Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

    Report Post
    Page 1 of 5 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 90
    1. #1
      Zak Malang's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2008
      Posts : 4,835
      Rep Power : 1922
      Likes Received
      187
      Likes Given
      2

      Default Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?


      Wanajamvi nauliza hivi: Jee, ingekuwa ni wafuasi qwa Chadema ndiyo wamevunja uzio (ribbon) iliyowekwa na polisi pale kidongo Chekundu na kuingia uwanjani, ingekuwaje?

      Jee sasa hivi Chadema si ingekuwa tayari imefutwa? Polisi lazima wangeingilia na kutmbeza virungu na risasi, watu wangekufa na kulaumiwa CDM kwa "kutotii amri halali' ya polisi.

      Hivi katika mikusanyiko na maandamano ni Chadema pekee ndiyo inatakiwa kutii "amri halali' ya polisi?

      Hadi lini polisi wataendelea kutiwa vidole machoni namna hii na kukaa kimya, lakini huwa tayari, hata kuleta FFU kutoka mikoa mingine, kuhakikisha CDM wanatii 'amri halali" kutoka kwao?

      Kuna unafiki mkubwa hapa. Kuna bvaadhi ya viongozi hao wa dini wamewahi kutoa matamko ya kuilaani CDM 'kwa kutotii amri halali ya polisi" wakati kunaibuka virugu polisi wakiingilia mikutano yao.
      Last edited by Zak Malang; 22nd September 2012 at 21:24.
      Being prolific doesnt mean you are an accomplished person

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Zak Malang's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2008
      Posts : 4,835
      Rep Power : 1922
      Likes Received
      187
      Likes Given
      2

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      Quote By Zak Malang

      Wanajamvi nauliza hivi: Jee, ingekuwa ni wafuasi qwa Chadema ndiyo wamevunja uzio (ribbon) iliyowekwa na polisi pale kidongo Chekundu na kuingia uwanjani, ingekuwaje?

      Jee sasa hivi Chadema si ingekuwa tayari imefutwa? Polisi lazima wangeingilia na kutmbeza virungu na risasi, watu wangekufa na kulaumiwa CDM kwa "kutotii amri halali' ya polisi.

      Hivi katika mikusanyiko na maandamano ni Chadema pekee ndiyo inatakiwa kutii "amri halali' ya polisi?

      Hadi lini polisi wataendelea kutiwa vidole machoni namna hii na kukaa kimya, lakini huwa tayari, hata kuleta FFU kutoka mikoa mingine, kuhakikisha CDM wanatii yao 'amri halali"?

      Kuna unafiki mkubwa hapa. Kuna bvaadhi ya viongozi hao wa dini wamewahi kutoa matamko ya kuilaani CDM 'kwa kutotii amri halali ya polisi" wakati kunaibuka virugu polisi wakiingilia mikutano yao.

      Hii faslafa ya IGP Mwema ya kutii amri bila shuruti - na nonsense nyingine - ina mushkeli mkubwa sana, na ndiyo maana hauleti matunda. Polisi wenyewe wanakiuka falsafa yao, sembuse wananchi?
      iruku and Foum Jnr like this.
      Being prolific doesnt mean you are an accomplished person

    4. #3
      Zak Malang's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2008
      Posts : 4,835
      Rep Power : 1922
      Likes Received
      187
      Likes Given
      2

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      Ewe mwenyezi Mungu ulie juu -- endelea kuwaumbua hawa mapolisi kwa dhamira yao mbaya dhidi ya nguvu ya umma. endelea kuonyesha ulimwengu kwamba wanatumika tu kisiasa, na siyo katika kutenda haki.
      Milindi likes this.
      Being prolific doesnt mean you are an accomplished person

    5. #4
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,321
      Rep Power : 12589
      Likes Received
      5858
      Likes Given
      775

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      Zak Malang,

      Unataka kutuambia kwenye ule umati wa Waislam kulikuwa hakuna wanachama au wafuasi wa Chadema.
      Ndibalema, paulss and T 2015 CDM like this.

