikuwa inapata mil 70 nyingine zinaingia mifukoni mwa mafisadi,baada ya kuwabana sasa hivi mabango yanaingiza 400mil.

      Akawataka UVCCM kuandamana kwa ufisadi mkubwa unaofanywa na serikali yao kwa rais kukaa hoteli za dola 10000 na timu za watu 20 na zaidi.

      Amewahakikishia wana Kilimanjaro kuwa CDM haiwezi kuwasaliti na kamwe wasidanganywe na CCM.

      Walifanya ziara Japan kwa kodi za walipa kodi wa Japan na sasa imefikia mahali manispaa imeamua kwa makusudi ya maendeleo na usafi wa mji wa Moshi kwenda kujifunza kwa wenzao.
      mh jafari naona unakufa na mzigo wako mpaka tone la mwisho la damu,tetea huo ufisadi lakini hii dhambi itkitesa chama kwa muda mrefu sana

    11. #48
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,664
      Rep Power : 1907
      Likes Received
      1562
      Likes Given
      676

      Default re: CHADEMA yamuumbua mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro

      Quote By zomba
      Wanaenda kujifunza kufagia? viwanda vingine noma.
      Hapana!!!!!! kubembea huko Jamaica ndio yenye tija kwi! Kwi! Kwi! Teh! Teh!

    12. #49
      KOMBAJR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Posts : 3,848
      Rep Power : 5947
      Likes Received
      798
      Likes Given
      227

      Default Re: CHADEMA yamuumbua mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro

      Unafiki mwingine bwana hivi zile Semina elekezi za ngurudoto na St. Gaspa na safari za JK zilitumia shilingi ngapi na zilikuwa na jita gani kwa watanzania?
      Face Reality As it Is, Not As it Was or As You Wish It To Be.

    13. #50
      Hansen Nasli's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th March 2012
      Posts : 110
      Rep Power : 383
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default Re: CHADEMA yamuumbua mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro

      Meya huyo wa MOSHI ni kilaza ameshndwa kujenga hoja kutetea ni namna gani iwe sawa wao waweze kutumia mamilioni ya fedha kwenda kujifunza usafi?ameshndwa kuonesha michanganuo ya fedha hizo kutuaminisha wananchi tukubali upuuzi huo?ni kwanin wanaCDM wanashndw kujenga hoja wanahalalisha hoja zao kwa ujinga na ubadhirifu wanaofanza CCM?anataka kutuaminisha ufisad wakifanza CDM ni sawa 7bu kaka yao CCM wanafanza mkubw zaid yao?wanacdm co jambo la kushabikia hii ni fedheha kwa chama na watu wanaowaamini.Kweli nimeamini cdm xio kimbilio la wanyonge

    14. #51
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,266
      Rep Power : 1825
      Likes Received
      1397
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By mohamedi tantawi
      mh jafari naona unakufa na mzigo wako mpaka tone la mwisho la damu,tetea huo ufisadi lakini hii dhambi itkitesa chama kwa muda mrefu sana
      hamna jema

    15. #52
      Nyunyu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 9th March 2009
      Location : Here.
      Posts : 3,349
      Rep Power : 2043
      Likes Received
      465
      Likes Given
      2749

      Default Re: CHADEMA yamuumbua mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro

      CDM fikirieni nje ya box! For sure hayo maposho yatawatokea puani! Kwa nini msibadili by-laws katika manispaa ili kuyaondoa?

      Is it really necessary kuwatuma madiwani wooooooote! Si waende wachache tu? You guys need to behave otherwise! Ili tofauti tuione bana...
      There is no such a thing as part freedom- Nelson Mandela

      e-mail: [email protected]

    16. #53
      Nicholas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 4,885
      Rep Power : 3594
      Likes Received
      1244
      Likes Given
      2108

      Default Re: CHADEMA yamuumbua mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro

      Huyo mkuu wa mkoa aseme kuwa alitegemea hiyo safari ifanyweje?kwani hapa njia pekee ni kupunguza watu au kuwaleta wataalamu wa Kigali wakiwa na video napolicises zao za usafi miji waje wafundisha moshi.Ila kama alipiga chini project na hakuwa na mbadala kachemsha.Kwa moshi Mji unaoongoza kwa usafi TZ na wana sheria kali sana, usafi ni issue ya kila siadhani kama kuna diwani ambaye ambaye angekuwa tayari kosa wakati ana jukumu la kurudi simamia usafi katk kata yake.

