Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: CHADEMA yafanyiwa vurugu kubwa na CCM wilayani Meatu

    Report Post
    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 41 to 60 of 68
    1. #1
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,707
      Rep Power : 10935
      Likes Received
      3961
      Likes Given
      426

      Post CHADEMA yafanyiwa vurugu kubwa na CCM wilayani Meatu

      Wafuasi wa CCM wilayani Meatu juzi walilishambulia kwa mawe gari lililobeba viongozi wa CHADEMA na kuliharibu vibaya huku wakinyofoa bendera za CHADEMA na kutupa kusikojulikana.

      Gari hilo lilishambuliwa wakati wafuasi hao wakienda kwenye maandamano ya kumlaki mbunge wa Kisesa Luhaga Mpina(CCM) na kisha kufuatiwa mkutano wa hadhara.

      Viongozi wa CHADEMA nao walikuwa wamealikwa kwenye mkutano huo wa mbunge kama sehemu ya viongozi wa kisiasa katika jimbo hilo.

      Inadaiwa kati ya watu walioshiriki uhuni huo walikuwemo baadhi ya viongozi wa CCM wilayani Meatu.

      Viongozi wa Chadema waliokuwa katika gari hilo lilokuwa likiendeshwa na dereva James Daud ni Kiongozi wa msafara wa viongozi wa Chadema Joshua Mgema ,Zacharia Magembe ambaye Mlezi wa Chadema wilaya ya Meatu, Jackson Kimwaga Katibu Mwenezi wa Wilaya ya Meatu, Hadija Kidati Mwenyekiti wa Wanawake wa Chadema Wilaya ya Meatu na Joseph Lutoja Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Meatu.

      Mbunge wa Jimbo hilo alilaani tukio hilo na kusema hizo ni siasa za kihuni na za kizamani ambazo zinapaswa kulaaniwa na wapenda maendeleo wote na kudai aliwaalika viongozi hao wa CHADEMA kama viongozi halali wa kisiasa katika jimbo lake.Tukio hili tayari limeripotiwa polisi


      Source: Nipashe Alhamisi


      My Take:
      Zimepita siku 3 sasa toka tukio hili la kihuni litokee lakini Msajili wa vyama vya siasa John Tendwa bado hajatolea tamko lolote kuhusu vurugu hizi zinazoonekana ziliratibiwa na viongozi na wanachama wa CCM wilayani Meatu.Ikumbukwe John Tendwa aliapa kufuta vyama vyote vinavyosababisha vurugu.


      Last edited by Molemo; 20th September 2012 at 14:59.


    2. #41
      TEMPOLALE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th August 2011
      Posts : 290
      Rep Power : 454
      Likes Received
      94
      Likes Given
      82

      Default re: CHADEMA yafanyiwa vurugu kubwa na CCM wilayani Meatu

      Quote By Molemo View Post
      Nipashe.
      Quote By mohamedi tantawi View Post
      sio reliable sosi
      Mueleze huyo Nipashe siyo relayabo sosi, ingekuwa Habari Leo au Uhuru tungekubaliana naye
      I'M NOT SAYING ISLAM ARE STUPID..I'M JUST SAYING SOME OF THEM DON'T HAVE LUCK WHEN IT COMES TO THINKING!!

    3. #42
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,707
      Rep Power : 10935
      Likes Received
      3961
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By TEMPOLALE View Post
      Mueleze huyo Nipashe siyo relayabo sosi, ingekuwa Habari Leo au Uhuru tungekubaliana naye
      Au TBCCM

    4. #43
      MNYISANZU's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,311
      Rep Power : 0
      Likes Received
      593
      Likes Given
      76

      Default re: CHADEMA yafanyiwa vurugu kubwa na CCM wilayani Meatu

      CCM imechoka vibaya. Ilaaniwe milele.

    5. #44
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,707
      Rep Power : 10935
      Likes Received
      3961
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By MNYISANZU View Post
      CCM imechoka vibaya. Ilaaniwe milele.
      Hakika kitendo walichokifanya ni haramu na cha kulaaniwa.

    6. #45
      Precise pangolin's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,761
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1609
      Likes Given
      684

      Default re: CHADEMA yafanyiwa vurugu kubwa na CCM wilayani Meatu

      Quote By mohamedi tantawi View Post
      sio reliable sosi
      Source nyingine ni masabu...... Yako!!!!!!!!