    6. #5
      jogi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th September 2010
      Posts : 4,024
      Rep Power : 1220
      Likes Received
      982
      Likes Given
      247

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      Quote By Zak Malang

      Wanajamvi nauliza hivi: Jee, ingekuwa ni wafuasi qwa Chadema ndiyo wamevunja uzio (ribbon) iliyowekwa na polisi pale kidongo Chekundu na kuingia uwanjani, ingekuwaje?

      Jee sasa hivi Chadema si ingekuwa tayari imefutwa? Polisi lazima wangeingilia na kutmbeza virungu na risasi, watu wangekufa na kulaumiwa CDM kwa "kutotii amri halali' ya polisi.

      Hivi katika mikusanyiko na maandamano ni Chadema pekee ndiyo inatakiwa kutii "amri halali' ya polisi?

      Hadi lini polisi wataendelea kutiwa vidole machoni namna hii na kukaa kimya, lakini huwa tayari, hata kuleta FFU kutoka mikoa mingine, kuhakikisha CDM wanatii yao 'amri halali"?

      Kuna unafiki mkubwa hapa. Kuna bvaadhi ya viongozi hao wa dini wamewahi kutoa matamko ya kuilaani CDM 'kwa kutotii amri halali ya polisi" wakati kunaibuka virugu polisi wakiingilia mikutano yao.
      Umesema mambo makubwa kiupambanuzi, Waandishi wa habari wangekuwa kweli wanaifanya kazi yao kimaadili wangepaaza sauti zao za juu kabisa kuhitaji majibu kutoka mamlaka husika.

      Kwa kukaa kwao kimya wanatoa nafasi ya watu wengine kuuwawa na jeshi la polisi kwenye mikusanyiko au maandamano yakiratibiwa na asasi zisizo za kiserikali, vyama vya siasa (kwa sasa chadema) ama raia wanapokua katika harakati za kufikisha ujumbe kwa mamlaka juu ya mambo wasiyoyakubali ama kwa kuwa yanakiuka katiba, taratibu za utawala ama haki za binadamu.
      Ni rahisi zaidi popo kuwa ndege, kuliko ndizi kuwa tunda

    7. Miaka 50

    8. #6
      Autorun's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2008
      Location : Point of Marginal Utility
      Posts : 489
      Rep Power : 949
      Likes Received
      85
      Likes Given
      35

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      fimbo ya nyoka hachapiwi mbayuwayu..................... . Tupo tayari kwa lolote kama hao polisi wawachezee hao CDM (NGUVU YA UMA) tu na si UMAAT MOHAMMAD(S.A.W)
      AUSI likes this.

    9. #7
      galimanywa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Posts : 64
      Rep Power : 372
      Likes Received
      21
      Likes Given
      0

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      Watoa vibali wanaamini kwamba CHADEMA inawakilisha mfumo wa Kikristo. Hawa waislamu wanaoandamana kila siku bila vibali wao ni sehemu ya dola na hii ni zamu yao, kama anavyosema riz1. Usichokijua ni nini? Hujui kuwa hapa nchini UDINI hivi sasa umeshajichimbia mizizi. Na walionyuma ya huu udini ndio hao hao wanaojifanya kuukemea kwenye majukwaa ya kisiasa. Fungua macho uuone

    10. #8
      Excellent's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2009
      Posts : 5,567
      Rep Power : 2286
      Likes Received
      2353
      Likes Given
      4086

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      Quote By Ritz
      Zak Malang,

      Unataka kutuambia kwenye ule umati wa Waislam kulikuwa hakuna wanachama au wafuasi wa Chadema.
      hata kama walikwepo kwani yale yalikuwa maandamano ya chama?
      Mbuzi kafia kwa mwuza supu.

    11. #9
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      Quote By Zak Malang

      Wanajamvi nauliza hivi: Jee, ingekuwa ni wafuasi qwa Chadema ndiyo wamevunja uzio (ribbon) iliyowekwa na polisi pale kidongo Chekundu na kuingia uwanjani, ingekuwaje?

      Jee sasa hivi Chadema si ingekuwa tayari imefutwa? Polisi lazima wangeingilia na kutmbeza virungu na risasi, watu wangekufa na kulaumiwa CDM kwa "kutotii amri halali' ya polisi.

