Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

    Report Post
    Page 2 of 5 FirstFirst 1234 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 90
    1. #1
      Zak Malang's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2008
      Posts : 4,835
      Rep Power : 1926
      Likes Received
      187
      Likes Given
      2

      Default Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?


      Wanajamvi nauliza hivi: Jee, ingekuwa ni wafuasi qwa Chadema ndiyo wamevunja uzio (ribbon) iliyowekwa na polisi pale kidongo Chekundu na kuingia uwanjani, ingekuwaje?

      Jee sasa hivi Chadema si ingekuwa tayari imefutwa? Polisi lazima wangeingilia na kutmbeza virungu na risasi, watu wangekufa na kulaumiwa CDM kwa "kutotii amri halali' ya polisi.

      Hivi katika mikusanyiko na maandamano ni Chadema pekee ndiyo inatakiwa kutii "amri halali' ya polisi?

      Hadi lini polisi wataendelea kutiwa vidole machoni namna hii na kukaa kimya, lakini huwa tayari, hata kuleta FFU kutoka mikoa mingine, kuhakikisha CDM wanatii 'amri halali" kutoka kwao?

      Kuna unafiki mkubwa hapa. Kuna bvaadhi ya viongozi hao wa dini wamewahi kutoa matamko ya kuilaani CDM 'kwa kutotii amri halali ya polisi" wakati kunaibuka virugu polisi wakiingilia mikutano yao.
      Last edited by Zak Malang; 22nd September 2012 at 21:24.
      Being prolific doesnt mean you are an accomplished person


    2. #21
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 19,205
      Rep Power : 12770
      Likes Received
      6435
      Likes Given
      998

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      Chadema mnafanya makosa makubwa kujifananisha na Waislam, Uislam ni imani, chama cha siasa kina wafuasi, ndani ya Waislam kuna wafuasi Chadema, CCM, TLP, CCM, NCCR Mageuzi, CUF. na Ukiristo nao ni hivyo hivyo.
      Maundumula likes this.

    3. #22
      Jackbauer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Location : CTU
      Posts : 4,914
      Rep Power : 1702
      Likes Received
      1367
      Likes Given
      284

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      iko siku polisi wote watakuwa watiifu kama huyu hapo chini kushoto.
      all we need is persistance,persistance....!!!

      Name:  polisi kamkubali.jpg
Views: 0
Size:  50.8 KB
      You may succeed in silencing me but that silence comes at a price-Alex litvinenko

    4. #23
      Brightman Jr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2009
      Posts : 746
      Rep Power : 671
      Likes Received
      96
      Likes Given
      26

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      Maandamano ya kidini hayana athari kwenye utawala lakini maandamano ya kisiasa ni sumu kwa walio madarakani; hii ndo hali halisi.

    5. #24
      Maundumula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 5,502
      Rep Power : 3215
      Likes Received
      1551
      Likes Given
      6746

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      Quote By Zak Malang View Post

      Wanajamvi nauliza hivi: Jee, ingekuwa ni wafuasi qwa Chadema ndiyo wamevunja uzio (ribbon) iliyowekwa na polisi pale kidongo Chekundu na kuingia uwanjani, ingekuwaje?

      Jee sasa hivi Chadema si ingekuwa tayari imefutwa? Polisi lazima wangeingilia na kutmbeza virungu na risasi, watu wangekufa na kulaumiwa CDM kwa "kutotii amri halali' ya polisi.

      Hivi katika mikusanyiko na maandamano ni Chadema pekee ndiyo inatakiwa kutii "amri halali' ya polisi?

      Hadi lini polisi wataendelea kutiwa vidole machoni namna hii na kukaa kimya, lakini huwa tayari, hata kuleta FFU kutoka mikoa mingine, kuhakikisha CDM wanatii yao 'amri halali"?

