Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Lt. Gen Abrahaman Amir Shimbo kustaafu kesho

    Report Post
    Page 3 of 5 FirstFirst 12345 LastLast
    Results 41 to 60 of 89
    1. #1
      Moshe Dayan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2008
      Location : haifa-israel
      Posts : 717
      Rep Power : 719
      Likes Received
      335
      Likes Given
      35

      Default Lt.gen abdulrahman amir shimbo kustaafu kesho

      Mnadhimu mkuu wa jeshi (Chief of staff) Lt. gen Shimbo ataagwa rasmi kesho.

      Kamanda huyu anastaafu kwa mujibu wa sheria za jeshi za kutimiza umri wa kustaafu baada ya kuongezewa muda wa kustaafu kipindi cha nyuma japo umri wake wa kustaafu ulishafika.

      Shughuli ya kumuaga itafanyika kesho makao makuu ya jeshi, Upanga.

      Ikumbukwe, alipata wadhifa wa unadhimu wa jeshi mwaka 2007 ambapo yeye na CDF Davis Mwamunyange walichukua madaraka kutoka kwa general Waitara.

      Nitawajuza yatakayojiri kesho kwenye shughuli ya kumuaga huyu chief of staff.

      Source: MOSHE DAYAN

      Quote By POMPO
      mkuu umenikumbusha mbali sana huyo fisadi 2010 alizania hatostaafu, na hapa lissu katusaidia angepewa mkataba wa nyongeza na swaiba wake dhaifu... Nakumbuka hivi juu ya huyu jamaa
      mashirika yanayotetea usawa wa jinsia, haki za binadamu, maendeleo ya ukombozi wa wanawake kimapinduzi (femact) umetoa msimamo wa kutokubaliana na tamko lilitolewa na vyombo vya ulinzi na usalama kwa kile kilichodaiwa ni kuingilia shughuli za uchaguzi.

      Wakizungumza na waandishi wa habari wakati wa kutoa tamko hilo dar es salaam leo, mkurugenzi mtendaji wa taasisi inayojihusisha na masuala ya utawala bora fordia, good govence convencer femact bw. Bubelwa kaiza alisema;

      "tunashangaa kuona jeshi la wananchi wa tanzania (JWTZ) likifanyakazi za polisi wakati askari polisi wapo na inspekta jenerali wao hali hii haieleweki na nikinyume cha kanuni za msingi za utawala bora."

      bw. Kaiza aliendelea kuhoji; "inakuwaje askari polisi wanaendelea kulipwa mshahara wakati kazi zao zinafanywa na wanajeshi wa jwtz?"

      alisema kuwa ujumbe unaotolewa na tamko la vyombo vya usalama kuwa vimejiandaa kikamilifu kuwa vimeajindaa kupambana na mtu, watu, kikundi chama au taasisi yoyote itakayochochea kuyakataa matokeo ya uchaguzi ni kitisho cha dhahiri, sio kwa vyama vya siasa wala wagombee pekee bali dhidi ya jitihada za kujenga na kuimarisha utawala bora.

      Wanaharakati hao kupitia tamko hilo walimtaka luteni jenerali abdulhaman shimbo kutambua kuwa sio wanajeshi wala silaha zinazoweza kulazimisha wananchi, vyama vya siasa na wagombea wao wakubaliane na matokeo ya chaguzi, bali unakubalika pale unapofanyika kwa kuzingatia vigezo vya msingi vya uchaguzi.

      "vyombo vya ulinzi na usalama viache mara moja kuingilia mchakato wa uchaguzi kwa kuwa jambo hili linaweza kusababisha vitisho na vurugu dhidi ya wapiga kura na wananchi kwa ujumla.

      Wiki iliyopita maofisa waandamizi wa jwtz na polisi walitoa tamko la kuwataka wananchi kuyakubali matokeo ya uchaguzi vinginevyo limejiandaa kukabiliana na watu waliopanga kuyapinga.

      Hata hivyo alisema kuwa tamko la vyombo vya ulinzi na usalama lina agenda yake ya siri, si bure litakuwa ni jambo la kushangaza na kusikitisha sana iwapo watanzania watabaini kuwa vyombo vyao vya ulinzi na usalama vimeanza kutumiwa vibaya na wanasiasa na vyama vyao kwa manufaa ya kikundi na maslahi binafsi kwa watu wachache.

      Wanaharakati hao wamewataka vyama vya siasa na viongozi wao waache mara moja kujitafutia ushindi kwa kutumia mlango wa nyuma na kukubali matokeo.

