Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kikwete: Watu wanamiliki viwanda vya kutunga Uongo Tanzania!

    Report Post
    Page 11 of 13 FirstFirst ... 910111213 LastLast
    Results 201 to 220 of 246
    1. #1
      Mwana Mpotevu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th September 2011
      Posts : 1,971
      Rep Power : 856
      Likes Received
      908
      Likes Given
      878

      Default Kikwete: Watu wanamiliki viwanda vya kutunga Uongo Tanzania!

      TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

      Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Alhamisi, Septemba 20, 2012, ameweka Jiwe la Msingi la ujenzi wa Daraja la Kigamboni, Dar es Salaam kwa kuwaonya watu ambao amewaeleza kuwa wanavyo viwanda vya kutunga uongo kuacha tabia hiyo na kuelekeza nguvu kwenye maendeleo.

      Aidha, Rais Kikwete amewahakikishia wakazi wote wa Kigamboni ambao wanaondolewa katika maeneo yao kwa ajili ya kupisha ujenzi wa daraja hilo na ujenzi wa Mji Mpya wa Kigamboni kuwa watalipwa stahili na haki zao zote.

      Daraja hilo la Kigamboni ambalo wazo la kujengwa kwake lilibuniwa kwa mara ya kwanza zaidi ya miaka 30, tokea mwaka 1978, wakati wa uongozi wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, linajengwa kwa gharama ya Sh. bilioni 214.6 na litakuwa tayari katika muda wa miezi 36 ijayo, ingawa muda huo unaweza kupungua na kubakia miezi 30.

      Daraja hilo litapunguza adha ya usafiri kati ya Kigamboni na Dar es Salaam ambao kwa sasa unategemea vivuko, ama boti ndogo, mitumbwi ama wenye magari kulazimika kufanya mzungumo wa kilomita 52. Kwa uamuzi wa sasa, wavuka kwa miguu ambao watakuwa na njia maalum kwenye daraja hilo pamoja na waendesha baiskeli watavuka bure bila malipo yoyote.

      Akizungumza kwenye sherehe hiyo, Rais Kikwete amesema kuwa Serikali haiwezi kudhulumuwananchi wake na hivyo watu wote ambao wanastahili fidia kutokana na ujenzi wadaraja hilo na mji mpya wa Kigamboni watalipwa haki na stahiki zao.

      Rais Kikwete pia amewaonya watu ambao wamelifanya suala la kutunga na kusema uongokama sehemu ya utamaduni wao. “Watu wana viwanda vya kuzalisha uongo. Wanashinda wanasambaza uongo kwenye mitandao, kila mahali. Wamepata hata kusema kuwa mimi nimemuuzia George Bush eneo la Kigamboni. Bush aje kufanya nini Kigamboni?”

      Rais pia amesema kuwa wapo watu ambao hawapendi maendeleo ya nchi. “Wanatamanikila siku tushindwe kuwaletea wananchi maendeleo. Lakini watakufa kwa kihoro kwa sababu hatutashindwa. Kila tulilosema tutalifanya, litafanyika”.

      Amesema kuwa thamani kubwa ya vyama vya siasa ni maendeleo ya wananchi. “Lakini wapo wenzetu ambao wanaudhika wakiona maendeleo. Wanapenda hata daraja hili lisijengwe. Leo hawatalala usingizi. Kazi ya vyama vya siasa ni kuweka maslahi yetu sote mbele.”

      Imetolewa na:
      Kurugenziya Mawasiliano ya Rais,

      Ikulu.

      Dares Salaam
      .

      20Septemba, 2012

      MY TAKE:
      Hivyo vyama vi vipi visivyotaka maendeleo? Hiyo mitandao ya kijamii ni ipi? Akina nani wanaomiliki viwanda vya kutunga uongo according to JK??

      Quote By Invisible
      Don't break the LAW, just Bend It!

    2. FemaTV & Radio

    3. #201
      MPIGA ZEZE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th May 2011
      Posts : 573
      Rep Power : 519
      Likes Received
      202
      Likes Given
      198

      Default Re: Kikwete: Watu wanamiliki viwanda vya kutunga Uongo Tanzania!