      Kuna unafiki mkubwa hapa. Kuna bvaadhi ya viongozi hao wa dini wamewahi kutoa matamko ya kuilaani CDM 'kwa kutotii amri halali ya polisi" wakati kunaibuka virugu polisi wakiingilia mikutano yao.
      Wrong comparison Sir, Ungefananisha na fujo za CCM inge make sense sana.
      Ndibalema likes this.

    6. #25
      THE GAME's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 30th May 2010
      Posts : 202
      Rep Power : 500
      Likes Received
      8
      Likes Given
      72

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      polisi wanatumika kisiasa huu ndio ukweli.


    7. #26
      Chuma Chakavu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2011
      Location : where i am
      Posts : 1,197
      Rep Power : 653
      Likes Received
      383
      Likes Given
      292

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      kule egypt juzi kati kuna kiongozi mmoja wa dini ya kiislam alichanachana biblia na kuichoma moto,naona kuna haja ya wakristo nao kuandaa maandamano kuilaani nchi ya misri! LAKINI nasikia Mungu wanaemuabudu wakristo hana mpambe wala bodyguard wa kumlinda/kumtetea ILA huwa analipiza kisasi mwenyewe na kamwe hategemei binadamu aliyemuumba kwa udongo kumtetea au kumpigania! yaani ni sawa na mwanamke aliyejifungua mtoto mchanga ategemee kutetewa na huyo mwanae mchanga pindi akichokozwa na jirani! hapa ndipo ninapoamini kuwa IMANI TOFAUTI hutokana na kuabudu MUNGU TOFAUTI na hupelekea waumini kuwa na BUSARA/HEKIMA TOFAUTI.
      majorbuyoya likes this.
      LIFE IS LIKE A DISCO,NO MATTER HOW THE MUSIC CHANGES,YOU JUST KEEP DANCING!!

    8. #27
      Ndibalema's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2008
      Location : Mbagala
      Posts : 6,729
      Rep Power : 2030
      Likes Received
      1697
      Likes Given
      1697

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      Hii comparison ni INVALID.
      Atleast mtoa mada angeuliza kama wangeandamana Wakristo au wapagani polisi wangewaachia?
      Au mtoa mada anataka watu waamini kuwa Oposite ya chadema ni Uislamu?
      This is wrong na ndio maana hotokuja kumsikia kiongozi yeyote wa chadema atakayelalamika kwa hilo.
      Jiulize wangekuwa wameandamana CCm bila kibali kuna kiongozi wa chadema ambaye angekaa kimya hadi leo?
      "Makalio ya sufuria hayaogopi moto"

    9. #28
      paulss's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th August 2009
      Posts : 3,638
      Rep Power : 4411
      Likes Received
      1105
      Likes Given
      986

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      Quote By Zak Malang View Post

      Wanajamvi nauliza hivi: Jee, ingekuwa ni wafuasi qwa Chadema ndiyo wamevunja uzio (ribbon) iliyowekwa na polisi pale kidongo Chekundu na kuingia uwanjani, ingekuwaje?

      Jee sasa hivi Chadema si ingekuwa tayari imefutwa? Polisi lazima wangeingilia na kutmbeza virungu na risasi, watu wangekufa na kulaumiwa CDM kwa "kutotii amri halali' ya polisi.

      Hivi katika mikusanyiko na maandamano ni Chadema pekee ndiyo inatakiwa kutii "amri halali' ya polisi?

      Hadi lini polisi wataendelea kutiwa vidole machoni namna hii na kukaa kimya, lakini huwa tayari, hata kuleta FFU kutoka mikoa mingine, kuhakikisha CDM wanatii yao 'amri halali"?

      Kuna unafiki mkubwa hapa. Kuna bvaadhi ya viongozi hao wa dini wamewahi kutoa matamko ya kuilaani CDM 'kwa kutotii amri halali ya polisi" wakati kunaibuka virugu polisi wakiingilia mikutano yao.
      Mkuu Zak Malang kwenye red kunazua maswali mengi ya msingi, na kuinyima hoja za msingi mada yako

      Je ''ulitaka Polisi watimize wajibu wao'' kwa kuwapiga?

      je kutimiza wajibu wao wa kuwapiga ndio njia sahihi?

