Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Uwanja wa NMC-Kwa papara ili kuidhibiti CDM mizaha yafanyika

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 23
    1. #1
      Nicholas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 5,080
      Rep Power : 3634
      Likes Received
      1291
      Likes Given
      2147

      Default Uwanja wa NMC-Kwa papara ili kuidhibiti CDM mizaha yafanyika

      Uwanja wa NMC maarufu kwa mikutano ya CDM umewekewa uzio wa wavu kuzunguka.Wakiwa busy wakandarasi huku akina mama wakionekana kwa makundi wakikimbizana na watu wakigombea nafasi kiholela sana.Hakuna hata utaratibu wa kujua nani kapata nani kakosa au nani kapata nafasi zaidi ya moja.Katika hali inayoonekana kuwa ni kukurupuaka kabisa wengine wakitandika chini vipande vya magunia kwa staili wagombevyo wanafunzi madawati ktk shule za akina kayumba ,wengine wakikimbizana na wagawaji.Watu wengine wapita njia wakionekana kushangaa kwa kutojua nini kinaendelea pale.Hiyo ndio taswira ya enoe husika.Huku mkandara akiwa busy kuweka zege katika uzio, na kuchora lama katk uwanja ambao tayari kuna rundo la akina mama wanaokuja kwa fujo baada ya kukimbizwa na manispaa maeneo mablimbali aya mji.

      Cha kujiuliza kwanini zoezi limeenda haraka hivyo?mkandarasi anafanya kazi, hakuna banda lolote hata choo tayari watu wanaanza kimbiziwa huko, mkandarazi ndio kachora vipimo ardhini huku kwa kiasi kikubwa pakionekana kuwa hakuna eneo la parking lililotengwa kwa ajili ya wanunuzi na waleta mizingo,au hata wachukuzi wa mizigo mara mteja anunuapo vitu vingi.
      SIMPLY THE RADICAL: I can`t wait to see the criminalization of CCM,UWT,Bunch of Policemen/women,and all wanafiki na wachumia tumbo.

    2. Miaka 50

    3. #2
      tedo's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th August 2011
      Location : uchochoroni
      Posts : 5,479
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1259
      Likes Given
      880

      Default Re: Uwanja wa NMC-Kwa papara ili kuidhibiti CDM mizaha yafanyika

      Serikali ya ccm huwa inajichanganyaga sana...ona sasa hii ni nini?..

    4. #3
      MATESLAA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2011
      Location : KINONDONI STUDIO
      Posts : 1,252
      Rep Power : 643
      Likes Received
      62
      Likes Given
      32

      Default Re: Uwanja wa NMC-Kwa papara ili kuidhibiti CDM mizaha yafanyika

      Aiseee babaangu nitapata heka 5 hapo kwenye hicho kiwanja nijenge shell

    5. #4
      Chimunguru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2009
      Posts : 7,794
      Rep Power : 2148
      Likes Received
      1221
      Likes Given
      545

      Default Re: Uwanja wa NMC-Kwa papara ili kuidhibiti CDM mizaha yafanyika

      Mandela na ANC walicheleweshwa kwa miaka 27 lkn wakaja kutawala, CCM mnachofanya ni kutuchelewesha tuu lkn lazima mje kutimuliwa tu hata mfanyeje!!

    6. #5
      Nicholas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 5,080
      Rep Power : 3634
      Likes Received
      1291
      Likes Given
      2147

      Default Re: Uwanja wa NMC-Kwa papara ili kuidhibiti CDM mizaha yafanyika

      Ni disaster tena katika uwanja uliwahi kuwa na matatizo sana na mmiliki wa magari ya usafirishaji arusha.Kesi yao sijui kama imeisha.Kwani kulikuwa na tatizo la mipaka.

