Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Lt. Gen Abrahaman Amir Shimbo kustaafu kesho

    Report Post
    Page 1 of 5 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 89
    1. #1
      Moshe Dayan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2008
      Location : haifa-israel
      Posts : 717
      Rep Power : 719
      Likes Received
      335
      Likes Given
      35

      Default Lt.gen abdulrahman amir shimbo kustaafu kesho

      Mnadhimu mkuu wa jeshi (Chief of staff) Lt. gen Shimbo ataagwa rasmi kesho.

      Kamanda huyu anastaafu kwa mujibu wa sheria za jeshi za kutimiza umri wa kustaafu baada ya kuongezewa muda wa kustaafu kipindi cha nyuma japo umri wake wa kustaafu ulishafika.

      Shughuli ya kumuaga itafanyika kesho makao makuu ya jeshi, Upanga.

      Ikumbukwe, alipata wadhifa wa unadhimu wa jeshi mwaka 2007 ambapo yeye na CDF Davis Mwamunyange walichukua madaraka kutoka kwa general Waitara.

      Nitawajuza yatakayojiri kesho kwenye shughuli ya kumuaga huyu chief of staff.

      Source: MOSHE DAYAN

      Quote By POMPO
      mkuu umenikumbusha mbali sana huyo fisadi 2010 alizania hatostaafu, na hapa lissu katusaidia angepewa mkataba wa nyongeza na swaiba wake dhaifu... Nakumbuka hivi juu ya huyu jamaa
      mashirika yanayotetea usawa wa jinsia, haki za binadamu, maendeleo ya ukombozi wa wanawake kimapinduzi (femact) umetoa msimamo wa kutokubaliana na tamko lilitolewa na vyombo vya ulinzi na usalama kwa kile kilichodaiwa ni kuingilia shughuli za uchaguzi.

      Wakizungumza na waandishi wa habari wakati wa kutoa tamko hilo dar es salaam leo, mkurugenzi mtendaji wa taasisi inayojihusisha na masuala ya utawala bora fordia, good govence convencer femact bw. Bubelwa kaiza alisema;

      "tunashangaa kuona jeshi la wananchi wa tanzania (JWTZ) likifanyakazi za polisi wakati askari polisi wapo na inspekta jenerali wao hali hii haieleweki na nikinyume cha kanuni za msingi za utawala bora."

      bw. Kaiza aliendelea kuhoji; "inakuwaje askari polisi wanaendelea kulipwa mshahara wakati kazi zao zinafanywa na wanajeshi wa jwtz?"

      alisema kuwa ujumbe unaotolewa na tamko la vyombo vya usalama kuwa vimejiandaa kikamilifu kuwa vimeajindaa kupambana na mtu, watu, kikundi chama au taasisi yoyote itakayochochea kuyakataa matokeo ya uchaguzi ni kitisho cha dhahiri, sio kwa vyama vya siasa wala wagombee pekee bali dhidi ya jitihada za kujenga na kuimarisha utawala bora.

      Wanaharakati hao kupitia tamko hilo walimtaka luteni jenerali abdulhaman shimbo kutambua kuwa sio wanajeshi wala silaha zinazoweza kulazimisha wananchi, vyama vya siasa na wagombea wao wakubaliane na matokeo ya chaguzi, bali unakubalika pale unapofanyika kwa kuzingatia vigezo vya msingi vya uchaguzi.

      "vyombo vya ulinzi na usalama viache mara moja kuingilia mchakato wa uchaguzi kwa kuwa jambo hili linaweza kusababisha vitisho na vurugu dhidi ya wapiga kura na wananchi kwa ujumla.

      Wiki iliyopita maofisa waandamizi wa jwtz na polisi walitoa tamko la kuwataka wananchi kuyakubali matokeo ya uchaguzi vinginevyo limejiandaa kukabiliana na watu waliopanga kuyapinga.

      Hata hivyo alisema kuwa tamko la vyombo vya ulinzi na usalama lina agenda yake ya siri, si bure litakuwa ni jambo la kushangaza na kusikitisha sana iwapo watanzania watabaini kuwa vyombo vyao vya ulinzi na usalama vimeanza kutumiwa vibaya na wanasiasa na vyama vyao kwa manufaa ya kikundi na maslahi binafsi kwa watu wachache.

      Wanaharakati hao wamewataka vyama vya siasa na viongozi wao waache mara moja kujitafutia ushindi kwa kutumia mlango wa nyuma na kukubali matokeo.

