Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

    Report Post
    Page 5 of 5 FirstFirst ... 345
    Results 81 to 90 of 90
    1. #1
      Zak Malang's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2008
      Posts : 4,835
      Rep Power : 1921
      Likes Received
      187
      Likes Given
      2

      Default Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?


      Wanajamvi nauliza hivi: Jee, ingekuwa ni wafuasi qwa Chadema ndiyo wamevunja uzio (ribbon) iliyowekwa na polisi pale kidongo Chekundu na kuingia uwanjani, ingekuwaje?

      Jee sasa hivi Chadema si ingekuwa tayari imefutwa? Polisi lazima wangeingilia na kutmbeza virungu na risasi, watu wangekufa na kulaumiwa CDM kwa "kutotii amri halali' ya polisi.

      Hivi katika mikusanyiko na maandamano ni Chadema pekee ndiyo inatakiwa kutii "amri halali' ya polisi?

      Hadi lini polisi wataendelea kutiwa vidole machoni namna hii na kukaa kimya, lakini huwa tayari, hata kuleta FFU kutoka mikoa mingine, kuhakikisha CDM wanatii 'amri halali" kutoka kwao?

      Kuna unafiki mkubwa hapa. Kuna bvaadhi ya viongozi hao wa dini wamewahi kutoa matamko ya kuilaani CDM 'kwa kutotii amri halali ya polisi" wakati kunaibuka virugu polisi wakiingilia mikutano yao.
      Last edited by Zak Malang; 22nd September 2012 at 21:24.
      Being prolific doesnt mean you are an accomplished person

    2. FemaTV & Radio

    3. #81
      Msendekwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th March 2012
      Posts : 392
      Rep Power : 440
      Likes Received
      139
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Alhabaad
      Mkuu na vp yule Mungu aliyeuwawa msalabani na wanaadamu ambao kawaumba yy mwenyewe?
      Yaani Mungu kaumba wanaadamu alafu wanaadamu wakamgeukia Mungu wao aliyewaumba wakampiga na kumuua msalabali!!!!?
      Yule Mungu alijitoa kwa hiari yake ateswe, hakushurutishwa, maana alikuwa na uwezo wa kuyatoa maisha yake, na kisha kuyatwaa., na hiyo ndo sababu aliwazuia kina petro(wanadamu) wasimpiganie kwa mapanga ile siku.
      Na ndiyo maana alifufuka kutoka wafu km alivyopanga na anaendelea kutawala.

      Huwa napenda sana maneno ya baba'ke Gideon, pale Gideon alipovunja masanamu ya Baal, na wafuasi wake ku react, Mzee akawaambia,
      Let Baal defend himself, if he is a real God.
      Vivyo hivyo, ikiwa Muhamad ni Mtume, mteule wa Mungu, pale anapokejeliwa na watu, tumwache ampiganie mteule wake, maana anapendezwa nae.
      Swali jingine?
      majorbuyoya likes this.

    4. #82
      Bull's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2008
      Posts : 970
      Rep Power : 570
      Likes Received
      22
      Likes Given
      0

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      Hii thread inaonyesha wazi kuwa chadema ni chama kisichopenda waislam, na kuwaonea wivu, eti chadema wakiandamana wanapigwa virungu, lakini waislam hawapigwi, kwa hiyo waislam wanapendelewa na chadema wanaonewa.

      So: chadema ni against muslim and Govnt is pro Muslims= Chadema ni janga la taifa

    5. #83
      majorbuyoya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 663
      Rep Power : 2612
      Likes Received
      183
      Likes Given
      238

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      Quote By Alhabaad
      Mkuu na vp yule Mungu aliyeuwawa msalabani na wanaadamu ambao kawaumba yy mwenyewe?
      Yaani Mungu kaumba wanaadamu alafu wanaadamu wakamgeukia Mungu wao aliyewaumba wakampiga na kumuua msalabali!!!!?
      Aha ha ha ha ha!! kijana hakuna kitu kipya ulichokuw nacho, yale yametokea ili maandiko ya Mungu yatimie na hata hivyo walifanikiwa kuuwa mwili kwa muda na hadi leo bado Jesus anaishi tofauti na yule aliyetaka asizikwe baada ya kifo chake kwa madai nae angefufuka, matokeo yake kichwa chake kikaliwa na Nguruwe na yeye akabakia kuwa mzoga. Hivi yule mungu wenu ambaye aliingia katika Jehanamu ya moto alifanikiwa kutoka kweli? na aliungua kabisa au alienda tu Jehanamu kufuata moto aende kupikia?. kwi!! kwi!! kwi!! kwi!! kwi!!............. mungu wenu ni kiboko nahisi alikuwa Mama ntilie ndo maana akaamua kufuata moto.

    6. #84
      kasimba123's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th April 2010
      Posts : 1,055
      Rep Power : 672
      Likes Received
      152
      Likes Given
      56

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      mtoa mada kichwa cha habari kinawalakini.

