Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kikwete: Foleni jijini Dar itakuwa historia

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 42
    1. #1
      Mzalendo wa ukweli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2012
      Posts : 499
      Rep Power : 472
      Likes Received
      125
      Likes Given
      201

      Default Kikwete: Foleni jijini Dar itakuwa historia

      Ndugu wanajamvi jana mkuu wetu wa nchi alikuwa anazindua mradi wa ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo kasi.

      Na katika hotuba yake nilivutiwa na kauli kutoka kwa mkuu wetu wa nchi kuwa hali ya foleni ktk jiji la Dar baada ya huu mradi kukamilika itabaki kuwa historia.

      Je, kwa huo mradi peke yake inaweza kuondoa tatizo la kero ya foleni hapa dsm au kuna haja ya kuwa na projects nyingine za kusupport kupunguza hii kero?

      Je, unadhani ilikuwa sahihi kwa kiongozi mkuu kutoa kauli kama hii kwa sasa?

      Na vipi kama haitakuwa kama alivyosema nini kifanyike?

    2. Miaka 50

    3. #2
      tatanyengo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th March 2011
      Posts : 931
      Rep Power : 599
      Likes Received
      221
      Likes Given
      186

      Default re: Kikwete: Foleni jijini Dar itakuwa historia

      Yalishasemwa mengi kuwa yatakuwa ni historia lakini bado tunayashuhudia.
      Mzalendo wa ukweli likes this.
      'Our Problems can be solved,our challenges can be met'- Obama

    4. #3
      Narubongo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 1,886
      Rep Power : 811
      Likes Received
      842
      Likes Given
      680

      Default re: Kikwete: Foleni jijini Dar itakuwa historia

      tatizo la maji litakuwa historia kufikia 2013
      FJM likes this.
      "Chadema kinatumia alama ya vidole viwili kama manati, manati kamwe haiwezi kuua tembo" Livingstone Lusinde (2012)

    5. #4
      Maundumula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 5,003
      Rep Power : 3112
      Likes Received
      1368
      Likes Given
      5780

      Default re: Kikwete: Foleni jijini Dar itakuwa historia

      Foleni itapungua lakini kuisha kabisa itetegemea na nauli ya hao DART na convenience.

      Wanatakiwa watushawishi na hiyo DART tuache magari nyumbani, hapo ndio foleni itapungua.

    6. #5
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,737
      Rep Power : 10180
      Likes Received
      5676
      Likes Given
      12666

      Default re: Kikwete: Foleni jijini Dar itakuwa historia

      kigoma itakuwa kama dubai-JK
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Mzalendo JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Posts : 908
      Rep Power : 532
      Likes Received
      277
      Likes Given
      213

      Default re: Kikwete: Foleni jijini Dar itakuwa historia

      Kanifanya nifikirie mengi aliposema kua Foleni zinavunja unyumba! Nimeshangaa sn nilitarajia Kauli tofauti iwe ya kwanza....
      Mzalendo wa ukweli likes this.
      "Happiness is what you think, what you say, and what you do are in harmony"

    9. #7
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,389
      Rep Power : 1265
      Likes Received
      1210
      Likes Given
      1253

      Default re: Kikwete: Foleni jijini Dar itakuwa historia

      ntatengeneza ajira million moja-JK
      Mzalendo wa ukweli likes this.
      !!..BAR ikiwa na wahudumu wa KIUME TUPU sikai dakika nyingi..!!

    10. #8
      giLESi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2011
      Posts : 777
      Rep Power : 536
      Likes Received
      217
      Likes Given
      235

      Default re: Kikwete: Foleni jijini Dar itakuwa historia

      anahitaji kujikuna kichwa, soon mtamsikia akisema amepotoshwa na wasaidizi wake
      Mzalendo wa ukweli likes this.

