Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kikwete: Watu wanamiliki viwanda vya kutunga Uongo Tanzania!

    Report Post
    Page 3 of 13 FirstFirst 12345 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 246
    1. #1
      Mwana Mpotevu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th September 2011
      Posts : 1,987
      Rep Power : 863
      Likes Received
      920
      Likes Given
      880

      Default Kikwete: Watu wanamiliki viwanda vya kutunga Uongo Tanzania!

      TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

      Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Alhamisi, Septemba 20, 2012, ameweka Jiwe la Msingi la ujenzi wa Daraja la Kigamboni, Dar es Salaam kwa kuwaonya watu ambao amewaeleza kuwa wanavyo viwanda vya kutunga uongo kuacha tabia hiyo na kuelekeza nguvu kwenye maendeleo.

      Aidha, Rais Kikwete amewahakikishia wakazi wote wa Kigamboni ambao wanaondolewa katika maeneo yao kwa ajili ya kupisha ujenzi wa daraja hilo na ujenzi wa Mji Mpya wa Kigamboni kuwa watalipwa stahili na haki zao zote.

      Daraja hilo la Kigamboni ambalo wazo la kujengwa kwake lilibuniwa kwa mara ya kwanza zaidi ya miaka 30, tokea mwaka 1978, wakati wa uongozi wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, linajengwa kwa gharama ya Sh. bilioni 214.6 na litakuwa tayari katika muda wa miezi 36 ijayo, ingawa muda huo unaweza kupungua na kubakia miezi 30.

      Daraja hilo litapunguza adha ya usafiri kati ya Kigamboni na Dar es Salaam ambao kwa sasa unategemea vivuko, ama boti ndogo, mitumbwi ama wenye magari kulazimika kufanya mzungumo wa kilomita 52. Kwa uamuzi wa sasa, wavuka kwa miguu ambao watakuwa na njia maalum kwenye daraja hilo pamoja na waendesha baiskeli watavuka bure bila malipo yoyote.

      Akizungumza kwenye sherehe hiyo, Rais Kikwete amesema kuwa Serikali haiwezi kudhulumuwananchi wake na hivyo watu wote ambao wanastahili fidia kutokana na ujenzi wadaraja hilo na mji mpya wa Kigamboni watalipwa haki na stahiki zao.

      Rais Kikwete pia amewaonya watu ambao wamelifanya suala la kutunga na kusema uongokama sehemu ya utamaduni wao. “Watu wana viwanda vya kuzalisha uongo. Wanashinda wanasambaza uongo kwenye mitandao, kila mahali. Wamepata hata kusema kuwa mimi nimemuuzia George Bush eneo la Kigamboni. Bush aje kufanya nini Kigamboni?”

      Rais pia amesema kuwa wapo watu ambao hawapendi maendeleo ya nchi. “Wanatamanikila siku tushindwe kuwaletea wananchi maendeleo. Lakini watakufa kwa kihoro kwa sababu hatutashindwa. Kila tulilosema tutalifanya, litafanyika”.

      Amesema kuwa thamani kubwa ya vyama vya siasa ni maendeleo ya wananchi. “Lakini wapo wenzetu ambao wanaudhika wakiona maendeleo. Wanapenda hata daraja hili lisijengwe. Leo hawatalala usingizi. Kazi ya vyama vya siasa ni kuweka maslahi yetu sote mbele.”

      Imetolewa na:
      Kurugenziya Mawasiliano ya Rais,

      Ikulu.

      Dares Salaam
      .

      20Septemba, 2012

      MY TAKE:
      Hivyo vyama vi vipi visivyotaka maendeleo? Hiyo mitandao ya kijamii ni ipi? Akina nani wanaomiliki viwanda vya kutunga uongo according to JK??

      Quote By Invisible View Post
      Don't break the LAW, just Bend It!


    2. #41
      Mwana Mpotevu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th September 2011
      Posts : 1,987
      Rep Power : 863
      Likes Received
      920
      Likes Given
      880

      Default re: Kikwete: Watu wanamiliki viwanda vya kutunga Uongo Tanzania!