      Jamani mimi nauliza udini nini? maana mtaani kwetu iwe shughuli yoyote tunashirikiana hakuna mpagani wala mkristo au mwislam iwe msiba harusi kipaimara sijaona jamii ikiwa imejitenga. hii singo ilianzishwa na Chama Cha Madini(haha wingi wa udini) kutoka kwenye kiwanda chao cha uongo sasa hii inakula kwao ama kweli mchimba kisima kadumbukia mwenyewe. Jamani nauliza udini ni nini? maana inzi alisema ukijua huu mie najua huu

    7. #85
      ngafu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 22nd November 2011
      Posts : 136
      Rep Power : 405
      Likes Received
      12
      Likes Given
      179

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      Quote By counterpunch
      mada ya mtoa mada haikuongelea udini -- udini unaleta wewe. Anachosema ni vipi polisi wanahangaika kuzuia mkusanyiko kwa kuweka uzio (kwa maana mkusanyiko siyo halalali, yaani usifanyike) halafu unafanyika halafu hawachukui hatua yoyote kuuzuia.

      Hiyo ndiyo hoja ya mtoa mada, msijaribu kupotosha na kuingiza udini. Narudia -- mtoa mada anazungumzia mikusanyiko na amri za polisi, basi. Mengine ni ya kwako.

      well said

    8. Miaka 50

    9. #86
      Mwana Mtoka Pabaya's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 22nd April 2012
      Posts : 3,078
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1393
      Likes Given
      403

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      Quote By Ritz
      Wafuasi wa Chadema bana sijui kwa nini wanataka kujifananisha na Waislam, Uislam ni dini ndio maana umeona ule uzio pale Kidongo Chekundu umekatwa na kina mama peke yao wanaume walikuwa pembeni, polisi wangejalibu kuwagusa kina mama ndio wangejuta.

      Chadema kama nyie mna mungu na mnataka kuwakomboa watanzania kwa nini mnakuwa waoga pambaneni na polisi.
      Hii ndio tofauti ya SHULE na ELIMU

    10. #87
      Remote's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th May 2011
      Posts : 4,243
      Rep Power : 1355
      Likes Received
      940
      Likes Given
      182

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      Polisi walimwogopa sheikh ponda kwasababu alikuja na vijana wake ambao huwa anawafundsha kucheza karate ndani ya msikiti..
      Na ndio maana waliwatanguliza wanawake wakakate utepe(ribbon) ili polisi wawavamie ndipo ponda na vijana wake waje kuwaonesha polisi karate inachezwaje?
      Source: nimedokezwa na rafiki yangu ni mwalimu wa madrasa(Ustaadh) mitaa ya magomeni na pia mwanafunzi karate wa sheikh ponda

    11. #88
      Philipo Kidwanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2012
      Location : kusadikika
      Posts : 2,063
      Rep Power : 979
      Likes Received
      573
      Likes Given
      147

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      hii dhana great thinker inahitaji tafakuri zaidi,kama mtu anashindwa kutofautisha shughuli rasmi ya cdm na shughuli rasmi ya wale waislam.kwamba ingekuwaje pale walioivunja ule uzio wangekuwepo kwenye shughuli nzima ya kisiasa inayohusika moja kwa moja na cdm.sasa mtu anashindwa kugundua tofauti ndogo hii halafy anajitambulisha miongoni mwa wwanoitwa gt.
      LIMPETA

    12. #89
      Philipo Kidwanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2012
      Location : kusadikika
      Posts : 2,063
      Rep Power : 979
      Likes Received
      573
      Likes Given
      147

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      Quote By bull
      hii thread inaonyesha wazi kuwa chadema ni chama kisichopenda waislam, na kuwaonea wivu, eti chadema wakiandamana wanapigwa virungu, lakini waislam hawapigwi, kwa hiyo waislam wanapendelewa na chadema wanaonewa.

      So: Chadema ni against muslim and govnt is pro muslims= chadema ni janga la taifa
      mimi sio mtu mwenye dini lakini siwezi kuwaonea wivu waislam.kwani wana nini ndevuuuuuuuuu.
      LIMPETA

    13. #90
      Manager's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st April 2011
      Posts : 452
      Rep Power : 499
      Likes Received
      61
      Likes Given
      362

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      Quote By Marksman
      Ewe mwenyezi Mungu ulie juu -- endelea kuwaumbua hawa mapolisi kwa dhamira yao mbaya dhidi ya nguvu ya umma. endelea kuonyesha ulimwengu kwamba wanatumika tu kisiasa, na siyo katika kutenda haki.
      Amen. Ila Mungu naomba 2015 kila mtu mwasi na muuaji afikishwe mahakamani. Amen
      "Sometimes a majority simply means that all the fools are on the same side!"

    14. Study Abroad
    Page 5 of 5 FirstFirst ... 345

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...