      Alisema kuwa uongozi wa dola sharti upatikane kupitia mashindano ya wazi kusaka ridhaa ya wananchi kidemokrasia katika uchaguzi unaokubalika kuwa huru na haki, siyo kutumia vyombo vya ulinzi na usalama kutisha wapiga kura ili kujihakikishia ushindi.

      Vile vile bw. Kaiza alisema kuwa wapiga kura waendelee kujibidisha kupata elimu ya mpiga kura ,kuhudhuria mikutano ya kampeni ya vyama vya siasa na kusikiliza ahadi za wagombea wapembue na kuchambua kati ya pumba na mchele ili agosti 31 wafanye uamuzi wa kihistoria.


      Last edited by Moshe Dayan; 20th September 2012 at 17:48.
      Invisible, Ogah, August and 4 others like this.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Jasusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2006
      Posts : 10,625
      Rep Power : 2894
      Likes Received
      3845
      Likes Given
      12250

      Default re: Lt. Gen Abrahaman Amir Shimbo kustaafu kesho

      Kwanza arudishe hela alizowadhulumu wanajeshi wetu Darfur.
      Nicholas, August, Ndahani and 3 others like this.

    4. #3
      Lambardi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th February 2008
      Location : KITAANI ZAIDI
      Posts : 4,525
      Rep Power : 1798
      Likes Received
      655
      Likes Given
      0

      Default re: Lt. Gen Abrahaman Amir Shimbo kustaafu kesho

      Mzee wa Tril 4 anakwenda kugombea ubunge sasa....maana ana kila sababu ya kugombea ubunge ,pesa,kadi,na wajibu anao....ametumikia sana chama vile vile!na pia ni mwenzao!!
      Kagemro, eddo, nyabhingi and 1 others like this.

    5. #4
      MNYISANZU's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,311
      Rep Power : 0
      Likes Received
      593
      Likes Given
      76

      Default re: Lt. Gen Abrahaman Amir Shimbo kustaafu kesho

      Bora astaafu tu huyu fisadi papa na pia alikuwa ni mdini sana. Rest in everlasting fire Shimbo !

    6. #5
      Edson's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2009
      Posts : 7,308
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1799
      Likes Given
      433

      Default re: Lt. Gen Abrahaman Amir Shimbo kustaafu kesho

      Jk alimuongezea mda kama shukran kwa msaada mkubwa aliompa wakat jk anaondoka monduli kwa kupitia porin

    7. Miaka 50

    8. #6
      distazo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2010
      Location : Leipzig
      Posts : 1,449
      Rep Power : 723
      Likes Received
      432
      Likes Given
      91

      Default re: Lt. Gen Abrahaman Amir Shimbo kustaafu kesho

      Quote By Jasusi
      Kwanza arudishe hela alizowadhulumu wanajeshi wetu Darfur.
      Arudishe na zile pesa za Meremeta.
      Jasusi, eddo and nyabhingi like this.

    9. #7
      Edson's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2009
      Posts : 7,308
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1799
      Likes Given
      433

      Default

      Quote By Jasusi
      Kwanza arudishe hela alizowadhulumu wanajeshi wetu Darfur.
      Zileni pesa za jk mwenyewe,shimbo anamuhifadhia
      Jasusi, KOMBESANA, eddo and 1 others like this.

    10. #8
      manoah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd June 2012
      Posts : 7,066
      Rep Power : 12955
      Likes Received
      2652
      Likes Given
      10001

      Default re: Lt. Gen Abrahaman Amir Shimbo kustaafu kesho

      Luten. General Manoh! ndio ataapishwa baada ya huyu kustaafu.

    11. #9
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,518
      Rep Power : 46714
      Likes Received
      16434
      Likes Given
      8467

      Default Re: Lt. Gen Abrahaman Amir Shimbo kustaafu kesho

      Angalau another chapter ya huko JWTZ ifungwe.. atakumbukwa kwa jinsi alivyovuruga demokrasia 2010.
      August, manenge, SG8 and 3 others like this.
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    12. #10
      Crashwise's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Safarini
      Posts : 13,136
      Rep Power : 14291
      Likes Received
      4019
      Likes Given
      3281

      Default Re: Lt. Gen Abrahaman Amir Shimbo kustaafu kesho

      tungekuwa na serikali magazeti ya kesho kutwa yangea andika hivi " Shimbo afikishwa mahakamani kwa ufisadi wa kutisha, anyimwa mdhamana"
      August, Kagemro, nyabhingi and 1 others like this.

