Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ubadhilifu mkubwa wa viwanja unaofanywa na Chadema Jiji la Mwanza

    Report Post
    Page 3 of 6 FirstFirst 12345 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 101
    1. #1
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,152
      Rep Power : 12555
      Likes Received
      5732
      Likes Given
      742

      Default Ubadhilifu mkubwa wa viwanja unaofanywa na Chadema Jiji la Mwanza

      Wanabodi,

      Wakazi wa Jiji la Mwanza wanalalamika ugawaji wa ardhi unaofanywa na Halmashauri ya Jiji la Mwanza watendaji wa Halamashauri wakishirikiana na madiwani wa Chadema ambao ndio wengi kwenye baraza la madiwani.

      Wananchi wa Mwanza wanalalamikia ubadhilifu wanaofanywa na madiwani wa Chadema kujigawia viwanja maeneo ya Kiseke, Nyegezi, Bugarika, na sehemu tofauti tofauti katika Jiji la Mwanza.

      Wananchi wa Mwanza walipeleka malalamiko yao kwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alipofanya ziara katika Jiji la Mwanza, Waziri Mkuu aliwambia wakazi wa Mwanza malalamiko yao wanatakiwa wayapeleke kwa chama cha Chadema, ambacho kina dhamana ya kuendesha Halmashauri hiyo, ambao Chadema wana nafasi ya Meya hadi madiwani

      Wananchi wa Mwanza wanalalamika unafanyiwa utapeli na Halamashauri ya Jiji la Mwanza viwanja hawapewi pamoja na kuwa wameishavilipia pesa lakini viwanja hivyo vipo mikononi mwa madiwani wa Chadema.
      Last edited by Ritz; 20th September 2012 at 07:19.

    2. Miaka 50

    3. #41
      TUKUTUKU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2010
      Location : KIPALAPALA TU
      Posts : 8,341
      Rep Power : 2108
      Likes Received
      1708
      Likes Given
      670

      Default Re: Ubadhilifu mkubwa wa viwanja unaofanywa na Chadema Jiji la Mwanza

      Quote By Ritz
      Madiwani wa Chadema wakishirikiana na Mwenyekiti wa kamati ya mipango ya Jiji la Mwanza Matata Henry, wanagawana viwanja, kutoka sehemu tofauti tofauti.
      Chadema wapo makini sana ndiyo maana wameamua kumfukuza uanachama huyu Matata Henry kumbe huyu jamaa ni fisadi wa kutupwa!
      "A friend in need,is a friend indeed"

    4. #42
      POMPO's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 12th March 2011
      Posts : 2,955
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1090
      Likes Given
      625

      Default Re: Ubadhilifu mkubwa wa viwanja unaofanywa na Chadema Jiji la Mwanza

      Ritz: Location : Republic of Nauru

    5. #43
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,435
      Rep Power : 19775
      Likes Received
      4279
      Likes Given
      906

      Default

      Utatunga chochote ili mradi uongelee cdm

      Quote By Ritz
      Madiwani wa Chadema wakishirikiana na Mwenyekiti wa kamati ya mipango ya Jiji la Mwanza Matata Henry, wanagawana viwanja, kutoka sehemu tofauti tofauti.

    6. #44
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,435
      Rep Power : 19775
      Likes Received
      4279
      Likes Given
      906

      Default

      Kumbe CDM wamegeuka maafisa ardhi?
      Basi hatuna waziri mkuu kama kafumbia macho utapeli basi ajiuzulu.

      Kwa hiyo cdm sasa wameizidi nguvu seikali ya chama cha mapinduzi?

      Viwanja unavyo viongelea ni vya mwanza sehemu gani?

    7. #45
      POMPO's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 12th March 2011
      Posts : 2,955
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1090
      Likes Given
      625

      Default Re: Ubadhilifu mkubwa wa viwanja unaofanywa na Chadema Jiji la Mwanza

      Madiwani wa Chadema wakishirikiana na Mwenyekiti wa kamati ya mipango ya Jiji la Mwanza Matata Henry, wanagawana viwanja, kutoka sehemu tofauti tofauti.
      Ndibalema and Kyaiyembe like this.

