Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Dk. Bana awajia juu CHADEMA/CUF kuhusu M4C & V4C

    Report Post
    Page 1 of 6 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 104
    1. #1
      nngu007's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd August 2010
      Posts : 11,213
      Rep Power : 3557
      Likes Received
      3059
      Likes Given
      462

      Default Dk. Bana awajia juu CHADEMA/CUF kuhusu M4C & V4C

      Na Datus Boniface

      Mhadhiri wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam, Dk. Benson Bana amevijia juu vyama vya siasa na kukosoa kauli mbiu zao ikiwemo ya Movement for Change (M4C), inayotumiwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo na V4C ambayo inatumiwa na chama cha Wananchi CUF, kuwa siyo wakati wake kwa sasa.

      Hivyo,waiache serikali iliyoko madarakani chini ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutekeleza ahadi na ilani zake kwa Wananchi.

      Dk. Bana alisema hayo jijini Dar es Salaam leo katika semina ya siku moja yenye kujadili masuala ya Sheria kwa vyama vya siasa iliyoandaliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa.

      “M4C siyo wa halali siyo wakati wake kwa sasa, kama kila chama kitakuja na Kauli Mbiu yake itaipeleka nchi pabaya, Wananchi wana matatizo mengi ambayo yanahitaji kufanyiwa kazi kwa sasa badala ya mikutano inayofanywa na vyama vya siasa” alisema.

      Kwa mujibu wa kauli yake, Kauli Mbiu hizo zina wakati wake ikiwemo kipindi cha kampeni za uchaguzi.

      Alienda mbali zaidi na kuwataka viongozi wa vyama hivyo kuiacha serikali itekeleze ahadi zake kwa uhuru na amani.


    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      BHULULU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Posts : 3,014
      Rep Power : 8379
      Likes Received
      833
      Likes Given
      696

      Default re: Dk. Benson Bana awajia juu CHADEMA/CUF kuhusiana na kauli mbiu zao za M4C & V4C

      Huyu mzee kila siku anazidi kujishushia hadhi

    4. #3
      nngu007's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd August 2010
      Posts : 11,213
      Rep Power : 3557
      Likes Received
      3059
      Likes Given
      462

      Default re: Dk. Benson Bana awajia juu CHADEMA/CUF kuhusiana na kauli mbiu zao za M4C & V4C


      Kauli MBIU ??? Mimi naona ni MOJA ya UHAMASISHO wa kutaka MAENDELEO na kukifanya CHAMA TAWALA kwa MIAKA 32 na zaidi

      KUAMSHWA na kuwatumikia Wananchi...

    5. #4
      Questt's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2009
      Location : Nowhere
      Posts : 2,936
      Rep Power : 1076
      Likes Received
      352
      Likes Given
      261

      Default re: Dk. Benson Bana awajia juu CHADEMA/CUF kuhusiana na kauli mbiu zao za M4C & V4C

      Sasa matatizo ya Wananchi yanatakiwa kutatuliwa na Vyama vya siasa au Serikali??? Suala hapo ni serikali itatue matatizo ya wananchi kwa kiasi cha kuridhisha, Funga Mafisadi wote jela, na komesha kabisa Ufisadi then hakutakua na need ya M4C wala nini....
      Get Rich or Die Tryn......

    6. #5
      Father of All's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 3,093
      Rep Power : 1044
      Likes Received
      1829
      Likes Given
      3343

      Default re: Dk. Benson Bana awajia juu CHADEMA/CUF kuhusiana na kauli mbiu zao za M4C & V4C

      Huyu Bana si arudi shule asome angalau aelimike? Nadhani baada ya kugundua kuwa kuna kustaafu, ameanza kujiuza kama kachangu ili lau CCM wamkumbuke na siyo kumtilia kichumvi atakapoomba kazi upya.
      Jasusi likes this.

    7. Miaka 50

    8. #6
      tenende's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th January 2012
      Posts : 1,079
      Rep Power : 587
      Likes Received
      215
      Likes Given
      485

      Default re: Dk. Benson Bana awajia juu CHADEMA/CUF kuhusiana na kauli mbiu zao za M4C & V4C

      Bangi za kiziba kalii!.. Zinatesa watu mpaka uzeen!

    9. #7
      The Hunter's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th December 2010
      Location : Lubumbashi
      Posts : 910
      Rep Power : 608
      Likes Received
      233
      Likes Given
      128

      Default re: Dk. Benson Bana awajia juu CHADEMA/CUF kuhusiana na kauli mbiu zao za M4C & V4C

      Kauli zao mbiu kila kukicha mbona hatusemi

    10. BAK
      #8
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,597
      Rep Power : 44964
      Likes Received
      8345
      Likes Given
      8330

      Default re: Dk. Benson Bana awajia juu CHADEMA/CUF kuhusiana na kauli mbiu zao za M4C & V4C

      Duh! huyu jamaa bomu sana naona anatafuta ULAJI kwa nguvu 2015....Juzi kaulizwa kwanini uchumi wa Tanzania unaanguka? Jibu lake likawa hajui ni kwanini uchumi unaanguka!!! kaficha ukweli ili kutoisema vibaya magamba!!! Na huyu inasemekana ni mchumi.
      Jasusi likes this.
      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    11. #9
      Crashwise's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Safarini
      Posts : 13,122
      Rep Power : 14288
      Likes Received
      4010
      Likes Given
      3271

      Default re: Dk. Benson Bana awajia juu CHADEMA/CUF kuhusiana na kauli mbiu zao za M4C & V4C

      hivi kuna watu wanajivunia kufundishwa na huyu mpumbavu au ndiyo ukiwa ccm prof hana tofauti na wa la saba..kikwete alisema chadema ni chama cha msimu leo bana anatulazimisha tukae kimya ilitukamilishe usimi wa dr dr dr dr kikwete Bana akae kimya angalie siasa ninavyotendewa haki..
      Jasusi likes this.