      Quote By Las Mas Bobos View Post
      1. Ulitaka mpk auawe ndio uamini?
      2. Kama unadhani ule ni uongo, mbona hamkumshtaki?
      3. Zilizoibiwa ni kura za Urais, ulitaka afike asimamie mwenyewe?
      4. Hilo nalo ni kweli tupu. Na ndio maana wamefyata. Ya uongo kama yale ya Nape tayari yako mahakamani
      5. Hii ya 5 ni mipasho kama hiyo tulioletewa toka ikulu. Sato Pra-sato!
      Asante sana kwa kusaidia kumjibu Mingoi kwa wakati na kwa usahihi
      Don't break the LAW, just Bend It!

    3. #42
      Takalani Sesame's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2008
      Location : Mobile
      Posts : 554
      Rep Power : 671
      Likes Received
      142
      Likes Given
      108

      Default re: Kikwete: Watu wanamiliki viwanda vya kutunga Uongo Tanzania!

      Mzee Yusuph kalamba tenda kwa mkulu?
      Usually when people are sad they don't do anything. They just cry over their condition. But when they get angry they bring about a change. Malcolm X

    4. #43
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,553
      Rep Power : 5114
      Likes Received
      2603
      Likes Given
      2287

      Default re: Kikwete: Watu wanamiliki viwanda vya kutunga Uongo Tanzania!

      Quote By Mwana Mpotevu View Post
      Woga ni adui mkubwa sana na ni dhambi kubwa sana. kuwa wazi kama una uhakika na hoja yako
      Uandishi is an art, ukiona hujaelewa fahamu kuwa you are not the intended audience...
      "To greed, all nature is insufficient"

    5. #44
      Mwana Mpotevu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th September 2011
      Posts : 1,987
      Rep Power : 863
      Likes Received
      920
      Likes Given
      880

      Default re: Kikwete: Watu wanamiliki viwanda vya kutunga Uongo Tanzania!

      Quote By Babkey View Post
      Asante prezidaa...hivi wale "magamba" washajiondoa wenyewe!!...aaah...unamjua mmiliki wa "do..once"...au ushakumbuka sababu ya umaskini wetu!?....mshahara nao umepanda kati ya 15%-20%...naskia na waalimu wote washalipwa madeni yao eeh!!...pia tuna "bodaboda" za kupeleka akina mama hospitali...na...pia......
      hahahahahahaha lol
      namshitu kazeni likes this.
      Don't break the LAW, just Bend It!

    6. #45
      HIMO's Avatar
      Member Array
      Join Date : 31st August 2012
      Posts : 27
      Rep Power : 347
      Likes Received
      9
      Likes Given
      5

      Default re: Kikwete: Watu wanamiliki viwanda vya kutunga Uongo Tanzania!

      Quote By Mingoi View Post
      Muongo number moja anaeshikilia rekodi hiyo ni Dr Slaa,huyu babu anakipaji cha hali ya juu na amekatika mshipa wa noma.Anaweza kuzusha lolote kwa maslahi yake binafsi hafai,hafai wakuogopwa kama ukoma.
      kwani dk slaa ndiyo alitoa ahadi ya maisha bora kwa kila mtanzania hadi umwite mwongo ,nahisi mwongo ni huyo aliyetuahidi na akaishia hewani kisha akarudi kivingine
      namshitu kazeni likes this.


    7. #46
      Mingoi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st July 2012
      Location : Matembezini Arusha
      Posts : 2,250
      Rep Power : 636
      Likes Received
      264
      Likes Given
      231

      Default re: Kikwete: Watu wanamiliki viwanda vya kutunga Uongo Tanzania!

      Quote By Mwana Mpotevu View Post
      Asante sana kwa kusaidia kumjibu Mingoi kwa wakati na kwa usahihi
      Haitosaidia kumfanya babu aache kuudanya umma wa Tanzania tena haoni aibu anaowadanganya wengine ni sawa na wajukuze.

    8. #47
      Mwana Mpotevu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th September 2011
      Posts : 1,987
      Rep Power : 863
      Likes Received
      920
      Likes Given
      880

      Default re: Kikwete: Watu wanamiliki viwanda vya kutunga Uongo Tanzania!

      Quote By ZeMarcopolo View Post
      Uandishi is an art, ukiona hujaelewa fahamu kuwa you are not the intended audience...
      na ukiona hujaeleweka ujue kuwa u were not communicating!
      Don't break the LAW, just Bend It!