      Je wanapowapiga CDM wanakuwa sahihi kwa "kutokubali kutiwa vidole machoni"?

      Je malalamiko ya kulaumu Polisi "kutokubali kutiwa vidole machoni" na CDM na kuamua "kutimiza wajibu wao" ni batili? nk nk

      Ningekubaliana na wewe kama ungetaka Polisi kutumia busara kukabiliana na CDM kama wanavyotumia busara hizo kukabiliana na Waislam(kwasababu ndivyo wanayotakiwa kufanya)
      Lakini sikubaliani na busara zako za kutaka Polisi watumie mabavu pia kwakuwa tu wanayatumia kukabiliana na CDM(kwasababu sivyo wanatakiwa kufanya)
      mtznunda likes this.
      Independent thinker
      Humu jf baadhi yetu wametengeneza haki miliki ya they way they think, you have to think like them and have drawn a line of where one has to belong, you are either "with us" or "against us", if you don't sail the same boat then you are an enemy!. -Pasco wa JF

    10. #29
      Zak Malang's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2008
      Posts : 4,835
      Rep Power : 1926
      Likes Received
      187
      Likes Given
      2

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      Quote By Ndibalema View Post
      Hii comparison ni INVALID.
      Atleast mtoa mada angeuliza kama wangeandamana Wakristo au wapagani polisi wangewaachia?
      Au mtoa mada anataka watu waamini kuwa Oposite ya chadema ni Uislamu?
      This is wrong na ndio maana hotokuja kumsikia kiongozi yeyote wa chadema atakayelalamika kwa hilo.
      Jiulize wangekuwa wameandamana CCm bila kibali kuna kiongozi wa chadema ambaye angekaa kimya hadi leo?
      Umenishangaza sana Ndibalema na wengineo (eg. post No 24) kwamba mnashindwa kumuelewa mtoa mada. Polisi waliweka uzio pale ili waumini wa Kiisilamu wasiingie -- kwa maneno mengine kufuatana na hiyo hatua ya polisi mkusanyiko ule haukuwa halali, unless polisi hao walikuwa wanafanya dhihaka tu katika kuweka uzio!

      sasa kama ni hivyo kwa nini polisi hao wasitumie nguvu za ziada kuwazuia, kama vile wanavyofanya katika mikusanyiko mingine (eg ya CDM) ambayo huiharamisha/

      Kwa hoja zenu, basi ni bora polisi watangazie umma kwamba: "Jamani eeh, ni mikusanyiko ya vyama vya siasa tu (hususan CDM) ndiyo tunahakikisha wanatii amri tunaposema siyo halali, wasipotii amri ni kipigo tu. Kwa mikusanyiko mingine wanaweza kutotii amri yetu, na sisi hatutajali sana!"

      Kuna watoa hoja za ajabu kabisa humu JF!
      Last edited by Zak Malang; 22nd September 2012 at 21:09.
      Being prolific doesnt mean you are an accomplished person

    11. #30
      Joachim Morgan's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Posts : 53
      Rep Power : 402
      Likes Received
      13
      Likes Given
      2

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      Sijapata picha je hao wanaogopwa, au wanakipi cha ziada waweze kuvunja sheria bila kuchukuliwa hatua wala hakuna matamko kwamba wanahatarisha amani ya wenzao wasiotaka maandamano. Naomba kueleweshwa hapa hatuangalii dini tunaangalia maandamano yasio na kibali.

    12. #31
      majorbuyoya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 663
      Rep Power : 2617
      Likes Received
      183
      Likes Given
      238

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      Quote By zomba View Post
      Chadema wana wafuasi au wapiganaji?
      .....................Chadema wana Boko-haramu kama wale wa Kidongo chekundu.