    7. #46
      andrewk's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th April 2010
      Posts : 2,288
      Rep Power : 924
      Likes Received
      289
      Likes Given
      64

      Default re: CHADEMA yafanyiwa vurugu kubwa na CCM wilayani Meatu

      Tendwa msihangaike nae, ni janga yule mzeeeeeee

    8. #47
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,707
      Rep Power : 10935
      Likes Received
      3961
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By andrewk View Post
      Tendwa msihangaike nae, ni janga yule mzeeeeeee
      Tuvute subira mkuu anaweza kutangaza kuifuta CCM muda wowote.....

    9. #48
      Curriculum Specialist's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2007
      Posts : 2,064
      Rep Power : 1637
      Likes Received
      580
      Likes Given
      183

      Default

      Quote By mohamedi tantawi View Post
      Weka picha ya ilo gari lililoharibiwa
      Una matatizo gani!? Mtu amekopi gazeti kakuwekea hapo unataka ushahidi upi tena!

    10. #49
      only83's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Dodoma-Mjengoni
      Posts : 4,202
      Rep Power : 1859
      Likes Received
      1445
      Likes Given
      1560

      Default re: CHADEMA yafanyiwa vurugu kubwa na CCM wilayani Meatu

      Kamanda Luhaga Mpina. Nadhani mnanielewa.
      "Problems can not be solved by the same level of thinking that created them"
      "Matatizo hayawezi kutatuliwa na uwezo ule ule mdogo wa watawala wa CCM walioyasababisha"




    11. #50
      JERUSALEMU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th September 2012
      Posts : 836
      Rep Power : 507
      Likes Received
      242
      Likes Given
      168

      Default Re: CHADEMA yafanyiwa vurugu kubwa na CCM wilayani Meatu

      Yaani ni zero kabisa wala asisumbue kichwa chako mpuuze tu mganga njaa huyu.

    12. #51
      Mingoi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st July 2012
      Location : Matembezini Arusha
      Posts : 2,250
      Rep Power : 636
      Likes Received
      264
      Likes Given
      231

      Default Re: CHADEMA yafanyiwa vurugu kubwa na CCM wilayani Meatu

      Nao wamezidi kiherehere,halafu hiyo gari gani yenye uwezo wa kubeba abiria wote hao au walipakatana.Kwiii!Kwwii! kwi! teh tehee.......

    13. #52
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,707
      Rep Power : 10935
      Likes Received
      3961
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By only83 View Post
      Kamanda Luhaga Mpina. Nadhani mnanielewa.
      Nimekuelewa mkuu....Read btn the lines

    14. #53
      genekai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2010
      Location : Loitering!
      Posts : 7,690
      Rep Power : 2122
      Likes Received
      1158
      Likes Given
      1601

      Default Re: CHADEMA yafanyiwa vurugu kubwa na CCM wilayani Meatu

      Quote By babalao 2 View Post
      Tendwa hawezi kusema jambo cha muhimu n kutafuta njia ya kuwadhibiti hao wahuni.
      Achana na Tendwa kwanza ni nonexistent kwenye siasa za chadema, kama wafuasi wa CDM ndo wangekuwa wamefanya hivyo, tayari angeshakuja na vitisho!!!!!
      The future of this country is being jeopardized by the intellectual slavery of our top leaders

    15. #54
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,707
      Rep Power : 10935
      Likes Received
      3961
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By Genecius Kaiza View Post
      Achana na Tendwa kwanza ni nonexistent kwenye siasa za chadema, kama wafuasi wa CDM ndo wangekuwa wamefanya hivyo, tayari angeshakuja na vitisho!!!!!
      Angekuwa tayari amehutubia kutokea TBCCM

    16. #55
      Kolero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2010
      Location : Magubike
      Posts : 433
      Rep Power : 1163
      Likes Received
      87
      Likes Given
      299

      Default Re: CHADEMA yafanyiwa vurugu kubwa na CCM wilayani Meatu

      Quote By Molemo View Post
      Wafuasi wa CCM wilayani Meatu juzi walilishambulia kwa mawe gari lililobeba viongozi wa CHADEMA na kuliharibu vibaya huku wakinyofoa bendera za CHADEMA na kutupa kusikojulikana.

      Gari hilo lilishambuliwa wakati wafuasi hao wakienda kwenye maandamano ya kumlaki mbunge wa Kisesa Luhaga Mpina(CCM) na kisha kufuatiwa mkutano wa hadhara.

      Viongozi wa CHADEMA nao walikuwa wamealikwa kwenye mkutano huo wa mbunge kama sehemu ya viongozi wa kisiasa katika jimbo hilo.