    8. Study Abroad

    9. #46
      Ndibalema's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2008
      Location : Mbagala
      Posts : 6,536
      Rep Power : 1988
      Likes Received
      1596
      Likes Given
      1591

      Default Re: Ubadhilifu mkubwa wa viwanja unaofanywa na Chadema Jiji la Mwanza

      Mkuu POMPO umeniwahi.
      POMPO likes this.
      "Makalio ya sufuria hayaogopi moto"

    10. #47
      POMPO's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 12th March 2011
      Posts : 2,955
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1090
      Likes Given
      625

      Default Re: Ubadhilifu mkubwa wa viwanja unaofanywa na Chadema Jiji la Mwanza

      Vigogo waliopata mgawo Viwanja Dar waongezeka
      Thursday, 26 July 2012 20:36

      Patricia Kimelemeta
      MLOLONGO mrefu zaidi wa majina ya vigogo umebainika kugawiwa viwanja katika eneo la Gezaulole, jijini Dar es Salaam, ambapo safari hii imo familia ya Rais mstaafu wa Awamu ya Pili Ali Hassani Mwinyi.

      Jana, gazeti hili lilichapisha katika ukurasa wa mbele habari iliyoonyesha baadhi ya majina ya vigogo waliogawiwa viwanja na kufanya wananchi wa kawaida kulalamika.

      Katika uchunguzi zaidi, imebainika kuna orodha ndefu ya majina ya vigogo waliopewa viwanja katika mradi huo wa Gezaulole ambayo inahusisha mawaziri, wabunge, wakuu wa taasisi za Serikali na familia za baadhi ya watu maarufu.

      Kwa upande wa familia maarufu, imo ya mzee Mwinyi ambaye pia amegawiwa eneo, wengine wana majina ya ukoo yanayofana na ya kwake ambao ni, Asina Mwinyi, Maimuna Mwinyi, Salama Mwinyi na Steven Ali Mwinyi, huku kutoka katika familia yenye jina la Kikwete yumo Ali J. Kikwete.

      Viongozi wengine maarufu waliogawiwa viwanja hivyo ni Jaji Mkuu Mohamed Chande Othman na Jaji wa Mahakama ya Rufaa, Semistocles Kaijage, Waziri wa Mambo ya Ndani, Dk Emanuel Nchimbi, Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Manejimenti ya Utumishi wa Umma), Celina Kombani na Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Adam Malima.

      Kwa upande wa watendaji wa taasisi za dola, yumo Katibu wa Bunge, Dk Thomas Kashilila, Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Said Mwema, Kamishna wa Utawala na Fedha wa Jeshi la Polisi, Clodwig Mtweve, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, David Misime, Balozi wa Tanzani nchini Afrika Kusini, Radhia Msuya, SACP Hamdan Makame, ACP John Gudaba, ACP Saada Juma Haji na ACP Mohamed Usi.

      Mlolongo huo pia unaonyesha majina ya baadhi ya wabunge ambao ni Murtaza Mangungu wa Kilwa Kaskazini (CCM), Mohamed Misanga, (Singida Kusini CCM), Jenister Mhagama (Peramiho CCM), Kheri Ameir (Matemwe, CCM), Kaika Telele (Ngorongoro, CCM), Amina Clement (Koani, CCM) na Ali Hamis Seif (Mkoani, CUF)

      Pia kuna orodha ya wabunge wa Viti Maalum CCM ambao ni Subira Mgalu, Alshaiymaa Kweygir, Elizabeth Batenga, Josephine Genzabuke, Betty Machangu, Lediana Mng’ong’o na Mwanakhamis Kassim Said.

      Wabunge wengine wa Viti Maalum CCM ni Mariam Mfaki, Mariam Kasembe, Agnes Hokororo ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa pamoja na Suzan Kiwanga ambaye ni mbunge wa Viti Maalum, Chadema na Ania Said Chaurembo ambaye ni mbunge mstaafu.

      Majina mengine ambayo koo zake ni za watu maarufu ni pamoja na Ahmed Dau, David Kandoro, Asila Ditopile, Alice Koka, Gemini Suchak, Fidelis Owenya, Filoteus Msigwa, Evelyne Manumba, Fatma Ismail Rage, Jamhuri Kihwelo, Issack Mwang’onda, Hijjal Makamba, Joseph Nyambibo, Mbwana Samata, Mohamed Mzimba na Mohamed Mtonga.

      Wengine ni pamoja na Masanja Manumba, Mariam Mkama, Mansour Al-Maamry, Onesmo Mtasiwa, Musa Chagonja, Omary Shein, Shimbo Shimbo, Sikitu Kijazi, Solomon Kivuyo, Thomas Nyalile na Aisha Sululu (diwani Jangwani, CCM).