      Pembeni wachina wapo busy kupitisha bomba jipya kubwa la maji taka yatokayo sehemu kubwa katikati ya mji.Fujo iliyokuwepo ilikuwa kama vile raia wagombeawo masalia ya gari lililopata ajali,huku wapita njia wasiojua nini kikiendela wakishangaa nje ya wavu,huku wakiulizana na kupeana majibu.Na mwisho kila mtu alionyesha chuki juu ya CCM na hakuna wa kuwabadili huo mtazamo.Siku y kufa kwa CCM, vibaraka wote kuteleza.
      SIMPLY THE RADICAL: I can`t wait to see the criminalization of CCM,UWT,Bunch of Policemen/women,and all wanafiki na wachumia tumbo.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,176
      Rep Power : 1951
      Likes Received
      2994
      Likes Given
      13624

      Default Uwanja wa NMC-Kwa papara ili kuidhibiti CDM mizaha yafanyika

      CCM wanapaparika.
      Hata mkifunga viwanja kamwe hamtaweza kufunga mioyo yetu.

      Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
      "Serikalii hii ni IMPOTENT kuanzia yule wa juu hadi walioko chini" by Dr. Slaa

    9. #7
      Kamundu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2006
      Posts : 1,371
      Rep Power : 914
      Likes Received
      296
      Likes Given
      9

      Default Re: Uwanja wa NMC-Kwa papara ili kuidhibiti CDM mizaha yafanyika

      Ina maana gani kuwa na sehemu ya wazi kama wanapewa wamachinga.

    10. #8
      Nicholas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 5,080
      Rep Power : 3634
      Likes Received
      1291
      Likes Given
      2147

      Default Re: Uwanja wa NMC-Kwa papara ili kuidhibiti CDM mizaha yafanyika

      Quote By Kamundu
      Ina maana gani kuwa na sehemu ya wazi kama wanapewa wamachinga.
      Sijui NMC watapaki wapi malory yanayopeleka na kuchukua nafaka.Kwani ndani ya ukuta wao wana kaeneo kadogo sana kalichobaki.
      SIMPLY THE RADICAL: I can`t wait to see the criminalization of CCM,UWT,Bunch of Policemen/women,and all wanafiki na wachumia tumbo.

    11. #9
      Kamundu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2006
      Posts : 1,371
      Rep Power : 914
      Likes Received
      296
      Likes Given
      9

      Default Re: Uwanja wa NMC-Kwa papara ili kuidhibiti CDM mizaha yafanyika

      Hii sehemu iliachwa wazi kwasababu hakuna sehemu ya wazi karibu na mji sasa tukiwaruhusu machinga kuna tofauti gani na kufanya NMC soko!!. Kama nivyosema siku za nyuma Tatizo la Tanzania ni serikali iko sehemu nyingi sana!

    12. #10
      jogi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th September 2010
      Posts : 3,992
      Rep Power : 1214
      Likes Received
      973
      Likes Given
      247

      Default Re: Uwanja wa NMC-Kwa papara ili kuidhibiti CDM mizaha yafanyika

      Hao wote wanaoingia kwenye huo uwanja shukrani yao ni kwa chadema, kwa jinsi ccm wasivyojua kuwa wamehamishia mikutano ya chadema kwa sitingroom ya wakazi wote pamoja na ndugu zao watakaopata vieneo kwenye viwanja vya NMC.
      Na hii haihitaji polisi kuwazuia kujadili manake itakuwa ni mikutano ya ndani. Walidhani wamepata kumbe wamepatikana.
      Nicholas likes this.
      Ni rahisi zaidi popo kuwa ndege, kuliko ndizi kuwa tunda

    13. #11
      JERUSALEMU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th September 2012
      Posts : 791
      Rep Power : 494
      Likes Received
      231
      Likes Given
      151

      Default Re: Uwanja wa NMC-Kwa papara ili kuidhibiti CDM mizaha yafanyika

      ccm hawajui tu kuwa watanzania wameshaamua kuwa 2015 vyovyote iwavyo kura ni CHADEMA. wazindue barabara,meli n.k vyote ni bure hakuna kudanganyika tena.