    11. #9
      Mzalendo JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Posts : 908
      Rep Power : 532
      Likes Received
      277
      Likes Given
      213

      Default re: Kikwete: Foleni jijini Dar itakuwa historia

      Quote By Narubongo
      tatizo la maji litakuwa historia kufikia 2013
      MCG imefikia wapi coz azimio hili la maji lilikua 2010, ila kwa stats ni less than 50% wans access ya maji safi. Kwa hesabu ya kawaida tunahitaji miaka 50 mingine kufikisha 80% of population with access to clean Water. Tafakari!!!!!!!!!!!!
      "Happiness is what you think, what you say, and what you do are in harmony"

    12. #10
      Mzalendo JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Posts : 908
      Rep Power : 532
      Likes Received
      277
      Likes Given
      213

      Default re: Kikwete: Foleni jijini Dar itakuwa historia

      Quote By asigwa
      ntatengeneza ajira million moja-JK
      Zipo japo hawezi kujustify ntamsaidia, ni vibarua wa wakandarasi, waokota makopo na waendesha bodaboda.......!
      "Happiness is what you think, what you say, and what you do are in harmony"

    13. #11
      Mzalendo JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Posts : 908
      Rep Power : 532
      Likes Received
      277
      Likes Given
      213

      Default re: Kikwete: Foleni jijini Dar itakuwa historia

      Quote By tatanyengo
      Yalishasemwa mengi kuwa yatakuwa ni historia lakini bado tunayashuhudia.
      Well said son!
      "Happiness is what you think, what you say, and what you do are in harmony"

    14. #12
      Mzalendo JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Posts : 908
      Rep Power : 532
      Likes Received
      277
      Likes Given
      213

      Default re: Kikwete: Foleni jijini Dar itakuwa historia

      Quote By Maundumula
      Foleni itapungua lakini kuisha kabisa itetegemea na nauli ya hao DART na convenience.

      Wanatakiwa watushawishi na hiyo DART tuache magari nyumbani, hapo ndio foleni itapungua.

      Bro hakuna research iliyofanyika kugundua chanzo cha 4leni DSM, Ni wameamka na kuja na mradi huu wa magari ya kasi. Tenda utaisikia kwa SIMON G**_P...Kisha jiulize yy na UDI? . Inawezekana solution sio magari yaendayo kasi bali ni ufinyu wa barabara tulizonazo na nyingi kua na shortcut kibao hivyo kua na msongamano hasa katika Junctions. Wataalam wapo tatizo ni kuchukua mamlaka ya katiba yanatumika sehemu yoyote. Hii ni sawa na Mkunga wa Jadi awe Neurosergion.
      "Happiness is what you think, what you say, and what you do are in harmony"

    15. #13
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,389
      Rep Power : 1265
      Likes Received
      1210
      Likes Given
      1253

      Default re: Kikwete: Foleni jijini Dar itakuwa historia

      Quote By Mzalendo JR
      Zipo japo hawezi kujustify ntamsaidia, ni vibarua wa wakandarasi, waokota makopo na waendesha bodaboda.......!
      umesahau na za madada poa pale buguruni na manzese.....
      !!..BAR ikiwa na wahudumu wa KIUME TUPU sikai dakika nyingi..!!

    16. #14
      Maundumula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 5,003
      Rep Power : 3112
      Likes Received
      1368
      Likes Given
      5780

      Default re: Kikwete: Foleni jijini Dar itakuwa historia

      Quote By Mzalendo JR
      Bro hakuna research iliyofanyika kugundua chanzo cha 4leni DSM, Ni wameamka na kuja na mradi huu wa magari ya kasi. Tenda utaisikia kwa SIMON G**_P...Kisha jiulize yy na UDI? . Inawezekana solution sio magari yaendayo kasi bali ni ufinyu wa barabara tulizonazo na nyingi kua na shortcut kibao hivyo kua na msongamano hasa katika Junctions. Wataalam wapo tatizo ni kuchukua mamlaka ya katiba yanatumika sehemu yoyote. Hii ni sawa na Mkunga wa Jadi awe Neurosergion.
      Tatizo hili naliona sana bro na miaka inavyozidi kuongezeka na tatizo linakuwa kubwa.

      Zile sehemu ambazo serikali wanaogopa kuvunja nyumba za chini soon zitakuwa magorofa sasa sijui 20 yrs from now kama wataweza kufanya maamuzi magumu.