      Inadaiwa kati ya watu walioshiriki uhuni huo walikuwemo baadhi ya viongozi wa CCM wilayani Meatu.

      Viongozi wa Chadema waliokuwa katika gari hilo lilokuwa likiendeshwa na dereva James Daud ni Kiongozi wa msafara wa viongozi wa Chadema Joshua Mgema ,Zacharia Magembe ambaye Mlezi wa Chadema wilaya ya Meatu, Jackson Kimwaga Katibu Mwenezi wa Wilaya ya Meatu, Hadija Kidati Mwenyekiti wa Wanawake wa Chadema Wilaya ya Meatu na Joseph Lutoja Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Meatu.

      Mbunge wa Jimbo hilo alilaani tukio hilo na kusema hizo ni siasa za kihuni na za kizamani ambazo zinapaswa kulaaniwa na wapenda maendeleo wote na kudai aliwaalika viongozi hao wa CHADEMA kama viongozi halali wa kisiasa katika jimbo lake.Tukio hili tayari limeripotiwa polisi


      Source: Nipashe Alhamisi


      My Take:
      Zimepita siku 3 sasa toka tukio hili la kihuni litokee lakini Msajili wa vyama vya siasa John Tendwa bado hajatolea tamko lolote kuhusu vurugu hizi zinazoonekana ziliratibiwa na viongozi na wanachama wa CCM wilayani Meatu.Ikumbukwe John Tendwa aliapa kufuta vyama vyote vinavyosababisha vurugu.


      Mkuu achana na huyo mtu, anasema pale anapoona upinzani hasa CDM wanasonga mbele, namshangaa kazi yake ni kusajili vyaama na siyo mlezi wa vyama kama anavyojisadikisha. Na sijui ofisi hii mtu anatakiwa kukaa muda gani, inafaa sasa vyma vyote vikae kuteua Msajili wa vyama ili kupunguza watu wenye mawazo hayo pale waanaapowekwa na watawala ama chama kinachotawala. Na katiba mpya itabidi iweke taasisi ya usajili badala ya ofisi kama ilivyo sasa.
      "Religion ... is the opium of the people"-Karl Marx.

    17. #56
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 19,200
      Rep Power : 12769
      Likes Received
      6435
      Likes Given
      991

      Default

      Quote By Precise pangolin View Post
      Source nyingine ni masabu...... Yako!!!!!!!!
      Wewe jamaa kila siku unalalamika humu JF unapigwa ban za kuonea sasa ulichoandika hapa si upuuzi tu.

    18. #57
      Precise pangolin's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,761
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1609
      Likes Given
      684

      Default Re: CHADEMA yafanyiwa vurugu kubwa na CCM wilayani Meatu

      Quote By Ritz View Post
      Wewe jamaa kila siku unalalamika humu JF unapigwa ban za kuonea sasa ulichoandika hapa si upuuzi tu.
      Kwani wewe hukuona huyo kapewa source lakini bado anasema sio reliable anataka gazeti la uhuru!!!!! Hayo ndio majibu ya watu kama hao

    19. #58
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,707
      Rep Power : 10935
      Likes Received
      3961
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By Kolero View Post
      Mkuu achana na huyo mtu, anasema pale anapoona upinzani hasa CDM wanasonga mbele, namshangaa kazi yake ni kusajili vyaama na siyo mlezi wa vyama kama anavyojisadikisha. Na sijui ofisi hii mtu anatakiwa kukaa muda gani, inafaa sasa vyma vyote vikae kuteua Msajili wa vyama ili kupunguza watu wenye mawazo hayo pale waanaapowekwa na watawala ama chama kinachotawala. Na katiba mpya itabidi iweke taasisi ya usajili badala ya ofisi kama ilivyo sasa.
      Ni kweli tupu mkuu...

    20. #59
      eumb's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 125
      Rep Power : 389
      Likes Received
      60
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By Malipo kwamungu View Post
      Nnap siku hizi anakidhibiti mdomo hasemi ameona ameachiwa.....
      Ile kesi inampa pressure sana, alifikiri CDM wanatania!

    21. #60
      JERO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th March 2012
      Posts : 362
      Rep Power : 439
      Likes Received
      26
      Likes Given
      0

      Default Re: CHADEMA yafanyiwa vurugu kubwa na CCM wilayani Meatu

      Ccm wakileta fujo hawagwuswi!Jaman nchi hii bana!

    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...