      Quote By Dreson4
      Tatizo wana Jf badala ya kujadili mfikie conclusion, ni matusi tu mnatoa muda wote... Great thinkers sio wajinga wa kutukana tukana ovyo... Kweli hii ndio Tanzania, ndo maana wengi wanaotoka hawarudi, lets save ourselves here si kutukanana, kila mtu amekaa ki vyama vyama tu humu ndani na hata waTz % kubwa.. hvi mnaangalia vyama au maendeleo? Na the guy ni Rais wetu you can't change that subiri hadi anatoka tuone, mbona mna criticize kusema Dubai itahamia bongo.. mbona hamcriticize ile ya Slaa kusema ataleta train za Umeme bongo huku umeme tu sa hvi wa shida... I believe JF imejaa professionals, kuna wana uchumi wazyri humu, computer scientists, politicians... Tufanye discussion na kufikia conclusion sio kila post mnatafta pa kuponda.. matusi yanazidi kuonyesha mtu alivyo kilaza, hayatatufikisha popote... Hata hii post najua wengi mtaicriticize tu... Grow up
      Inakuwa criticized kwa sababu kauli za mipasho ya kitaarabu hazitarajiwi kutolewa na 'the guy ni rais wetu'! Anarahisisha urais. Hiyo angewaachia akina Nape, Lusinde, & Nchemba.

    4. #202
      Mwana Mpotevu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th September 2011
      Posts : 1,971
      Rep Power : 856
      Likes Received
      908
      Likes Given
      878

      Default Re: Kikwete: Watu wanamiliki viwanda vya kutunga Uongo Tanzania!

      Quote By ChiefmTz
      Source please
      Source ni Mwana Mpotevu
      Don't break the LAW, just Bend It!

    5. #203
      Mwana Mpotevu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th September 2011
      Posts : 1,971
      Rep Power : 856
      Likes Received
      908
      Likes Given
      878

      Default Re: Kikwete: Watu wanamiliki viwanda vya kutunga Uongo Tanzania!

      Quote By kirumbi
      lakini kama SLAA anayo yasema hua ni uongo mbona asi fikishwe mahakamani ilihali kwamba hua anatoa ruhusa ya kwenda mahakamani kama mnaona mna zushiwa? mi nadhani wewe ndio muongo namba moja kama viongozi wa kijani tanzania.
      hawaendi mahakamani sababu wanajua wakienda kila kitu kinaanikwa wazi na hata ambayo hayajasemwa yataibuka na mwisho wa siku wataaibika.

      kwani mafisadi wa elimu waliotishia kumshtaki Kainerugaba wako wapi? nani kashtaki? hakuna. Kwani wale walio katika orodha ya mafisadi waliotangazwa Mwembe Yanga na wakatishia kushtaki wako wapi? Nani kaenda mahakamani? Hakuna.

      wamekalia kulalama tu kuw akuna kiwanda cha uongo lakini wanashindwa kujisema wao ndio wakurugenzi wa kiwanda cha uongo
      Don't break the LAW, just Bend It!

    6. #204
      Phillemon Mikael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2006
      Location : mwanza,/uk/santa clara
      Posts : 4,717
      Rep Power : 1592
      Likes Received
      905
      Likes Given
      29

      Default Re: Kikwete: Watu wanamiliki viwanda vya kutunga Uongo Tanzania!

      [QUOTE=Mwana Mpotevu;4666550]
      TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
      amewaonya watu ambao wamelifanya suala la kutunga na kusema uongokama sehemu ya utamaduni wao. “Watu wana viwanda vya kuzalisha uongo. Wanashinda wanasambaza uongo kwenye mitandao, kila mahali. Wamepata hata kusema kuwa mimi nimemuuzia George Bush eneo la Kigamboni. Bush aje kufanya nini Kigamboni?”
      Rais pia amesema kuwa wapo watu ambao hawapendi maendeleo ya nchi. “Wanatamanikila siku tushindwe kuwaletea wananchi maendeleo. Lakini watakufa kwa kihoro kwa sababu hatutashindwa. Kila tulilosema tutalifanya, litafanyika”.

