Hali ni tulivu hapa arusha na hapa nipo mtaa wa Goliondoi ulinzi ukiwa umeimarishwa jijini.NTAKUWA NAKULETEA KINACHOENDELEA POPOTE HAPA JIJINI JUU YA RUFAA HII YA UBUNGE WA KAMANDA LEMA..
Nitajitahidi kupenya mahakamani mitaa ya uzunguni japo makamanda wengi wanajitega wakiwa wameshawasili ili kupata fursa ya kupenya Uzio.TUTASAIDIANA na kamanda crushwise,mungi kushambulia kona zote.Rufaa hii ni gumzo hapa mjini kuanzia vijiweni,ktk daladala na majumbani.Jopo la majaji litaongozwa na Jaji mkuu Mh.Chande,Jaji Salum Masati na Mh.Jaji Natalia Kimaro..
===========
Up dates
===========

Reply With Quote





Follow Us Here