Mnadhimu mkuu wa jeshi (Chief of staff) Lt. gen Shimbo ataagwa rasmi kesho.
Kamanda huyu anastaafu kwa mujibu wa sheria za jeshi za kutimiza umri wa kustaafu baada ya kuongezewa muda wa kustaafu kipindi cha nyuma japo umri wake wa kustaafu ulishafika.
Shughuli ya kumuaga itafanyika kesho makao makuu ya jeshi, Upanga.
Ikumbukwe, alipata wadhifa wa unadhimu wa jeshi mwaka 2007 ambapo yeye na CDF Davis Mwamunyange walichukua madaraka kutoka kwa general Waitara.
Nitawajuza yatakayojiri kesho kwenye shughuli ya kumuaga huyu chief of staff.
Source: MOSHE DAYAN

Reply With Quote



Follow Us Here