      Amesema kuwa thamani kubwa ya vyama vya siasa ni maendeleo ya wananchi. “Lakini wapo wenzetu ambao wanaudhika wakiona maendeleo. Wanapenda hata daraja hili lisijengwe. Leo hawatalala usingizi. Kazi ya vyama vya siasa ni kuweka maslahi yetu sote mbele.”

      Imetolewa na:
      Kurugenziya Mawasiliano ya Rais,

      Ikulu.

      Dares Salaam
      .

      20Septemba, 2012

      MY TAKE:
      Hivyo vyama vi vipi visivyotaka maendeleo? Hiyo mitandao ya kijamii ni ipi? Akina nani wanaomiliki viwanda vya kutunga uo?
      [/QUOTE


      Siku Hizi taarifa za ikulu zimekaa kimipasho na umbea Kama mpangaji wao.....sasa taarifa gani hii......


      Halafu huo uzinduzi wa. DART ...mabasi anafanya kila Siku ???? Au anafanya wote hatukuumbukii kuwa mradi wa mabasi yaendayoo kasi ...alishauuziindua mwezi wa september 2010???? Pale Kivukoni.....ameishiiwa mirradi ya kuuzindua .....au kwa kuwa anafikirii watanzania Hawana kumbukumbu ?
      Mwana Mpotevu likes this.

    7. #205
      HAMY-D's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th September 2011
      Location : NDICHI.
      Posts : 814
      Rep Power : 549
      Likes Received
      126
      Likes Given
      9

      Default

      Quote By Mwana Mpotevu
      TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

      Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Alhamisi, Septemba 20, 2012, ameweka Jiwe la Msingi la ujenzi wa Daraja la Kigamboni, Dar es Salaam kwa kuwaonya watu ambao amewaeleza kuwa wanavyo viwanda vya kutunga uongo kuacha tabia hiyo na kuelekeza nguvu kwenye maendeleo.

      Aidha, Rais Kikwete amewahakikishia wakazi wote wa Kigamboni ambao wanaondolewa katika maeneo yao kwa ajili ya kupisha ujenzi wa daraja hilo na ujenzi wa Mji Mpya wa Kigamboni kuwa watalipwa stahili na haki zao zote.

      Daraja hilo la Kigamboni ambalo wazo la kujengwa kwake lilibuniwa kwa mara ya kwanza zaidi ya miaka 30, tokea mwaka 1978, wakati wa uongozi wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, linajengwa kwa gharama ya Sh. bilioni 214.6 na litakuwa tayari katika muda wa miezi 36 ijayo, ingawa muda huo unaweza kupungua na kubakia miezi 30.

      Daraja hilo litapunguza adha ya usafiri kati ya Kigamboni na Dar es Salaam ambao kwa sasa unategemea vivuko, ama boti ndogo, mitumbwi ama wenye magari kulazimika kufanya mzungumo wa kilomita 52. Kwa uamuzi wa sasa, wavuka kwa miguu ambao watakuwa na njia maalum kwenye daraja hilo pamoja na waendesha baiskeli watavuka bure bila malipo yoyote.

      Akizungumza kwenye sherehe hiyo, Rais Kikwete amesema kuwa Serikali haiwezi kudhulumuwananchi wake na hivyo watu wote ambao wanastahili fidia kutokana na ujenzi wadaraja hilo na mji mpya wa Kigamboni watalipwa haki na stahiki zao.

      Rais Kikwete pia amewaonya watu ambao wamelifanya suala la kutunga na kusema uongokama sehemu ya utamaduni wao. “Watu wana viwanda vya kuzalisha uongo. Wanashinda wanasambaza uongo kwenye mitandao, kila mahali. Wamepata hata kusema kuwa mimi nimemuuzia George Bush eneo la Kigamboni. Bush aje kufanya nini Kigamboni?”

      Rais pia amesema kuwa wapo watu ambao hawapendi maendeleo ya nchi. “Wanatamanikila siku tushindwe kuwaletea wananchi maendeleo. Lakini watakufa kwa kihoro kwa sababu hatutashindwa. Kila tulilosema tutalifanya, litafanyika”.