    13. #32
      majorbuyoya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 663
      Rep Power : 2617
      Likes Received
      183
      Likes Given
      238

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      Quote By paulss View Post
      Mkuu Zak Malang kwenye red kunazua maswali mengi ya msingi, na kuinyima hoja za msingi mada yako Je ''ulitaka Polisi watimize wajibu wao'' kwa kuwapiga? je kutimiza wajibu wao wa kuwapiga ndio njia sahihi? Je wanapowapiga CDM wanakuwa sahihi kwa "kutokubali kutiwa vidole machoni"? Je malalamiko ya kulaumu Polisi "kutokubali kutiwa vidole machoni" na CDM na kuamua "kutimiza wajibu wao" ni batili? nk nk Ningekubaliana na wewe kama ungetaka Polisi kutumia busara kukabiliana na CDM kama wanavyotumia busara hizo kukabiliana na Waislam(kwasababu ndivyo wanayotakiwa kufanya) Lakini sikubaliani na busara zako za kutaka Polisi watumie mabavu pia kwakuwa tu wanayatumia kukabiliana na CDM(kwasababu sivyo wanatakiwa kufanya)
      .............Mkuu, umeandika maneno mengi sana lakini naona kama vile mtazamo wako ni sawa tu na mtazamo wa mtoa mada.

    14. #33
      majorbuyoya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 663
      Rep Power : 2617
      Likes Received
      183
      Likes Given
      238

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      Quote By Chuma Chakavu View Post
      kule egypt juzi kati kuna kiongozi mmoja wa dini ya kiislam alichanachana biblia na kuichoma moto,naona kuna haja ya wakristo nao kuandaa maandamano kuilaani nchi ya misri! LAKINI nasikia Mungu wanaemuabudu wakristo hana mpambe wala bodyguard wa kumlinda/kumtetea ILA huwa analipiza kisasi mwenyewe na kamwe hategemei binadamu aliyemuumba kwa udongo kumtetea au kumpigania! yaani ni sawa na mwanamke aliyejifungua mtoto mchanga ategemee kutetewa na huyo mwanae mchanga pindi akichokozwa na jirani! hapa ndipo ninapoamini kuwa IMANI TOFAUTI hutokana na kuabudu MUNGU TOFAUTI na hupelekea waumini kuwa na BUSARA/HEKIMA TOFAUTI.
      Mkuu, nimebonyeza ''like'' mara moja nilitaka nibonyeze mara 100 lakini haiwezekani. Umeongea kitu cha msingi, sidhani kama kuna mwanadamu anayeweza kumtetea Mungu ila yeye Mungu wa kweli ndiye atawatetea wanadamu. Haitatokea mkristo aanze kuandamana kwa ajili ya upuuzi kama huo na hii inatokana na mafundisho yatolewayo kwa waumini wao. Siku zote Mungu hubaki kuwa Mungu na binadamuu hubaki kuwa binadamu, ukiona watu wanafanya vurugu au wanauwa wenzao kwaajili ya kumtetea Mungu au mtume wao basi hapo lazima kuwe na walakini juu ya huo Uungu au utume wa huyo anayesaidiwa na binadamu.

    15. #34
      assuredly4's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th November 2011
      Posts : 877
      Rep Power : 748
      Likes Received
      136
      Likes Given
      139

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      tusilete hoja ya dini, mtu anayezungumzia dini amefilisika sera.

      Tatizo hapa sio walioandamana ni wa dini gani BALI tatizo kama tendo hilo hadi kukata uzio wa polisi lingefanywa na chadema wangebaki salama kama ilivyotokea? je wale waislamu walioandaman bila kibali kuwatoa wenzao waliokamatwa kwa kutohesabiwa polisi kwa kutowaingilia mbona hakuna wizi wala mauaji

      Tafsiri nyepesi hapa ni kuwa endapo wananchi wataachiwa watimize haki yao kisheria bila kuzuiwa wala kuingiliwa na polisi kwa kupigwa mabomu na risasi hakuna mtu atakayekufa? je umeelewa usiyeelewa?