    13. #11
      POMPO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2011
      Posts : 3,036
      Rep Power : 1191
      Likes Received
      1120
      Likes Given
      649

      Default Re: Lt. Gen Abrahaman Amir Shimbo kustaafu kesho

      mkuu umenikumbusha mbali sana huyo fisadi 2010 alizania hatostaafu, na hapa lissu katusaidia angepewa mkataba wa nyongeza na swaiba wake dhaifu... Nakumbuka hivi juu ya huyu jamaa

      mashirika yanayotetea usawa wa jinsia, haki za binadamu, maendeleo ya ukombozi wa wanawake kimapinduzi (femact) umetoa msimamo wa kutokubaliana na tamko lilitolewa na vyombo vya ulinzi na usalama kwa kile kilichodaiwa ni kuingilia shughuli za uchaguzi.

      Wakizungumza na waandishi wa habari wakati wa kutoa tamko hilo dar es salaam leo, mkurugenzi mtendaji wa taasisi inayojihusisha na masuala ya utawala bora fordia, good govence convencer femact bw. Bubelwa kaiza alisema;

      "tunashangaa kuona jeshi la wananchi wa tanzania (JWTZ) likifanyakazi za polisi wakati askari polisi wapo na inspekta jenerali wao hali hii haieleweki na nikinyume cha kanuni za msingi za utawala bora."

      bw. Kaiza aliendelea kuhoji; "inakuwaje askari polisi wanaendelea kulipwa mshahara wakati kazi zao zinafanywa na wanajeshi wa jwtz?"

      alisema kuwa ujumbe unaotolewa na tamko la vyombo vya usalama kuwa vimejiandaa kikamilifu kuwa vimeajindaa kupambana na mtu, watu, kikundi chama au taasisi yoyote itakayochochea kuyakataa matokeo ya uchaguzi ni kitisho cha dhahiri, sio kwa vyama vya siasa wala wagombee pekee bali dhidi ya jitihada za kujenga na kuimarisha utawala bora.

      Wanaharakati hao kupitia tamko hilo walimtaka luteni jenerali abdulhaman shimbo kutambua kuwa sio wanajeshi wala silaha zinazoweza kulazimisha wananchi, vyama vya siasa na wagombea wao wakubaliane na matokeo ya chaguzi, bali unakubalika pale unapofanyika kwa kuzingatia vigezo vya msingi vya uchaguzi.

      "vyombo vya ulinzi na usalama viache mara moja kuingilia mchakato wa uchaguzi kwa kuwa jambo hili linaweza kusababisha vitisho na vurugu dhidi ya wapiga kura na wananchi kwa ujumla.

      Wiki iliyopita maofisa waandamizi wa jwtz na polisi walitoa tamko la kuwataka wananchi kuyakubali matokeo ya uchaguzi vinginevyo limejiandaa kukabiliana na watu waliopanga kuyapinga.

      Hata hivyo alisema kuwa tamko la vyombo vya ulinzi na usalama lina agenda yake ya siri, si bure litakuwa ni jambo la kushangaza na kusikitisha sana iwapo watanzania watabaini kuwa vyombo vyao vya ulinzi na usalama vimeanza kutumiwa vibaya na wanasiasa na vyama vyao kwa manufaa ya kikundi na maslahi binafsi kwa watu wachache.

      Wanaharakati hao wamewataka vyama vya siasa na viongozi wao waache mara moja kujitafutia ushindi kwa kutumia mlango wa nyuma na kukubali matokeo.

      Alisema kuwa uongozi wa dola sharti upatikane kupitia mashindano ya wazi kusaka ridhaa ya wananchi kidemokrasia katika uchaguzi unaokubalika kuwa huru na haki, siyo kutumia vyombo vya ulinzi na usalama kutisha wapiga kura ili kujihakikishia ushindi.

      Vile vile bw. Kaiza alisema kuwa wapiga kura waendelee kujibidisha kupata elimu ya mpiga kura ,kuhudhuria mikutano ya kampeni ya vyama vya siasa na kusikiliza ahadi za wagombea wapembue na kuchambua kati ya pumba na mchele ili agosti 31 wafanye uamuzi wa kihistoria.
      KOMBESANA, nyabhingi and mpigilie like this.
      "Tumefika hapa kutokana na UDHAIFU wa Rais Jakaya Kikwete.." J.J. Mnyika, Bungeni,June,2012.