      Amesema kuwa thamani kubwa ya vyama vya siasa ni maendeleo ya wananchi. “Lakini wapo wenzetu ambao wanaudhika wakiona maendeleo. Wanapenda hata daraja hili lisijengwe. Leo hawatalala usingizi. Kazi ya vyama vya siasa ni kuweka maslahi yetu sote mbele.”

      Imetolewa na:
      Kurugenziya Mawasiliano ya Rais,

      Ikulu.

      Dares Salaam
      .

      20Septemba, 2012

      MY TAKE:
      Hivyo vyama vi vipi visivyotaka maendeleo? Hiyo mitandao ya kijamii ni ipi? Akina nani wanaomiliki viwanda vya kutunga uongo according to JK??
      Huyu ni rais wangu kwa kuweka utaifa mbele ni desturi na tamaduni yake, ndio CCM ilivyomlea hivyo na kutulea sisi sote mpaka hapa tulipo. Ufahamu wa mambo ulionao na uwezo wako binafsi wa kujenga na kuchambua hoja ni hii hii CCM ndio imetujenga hivi.

      Fursa za kuanzisha mitandao na watu kupata uhuru wa kupeana habari bila kuingiliwa kwa wakati wowote, ambazo hizo habari ziwe na maslahi binafsi au kitaifa haijalishi, ila zisifunze tu sheria za nchi, ni hii hii CCM imewezesha.

      TUPO HAPA TULIPO KWA JITIHADA ZA DHATI, UTAYARI NA KUJITOA KWA SERIKALI AMBAYO KIMSINGI IMEUNDWA NA CHAMA CHA MAPINDUZI.

      Kama kuna changamoto zinazokinzana na imani, malengo na dhamira ya chama, zote hizo tumeziundia mamlaka kuzidhibiti zisijitokeze tena.

      Wananchi wote kwa ujumla wetu kwa kuweka kwetu kando maslahi yetu binafsi, turudishe imani na kuamini matarajio yetu yote yatatimizwa kama ilivyopangwa katika ilani ya CCM ya uchaguzi mwaka 2010.

    8. Study Abroad

    9. #206
      Mwana Mpotevu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th September 2011
      Posts : 1,971
      Rep Power : 856
      Likes Received
      908
      Likes Given
      878

      Default Re: Kikwete: Watu wanamiliki viwanda vya kutunga Uongo Tanzania!

      Quote By Phillemon Mikael
      [
      Siku Hizi taarifa za ikulu zimekaa kimipasho na umbea Kama mpangaji wao.....sasa taarifa gani hii......


      Halafu huo uzinduzi wa. DART ...mabasi anafanya kila Siku ???? Au anafanya wote hatukuumbukii kuwa mradi wa mabasi yaendayoo kasi ...alishauuziindua mwezi wa september 2010???? Pale Kivukoni.....ameishiiwa mirradi ya kuuzindua .....au kwa kuwa anafikirii watanzania Hawana kumbukumbu ?
      Ebwana umenikumbusha ni kweli kabisa mkuu duh.
      Nicholas likes this.
      Don't break the LAW, just Bend It!

    10. #207
      saidyakub's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th August 2010
      Posts : 38
      Rep Power : 450
      Likes Received
      10
      Likes Given
      3

      Default Re: Kikwete: Watu wanamiliki viwanda vya kutunga Uongo Tanzania!

      Hakika wewe mi CUF ngangari, ni CCM-B, nilitaraji ungemuuliza mh rais hizo fedha za NSSF zitarudi vipi na zitaanzwa kulipwa lini ili akupe majibu. Kwa nini tusibeze maendeleo ya CCM iliyomadalakani kwa zaid ya miaka 40 huku mkoloni mjerumani aliyetawala Tanganyika miaka 38 alijenga miundo mbinu mingi kuzidi serikali ya CCM ya leo
      Bandari dar, kigoma,mwanza,tanga,mtwara, reli ya kati mwanza kigoma mpanda, barabara,nk

    11. #208
      Phillemon Mikael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2006
      Location : mwanza,/uk/santa clara
      Posts : 4,717
      Rep Power : 1592
      Likes Received
      905
      Likes Given
      29

      Default Re: Kikwete: Watu wanamiliki viwanda vya kutunga Uongo Tanzania!