      Alisema kuwa uongozi wa dola sharti upatikane kupitia mashindano ya wazi kusaka ridhaa ya wananchi kidemokrasia katika uchaguzi unaokubalika kuwa huru na haki, siyo kutumia vyombo vya ulinzi na usalama kutisha wapiga kura ili kujihakikishia ushindi.

      Vile vile bw. Kaiza alisema kuwa wapiga kura waendelee kujibidisha kupata elimu ya mpiga kura ,kuhudhuria mikutano ya kampeni ya vyama vya siasa na kusikiliza ahadi za wagombea wapembue na kuchambua kati ya pumba na mchele ili agosti 31 wafanye uamuzi wa kihistoria.


      Last edited by Moshe Dayan; 20th September 2012 at 17:48.
      Invisible, Ogah, August and 4 others like this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #41
      Mfamaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2007
      Posts : 2,884
      Rep Power : 1161
      Likes Received
      285
      Likes Given
      158

      Default Re: Lt. Gen Abrahaman Amir Shimbo kustaafu kesho

      Hakujua kama yatamfika kama wastaafu wengine. Na asubiri 2015 kama hajajipeleka mwenyewe kota gadi.Hopeless soldier.

    4. #42
      Crashwise's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Safarini
      Posts : 13,122
      Rep Power : 14288
      Likes Received
      4013
      Likes Given
      3271

      Default Re: Lt. Gen Abrahaman Amir Shimbo kustaafu kesho

      Quote By FJM
      Hautapita muda mrefu tutasikia kateuliwa kuwa mwenyekiti wa board! Years of looting lakini bado atapata pension!
      Atapewa ubalozi iliakatumbue jasho la watanzania vizuri....chezea Kikwete wewe
      Ndahani likes this.
      Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.... Malcolm X Nasubiri 'breaking news... '





    5. #43
      Remote's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th May 2011
      Posts : 4,262
      Rep Power : 1359
      Likes Received
      948
      Likes Given
      182

      Default Re: Lt. Gen Abrahaman Amir Shimbo kustaafu kesho

      maadam nyumban kwake napafahamu ntaenda kumuomba hata sh 1milion kama mgao ktk kodi yangu alioiiba

    6. #44
      TUNTEMEKE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2009
      Location : Mombasa
      Posts : 4,504
      Rep Power : 11337
      Likes Received
      323
      Likes Given
      236

      Default Re: Lt. Gen Abrahaman Amir Shimbo kustaafu kesho

      Quote By platozoom
      Inakisiwa zilizowekwa Uswis ni kama Bilioni 390 ambayo haifiki hata robo ya bajeti ya Tanzania ya Trilioni 11. Fikiri tena kama ana trilioni 4 maana yake ana mara 10 ya pesa za watanzania zilizoko Uswis!! Au kwa lugha rahisi ni zaidi ya pesa zote zilizofichwa Uswis na Waafrika mashariki!!

      Au labda hufahamu tofauti ya Trilioni na Bilioni.......Tuanzie hapo!
      ??
      Unajua % zilizo patikana kwenye ununuzi wa zile Ndege zinazo tumia marubani 5, Tracks, Tanks, Guns, Allowance za Maaskali, Maduka ambayo hayalipi kodi wakati bei za vitu ni kama za posta-Kwa ujumla unalijua Jeshi wewe?
      Ndahani likes this.

    7. #45
      Malekelo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 18th July 2012
      Posts : 26
      Rep Power : 350
      Likes Received
      5
      Likes Given
      14

      Default

      Quote By MNYISANZU
      Bora astaafu tu huyu fisadi papa na pia alikuwa ni mdini sana. Rest in everlasting fire Shimbo !
      Acha udini.yeyote anayetazama mambo kidini, naye ni mdini tu.

    8. Miaka 50

    9. #46
      Salary Slip's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2012
      Posts : 1,341
      Rep Power : 691
      Likes Received
      649
      Likes Given
      381

      Default Re: Lt. Gen Abrahaman Amir Shimbo kustaafu kesho

      Pigo kubwa kwa ccm.Bila shaka ubalozi unamsubiri.

    10. #47
      cheichei2010's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th September 2010
      Posts : 544
      Rep Power : 548
      Likes Received
      182
      Likes Given
      42

      Default Re: Lt.gen abdulrahman amir shimbo kustaafu kesho

      "ukiyaona ya Musa utastaajabu ya firauni"

      Karibu MBWENI JKT kwenye Jumba lako la kifahari Jirani na Mwamunyange Kamanda.

