Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mategemeo yetu kwa Chadema

    Report Post
    Results 1 to 16 of 16
    1. #1
      rosemarie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 4,732
      Rep Power : 1366
      Likes Received
      280
      Likes Given
      142

      Default Mategemeo yetu kwa Chadema

      tunajitahidi sana kuwasaidia Chadema wakamate dola,tunahatarisha maisha yetu na biashara zetu na familiya zetu ili waingie madarakani,lakini mategemeo yetu makubwa ni kuona mabadiliko mara watakapo chukua dola,itasikitisha sana kama Chadema watakuwa na mwelekeo wa kujineemesha kama watani zetu ccm,nasema hivyo kwa sababu tumegundua watanzania tuna mapungufu makubwa katika swala zima la uaminifu,imefika wakati tuseme ukweli tu,Chadema msituangushe kwani mkifanya hivyo mtakuwa mmeharibu kila nafsi inayotarajia mabadiliko,tunajuanyie ni binadam lakini inabidi mjitoe kwa moyo wenu wote kunusuru taifa letu,naandika haya nikiwa na woga na mashaka moyoni mwangu, iwapo mabadiliko yanayoitajika ndani ya taifa letu hayatatokea itakuwa ni tatizo kubwa,watanzania ni watu wa kuvunjika moyo haraka na hawana subira,kila la kheri chadema tupo nyuma yenu kuwaweka madarakani mlete mabadiliko
      ccm inakufa,asante mungu umesikia kilio chetu!!!!!!!

    2. Miaka 50

    3. #2
      Ringo Edmund's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2010
      Location : MDAWI
      Posts : 3,670
      Rep Power : 1361
      Likes Received
      885
      Likes Given
      586

      Default Re: Mategemeo yetu kwa Chadema

      na kwa kuanzia watupe kauli ya chama kuhusu sakata la madiwani wa moshi waliotaka kwenda kutafuna kuku rwanda.
      martyr2012 likes this.
      ​kusema ni fedha na kusikilizwa ni zahabu.

    4. #3
      tedo's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th August 2011
      Location : uchochoroni
      Posts : 5,479
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1259
      Likes Given
      880

      Default Re: Mategemeo yetu kwa Chadema

      Wala usihofu....tunachohitaji sasa hivi ni mabadilikio.

    5. #4
      rosemarie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 4,732
      Rep Power : 1366
      Likes Received
      280
      Likes Given
      142

      Default Re: Mategemeo yetu kwa Chadema

      Quote By tedo
      Wala usihofu....tunachohitaji sasa hivi ni mabadilikio.
      tusijidanganye wala kujifurahisha,tunahitaji mabadiliko permanent na lazima tupige hesabu nzuri ili tusikosee mbele ya safari
      Jasusi likes this.
      ccm inakufa,asante mungu umesikia kilio chetu!!!!!!!

    6. #5
      Apolonary's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Location : SAN DIEGO COMMUNITY
      Posts : 1,462
      Rep Power : 683
      Likes Received
      252
      Likes Given
      30

      Default Re: Mategemeo yetu kwa Chadema

      Na iwe kama ulivyonena la sivyo chadema watakiona cha mtemamoto kama si cha mtemakuni!

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 5,983
      Rep Power : 1645
      Likes Received
      1134
      Likes Given
      413

      Default

      Quote By Ringo Edmund
      na kwa kuanzia watupe kauli ya chama kuhusu sakata la madiwani wa moshi waliotaka kwenda kutafuna kuku rwanda.
      rwanda kila m2 anaeza kwenda, hata yanga walienda na juz wamepigwa 3-0

    9. #7
      Mimibaba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2009
      Posts : 3,171
      Rep Power : 1533
      Likes Received
      759
      Likes Given
      592

      Default Re: Mategemeo yetu kwa Chadema

      Ulichosema ni kweli kiwango cha uaminifu hasa kuheshimu makubaliano ni tete hapa TZ.