      Quote By Mwana Mpotevu
      Ebwana umenikumbusha ni kweli kabisa mkuu duh.
      Mkuuu hiiii ni kashfa sana kwa Tasisi ya urais ...tukiingiia maktaba tutapata hata picha za Huu mradi uliipoozinduuliwa pale Kivukoni feri......tena...akautumia Kama mtaji wa kampeni...

      Bado naangalia maktaba Lakini kumbukumbu za Haraka zinaonyesha alishatembelea mradi wa daraja.......

      Anaeweeza afanye independent findings......Piia nawalaumu waandishi wa habari ...hawaweki kumbukumbu ya mambo..

    12. #209
      Mwana Mpotevu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th September 2011
      Posts : 1,971
      Rep Power : 856
      Likes Received
      908
      Likes Given
      878

      Default Re: Kikwete: Watu wanamiliki viwanda vya kutunga Uongo Tanzania!

      Quote By Phillemon Mikael
      Mkuuu hiiii ni kashfa sana kwa Tasisi ya urais ...tukiingiia maktaba tutapata hata picha za Huu mradi uliipoozinduuliwa pale Kivukoni feri......tena...akautumia Kama mtaji wa kampeni...

      Bado naangalia maktaba Lakini kumbukumbu za Haraka zinaonyesha alishatembelea mradi wa daraja.......

      Anaeweeza afanye independent findings......Piia nawalaumu waandishi wa habari ...hawaweki kumbukumbu ya mambo..
      ni kweli aibu kubwa sana hii. Tatizo naamini wanaomzunguka JK hawamsaidii kumweleza athari za baadhi ya vitu anavyofanya matokeo yake anajifanyia kila kinachomjia akilini
      Don't break the LAW, just Bend It!

    13. #210
      Nicholas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 4,882
      Rep Power : 3593
      Likes Received
      1244
      Likes Given
      2107

      Default Re: Kikwete: Watu wanamiliki viwanda vya kutunga Uongo Tanzania!

      kama list ya mauaji ni uongo basi JK hakuwa na credibility ya kuipokea hiyo barua.
      SIMPLY THE RADICAL: I can`t wait to see the criminalization of CCM,UWT,Bunch of Policemen/women,and all wanafiki na wachumia tumbo.

    14. #211
      makundi4619's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2012
      Posts : 485
      Rep Power : 442
      Likes Received
      135
      Likes Given
      388

      Unhappy Re: Kikwete: Watu wanamiliki viwanda vya kutunga Uongo Tanzania!

      Kwa kipindi chama miaka hamsini ya uhuru, hili daraja limechelewa sana. Serikali ilitakiwa iwaombe wananchi msamaha kwa kuchelewa muda wote huu!! Maendeleo ya msingi ni haki yetu kwa nini ionekane kama ni zawadi kwa hili daraja kujengwa cha aajabu ni nini hapa? Kama ni kweli serikali imetumia fedha za wana NSSF serikali imewaonea kutumia fedha zao bila ridhaa wakati ufisadi umeharibu uchumi tena bila hatua zozote kuchukuliwa dhidi ya wahusika. Hii hotuba inasikitisha kwa kuwa iko kiushabiki (subjective) na badala ya kutokuwa ya kiushabiki (objective). I have been terribly agitated!!!

    15. #212
      Mingoi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st July 2012
      Location : Not reachable
      Posts : 2,135
      Rep Power : 608
      Likes Received
      241
      Likes Given
      213

      Default Re: Kikwete: Watu wanamiliki viwanda vya kutunga Uongo Tanzania!

      Tanzania bila uongo inawezekana

    16. FJM
      #213
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,167
      Rep Power : 2566
      Likes Received
      5317
      Likes Given
      4585

      Default Re: Kikwete: Watu wanamiliki viwanda vya kutunga Uongo Tanzania!

