Kutoka na majaji wengi kuwa na majukumu mengi Dar es salaam na muingiliana wa kesi na majukumu mengine nimemsikia Reporter wa ITV akisema Kesi ya LEMA itaamishiwa Dar es Salaam.
Source: ITV
Bado sijajua kama ndo makubaliano ya majaji maana Reporter wa ITV hajaongea in deep kama haya ndo makubaliano

Reply With Quote


Follow Us Here