    14. #12
      Sipendi Ubepari's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th January 2012
      Posts : 219
      Rep Power : 414
      Likes Received
      26
      Likes Given
      9

      Default Re: Uwanja wa NMC-Kwa papara ili kuidhibiti CDM mizaha yafanyika

      CcM mnazuia kimbunga kwa boxer?. Haiwezekani bhana

    15. #13
      Filipo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : Kiding'a
      Posts : 6,349
      Rep Power : 18614
      Likes Received
      3508
      Likes Given
      1663

      Default Re: Uwanja wa NMC-Kwa papara ili kuidhibiti CDM mizaha yafanyika

      Sitawahi kuona uamuzi wa kijinga kama huu!

    16. #14
      PakaJimmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2009
      Posts : 14,702
      Rep Power : 22524
      Likes Received
      6359
      Likes Given
      2841

      Default

      Quote By Filipo
      Sitawahi kuona uamuzi wa kijinga kama huu!
      Utaona mkuu, tena very soon!
      Fuatilia vema rufani ya Ubunge hapo town utashuhudia mambo ya ajabu.
      Kama Jaji Mkuu anajiingiza kwenye shauri na siku ya kesi wadau wanashindwa kuamua akae upande gani kati ya walalamikaji na walalamikiwa hapo ndio vituko vya karne vinapoanza.

    17. #15
      Triple DDD's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th January 2011
      Posts : 151
      Rep Power : 4173
      Likes Received
      16
      Likes Given
      2

      Default Re: Uwanja wa NMC-Kwa papara ili kuidhibiti CDM mizaha yafanyika

      It is only time will tell them that we are tired of these dirty games

    18. #16
      SOKON 1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th December 2010
      Posts : 623
      Rep Power : 558
      Likes Received
      79
      Likes Given
      21

      Default Re: Uwanja wa NMC-Kwa papara ili kuidhibiti CDM mizaha yafanyika


      hakuna miundo mbinu yoyote iliyojengwa, jua ni lao, wakati wa vua ni yao
      Dr. Kupeng'e likes this.

    19. #17
      Mfamaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2007
      Posts : 2,884
      Rep Power : 1161
      Likes Received
      285
      Likes Given
      158

      Default Re: Uwanja wa NMC-Kwa papara ili kuidhibiti CDM mizaha yafanyika

      Quote By SOKON 1

      hakuna miundo mbinu yoyote iliyojengwa, jua ni lao, wakati wa vua ni yao
      Hizi chuma wamewasogezea wale wa scraps. Wataamka asubuhi hamna hata moja.
      Nicholas likes this.
      ''The most pathetic person in the world is someone who has sight, but has no vision''

    20. #18
      Wambugani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th December 2007
      Posts : 1,239
      Rep Power : 832
      Likes Received
      142
      Likes Given
      169

      Default Re: Uwanja wa NMC-Kwa papara ili kuidhibiti CDM mizaha yafanyika

      Huu ni uamuzi wa Gaudence Lyimo a.k.a. Gaimo Contractors
      Wars are caused by undefended wealth - Ernest Hemingway, famous American writer

    21. #19
      SOKON 1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th December 2010
      Posts : 623
      Rep Power : 558
      Likes Received
      79
      Likes Given
      21

      Default Re: Uwanja wa NMC-Kwa papara ili kuidhibiti CDM mizaha yafanyika

      hali si shwari NMC ni mawe yanarushwa uku mgambo wakipigwa

    22. #20
      sailor1's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 13th March 2011
      Posts : 203
      Rep Power : 455
      Likes Received
      24
      Likes Given
      2

      Default Re: Uwanja wa NMC-Kwa papara ili kuidhibiti CDM mizaha yafanyika

      Bora kiawanja hicho kitu mike kwa manufaa kuliko mlivyokuwa mnakitumia kuuawa Watu. Hongera uongozi aw jiji la Arusha. Kama m
      Mnajilinganisha na Mandela, nendeni gierezani miaka 27 tuone kama mkitoka mtakuwa na kauli !

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...