    9. #48
      Yaya Toure's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2012
      Posts : 1,297
      Rep Power : 672
      Likes Received
      284
      Likes Given
      117

      Default re: Kikwete: Watu wanamiliki viwanda vya kutunga Uongo Tanzania!

      hivi huyu baba ana akili timamu kweli?sasa yeye si ndo muongo namba moja duniani?huyu si ndo alisema atajenga machinga complex 5 dar es salaam?ataifanya kigoma iwe Dubai ?atajenga viwanja vya ndege kila mkoa?
      Uwe na aibu wewe mzeee sio unaongea kama mtoto wa darasa la kwanza bwana unajidhalilisha sana basi tu ni vile una kichwa kigumu
      Ni hatari sana kwa afya yako kushabikia siasa za Tanzania....

    10. #49
      Mwana Mpotevu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th September 2011
      Posts : 1,987
      Rep Power : 863
      Likes Received
      920
      Likes Given
      880

      Default re: Kikwete: Watu wanamiliki viwanda vya kutunga Uongo Tanzania!

      Quote By Yaya Toure View Post
      hivi huyu baba ana akili timamu kweli?sasa yeye si ndo muongo namba moja duniani?huyu si ndo alisema atajenga machinga complex 5 dar es salaam?ataifanya kigoma iwe Dubai ?atajenga viwanja vya ndege kila mkoa?
      Uwe na aibu wewe mzeee sio unaongea kama mtoto wa darasa la kwanza bwana unajidhalilisha sana basi tu ni vile una kichwa kigumu
      au kasahau kama alisema hayo?
      Don't break the LAW, just Bend It!

    11. #50
      Las Mas Bobos's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2012
      Posts : 986
      Rep Power : 550
      Likes Received
      317
      Likes Given
      97

      Default re: Kikwete: Watu wanamiliki viwanda vya kutunga Uongo Tanzania!

      Quote By Mingoi View Post
      Muongo number moja anaeshikilia rekodi hiyo ni Dr Slaa,huyu babu anakipaji cha hali ya juu na amekatika mshipa wa noma.Anaweza kuzusha lolote kwa maslahi yake binafsi hafai,hafai wakuogopwa kama ukoma.
      Sema hivi, uongo wake juu ya EPA uliwaumbua sasa mnamchukia. Bila Dr.Slaa ungejua wewe kama kuna senti zetu zinaibiwa na Farijala? Pole sana.

      Bora uongo wa kweli kuliko ukweli wa uongo.
      By the time a man comes to realize that his father was right, he usually has a son who think he is wrong.

    12. #51
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,553
      Rep Power : 5114
      Likes Received
      2603
      Likes Given
      2287

      Default re: Kikwete: Watu wanamiliki viwanda vya kutunga Uongo Tanzania!

      Quote By Mwana Mpotevu View Post
      na ukiona hujaeleweka ujue kuwa u were not communicating!
      Kuna kibabu fulani kilisema kitataja majina ya maafisa wa usalama wa taifa waliochakachua uchaguzi. Mpaka leo kimya. Jinsi hicho kibabu kinavyopenda advertise, kingekuwa na majina kingetaja mara moja. Hicho kibabu ni chief engineer katika kiwanda cha uongo...
      "To greed, all nature is insufficient"

    13. #52
      Mingoi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st July 2012
      Location : Matembezini Arusha
      Posts : 2,250
      Rep Power : 636
      Likes Received
      264
      Likes Given
      231

      Default re: Kikwete: Watu wanamiliki viwanda vya kutunga Uongo Tanzania!

      JK ametumia tasfida kutomtaja kwa jina Dr Slaa kwa kuwa anajua ni mlalamikaji,angesema amemtukana lakini ujumbe umefika na watanzania tunalijua hilo na tunampuuza.

    14. #53
      majorbuyoya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 663
      Rep Power : 2617
      Likes Received
      183
      Likes Given
      238

      Default re: Kikwete: Watu wanamiliki viwanda vya kutunga Uongo Tanzania!

      Quote By Mingoi View Post
      Ahadi na utendaji ni vitu viwili tofauti,hao aliopanganao Nyerere kwa wakati huo sidhani kama leo hii wapo au walishatenga pesa za mradi huo.Kuacha kumpa hongera JK ni dhuluma ya fadhila,labda Nyerere na timu yake walifikiria daraja la mbao kwa wakati huo maana hata teknolojia na ubunifu wa 1978 ni tofauti na 2012.Tunazungumza tunachokiona sasa hivi si hadithi za Nyerere au nabii Mussa.
      ............Eeeh Mungu angalia taifa letu la Tz linaangamia kwa kukosa maarifa!!