    16. #35
      Zak Malang's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2008
      Posts : 4,835
      Rep Power : 1926
      Likes Received
      187
      Likes Given
      2

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      Quote By Kafiribangi View Post
      Umenishangaza sana Ndibalema na wengineo (eg. post No 24) kwamba mnashindwa kumuelewa mtoa mada. Polisi waliweka uzio pale ili waumini wa Kiisilamu wasiingie -- kwa maneno mengine kufuatana na hiyo hatua ya polisi mkusanyiko ule haukuwa halali, unless polisi hao walikuwa wanafanya dhihaka tu katika kuweka uzio!

      sasa kama ni hivyo kwa nini polisi hao wasitumie nguvu za ziada kuwazuia, kama vile wanavyofanya katika mikusanyiko mingine (eg ya CDM) ambayo huiharamisha/

      Kwa hoja zenu, basi ni bora polisi watangazie umma kwamba: "Jamani eeh, ni mikusanyiko ya vyama vya siasa tu (hususan CDM) ndiyo tunahakikisha wanatii amri tunaposema siyo halali, wasipotii amri ni kipigo tu. Kwa mikusanyiko mingine wanaweza kutotii amri yetu, na sisi hatutajali sasa!"

      Kuna watoa hoja za ajabu kabisa humu JF!
      Umenifurahisha sana maneno katika highlight yako. Polisi wanaonekana waziwazi ni watu wanaotumika tu kisiasa. Ni ajabu sana wao kutoa amri halafu inakukwa na wanabaki wakikenua meno!

      Halafu etu huyo mkuu wao (IGP Mwema) anakazania dhana ya utii bila shuruti. Waisilamu hawakutii amri halali ya polisi na hawakufanywa kitu. kama anavosema Kafiribangi, polisi na waseme kwamba walikuwa wanafanya dhihaka kuweka ribbon.

    17. #36
      dudus's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 2,339
      Rep Power : 1018
      Likes Received
      1323
      Likes Given
      531

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      Quote By Ritz View Post
      Chadema mnafanya makosa makubwa kujifananisha na Waislam, Uislam ni imani, chama cha siasa kina wafuasi, ndani ya Waislam kuna wafuasi Chadema, CCM, TLP, CCM, NCCR Mageuzi, CUF. na Ukiristo nao ni hivyo hivyo.
      Ok, lets assume you are right. Kwa hiyo unataka kutuambia maandamano yanayoruhusiwa ni ya kiimani peke yake bali ya vyama vya siasa ni haramu?

      Ndugu zanguni hebu tuacheni unafiki; unafiki ambao hautatufikisha popote. Maandamano yoyote ni haki ya raia kikatiba iwe ni ya kiimani, kisiasa, kijamii, au vinginevyo. Yawe ni ya waislamu, wakristo, wapagani, wamasai, wachaga, wakerewe, wamakua, wakojani, n.k. Yawe ni ya CCM, CUF, ADC, au chama kingine chochote. Yawe yanafanyika kwa dakika moja, siku nzima, au hata mwaka mzima mfululizo.

      Hii tabia ya serikali kuwa na double-standard katika masuala ya msingi ya kijamii italeta matatizo makubwa na yenye athari kubwa sana huko mbeleni. Kama waislamu wameruhusiwa bila masharti (in fact hakutakiwi kuwa na masharti) na wengine waruhusiwe bila masharti.

      Kwa kuwa mwingine hawezi au hataki kuandamana basi isiwe sababu ya kumkataza mwingine mwenye kuhitaji kutimiza haki yake ya kikatiba.

      Vinginevyo CCM kupitia serikali yake watuambie ama wanawaogopa waislamu au wanataka kuwatumia kama daraja la kisiasa au wanawapendelea.

