Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?
Wanajamvi nauliza hivi: Jee, ingekuwa ni wafuasi qwa Chadema ndiyo wamevunja uzio (ribbon) iliyowekwa na polisi pale kidongo Chekundu na kuingia uwanjani, ingekuwaje?
Jee sasa hivi Chadema si ingekuwa tayari imefutwa? Polisi lazima wangeingilia na kutmbeza virungu na risasi, watu wangekufa na kulaumiwa CDM kwa "kutotii amri halali' ya polisi.
Hivi katika mikusanyiko na maandamano ni Chadema pekee ndiyo inatakiwa kutii "amri halali' ya polisi?
Hadi lini polisi wataendelea kutiwa vidole machoni namna hii na kukaa kimya, lakini huwa tayari, hata kuleta FFU kutoka mikoa mingine, kuhakikisha CDM wanatii 'amri halali" kutoka kwao?
Kuna unafiki mkubwa hapa. Kuna bvaadhi ya viongozi hao wa dini wamewahi kutoa matamko ya kuilaani CDM 'kwa kutotii amri halali ya polisi" wakati kunaibuka virugu polisi wakiingilia mikutano yao.
Last edited by Zak Malang; 22nd September 2012 at 21:24.
Mkuu na vp yule Mungu aliyeuwawa msalabani na wanaadamu ambao kawaumba yy mwenyewe?
Yaani Mungu kaumba wanaadamu alafu wanaadamu wakamgeukia Mungu wao aliyewaumba wakampiga na kumuua msalabali!!!!?
Yule Mungu alijitoa kwa hiari yake ateswe, hakushurutishwa, maana alikuwa na uwezo wa kuyatoa maisha yake, na kisha kuyatwaa., na hiyo ndo sababu aliwazuia kina petro(wanadamu) wasimpiganie kwa mapanga ile siku.
Na ndiyo maana alifufuka kutoka wafu km alivyopanga na anaendelea kutawala.
Huwa napenda sana maneno ya baba'ke Gideon, pale Gideon alipovunja masanamu ya Baal, na wafuasi wake ku react, Mzee akawaambia,
Let Baal defend himself, if he is a real God.
Vivyo hivyo, ikiwa Muhamad ni Mtume, mteule wa Mungu, pale anapokejeliwa na watu, tumwache ampiganie mteule wake, maana anapendezwa nae.
Swali jingine?
Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?
Hii thread inaonyesha wazi kuwa chadema ni chama kisichopenda waislam, na kuwaonea wivu, eti chadema wakiandamana wanapigwa virungu, lakini waislam hawapigwi, kwa hiyo waislam wanapendelewa na chadema wanaonewa.
So: chadema ni against muslim and Govnt is pro Muslims= Chadema ni janga la taifa
Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?
By Alhabaad
Mkuu na vp yule Mungu aliyeuwawa msalabani na wanaadamu ambao kawaumba yy mwenyewe?
Yaani Mungu kaumba wanaadamu alafu wanaadamu wakamgeukia Mungu wao aliyewaumba wakampiga na kumuua msalabali!!!!?
Aha ha ha ha ha!! kijana hakuna kitu kipya ulichokuw nacho, yale yametokea ili maandiko ya Mungu yatimie na hata hivyo walifanikiwa kuuwa mwili kwa muda na hadi leo bado Jesus anaishi tofauti na yule aliyetaka asizikwe baada ya kifo chake kwa madai nae angefufuka, matokeo yake kichwa chake kikaliwa na Nguruwe na yeye akabakia kuwa mzoga. Hivi yule mungu wenu ambaye aliingia katika Jehanamu ya moto alifanikiwa kutoka kweli? na aliungua kabisa au alienda tu Jehanamu kufuata moto aende kupikia?. kwi!! kwi!! kwi!! kwi!! kwi!!............. mungu wenu ni kiboko nahisi alikuwa Mama ntilie ndo maana akaamua kufuata moto.
Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?
mtoa mada kichwa cha habari kinawalakini.
Jamani mimi nauliza udini nini? maana mtaani kwetu iwe shughuli yoyote tunashirikiana hakuna mpagani wala mkristo au mwislam iwe msiba harusi kipaimara sijaona jamii ikiwa imejitenga. hii singo ilianzishwa na Chama Cha Madini(haha wingi wa udini) kutoka kwenye kiwanda chao cha uongo sasa hii inakula kwao ama kweli mchimba kisima kadumbukia mwenyewe. Jamani nauliza udini ni nini? maana inzi alisema ukijua huu mie najua huu
Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?
By counterpunch
mada ya mtoa mada haikuongelea udini -- udini unaleta wewe. Anachosema ni vipi polisi wanahangaika kuzuia mkusanyiko kwa kuweka uzio (kwa maana mkusanyiko siyo halalali, yaani usifanyike) halafu unafanyika halafu hawachukui hatua yoyote kuuzuia.
Hiyo ndiyo hoja ya mtoa mada, msijaribu kupotosha na kuingiza udini. Narudia -- mtoa mada anazungumzia mikusanyiko na amri za polisi, basi. Mengine ni ya kwako.
Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?
By Ritz
Wafuasi wa Chadema bana sijui kwa nini wanataka kujifananisha na Waislam, Uislam ni dini ndio maana umeona ule uzio pale Kidongo Chekundu umekatwa na kina mama peke yao wanaume walikuwa pembeni, polisi wangejalibu kuwagusa kina mama ndio wangejuta.
Chadema kama nyie mna mungu na mnataka kuwakomboa watanzania kwa nini mnakuwa waoga pambaneni na polisi.
Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?
Polisi walimwogopa sheikh ponda kwasababu alikuja na vijana wake ambao huwa anawafundsha kucheza karate ndani ya msikiti..
Na ndio maana waliwatanguliza wanawake wakakate utepe(ribbon) ili polisi wawavamie ndipo ponda na vijana wake waje kuwaonesha polisi karate inachezwaje?
Source: nimedokezwa na rafiki yangu ni mwalimu wa madrasa(Ustaadh) mitaa ya magomeni na pia mwanafunzi karate wa sheikh ponda
Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?
hii dhana great thinker inahitaji tafakuri zaidi,kama mtu anashindwa kutofautisha shughuli rasmi ya cdm na shughuli rasmi ya wale waislam.kwamba ingekuwaje pale walioivunja ule uzio wangekuwepo kwenye shughuli nzima ya kisiasa inayohusika moja kwa moja na cdm.sasa mtu anashindwa kugundua tofauti ndogo hii halafy anajitambulisha miongoni mwa wwanoitwa gt.
Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?
By bull
hii thread inaonyesha wazi kuwa chadema ni chama kisichopenda waislam, na kuwaonea wivu, eti chadema wakiandamana wanapigwa virungu, lakini waislam hawapigwi, kwa hiyo waislam wanapendelewa na chadema wanaonewa.
So: Chadema ni against muslim and govnt is pro muslims= chadema ni janga la taifa
mimi sio mtu mwenye dini lakini siwezi kuwaonea wivu waislam.kwani wana nini ndevuuuuuuuuu.
Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?
By Marksman
Ewe mwenyezi Mungu ulie juu -- endelea kuwaumbua hawa mapolisi kwa dhamira yao mbaya dhidi ya nguvu ya umma. endelea kuonyesha ulimwengu kwamba wanatumika tu kisiasa, na siyo katika kutenda haki.
Amen. Ila Mungu naomba 2015 kila mtu mwasi na muuaji afikishwe mahakamani. Amen
"Sometimes a majority simply means that all the fools are on the same side!"
Follow Us Here