    15. #54
      kalikenye's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2009
      Posts : 612
      Rep Power : 605
      Likes Received
      76
      Likes Given
      8

      Default

      Quote By Mingoi View Post
      Haitosaidia kumfanya babu aache kuudanya umma wa Tanzania tena haoni aibu anaowadanganya wengine ni sawa na wajukuze.
      Mie huyu mzee huwa simpendi kwa sababu hana aibu

    16. #55
      Makyomwango's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 234
      Rep Power : 461
      Likes Received
      42
      Likes Given
      14

      Default re: Kikwete: Watu wanamiliki viwanda vya kutunga Uongo Tanzania!

      Quote By Mingoi View Post
      Muongo number moja anaeshikilia rekodi hiyo ni Dr Slaa,huyu babu anakipaji cha hali ya juu na amekatika mshipa wa noma.Anaweza kuzusha lolote kwa maslahi yake binafsi hafai,hafai wakuogopwa kama ukoma.
      Katika hili Dr wa ukweli anahusika vipi? taja uongo ambao Dr. wa ukweli amaewahi kuzalisha

    17. #56
      fugees's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th August 2012
      Location : dar es salaam
      Posts : 588
      Rep Power : 462
      Likes Received
      62
      Likes Given
      2

      Default re: Kikwete: Watu wanamiliki viwanda vya kutunga Uongo Tanzania!

      Baada ya ccm kuuwa vwanda tanzania watu wameona sio mbaya wakiwa na vyao kuwa agaist each and everythng cha ccm.

    18. #57
      Mwana Mpotevu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th September 2011
      Posts : 1,987
      Rep Power : 863
      Likes Received
      920
      Likes Given
      880

      Default re: Kikwete: Watu wanamiliki viwanda vya kutunga Uongo Tanzania!

      Quote By kalikenye View Post
      Mie huyu mzee huwa simpendi kwa sababu hana aibu
      kumbe swala ni kuwa humpendi tu? sasa nimekuelewa kuwa hoja zako zimekaa kimapenzi zaidi
      Don't break the LAW, just Bend It!

    19. #58
      Mingoi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st July 2012
      Location : Matembezini Arusha
      Posts : 2,250
      Rep Power : 636
      Likes Received
      264
      Likes Given
      231

      Default re: Kikwete: Watu wanamiliki viwanda vya kutunga Uongo Tanzania!

      Quote By ZeMarcopolo View Post
      Kuna kibabu fulani kilisema kitataja majina ya maafisa wa usalama wa taifa waliochakachua uchaguzi. Mpaka leo kimya. Jinsi hicho kibabu kinavyopenda advertise, kingekuwa na majina kingetaja mara moja. Hicho kibabu ni chief engineer katika kiwanda cha uongo...
      Juzi juzi Morogoro alisema anadata za watorosha nyara na amepewa kitambulisha chekundu cha jamaa wa usalama wa taifa akatoe photocopy kumbe ni fafa alionyesha driving licence ya zamani .


    20. #59
      Opaque's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th October 2008
      Posts : 955
      Rep Power : 734
      Likes Received
      227
      Likes Given
      84

      Default re: Kikwete: Watu wanamiliki viwanda vya kutunga Uongo Tanzania!


      Hivi alivyoahidi meli kule ziwa Nyasa, hakuwa na taarifa kuwa ni ziwa la Malawi?
      Mwana Mpotevu likes this.



    21. #60
      Chasha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th June 2011
      Posts : 3,252
      Rep Power : 1306
      Likes Received
      1296
      Likes Given
      271

      Default re: Kikwete: Watu wanamiliki viwanda vya kutunga Uongo Tanzania!

      Hivi hli Daraja ndo lile lina jengwa kwa Mchango wangu Wa NSSF? Hapo wanaotakiwa kupongezwa ni wafanya kazi kwa kukaa kimya huku Michango yao ikitumika kwenye Miradi isiyo kuwa na Faida kwa wafanya kazi

      JK ashukuru wafanya kazi wa Bongo ni Mazuzu sana Nchi nyingine mashirika ya hifadhi za jamii hayawezi tumia pesa bila kibali cha wafanya kazi wanaochangia huo mfuko,

      WASHUKURIWE WAFANYA KAZI WANAOCHANGIA NSSF KWA KUPIGA KIMYA ILI MICHANGO YAO IJENGE DARAJA
      majorbuyoya likes this.

    Page 3 of 13 FirstFirst 12345 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...