    18. #37
      Hard Hitter's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st May 2009
      Posts : 201
      Rep Power : 552
      Likes Received
      27
      Likes Given
      2

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      Quote By Negembo View Post
      Maandamano ya kidini hayana athari kwenye utawala lakini maandamano ya kisiasa ni sumu kwa walio madarakani; hii ndo hali halisi.
      Unasema maandamano ya kidini hayana athari kwa utawala? Unaijua historia wewe? Unakumbuka kilichompata kipenzi cha Marekani, yule Shah wa Iran mwaka 1979? Alikimbia Ikulu yake kutokana na maandamano. Na maandamano makubwa yalikuwa yanafanywa na wanawake wakivaa mabaibui.

      We'd all like to vote for the best man, but he's never a candidate.

    19. #38
      hans79's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2011
      Posts : 1,667
      Rep Power : 805
      Likes Received
      163
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Ritz View Post
      Zak Malang,

      Unataka kutuambia kwenye ule umati wa Waislam kulikuwa hakuna wanachama au wafuasi wa Chadema.
      Swali jibu

    20. #39
      Zak Malang's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2008
      Posts : 4,835
      Rep Power : 1926
      Likes Received
      187
      Likes Given
      2

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      Quote By dudus View Post
      Ok, lets assume you are right. Kwa hiyo unataka kutuambia maandamano yanayoruhusiwa ni ya kiimani peke yake bali ya vyama vya siasa ni haramu?

      Ndugu zanguni hebu tuacheni unafiki; unafiki ambao hautatufikisha popote. Maandamano yoyote ni haki ya raia kikatiba iwe ni ya kiimani, kisiasa, kijamii, au vinginevyo. Yawe ni ya waislamu, wakristo, wapagani, wamasai, wachaga, wakerewe, wamakua, wakojani, n.k. Yawe ni ya CCM, CUF, ADC, au chama kingine chochote. Yawe yanafanyika kwa dakika moja, siku nzima, au hata mwaka mzima mfululizo.

      Hii tabia ya serikali kuwa na double-standard katika masuala ya msingi ya kijamii italeta matatizo makubwa na yenye athari kubwa sana huko mbeleni. Kama waislamu wameruhusiwa bila masharti (in fact hakutakiwi kuwa na masharti) na wengine waruhusiwe bila masharti.

      Kwa kuwa mwingine hawezi au hataki kuandamana basi isiwe sababu ya kumkataza mwingine mwenye kuhitaji kutimiza haki yake ya kikatiba.

      Vinginevyo CCM kupitia serikali yake watuambie ama wanawaogopa waislamu au wanataka kuwatumia kama daraja la kisiasa au wanawapendelea.
      Utahangaika sana kuwaelimisha watu wa vichwa vya nazi aka magamba. Lakini kitu kimoja sasa kinaanza kujitokeza; Amani ya nchi hii itavurugwa na polisi tu + usalama wa taifa kwa vitendo vyao vya kukiuka haki. Lengo ni kukifanya CDM kionekane ni chama cha vurugu, lakini wananchi sasa wanaanza kuelewa mbinu hizo.
      Being prolific doesnt mean you are an accomplished person

    21. #40
      MBWA HARUKI's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd July 2012
      Posts : 143
      Rep Power : 379
      Likes Received
      38
      Likes Given
      10

      Default Re: Jee ingekuwa ni wafuasi wa CDM wamevunja uzio (ribbon) ya Polisi pale Kidongo Chekundu?

      Quote By Ritz View Post
      Excellent, aliyefananisha haya maandamano ni Zak Malang, ndio kasema wangekuwa Chadema? nakuuliza wewe mmejuaje kwenye ule umati pale Kidogo Chekundu kulikuwa hakuna wafuasi wa Chadema?
      Hata kama walikuwepo hawakwenda pale kwa kofia ya CHADEMA.
      Nirudieni mimi nasamehe, geukeni sasa niwaponye asema bwana wa majeshi!


    Page 2 of 5 FirstFirst 1234 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...