    12. #10
      Msolopagazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2010
      Posts : 484
      Rep Power : 526
      Likes Received
      47
      Likes Given
      17

      Default re: Dk. Benson Bana awajia juu CHADEMA/CUF kuhusiana na kauli mbiu zao za M4C & V4C

      Huyu mzee si kada wa ccm mbona hasemi kauli mbiu aliyoingilia Nape ya vua gwanda uvae uzalendo ambayo haijulikani iliishia wapi
      EPHRASEkE and mtumishidc like this.

    13. #11
      Mr. Bigman's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2011
      Posts : 573
      Rep Power : 624
      Likes Received
      103
      Likes Given
      57

      Default re: Dk. Benson Bana awajia juu CHADEMA/CUF kuhusiana na kauli mbiu zao za M4C & V4C

      Nakusikitikia Bana,utaficha wapi sura yako 2015? Maana iwe isiwe Cdm lazima ichukue nchi!
      Jasusi likes this.

    14. #12
      Job K's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2010
      Posts : 1,549
      Rep Power : 747
      Likes Received
      266
      Likes Given
      254

      Default re: Dk. Benson Bana awajia juu CHADEMA/CUF kuhusiana na kauli mbiu zao za M4C & V4C

      Nawapa pole waliopita kwenye mikono ya huyu zezeta! Mhadhiri anazidiwa na wanafunzi wake?! AIBUUUUU! Tumweke kwenye mzani na Deus K. tuone kama huyu Dr mwenye kichwa cha kufugia nywele hajapigwa gap!!

    15. #13
      Haki sawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd October 2007
      Posts : 362
      Rep Power : 940
      Likes Received
      324
      Likes Given
      0

      Default re: Dk. Benson Bana awajia juu CHADEMA/CUF kuhusiana na kauli mbiu zao za M4C & V4C

      Na Kilimo kwanza sio Kauai Mbiu? Mbonahusemi ifutwe .......Huyu chizi kasomeni Majibu ya tafiti za Redet kuwa Vyama vya upinzani haviendi vijijini Ndio maana viko dhaifu, Leo anakuja na hoja kua visiende vijijini. Ili viendelee kuwa dhaifu? CDM mjibuni Huyu mwehu.........
      Kaa la Moto likes this.

    16. #14
      Havizya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 776
      Rep Power : 515
      Likes Received
      156
      Likes Given
      60

      Default re: Dk. Benson Bana awajia juu CHADEMA/CUF kuhusiana na kauli mbiu zao za M4C & V4C

      Msomi asiye na elimu, dr Bana yule ni zuzu tu! Hajui maana ya mfumo wa vyama vingi vya siasa. Na kazi rasmi ya vyama vya siasa.

    17. #15
      Mbozib's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2012
      Posts : 358
      Rep Power : 430
      Likes Received
      43
      Likes Given
      5

      Default re: Dk. Benson Bana awajia juu CHADEMA/CUF kuhusiana na kauli mbiu zao za M4C & V4C

      Vyama vya siasa lazima vitoe somo la uraia kwa wananchi yeye alitaka vinyamaze ili mwisho wa siku aseme vimeshinda kufanya kazi ya siasa.

    18. #16
      denoo49's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th March 2011
      Location : Kijijini
      Posts : 738
      Rep Power : 756
      Likes Received
      138
      Likes Given
      20

      Default re: Dk. Benson Bana awajia juu CHADEMA/CUF kuhusiana na kauli mbiu zao za M4C & V4C

      Mwenye picha yake aitundike humu tafadhali.

    19. #17
      KOMBAJR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Posts : 3,868
      Rep Power : 5952
      Likes Received
      801
      Likes Given
      228

      Default re: Dk. Benson Bana awajia juu CHADEMA/CUF kuhusiana na kauli mbiu zao za M4C & V4C

      anatapatapa kama kuku aliyekatwa kichwa nusu....Naona anapamba ateuliwe before 2015
      Face Reality As it Is, Not As it Was or As You Wish It To Be.

    20. #18
      Mag3's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 31st May 2008
      Posts : 3,536
      Rep Power : 1804
      Likes Received
      2460
      Likes Given
      2497

      Default re: Dk. Benson Bana awajia juu CHADEMA/CUF kuhusiana na kauli mbiu zao za M4C & V4C

      Quote By denoo49
      Mwenye picha yake aitundike humu tafadhali.


      Ndiye huyu hapa, picha yake haitofautiani sana na maneno yake!
      The true sign of intelligence is not knowledge but imagination.
      Education is what remains after one has forgotten what one has learned in School
      -Albert Einstein.


    21. #19
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 5,977
      Rep Power : 1644
      Likes Received
      1133
      Likes Given
      413

      Default

      Mtu mzma hovyo.

    22. #20
      Joss's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2009
      Posts : 715
      Rep Power : 651
      Likes Received
      126
      Likes Given
      121

      Default re: Dk. Benson Bana awajia juu CHADEMA/CUF kuhusiana na kauli mbiu zao za M4C & V4C

      CCM na serikali yake imekabwa koo, sasa inatumia vibaraka wake kuomba huruma. Aseme tu kama kuna sheria imevunjwa, vinginevyo akae kimya.

      Ila CUF nao wamezidi kuiga kuliko hata mume wao CCM, walianza wote kuiga matumizi ya Helkopta, sasa leo wanaiga kuchangisha pesa(harambe), sasa mpaka V4C .

    Page 1 of 6 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...