      CDM wamefanya vizuri kutupa kauzoefu ka kudai haki zetu baada ya shule wanayotoa. Hiyo nI ndoana itawanasa kama watakengeuka kwenye mwelekeo huo.

      Kutushirikisha kwa maana ya CDM kuwa ni chama cha wananchi/wanachama ni utaratibu komavu ambao unanipa matumaini kuwa CDM hawatajisaliti.

      Mimi nawaasa waTz wenzangu hatima ya maisha yetu yako mikononi mwetu, kwa jinsi ninavyoona CCM inaondoka, ni mkakati huo huo utumke kuwawajibisha na kuwaadabisha serikali na chama tawala kutimza wajibu wake tofauti na sasa.

      KWA SABABU CDM WANASEMA WAO WANAMTANGULIZA MUNGU; MUNGU YUPO KWA WATU KWA HIYO WATAKUWA NA HOFU YA MUNGU
      Ukweli utakuweka huru daima

    10. #8
      ngwendu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2010
      Posts : 1,971
      Rep Power : 858
      Likes Received
      160
      Likes Given
      50

      Default Re: Mategemeo yetu kwa Chadema

      Quote By director1
      tunajitahidi sana kuwasaidia Chadema wakamate dola,tunahatarisha maisha yetu na biashara zetu na familiya zetu ili waingie madarakani,lakini mategemeo yetu makubwa ni kuona mabadiliko mara watakapo chukua dola,itasikitisha sana kama Chadema watakuwa na mwelekeo wa kujineemesha kama watani zetu ccm,nasema hivyo kwa sababu tumegundua watanzania tuna mapungufu makubwa katika swala zima la uaminifu,imefika wakati tuseme ukweli tu,Chadema msituangushe kwani mkifanya hivyo mtakuwa mmeharibu kila nafsi inayotarajia mabadiliko,tunajuanyie ni binadam lakini inabidi mjitoe kwa moyo wenu wote kunusuru taifa letu,naandika haya nikiwa na woga na mashaka moyoni mwangu, iwapo mabadiliko yanayoitajika ndani ya taifa letu hayatatokea itakuwa ni tatizo kubwa,watanzania ni watu wa kuvunjika moyo haraka na hawana subira,kila la kheri chadema tupo nyuma yenu kuwaweka madarakani mlete mabadiliko
      mkuu kidogo umejitahidi kufikiria. angalau wewe una imani nao kidogo, mimi haipo kabisa, kwani najua fika walionyuma ya chama cha zomea zomea ni watu walio kwenye system miaka nenda miaka rudi na huwezi kuwatenganisha na huu umasikini tulionao waTZ. na waandishi wa habari wanafanya kazi ya chama cha zomeazomea badala ya kufuata maadili ya taaluma zao.
      we have to be focused!

    11. #9
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,191
      Rep Power : 5038
      Likes Received
      2426
      Likes Given
      2224

      Default Re: Mategemeo yetu kwa Chadema

      Mmeweka indicators gani zilizowaongoza kujua kuwa chadema will perform better?
      Why not TLP, CHAUSTA, CUF au NCCR Mageuzi?
      "To greed, all nature is insufficient"

    12. #10
      Jasusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2006
      Posts : 10,623
      Rep Power : 2892
      Likes Received
      3839
      Likes Given
      12233

      Default Re: Mategemeo yetu kwa Chadema

      director1,
      Tuko pamoja.