      Hivi katika mikusanyiko na maandamano ni Chadema pekee ndiyo inatakiwa kutii "amri halali' ya polisi?

      Hadi lini polisi wataendelea kutiwa vidole machoni namna hii na kukaa kimya, lakini huwa tayari, hata kuleta FFU kutoka mikoa mingine, kuhakikisha CDM wanatii yao 'amri halali"?

      Kuna unafiki mkubwa hapa. Kuna bvaadhi ya viongozi hao wa dini wamewahi kutoa matamko ya kuilaani CDM 'kwa kutotii amri halali ya polisi" wakati kunaibuka virugu polisi wakiingilia mikutano yao.
      Chadema wana wafuasi au wapiganaji?
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    12. #10
      reformer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd July 2011
      Posts : 296
      Rep Power : 456
      Likes Received
      79
      Likes Given
      6

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      Quote By Ritz
      Zak Malang,

      Unataka kutuambia kwenye ule umati wa Waislam kulikuwa hakuna wanachama au wafuasi wa Chadema.
      fools rush in where angels fear to tread

    13. #11
      Maundumula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 5,003
      Rep Power : 3112
      Likes Received
      1370
      Likes Given
      5780

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      When you do comparison make sure to compare likes with likes. In this case it should have been CUF or CCM Vs CHADEMA.
      Ndibalema and mtznunda like this.

    14. #12
      reformer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd July 2011
      Posts : 296
      Rep Power : 456
      Likes Received
      79
      Likes Given
      6

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      Quote By zomba
      Chadema wana wafuasi au wapiganaji?
      Vp sheikh ponda..mnaenda lini kufunga ubalozi wa marekani na kuacha kutumia bidhaa zao?
      Olaigwanani lang likes this.

    15. #13
      BongoLogik's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th August 2009
      Posts : 254
      Rep Power : 548
      Likes Received
      40
      Likes Given
      40

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      Quote By Ritz
      Zak Malang,

      Unataka kutuambia kwenye ule umati wa Waislam kulikuwa hakuna wanachama au wafuasi wa Chadema.
      hata kama miongoni mwao walikuwepo wanachama/wafuasi wa chadema ina maana hata chembe ndogo ya ufahamu wako inashindwa kukupa taarifa kuwa mkusanyiko ule haukuandaliwa na chadema na wala hakukuwa na matamko yoyote kutoka chadema!? sometimes unatia aibu kwa uwezo wako finyu wa kupambanua mambo, WAKE UP LAZY MIND!
      majorbuyoya likes this.

    16. #14
      BongoLogik's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th August 2009
      Posts : 254
      Rep Power : 548
      Likes Received
      40
      Likes Given
      40

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      Quote By galimanywa
      watoa vibali wanaamini kwamba chadema inawakilisha mfumo wa kikristo. Hawa waislamu wanaoandamana kila siku bila vibali wao ni sehemu ya dola na hii ni zamu yao, kama anavyosema riz1. Usichokijua ni nini? Hujui kuwa hapa nchini udini hivi sasa umeshajichimbia mizizi. Na walionyuma ya huu udini ndio hao hao wanaojifanya kuukemea kwenye majukwaa ya kisiasa. Fungua macho uuone
      kama nimekusoma vile!

    17. #15
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,321
      Rep Power : 12589
      Likes Received
      5858
      Likes Given
      775

      Default

      Quote By Excellent
      hata kama walikwepo kwani yale yalikuwa maandamano ya chama?
      Excellent, aliyefananisha haya maandamano ni Zak Malang, ndio kasema wangekuwa Chadema? nakuuliza wewe mmejuaje kwenye ule umati pale Kidogo Chekundu kulikuwa hakuna wafuasi wa Chadema?
      mtznunda likes this.

    18. #16
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,389
      Rep Power : 1265
      Likes Received
      1210
      Likes Given
      1253

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      sipati picha ingekuwaje maana nafikiri tendwa angekua keshafuta CDM fasta na tume zishaundwa kama mia hivi...na matamko ya kulaani ukiukwaji wa amri halali yapolisi yangekua yametoka kama mia hivi......
      !!..BAR ikiwa na wahudumu wa KIUME TUPU sikai dakika nyingi..!!