    14. #12
      Emeka Anyaoku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Posts : 430
      Rep Power : 443
      Likes Received
      134
      Likes Given
      0

      Default Re: Lt. Gen Abrahaman Amir Shimbo kustaafu kesho

      Ametumikia nchi kwa uadilifu mkubwa..karibu nyumbani arusha mkuu

    15. #13
      Khakha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2009
      Posts : 961
      Rep Power : 694
      Likes Received
      209
      Likes Given
      81

      Default

      Quote By Moshe Dayan
      mnadhimu mkuu wa jeshi (chief of staff) lt.gen shimbo ataagwa rasmi kesho.

      Kamanda huyu anastaafu kwa mujibu wa sheria za jeshi za kutimiza umri wa kustaafu baada ya kuongezewa muda wa kustaafu kipindi cha nyuma japo umri wake wa kustaafu ulishafika.

      shughuli ya kumuaga itafanyika kesho makao makuu ya jeshi, upanga.

      ikumbukwe, alipata wadhifa wa unadhimu wa jeshi mwaka 2007 ambapo yeye na CDF davis mwamunyange walichukua madaraka kutoka kwa general waitara.

      Nitawajuza yatakayojiri kesho kwenye shughuli ya kumuaga huyu chief of staff.

      Source. MOSHE DAYAN
      aongezewe muda wa kustaafu kwa miaka mi3 zaidi hadi mwezi kama huu 2015 ili apate kutoa tamko la jeshi juu ya uchaguzi wa 2015. mkuu, abort mission ya kumuaga immediately.

    16. #14
      Moshe Dayan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2008
      Location : haifa-israel
      Posts : 717
      Rep Power : 719
      Likes Received
      335
      Likes Given
      35

      Default Re: Lt. Gen Abrahaman Amir Shimbo kustaafu kesho

      actually aliomba tena aongezwe muda wa utumishi lakini umri ushagoma na pia kashfa za ufisadi zimemuharibia sana....,
      August and Ndahani like this.

    17. #15
      Masanilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2007
      Location : Swat valley, Keta Keta
      Posts : 19,117
      Rep Power : 5479
      Likes Received
      3524
      Likes Given
      1949

      Default Re: Lt. Gen Abrahaman Amir Shimbo kustaafu kesho

      Trlioni zetu gen Shimbo
      911, nyabhingi and COURTESY like this.

    18. #16
      bornagain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Location : Nyakanazi - Biharamulo
      Posts : 1,616
      Rep Power : 693
      Likes Received
      438
      Likes Given
      320

      Default Re: Lt. Gen Abrahaman Amir Shimbo kustaafu kesho

      Du sasa aliongezewa muda kwa sababu hakuna wanajeshi waadilifu na wenye taaluma kama ya kwake au ndo tuseme ndo kupendeleana nini
      August likes this.
      There is a saying in aviation "You haven't crashed until you've crashed. Until then, keep flying the plane".

    19. #17
      TUMBIRI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2011
      Posts : 1,856
      Rep Power : 3633
      Likes Received
      1114
      Likes Given
      284

      Default Re: Lt. Gen Abrahaman Amir Shimbo kustaafu kesho

      1701 and SAGANKA like this.
      Hadha Min Fadhil Rhabi - Hizi ni Rehema za Mwenyezi Mungu

    20. #18
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,605
      Rep Power : 5624
      Likes Received
      6214
      Likes Given
      2293

      Default Re: Lt. Gen Abrahaman Amir Shimbo kustaafu kesho

      namtakia kustaafu kwema....
      Ndomqakati wa kwenda kula bata na zile trilion 3 sasa...
      Watakukomaje wadar es salamu...

    21. #19
      Moshe Dayan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2008
      Location : haifa-israel
      Posts : 717
      Rep Power : 719
      Likes Received
      335
      Likes Given
      35

      Default

      Quote By bornagain
      Du sasa aliongezewa muda kwa sababu hakuna wanajeshi waadilifu na wenye taaluma kama ya kwake au ndo tuseme ndo kupendeleana nini
      Ndo vijimambo vinavyotokea ukichanganya siasa na uswahiba,,,

    22. #20
      Chimunguru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2009
      Posts : 7,799
      Rep Power : 2149
      Likes Received
      1225
      Likes Given
      546

      Default Re: Lt. Gen Abrahaman Amir Shimbo kustaafu kesho

      Quote By Skills4Ever
      Mzee wa Tril 4 anakwenda kugombea ubunge sasa....maana ana kila sababu ya kugombea ubunge ,pesa,kadi,na wajibu anao....ametumikia sana chama vile vile!na pia ni mwenzao!!
      Arudishe pessa ya wandava wenzie na nyingine km alituibia na sie arudishe

    Page 1 of 5 123 ... LastLast

    LinkBacks (?)

    1. 20th September 2012, 17:53

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...