    13. #11
      mmwaisoba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th May 2012
      Posts : 427
      Rep Power : 225
      Likes Received
      22
      Likes Given
      0

      Default Re: Mategemeo yetu kwa Chadema

      Huwezi kumtegemea chizi akuvishe barabara. Chadema ni genge la wahuni ndugu yangu. Soma historia zao wote ni watu wa ajabuajabu kama waganga wa mvua. Mbowe ni form four, lema ni form two mnyika form six, slaa ni muasi wa viapo vya upadiri. Na amevunja alichofunga mungu kwa kumchukua josephine mke wa kijana wa watu. Wabebeni tu lakini mnajisumbua

    14. #12
      martyr2012's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th July 2012
      Posts : 119
      Rep Power : 368
      Likes Received
      20
      Likes Given
      10

      Default Re: Mategemeo yetu kwa Chadema

      Quote By Ng'wanangwa
      rwanda kila m2 anaeza kwenda, hata yanga walienda na juz wamepigwa 3-0
      Usipoteze mtiririko wewee, wale madiwani waCDM walitaka kutumia pesa za walipa kodi kwenda kutanua kule Kigali. Huu sio ufisadi? hapo wanatawala Halmashauri vipi CDM ikipewa keki yote pamoja na mafuta na madini? Mh!!!!!! sina imani na CDM kwani sioni hata chembe ya mabadiliko, uadilifu wala uwezo wa kuleta mabadiliko tunayoyatarajia.

    15. #13
      hans79's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2011
      Posts : 1,495
      Rep Power : 767
      Likes Received
      143
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By almasiomary
      Huwezi kumtegemea chizi akuvishe barabara. Chadema ni genge la wahuni ndugu yangu. Soma historia zao wote ni watu wa ajabuajabu kama waganga wa mvua. Mbowe ni form four, lema ni form two mnyika form six, slaa ni muasi wa viapo vya upadiri. Na amevunja alichofunga mungu kwa kumchukua josephine mke wa kijana wa watu. Wabebeni tu lakini mnajisumbua
      Mkiti wenu kawaambia hamwezi kula hadi mliwe kiduchu hatuwashangai,Elimu hawa viumbe komba,lukuvi,maji matitu,kikwete mr dhaifu,ndugai,kibajaj,weye,ten dwa njaa kali,lowasa,chenge mzee wa rada,napi,mkama,magufuli misifa,walema,hosea,chande,ben nk.Weka cv na nini faida na hasa kwa taifa.
      Jasusi likes this.

    16. #14
      Ngoni's Avatar
      Member Array
      Join Date : 22nd March 2008
      Posts : 58
      Rep Power : 585
      Likes Received
      12
      Likes Given
      8

      Default Re: Mategemeo yetu kwa Chadema

      Quote By ngwendu
      mkuu kidogo umejitahidi kufikiria. angalau wewe una imani nao kidogo, mimi haipo kabisa, kwani najua fika walionyuma ya chama cha zomea zomea ni watu walio kwenye system miaka nenda miaka rudi na huwezi kuwatenganisha na huu umasikini tulionao waTZ. na waandishi wa habari wanafanya kazi ya chama cha zomeazomea badala ya kufuata maadili ya taaluma zao.
      Tunajua kuwa hakuna chama hapa Tanzania ambacho hakina watu walio kwenye system, uzuri ni kwamba Chadema inatufundisha kukubaliana/kufuata na nguvu ya umma. Chadema ikiingia madarakani nguvu ya umma (ambayo ni Demokrasia) itailazimisha system kuusikiliza umma na kufanya kile ambacho ni maslahi ya umma.
      Chadema ikiigia madarakani, ni ushindi kwa umma. Vinginevyo, ni ushindi kwa ufisadi,ubadhirifu wa mali ya umma, kulindana (huyu mwenzetu), kutokuwajibika, uhalifu wa kidola na upuuzi mwingine mwingi tu tunaouona sasa hivi.

    17. #15
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Mategemeo yetu kwa Chadema

      Halafu watueleze kuhusu viwanda vya uongo.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    18. #16
      Barnabas Shadrack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2011
      Posts : 2,055
      Rep Power : 810
      Likes Received
      182
      Likes Given
      11

      Default Re: Mategemeo yetu kwa Chadema

      Siku zote huwezi kupima ukapima kiwango cha mvua kwa kuangalia wingu.
      I'm proud to be born an adventist church member.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...