      Njia ya kuwaleta wataalamu au hata kupeleka madiwani wachache nighali zaidi.Kwani hao waliokwenda wangetumia hela karibu robo,na wakirudi walipwe posho kuwafundisha wengine ambao nao wangehitaji posho.Na hata kuleta wataalamu hata watatu tuu ni gharama kuwalipa na pia kuwalipa hao madiwani posho zao.Yoote haya pia haya gurantee mafanikio ya zoezi hilo.

      Kwa hiyo idadi ya watu na hiyo hela kama ingetosha kuwapa na osho bado ni matumizi yasiyoogopesha kama mawizarani:

      Million 200 si hela kama mnavyodhani.kwa watu wengi hivyo kwenda nje ya nchi.

      -hela/watu =>Mil 200/57=3.5087719mil/per person

      -mil 3.51 au 3,510,000/= 3,510,000/1600=$2,193.75/pp

      -hela kwa siku kwa kila mtu. katika week(assuming 7 days)=> $2,193.75/pp/7=$313.393per person, per day.

      Bei ya hotel yenye ubora Kigali ni around $200 per person per night. na inaweza zidi sana.Achilia mbali matumizi mengine,kama stationery,phone,internet, transport etc.Tz yenyewe hotel zinazidi $ 2,000 kwa siku,hata kama kitazidi ni kiasi kidogo ambacho mtu alistahili baki na kitu hata cha kuleta zawadi kwa familia.

      Seems ni msukumo wa kisiasa kuliko akili.

      Kwani viwango vya per diem vya serikali kuu kwa mtu akiwa nje ya nchi kwa ukanda wa africa mashariki na kati ni zipi?
      JIULIZE KWANZA likes this.
      SIMPLY THE RADICAL: I can`t wait to see the criminalization of CCM,UWT,Bunch of Policemen/women,and all wanafiki na wachumia tumbo.

    17. #54
      Topetope's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st August 2011
      Posts : 93
      Rep Power : 412
      Likes Received
      6
      Likes Given
      3

      Default Re: CHADEMA yamuumbua mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro

      Naomba mwenye otuba hii ya meya naiyomba aniwekee hapa jamani nataka kusikiliza hotuba nyingi sana za viongozi wa cdm kuliko bongo flv

    18. #55
      Communist's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Location : Ubungo
      Posts : 2,712
      Rep Power : 2263
      Likes Received
      599
      Likes Given
      783

      Default Re: CHADEMA yamuumbua mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro

      Hivi huyu Gama ana umri gani?
      Simple life is healthier than egoism.

    19. #56
      Kilembwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th August 2009
      Posts : 950
      Rep Power : 686
      Likes Received
      114
      Likes Given
      144

      Default Re: CHADEMA yamuumbua mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro

      Kama ni kwenda kujifunza usafi huko Rwanda, si madiwani wa Moshi wangewapeleka wafagizi wa barabara na wale watunza bustani za Moshi! maana haiingii akilini diwani kwenda kujifunza usafi kisha akirudi atakuwa ofisini kwake tu na watendaji wa moja kwa moja ni wengine! Peeeeople's power kwa hili boiling point ni zaid ya nyuzi joto 100! kuomba samahani unapokosea sio udhaifu ila ni uungwana, madiwani Moshi kuweni waungwana!

    20. #57
      Magesi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th July 2012
      Posts : 1,172
      Rep Power : 1003
      Likes Received
      264
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Hansen Nasli
      Meya huyo wa MOSHI ni kilaza ameshndwa kujenga hoja kutetea ni namna gani iwe sawa wao waweze kutumia mamilioni ya fedha kwenda kujifunza usafi?ameshndwa kuonesha michanganuo ya fedha hizo kutuaminisha wananchi tukubali upuuzi huo?ni kwanin wanaCDM wanashndw kujenga hoja wanahalalisha hoja zao kwa ujinga na ubadhirifu wanaofanza CCM?anataka kutuaminisha ufisad wakifanza CDM ni sawa 7bu kaka yao CCM wanafanza mkubw zaid yao?wanacdm co jambo la kushabikia hii ni fedheha kwa chama na watu wanaowaamini.Kweli nimeamini cdm xio kimbilio la wanyonge
      Wewe ndio kilaza ulikuepo kwenye mkutano unajua alichosema kwa taarifa tu najua mnachafua Meya kwa sbabu ndio Mbunge mtarajiwa wa moshi mjini kuanzia 2015.Muulize mkuu wa mkoa kw nn anataka amilikishwe eneo la wazi,kw nn ana2mia gari ya serikali kufungua mataw ya ccm?kw nn anasema safari itagharimu milion 200 huku akijua sio kweli?kw nn alivyoandikiwa hyo barua hakujibu badala yake alikimbilia kwenye vyombo vya habari?muulize kwnn ofis ya waziri mkuu isiwe ya kwanza kufuta fungu la mafunzo kw madiwani wote nchi nzima?

