Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ubadhilifu mkubwa wa viwanja unaofanywa na Chadema Jiji la Mwanza

    Report Post
    Page 1 of 6 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 101
    1. #1
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,152
      Rep Power : 12555
      Likes Received
      5732
      Likes Given
      742

      Default Ubadhilifu mkubwa wa viwanja unaofanywa na Chadema Jiji la Mwanza

      Wanabodi,

      Wakazi wa Jiji la Mwanza wanalalamika ugawaji wa ardhi unaofanywa na Halmashauri ya Jiji la Mwanza watendaji wa Halamashauri wakishirikiana na madiwani wa Chadema ambao ndio wengi kwenye baraza la madiwani.

      Wananchi wa Mwanza wanalalamikia ubadhilifu wanaofanywa na madiwani wa Chadema kujigawia viwanja maeneo ya Kiseke, Nyegezi, Bugarika, na sehemu tofauti tofauti katika Jiji la Mwanza.

      Wananchi wa Mwanza walipeleka malalamiko yao kwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alipofanya ziara katika Jiji la Mwanza, Waziri Mkuu aliwambia wakazi wa Mwanza malalamiko yao wanatakiwa wayapeleke kwa chama cha Chadema, ambacho kina dhamana ya kuendesha Halmashauri hiyo, ambao Chadema wana nafasi ya Meya hadi madiwani

      Wananchi wa Mwanza wanalalamika unafanyiwa utapeli na Halamashauri ya Jiji la Mwanza viwanja hawapewi pamoja na kuwa wameishavilipia pesa lakini viwanja hivyo vipo mikononi mwa madiwani wa Chadema.
      Last edited by Ritz; 20th September 2012 at 07:19.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      majorbuyoya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 663
      Rep Power : 2612
      Likes Received
      183
      Likes Given
      238

      Default Re: Ubadhilifu mkubwa wa viwanja unaofanywa na Chadema Jiji la Mwanza

      Kwahiyo madiwani wa Chadema wa Mwanza wanafanya kazi wizara ya ardhi au hao ndo land surveyors?
      Jasusi, Henge, MTAZAMO and 1 others like this.

    4. #3
      Mbugi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2011
      Location : BOX 2063 MBEYA
      Posts : 808
      Rep Power : 585
      Likes Received
      82
      Likes Given
      12

      Default Re: Ubadhilifu mkubwa wa viwanja unaofanywa na Chadema Jiji la Mwanza

      Quote By Ritz
      Wanabodi,

      Wakazi wa Jiji la Mwanza wanalalamika ugawaji wa ardhi unaofanywa na Halmashauri ya Jiji la Mwanza watendaji wa Halamashauri wakishirikiana na madiwani wa Chadema ambao ndio wengi kwenye baraza la madiwani.

      Wananchi wa Mwanza wanalalamikia ubadhilifu wanaofanywa na madiwani wa Chadema kujigawia viwanja maeneo tofauti tofauti katika Jiji la Mwanza.

      Wananchi wa Mwanza walipeleka malalamiko yao kwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alipofanya ziara katika Jiji la Mwanza, Waziri Mkuu aliwambia wakazi wa Mwanza malalamiko yao wanatakiwa wayapeleke kwa chama cha Chadema, ambacho kina dhamana ya kuendesha Halmashauri hiyo, ambao Chadema wana nafasi ya Meya hadi madiwani

      Wananchi wa Mwanza wanalalamika unafanyiwa utapeli na Halamashauri ya Jiji la Mwanza viwanja hawapewi pamoja na kuwa wameishavilipia pesa lakini viwanja hivyo vipo mikononi mwa madiwani wa Chadema.
      Hii ndiyo aina siasa ya kiujasiliamali iliyopo Tanzania na Afrika kwa Ujumla? si kwa cdm wala upinzani kwa ujumla watu ni wajasiliamali tu.

    5. #4
      Liky's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 74
      Rep Power : 373
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default Re: Ubadhilifu mkubwa wa viwanja unaofanywa na Chadema Jiji la Mwanza

      anaehusika na kugawa viwanja ni wilson kabwe mkurugenzi wa jiji,sasa inakuwaje chadema walaumiwe?

    6. #5
      LiverpoolFC's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2011
      Posts : 6,633
      Rep Power : 11268
      Likes Received
      1460
      Likes Given
      570

      Default

      Quote By Ritz
      Wanabodi,

      Wakazi wa Jiji la Mwanza wanalalamika ugawaji wa ardhi unaofanywa na Halmashauri ya Jiji la Mwanza watendaji wa Halamashauri wakishirikiana na madiwani wa Chadema ambao ndio wengi kwenye baraza la madiwani.