      Quote By Mwana Mpotevu


      Rais Kikwete pia amewaonya watu ambao wamelifanya suala la kutunga na kusema uongokama sehemu ya utamaduni wao. “Watu wana viwanda vya kuzalisha uongo. Wanashinda wanasambaza uongo kwenye mitandao, kila mahali. Wamepata hata kusema kuwa mimi nimemuuzia George Bush eneo la Kigamboni. Bush aje kufanya nini Kigamboni?”

      Rais pia amesema kuwa wapo watu ambao hawapendi maendeleo ya nchi. “Wanatamanikila siku tushindwe kuwaletea wananchi maendeleo. Lakini watakufa kwa kihoro kwa sababu hatutashindwa. Kila tulilosema tutalifanya, litafanyika”.
      Imetolewa na:
      Kurugenziya Mawasiliano ya Rais,

      Ikulu.

      Dares Salaam
      .

      20Septemba, 2012
      oh God, hizo paragraph mbili. Kweli rais anaweza kuwa na lugha ya namna hiyo mbele ya umma? Na Kurugenzi wakaona ni sahihi kuyaandika kwenye press realese? Do they realise how un-presidential hayo maneno yalivyo? What were they thinking huko Ikulu wakati wanaandika hiyo press statement?

    17. #214
      masopakyindi's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 3,706
      Rep Power : 4188
      Likes Received
      985
      Likes Given
      407

      Default Re: Kikwete: Watu wanamiliki viwanda vya kutunga Uongo Tanzania!

      Quote By Mwana Mpotevu

      Rais Kikwete pia amewaonya watu ambao wamelifanya suala la kutunga na kusema uongokama sehemu ya utamaduni wao. “Watu wana viwanda vya kuzalisha uongo. Wanashinda wanasambaza uongo kwenye mitandao, kila mahali. Wamepata hata kusema kuwa mimi nimemuuzia George Bush eneo la Kigamboni. Bush aje kufanya nini Kigamboni?”

      Rais pia amesema kuwa wapo watu ambao hawapendi maendeleo ya nchi. “Wanatamanikila siku tushindwe kuwaletea wananchi maendeleo. Lakini watakufa kwa kihoro kwa sababu hatutashindwa. Kila tulilosema tutalifanya, litafanyika”.

      Amesema kuwa thamani kubwa ya vyama vya siasa ni maendeleo ya wananchi. “Lakini wapo wenzetu ambao wanaudhika wakiona maendeleo. Wanapenda hata daraja hili lisijengwe. Leo hawatalala usingizi. Kazi ya vyama vya siasa ni kuweka maslahi yetu sote mbele.”
      Baambie hawo muzee
      bamezoea umbeya wa kisiyasa, baambie tu baba!!
      Tena hawo watu hapa muJF bako wengi tu.
      "If you don't know where you are going, any road will get you there-nowhere”

    18. #215
      samora10's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st July 2010
      Location : Kwa-Gude
      Posts : 3,252
      Rep Power : 1102
      Likes Received
      729
      Likes Given
      1163

      Default Re: Kikwete: Watu wanamiliki viwanda vya kutunga Uongo Tanzania!

      Hivi ishu ya Kigamboni CDM imehusishwaje.. malumbano ya kigamboni siku zote ni CCM wenyewe kwa wenyewe, mbunge na mawaziri.. refer Mbunge vs Magufuli na juzi pia mbunge vs Tibaijuka
      ''Mipango na Mikakati imekamilika na sasa tuko kwenye mchakato wa mazungumzo na wafadhili"- M Pinda

    19. #216
      Takalani Sesame's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2008
      Location : Mobile
      Posts : 545
      Rep Power : 665
      Likes Received
      137
      Likes Given
      98

      Default Re: Kikwete: Watu wanamiliki viwanda vya kutunga Uongo Tanzania!