    21. #58
      Magesi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th July 2012
      Posts : 1,172
      Rep Power : 1003
      Likes Received
      264
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Kilembwe
      Kama ni kwenda kujifunza usafi huko Rwanda, si madiwani wa Moshi wangewapeleka wafagizi wa barabara na wale watunza bustani za Moshi! maana haiingii akilini diwani kwenda kujifunza usafi kisha akirudi atakuwa ofisini kwake tu na watendaji wa moja kwa moja ni wengine! Peeeeople's power kwa hili boiling point ni zaid ya nyuzi joto 100! kuomba samahani unapokosea sio udhaifu ila ni uungwana, madiwani Moshi kuweni waungwana!
      Unajua maana ya usafi wa mazingira nakuweka mji safi wewe ama unakurupuka tu bila sababu za msingi unajua hyo safar ilipangwa lini?unajua ziara ya mafunzo ni stahili ya madiwan wote nchi nzima na utaratibu upo waz.

    22. #59
      Kilembwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th August 2009
      Posts : 950
      Rep Power : 686
      Likes Received
      114
      Likes Given
      144

      Default Re: CHADEMA yamuumbua mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro

      Quote By Magesi
      Unajua maana ya usafi wa mazingira nakuweka mji safi wewe ama unakurupuka tu bila sababu za msingi unajua hyo safar ilipangwa lini?unajua ziara ya mafunzo ni stahili ya madiwan wote nchi nzima na utaratibu upo waz.
      Kwa hiyo kama ni utaratibu wa kutumia hovyo pesa za walipa kodi wa nchi hii ndio uhalalishwe! kama kawaida ni kama sheria sasa hizi kelele za chadema juu ya matumizi mabaya ya fedha za wananchi ni ya nini si waache maana ni kawaida nchi nzima! Sasa mbona huwa wanapigia kelele safari za kikwete nje ya nchi wao wanajua zilipangwa lini? CDM ni lazima wajipambanue na vyama vingine kwa utendaji wao kama wanataka tuamini kuwa wao ndio Mussa waliotumwa kuja kututoa utumwani Misri!

    23. #60
      Las Mas Bobos's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2012
      Posts : 885
      Rep Power : 526
      Likes Received
      292
      Likes Given
      78

      Default Re: CHADEMA yamuumbua mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro

      Quote By ZeMarcopolo
      Nimesoma habari kama mara tatu lakini sijaona sehemu ambayo CHADEMA imemuumbua Mkuu wa Mkoa zaidi ya kuona tu kuwa Meya amejiumbua mwenyewe na wenzake waliotaka kufuja pesa za umma...
      Huwezi kuona kwa kuwa macho bila ubongo hayafanyi kazi
      Akafafanua kuwa hizo ni hasira za kufichuliwa ufisadi mkubwa katika miradi ya mabango ambapo manispaa ilikuwa inapata mil 70 nyingine zinaingia mifukoni mwa mafisadi,baada ya kuwabana sasa hivi mabango yanaingiza 400mil.
      Bado huoni?

      Sasa kama unaakili, utagundua kwamba, dili la 330m lilipoharibiwa, majombi wamekuwa na hasira na nia ya kutaka kuonesha kuwa hata na wao wanakula. Shida ni kwamba na wa kwao wamo, hiyo moja mbili ni kwamba, haikuwa siri mpaka bonge nyenye aseme amefichua.

      Aibu yetu, aibu yenu?
      By the time a man comes to realize that his father was right, he usually has a son who think he is wrong.

    24. FemaTV & Radio
    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...