      Wananchi wa Mwanza wanalalamikia ubadhilifu wanaofanywa na madiwani wa Chadema kujigawia viwanja maeneo tofauti tofauti katika Jiji la Mwanza.

      Wananchi wa Mwanza walipeleka malalamiko yao kwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alipofanya ziara katika Jiji la Mwanza, Waziri Mkuu aliwambia wakazi wa Mwanza malalamiko yao wanatakiwa wayapeleke kwa chama cha Chadema, ambacho kina dhamana ya kuendesha Halmashauri hiyo, ambao Chadema wana nafasi ya Meya hadi madiwani

      Wananchi wa Mwanza wanalalamika unafanyiwa utapeli na Halamashauri ya Jiji la Mwanza viwanja hawapewi pamoja na kuwa wameishavilipia pesa lakini viwanja hivyo vipo mikononi mwa madiwani wa Chadema.

      Source............????
      Maana naona umeteremka kama vile umepewa lifti tuu!!

    7. Miaka 50

    8. #6
      fugees's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th August 2012
      Location : dar es salaam
      Posts : 586
      Rep Power : 457
      Likes Received
      62
      Likes Given
      0

      Default Re: Ubadhilifu mkubwa wa viwanja unaofanywa na Chadema Jiji la Mwanza

      Ivi wewe unakichwa au nazi chadema na macamissioner wa ardhi? acha ubwege.

    9. #7
      Jasusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2006
      Posts : 10,607
      Rep Power : 2889
      Likes Received
      3822
      Likes Given
      12195

      Default Re: Ubadhilifu mkubwa wa viwanja unaofanywa na Chadema Jiji la Mwanza

      Quote By fugees
      Ivi wewe unakichwa au nazi chadema na macamissioner wa ardhi? acha ubwege.
      Naona Ritz alipewa lift na msafara wa waziri mkuu ulioopolewa kwa mawe.

    10. #8
      Kompis's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd September 2012
      Posts : 39
      Rep Power : 344
      Likes Received
      1
      Likes Given
      2

      Default Re: Ubadhilifu mkubwa wa viwanja unaofanywa na Chadema Jiji la Mwanza

      Huyu Ritz anafikiria kwa kutumia masaburi. msameheni bure!! Kama hajui hata wanaogawa na kupima viwanja anafikiri ni madiwani! Basi mnabishana na chizi!!
      Jasusi likes this.

    11. #9
      T2015CCM's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 13th September 2012
      Posts : 3,673
      Rep Power : 0
      Likes Received
      37
      Likes Given
      14

      Default

      Quote By Liky
      anaehusika na kugawa viwanja ni wilson kabwe mkurugenzi wa jiji,sasa inakuwaje chadema walaumiwe?
      nini kazi ya meya na baraza lake la madiwani, au unaandika kwa kuwa vidole ni vya kwako
      Mwanamageuko likes this.

    12. #10
      T2015CCM's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 13th September 2012
      Posts : 3,673
      Rep Power : 0
      Likes Received
      37
      Likes Given
      14

      Default

      Quote By LiverpoolFC
      Source............????
      Maana naona umeteremka kama vile umepewa lifti tuu!!
      chanzo ni wananchi wanaolalamika

    13. #11
      T2015CCM's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 13th September 2012
      Posts : 3,673
      Rep Power : 0
      Likes Received
      37
      Likes Given
      14

      Default Re: Ubadhilifu mkubwa wa viwanja unaofanywa na Chadema Jiji la Mwanza

      Waganga njaa wapo kazini hao

    14. #12
      STIDE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st September 2011
      Posts : 800
      Rep Power : 554
      Likes Received
      268
      Likes Given
      0

      Default Re: Ubadhilifu mkubwa wa viwanja unaofanywa na Chadema Jiji la Mwanza

      Ndugu wanabodi, Mh. sana Waziri mkuu Pinda analalamikia wananchi wa Mwanza kwa kukataa kuitikia falsafa ya "ccmajambazi oyeee" badala yake wakaitikia ile ya PEOPLES....!!

      Mh. Ameahidi kuwapeleka wananchi wa jiji la Mwanza Mahakamani ushahidi ukikamilika!!!

      Alisema hayo huku akibubujikwa na machozi ili wana-Mwanza na Mahakama wamuonee huruma atakapofungua kesi!!