      ZeMarcopolo,
      Mbona JK kajisema mwenyewe? Navyojua yeye ndie kinara wa uongo. Angalia alivyodanganya watanzania kupitia ahadi zake ambazo hata yeye mwenyewe hazikumbuki na alijua kabisa hana uwezo wa kuzitekeleza:

      1.Kujenga reli mpya kutoka Dar es Salaam mpaka mikoa ya Kanda ya ziwa - Nzega, Tabora

      2. Kujenga Uwanja wa Ndege Misenyi - Kagera

      3.Kununua meli kubwa kuliko MV Bukoba - Kagera

      4. Kuwajengea nyumba waathirika wa mafuriko Kilosa - Morogoro

      5. Kununua meli mpya kubwa Ziwa Nyasa - Mbeya mjini

      6. Kumaliza matatizo la walimu miaka mitano ijayo - Songea

      7. Kununua bajaji 400 kwa ajili ya kubeba wajawazito hasa vijijini - Iringa

      8. Tatizo la umeme kufikia kikomo Novemba mwaka huu mkoani Arusha – Arusha
      mjini


      9. Ununuzi wa Meli mpya yenye uwezo wa kubeba tani 400 - Mbambabay Ruvuma

      10. Ahadi hakutakuwa na umwagaji wa damu baada ya uchaguzi-Dar es Salaam

      11.Mtwara kuwa mji wa Viwanda – Mtwara
      Those who make peaceful revolution impossible will make violent revolution inevitable.
      John F. Kennedy

    20. #217
      Takalani Sesame's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2008
      Location : Mobile
      Posts : 545
      Rep Power : 665
      Likes Received
      137
      Likes Given
      98

      Default Re: Kikwete: Watu wanamiliki viwanda vya kutunga Uongo Tanzania!

      Quote By RealMan
      Sishangai maneno aliyoyasema mkuu wa kaya, napata shida kwamba katika yote aliyosema Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu imeona ya ku-amplify ni hayo ya mipasho.....

      Vipi kama ufafanuzi ungejikita katika faida itakayopatikana pindi daraja likikamilika...kwa mfano foleni itapungua kwa kiwango gani pale ferry.....mkazi wa kigamboni atatumia muda kiasi gani kufika mjini badala ya sasa......NSSF itaingiza kiasi gani kwa mwaka kama marejesho ya mkopo wao....

      Hivi kweli balozi Sefue nae anamwonea haya Salva Rweyemamu??? Je si jukumu la wasaidizi kumsaidia kiongozi hata pale anapochemsha????
      Wajifunze kwa Kibaki wa Kenya ambaye kazungukwa na vichwa vya ukweli sio vichwa maji kama wa Magogoni....

      Aaaaagghhhhh!!!!!!!!!!!!!!!!!! !!!!!
      Mkuu,
      JK hawezi kuweka vichwa maana anaogopa watamu-outshine. Na hata akiweka vichwa, hivyo vichwa kwa kuwa vinamjua anapenda kusifiwa, basi huweka akili zao mfukoni na kuanza nyimbo na mapambio kwa mkulu. Salva ni mmojawapo.
      Those who make peaceful revolution impossible will make violent revolution inevitable.
      John F. Kennedy

    21. #218
      gurumeti's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th September 2012
      Posts : 24
      Rep Power : 339
      Likes Received
      1
      Likes Given
      9

      Default Re: Kikwete: Watu wanamiliki viwanda vya kutunga Uongo Tanzania!

      siasa shina lakeni propaganda!

    22. #219
      bagwell's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th September 2012
      Posts : 113
      Rep Power : 357
      Likes Received
      25
      Likes Given
      0

      Default Re: Kikwete: Watu wanamiliki viwanda vya kutunga Uongo Tanzania!

      Mimi nadhani angewataja hao waongo ama ndio tuseme kua mtu mwizi atamjua mwizi mwenzake??????

    23. #220
      Mingoi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st July 2012
      Location : Not reachable
      Posts : 2,135
      Rep Power : 608
      Likes Received
      241
      Likes Given
      213

      Default Re: Kikwete: Watu wanamiliki viwanda vya kutunga Uongo Tanzania!

      Quote By Nicholas
      kama list ya mauaji ni uongo basi JK hakuwa na credibility ya kuipokea hiyo barua.
      Wameituma kwa njia ya posta.


    24. Miaka 50
    Page 11 of 13 FirstFirst ... 910111213 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...