    11. #48
      platozoom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 3,979
      Rep Power : 8269
      Likes Received
      2680
      Likes Given
      3661

      Default Re: Lt. Gen Abrahaman Amir Shimbo kustaafu kesho

      Quote By Mystery
      platozoom

      Wewe unamtetea kwa lipi, au ni shemeji mtu? kwani hujui kuwa Shimbo yumo katika ile list ya 30 billionaires of TZ, ambaye utajiri wake unakadiriwa kuwa ni mabilioni ambayo ameyaficha uswisi, kutokana na dili alizozifanya, ikiwemo Meremeta?! Sasa tunaanza kupata picha kuwa aliamua kujikusanyia mapesa hayo ayatumie wakati wa kustaafu.

      Lakini ushauri wa bure ninaompa, ni bora pesa zetu hizo akaamua kuturejeshea nchini, lakini akiamua kakaidi ushauri huu, kwa mkakati unaoandaliwa, ashishangae, badala ya kustaafu kwa amani, akajikuta anapandishwa kizimbani Kisutu!!
      Ndio maana nikasema tufikirie kidogo kama ishu kama hizi zikiendeshwa kwa mihemuko tutakuwa kila siku tunakula za uso mahakamani. Hoja yangu haikuwa ameiba ama hajaiba, amehifadhi fedha au hajahifadhi. Mashaka yangu yalikuwa kwa wale waosema ni trilioni nne nikaeleza trilioni nne ni sawa na bajeti ya Wizara ya ulinzi kwa muda zaidi ya miaka 5 ambayo inazidi hata miaka aliyokaa kwenye wadhifa wake!!

      Hata hayo mabilioni yaliyopo Uswis changanya na za Kenya Na Uganda hazifikii hizo trilioni 4! Au labda tueleze wewe Zilizoko Uswis (pesa za Watanzania ni sh. ngapi).....?

      Sina undugu na Shimbo zaidi ya kumuona kwenye kioo tu ila kwa hilo najaribu kufikiri as GT.
      "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

    12. #49
      platozoom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 3,979
      Rep Power : 8269
      Likes Received
      2680
      Likes Given
      3661

      Default Re: Lt. Gen Abrahaman Amir Shimbo kustaafu kesho

      Quote By Libasket b
      Unajua % zilizo patikana kwenye ununuzi wa zile Ndege zinazo tumia marubani 5, Tracks, Tanks, Guns, Allowance za Maaskali, Maduka ambayo hayalipi kodi wakati bei za vitu ni kama za posta-Kwa ujumla unalijua Jeshi wewe?
      Hebu tuache ubishi. Hoja haiko kaiba ama hajaiba kwangu ni hizo figures (na hilo ni muhimu,kwa sababu kosa moja inatosha kutilia shaka tuhuma) Na usisahau akina Zombe walishinda kesi kilaini kwa sababu ya makosa ya kupeleka kesi mahakamani kwa sababu ya "mhemko".

      Unasema % kwenye ununuzi wa ndege za kijeshi, trucks n.k. Unafikiri fedha zote zinatoka wapi kama si wizara ya Ulinzi? Na nimesema bajeti ya Wizara yoote ya Ulinzi ya miaka 4 haijafikia hizo trilioni 4!
      Na hiyo meremeta ilikomba si zaidi ya bilion 400 ambayo haifikii hata robo ya hiyo trilioni 4!! Hayo mapesa yametoka wapi?

      "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

    13. #50
      JERUSALEMU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th September 2012
      Posts : 790
      Rep Power : 494
      Likes Received
      231
      Likes Given
      150

      Default Re: Lt. Gen Abrahaman Amir Shimbo kustaafu kesho

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Angalau another chapter ya huko JWTZ ifungwe.. atakumbukwa kwa jinsi alivyovuruga demokrasia 2010.
      Ni kweli alibaka demokrasia lakini pia aliidhalilisha taaluma yake.

    14. #51
      Moshe Dayan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2008
      Location : haifa-israel
      Posts : 717
      Rep Power : 719
      Likes Received
      335
      Likes Given
      35

      Default

      Quote By Remote
      maadam nyumban kwake napafahamu ntaenda kumuomba hata sh 1milion kama mgao ktk kodi yangu alioiiba
      Nilifkiri utamuomba millioni kumi..,

    15. #52
      Moshe Dayan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2008
      Location : haifa-israel
      Posts : 717
      Rep Power : 719
      Likes Received
      335
      Likes Given
      35

      Default Re: Lt. Gen Abrahaman Amir Shimbo kustaafu kesho

      we are bracing for a new chief of staff..,
      as usual ntawajuza as soon as possible
      Ndahani likes this.