      Solution hapa ni kuamua kwamba hapa itapita barabara wananchi waanze kujiandaa kuhama hata kama 20 yrs later fidia italipwa ila wajue kwamba wataondoka. Itabidi tuamua tu kutengeneza barabara bila kujali kwamba kuna wakazi wameshajenga!
      Mzalendo wa ukweli likes this.

    17. #15
      Communist's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Location : Ubungo
      Posts : 2,726
      Rep Power : 2267
      Likes Received
      601
      Likes Given
      783

      Default re: Kikwete: Foleni jijini Dar itakuwa historia

      Siamini kabisa, huu mradi ni partial approach, with a lot of dead ends.
      Ni kama sasa hivi kuna ngeleja huku nilipo wakati tuliambiwa itakuwa historia.
      Mzalendo wa ukweli likes this.
      Simple life is healthier than egoism.

    18. #16
      andybird314's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd January 2012
      Location : Tanzania
      Posts : 2,675
      Rep Power : 967
      Likes Received
      552
      Likes Given
      283

      Default re: Kikwete: Foleni jijini Dar itakuwa historia

      Tatizo wakijenga barabara na.kuboresha miundombinu mingine watu watazidi kuja.dsm hivyo.kusababisha misongamano mingi na kuongeza foleni.kwani watu wengi wataopt kutumia usafiri wao kuliko kutumia public

    19. #17
      Bulesi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2008
      Posts : 3,347
      Rep Power : 1241
      Likes Received
      344
      Likes Given
      73

      Default re: Kikwete: Foleni jijini Dar itakuwa historia

      Quote By Mzalendo JR
      Bro hakuna research iliyofanyika kugundua chanzo cha 4leni DSM, Ni wameamka na kuja na mradi huu wa magari ya kasi. Tenda utaisikia kwa SIMON G**_P...Kisha jiulize yy na UDI? . Inawezekana solution sio magari yaendayo kasi bali ni ufinyu wa barabara tulizonazo na nyingi kua na shortcut kibao hivyo kua na msongamano hasa katika Junctions. Wataalam wapo tatizo ni kuchukua mamlaka ya katiba yanatumika sehemu yoyote. Hii ni sawa na Mkunga wa Jadi awe Neurosergion.
      Nakubaliana na wewe kuwa wataalam wapo lakini tatizo ni kuchukua mamlaka na kuyatumia sehemu yeyote; inanikumbusha uongozi wa National Institute of Transport ulipoondolewa kwa shinikizo la Yusuf Makamba simply because chuo kilitaka kutekeleza mradi ambao mkwe wake Makamba nae alikuwa na interest!!True story, Makamba alitumia influence yake na uongozi ukaondolewa to protect personal interests badala ya National interests-- ilikuwa enzi ya Mkapa wakati huo yuko Uswisi kwa matibabu!!

    20. #18
      Mhamiaji Haramu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th February 2012
      Posts : 54
      Rep Power : 376
      Likes Received
      15
      Likes Given
      14

      Default re: Kikwete: Foleni jijini Dar itakuwa historia

      jk ana kiwanda cha uwongo, aliwahi kusema mchana kweupe, uso mkavu bila aibu kuwa tatizo la umeme litakuwa historia. sina hamu nae
      Mzalendo wa ukweli likes this.

    21. #19
      TIQO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Posts : 4,616
      Rep Power : 6856
      Likes Received
      1039
      Likes Given
      131

      Default re: Kikwete: Foleni jijini Dar itakuwa historia

      Wakazi wa mbezi na kibamba tusahau
      Mwisho wa Ubaya Aibu.

    22. #20
      BabaDesi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2007
      Posts : 2,382
      Rep Power : 1084
      Likes Received
      251
      Likes Given
      1400

      Default re: Kikwete: Foleni jijini Dar itakuwa historia

      ...Na kwanini atake Foleni kuwa Historia wakati aliishasema Foleni ni Ishara ya Maendeleo?? Hataki Maendeleo??
      Mzalendo wa ukweli likes this.
      Sema Kwa Sauti, Mimi Ni Mweusi Na Najivunia Kuwa Hivyo!

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...