    19. #17
      Froida's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Posts : 3,754
      Rep Power : 1319
      Likes Received
      728
      Likes Given
      147

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      Quote By Ritz
      Zak Malang,

      Unataka kutuambia kwenye ule umati wa Waislam kulikuwa hakuna wanachama au wafuasi wa Chadema.
      Inawezekana wapo tena wengi tuu lakini kwa sababu hawakuingilia kwa kofia ya chadema tunauliza je wangeingia wakiwa na skafu na kofia za chadema wangeachwa au wangevurumishiwa na mikombola ya mabomu na kuuawa ,ishu hapa ni kwamba Polisi wanatumika kisiasa ,vipi iwe maandamano mengine halali na mengine si halali Ritz
      Chuma Chakavu likes this.

    20. #18
      mtznunda's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th September 2011
      Posts : 134
      Rep Power : 415
      Likes Received
      16
      Likes Given
      40

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      usifananishe dini na chama,chadema wakiandamana kwa ya ukristo halafu wanyimwi kibali hilo lingekuwa tatizo au chadema ikiandamana inawakilisha wakristo?
      Quote By galimanywa
      Watoa vibali wanaamini kwamba CHADEMA inawakilisha mfumo wa Kikristo. Hawa waislamu wanaoandamana kila siku bila vibali wao ni sehemu ya dola na hii ni zamu yao, kama anavyosema riz1. Usichokijua ni nini? Hujui kuwa hapa nchini UDINI hivi sasa umeshajichimbia mizizi. Na walionyuma ya huu udini ndio hao hao wanaojifanya kuukemea kwenye majukwaa ya kisiasa. Fungua macho uuone
      Ndibalema likes this.

    21. #19
      Putin's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 17th May 2008
      Location : in kremlin
      Posts : 153
      Rep Power : 592
      Likes Received
      16
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Zak Malang

      Wanajamvi nauliza hivi: Jee, ingekuwa ni wafuasi qwa Chadema ndiyo wamevunja uzio (ribbon) iliyowekwa na polisi pale kidongo Chekundu na kuingia uwanjani, ingekuwaje?

      Jee sasa hivi Chadema si ingekuwa tayari imefutwa? Polisi lazima wangeingilia na kutmbeza virungu na risasi, watu wangekufa na kulaumiwa CDM kwa "kutotii amri halali' ya polisi.

      Hivi katika mikusanyiko na maandamano ni Chadema pekee ndiyo inatakiwa kutii "amri halali' ya polisi?

      Hadi lini polisi wataendelea kutiwa vidole machoni namna hii na kukaa kimya, lakini huwa tayari, hata kuleta FFU kutoka mikoa mingine, kuhakikisha CDM wanatii yao 'amri halali"?

      Kuna unafiki mkubwa hapa. Kuna bvaadhi ya viongozi hao wa dini wamewahi kutoa matamko ya kuilaani CDM 'kwa kutotii amri halali ya polisi" wakati kunaibuka virugu polisi wakiingilia mikutano yao.

      Acheni polisi wafanye kazi yao.
      Msiwapangie.

    22. #20
      Chuma Chakavu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2011
      Location : where i am
      Posts : 1,197
      Rep Power : 649
      Likes Received
      383
      Likes Given
      292

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      Quote By Ritz
      Excellent, aliyefananisha haya maandamano ni Zak Malang, ndio kasema wangekuwa Chadema? nakuuliza wewe mmejuaje kwenye ule umati pale Kidogo Chekundu kulikuwa hakuna wafuasi wa Chadema?
      wewe acha kujifanya hamnazo! anachomaanisha huyo jamaa ni kwamba: iwapo maandamano/mkusanyiko ule ungekuwa umeandaliwa na chadema na wakafanya matendo yale yale ya kuvunja sheria kama ya ponda na wafuasi wake(waislam), je reaction ya vyombo vya dola(polisi) na wanasiasa(ccm) ingekuwa kama tulivyoshuhudia?
      LIFE IS LIKE A DISCO,NO MATTER HOW THE MUSIC CHANGES,YOU JUST KEEP DANCING!!

    Page 1 of 5 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...