    15. #13
      king kan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2011
      Posts : 395
      Rep Power : 486
      Likes Received
      105
      Likes Given
      1

      Default Re: Ubadhilifu mkubwa wa viwanja unaofanywa na Chadema Jiji la Mwanza

      Ritz usipoteshe umma. Suala la ardhi wananchi hawakusema tatizo ni madiwani wa CDM wao walimtaja mzee Kabwe Wilson. Pinda katika majibu yake akasema ya mkurugenzi atalifanyia kazi . Akashauri kwa kuwa madiwani wa CDM ndio wanaongoza jiji na kamati ya ardhi na mipango miji basi wanawajibika kushughulikia kero hizo pamoja na maendeleo kwa ujumla kwani wao ndio viongozi wa jiji.
      FJM likes this.

    16. FJM
      #14
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,167
      Rep Power : 2566
      Likes Received
      5317
      Likes Given
      4585

      Default Re: Ubadhilifu mkubwa wa viwanja unaofanywa na Chadema Jiji la Mwanza

      Ritz, kama ndivyo, kwanini wananchi wa Mwanza walimzomea Waziri Mkuu? Kwa nini walitulia pale Wenje alipoongea lakini wakazomea kila mara waziri mkuu wa alipotaka kuongea?

      Kuhusu ugawaji wa viwanja, wakuregenzi kwenye Halmashauri wanahusika? What is thier role? Kiutawala, tumeona jinsi makatibu wakuu wanavyowavuga mawaziri, hali hii inajuridia kwenye Halmashauri za miji ambapo wakuregenzi wanakuwa na nguvu sana. Na kwa bahati mbaya hawa nao wanateuliwa toka juu - hawawajibiki kwa wananchi. Kazi yao ni kutekeleza mipango ya waliowateua.
      makundi4619 likes this.

    17. #15
      james chapacha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 476
      Rep Power : 454
      Likes Received
      101
      Likes Given
      24

      Default Re: Ubadhilifu mkubwa wa viwanja unaofanywa na Chadema Jiji la Mwanza

      Hii habari nilitegemea kuikuta GLOBAL PUBLISHERS sasa uku imefikaje kama si kupotea njia?

    18. #16
      Idimulwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th May 2011
      Posts : 1,354
      Rep Power : 678
      Likes Received
      387
      Likes Given
      279

      Default Re: Ubadhilifu mkubwa wa viwanja unaofanywa na Chadema Jiji la Mwanza

      ritz alipopolewa jiwe kwenye msafara wa pinda likampiga kichwani,kwa hiyo msione ajabu

    19. BAK
      #17
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,533
      Rep Power : 44950
      Likes Received
      8273
      Likes Given
      8280

      Default Re: Ubadhilifu mkubwa wa viwanja unaofanywa na Chadema Jiji la Mwanza

      Mkuu hii ndiyo tunaita akili magamba.

      Quote By Liky
      anaehusika na kugawa viwanja ni wilson kabwe mkurugenzi wa jiji,sasa inakuwaje chadema walaumiwe?
      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    20. #18
      Gobret's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th June 2010
      Posts : 215
      Rep Power : 501
      Likes Received
      42
      Likes Given
      7

      Default Re: Ubadhilifu mkubwa wa viwanja unaofanywa na Chadema Jiji la Mwanza

      Jipange vizuri, huu ni umbeya wa kike. Usitake kutuaminisha uzuri wa CCM na hali tunaelewa kuwa CCM Mwanza imeshakufa rasmi na ni marehemu huu mwaka wa pili. Naona kama unachumie tumbo!!!!!

    21. #19
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,152
      Rep Power : 12555
      Likes Received
      5732
      Likes Given
      742

      Default Re: Ubadhilifu mkubwa wa viwanja unaofanywa na Chadema Jiji la Mwanza

      Madiwani wa Chadema wakishirikiana na Mwenyekiti wa kamati ya mipango ya Jiji la Mwanza Matata Henry, wanagawana viwanja, kutoka sehemu tofauti tofauti.
      Mtabe likes this.

    22. #20
      democratic's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2011
      Posts : 1,601
      Rep Power : 818
      Likes Received
      278
      Likes Given
      51

      Default Re: Ubadhilifu mkubwa wa viwanja unaofanywa na Chadema Jiji la Mwanza

      Quote By Ritz
      Madiwani wa Chadema wakishirikiana na Mwenyekiti wa kamati ya mipango ya Jiji la Mwanza Matata Henry, wanagawana viwanja, kutoka sehemu tofauti tofauti.
      mfano,kiwanja kipi na kiwanja gani?tiririkaaaaaaaaaaaaa gamba
      Kama damu inakusisimka unapoona haki ya mtu ikipokwa na uko tayari kuitetea kwa gharama yeyote, basi hakika wewe ni Comrade wangu-Che Guevara.


    23. Study Abroad
    Page 1 of 6 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...