Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?
kule egypt juzi kati kuna kiongozi mmoja wa dini ya kiislam alichanachana biblia na kuichoma moto,naona kuna haja ya wakristo nao kuandaa maandamano kuilaani nchi ya misri! LAKINI nasikia Mungu wanaemuabudu wakristo hana mpambe wala bodyguard wa kumlinda/kumtetea ILA huwa analipiza kisasi mwenyewe na kamwe hategemei binadamu aliyemuumba kwa udongo kumtetea au kumpigania! yaani ni sawa na mwanamke aliyejifungua mtoto mchanga ategemee kutetewa na huyo mwanae mchanga pindi akichokozwa na jirani! hapa ndipo ninapoamini kuwa IMANI TOFAUTI hutokana na kuabudu MUNGU TOFAUTI na hupelekea waumini kuwa na BUSARA/HEKIMA TOFAUTI.
LIFE IS LIKE A DISCO,NO MATTER HOW THE MUSIC CHANGES,YOU JUST KEEP DANCING!!
Follow Us Here