    16. #53
      Somoche's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Posts : 1,862
      Rep Power : 814
      Likes Received
      345
      Likes Given
      339

      Default Re: Lt. Gen Abrahaman Amir Shimbo kustaafu kesho

      Sijui kama kuna mtu atamkumbuka huyu jamaa kwa lolote..

    17. #54
      Rosena's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th September 2012
      Posts : 37
      Rep Power : 344
      Likes Received
      0
      Likes Given
      1

      Default Re: Lt. Gen Abrahaman Amir Shimbo kustaafu kesho

      Namwamuru kwanza arudishe zile trilion zetu alizomtunzia swaiba wake jk. hawa mafisadi hawafikishwi mahakamani, walio jela ni wezi wa kuku na wale waliobambikiwa kesi na polisi tu.

    18. #55
      NICE LAMECK's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 209
      Rep Power : 401
      Likes Received
      26
      Likes Given
      37

      Default Re: Lt. Gen Abrahaman Amir Shimbo kustaafu kesho

      Ni tatizo la kitaifa ni afadhali aondoke kwanza mwizi hana uadilifu wowote.

    19. #56
      Kima Mchanga's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 3rd October 2011
      Location : Dynamic
      Posts : 4,496
      Rep Power : 11225
      Likes Received
      607
      Likes Given
      446

      Default Re: Lt. Gen Abrahaman Amir Shimbo kustaafu kesho

      Apelekwe mahakamani huyo kwa ufisadi alioufanya.

    20. #57
      KOMBAJR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Posts : 3,870
      Rep Power : 5953
      Likes Received
      802
      Likes Given
      228

      Default Re: Lt.gen abdulrahman amir shimbo kustaafu kesho

      Mgombe Ubunge kupitia CCM 2015 Jimbo flani stay tune........wakati akisubiri 2015 atalambishwa Umwenyekiti wa bodi flan stay tune
      Face Reality As it Is, Not As it Was or As You Wish It To Be.

    21. #58
      Kakulwa P's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th February 2012
      Posts : 201
      Rep Power : 408
      Likes Received
      69
      Likes Given
      10

      Default Re: Lt.gen abdulrahman amir shimbo kustaafu kesho

      Quote By Moshe Dayan
      Mnadhimu mkuu wa jeshi (chief of staff) lt. gen Shimbo ataagwa rasmi kesho.

      Kamanda huyu anastaafu kwa mujibu wa sheria za jeshi za kutimiza umri wa kustaafu baada ya kuongezewa muda wa kustaafu kipindi cha nyuma japo umri wake wa kustaafu ulishafika.

      Shughuli ya kumuaga itafanyika kesho makao makuu ya jeshi, Upanga.

      Ikumbukwe, alipata wadhifa wa unadhimu wa jeshi mwaka 2007 ambapo yeye na CDF Davis Mwamunyange walichukua madaraka kutoka kwa general Waitara.

      Nitawajuza yatakayojiri kesho kwenye shughuli ya kumuaga huyu chief of staff.

      Source: MOSHE DAYAN
      Pesa za askari waliokwenda comoro kalipa au anaondoka nazo kuendeleza mradi wa matrekta?

    22. #59
      Ndibalema's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2008
      Location : Mbagala
      Posts : 6,617
      Rep Power : 2004
      Likes Received
      1644
      Likes Given
      1615

      Default Re: Lt.gen abdulrahman amir shimbo kustaafu kesho

      Quote By Moshe Dayan
      Mnadhimu mkuu wa jeshi (chief of staff) lt. gen Shimbo ataagwa rasmi kesho.

      Kamanda huyu anastaafu kwa mujibu wa sheria za jeshi za kutimiza umri wa kustaafu baada ya kuongezewa muda wa kustaafu kipindi cha nyuma japo umri wake wa kustaafu ulishafika.

      Bila shaka mtu huyu anaonekana ni muhimu sana na hakuna mtu kama yeye nchi nzima ya Tanzania.
      "Makalio ya sufuria hayaogopi moto"

    23. #60
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4016
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Lt. Gen Abrahaman Amir Shimbo kustaafu kesho

      Quote By Edson
      Jk alimuongezea mda kama shukran kwa msaada mkubwa aliompa wakat jk anaondoka monduli kwa kupitia porin
      JF nayo bwana...haiachi kitu kwa nyuma, teh teh teh!
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    Page 3 of 5 FirstFirst 12345 LastLast

    LinkBacks (?)

    1. 20th September 2012, 17:53

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...