      Pia wamo maofisa watatu wa Bunge ambao ni Herman Berege, Anslem Mrema na Theonest Ruhilabake pamoja na mmoja wa maofisa waandamizi ndani ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Boniface Njombe.

      Wananchi waja juu
      Baadhi ya maofisa wa Manispaa ya Temeke walisema fomu zilizochukuliwa ni zaidi ya 20,000 na kwamba kila fomu ilikuwa ikiuzwa Sh30,000, hivyo kufanya fedha zilizokusanywa kuwa zaidi ya Sh600 milioni.

      Tayari mlolongo huo wa majina ya vigogo umesababisha baadhi ya wananchi waliokuwa wakisoma majina hayo kulalamikia mchakato wa utoaji viwanja hivyo, huku wengine wakidai kuwa, warejeshewe fedha zao.

      “Tumelipa Sh20,000 kila fomu ya kuombea kiwanja na wananchi tuliojitokeza ni karibu 30,000, lakini majina yanaonyesha kuwa asilimia kubwa ya waliopata ni vigogo ambao tunaamini wana viwanja mahali pengine,” alisema mwananchi mmoja(jina limehifadhiwa).

      Mwananchi huyo alisema kuwa, hakukuwa na umuhimu wa kutangaza zabuni hiyo kwa sababu tayari walikuwa na majina yao, hivyo walitakiwa kuwakabidhi viwanja vyao badala ya kuwasumbua na kuwatoza fedha.

      “Hali hii inaonyesha kuwa Serikali ipo kwa ajili ya watu wachache, wenye fedha na si wananchi wa kawaida,” aliongeza.

      Mwananchi mwingine (jina tunalo), alisema idadi kubwa ya watu waliokabidhiwa viwanja hivyo ni watoto wa vigogo na wabunge.

      Aliongeza kuwa hali hiyo inaonyesha wazi kuwa, hakuna kiongozi atakayewatetea wananchi, kwa vile kila mmoja wao yupo kwa ajili ya kupigania maslahi yake.

      “Wabunge ambao tuliwategemea kutetea maslahi ya wananchi ndio wanaoongoza kwenye orodha ya kujichukulia viwanja, hii inaonyesha wazi kuwa hakuna kiongozi atakayeacha shughuli zake ili kutetea maslahi ya wananchi,” alisema.

      Vyanzo vya habari kutoka ndani ya Manispaa hiyo vinaonyesha kuwa, halmashauri hiyo imeingiza zaidi ya Sh600 milioni kutokana na uuzaji wa viwanja hivyo.



    11. #48
      mnduoeye's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Posts : 111
      Rep Power : 369
      Likes Received
      36
      Likes Given
      0

      Default Re: Ubadhilifu mkubwa wa viwanja unaofanywa na Chadema Jiji la Mwanza

      Ritz unajaribu kupotosha umma wa Watanzania.Fuatilia kwa makini ujue kamati zakugawa viwanja kama kuna diwani hata mmoja.

      Hati haipitii hata kwa meya kuidhinisha ,inatolewa na idara ya ardhi na ikishatolewa haiwezi batilishwa au kufutwa hata kama ilitolewa kwa makosa na hata madiwani mkihoji hamna mamlaka ya kufuta hati ila mnachoweza kufanya ni kumwadhibu afisa mipango miji na hati inabaki kama ilivyo mpaka Raisi ndie mwenye mamlaka ya kufuta hati.

      Sheria hii ndio inayowapa mamlaka wakurugenzi ambao ndio wako kwenye kamati ya kugawa ardhi kuamua nani apate kiwanja nani asipate na kwa vigezo hata vya rushwa.

      Kwa utaratibu huo ndio unaona migogoro ya ardhi haiishi na inaendelea hata kwa sehemu ambazo zinaongozwa na CCM.

      Acheni kuwasakama madiwani bila sababu ya msingi.Hata hivyo nilimshangaa sana Waziri Mkuu kutamka waulizwe madiwani wa CDM HUKU AKIELEWA KUWA SIO KAZI YAO KUGAWA VIWANJA.

    12. #49
      Safari_ni_Safari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Location : Kibaruani
      Posts : 11,880
      Rep Power : 24131
      Likes Received
      4611
      Likes Given
      2624

      Default Re: Ubadhilifu mkubwa wa viwanja unaofanywa na Chadema Jiji la Mwanza

      Kwli Pinda alisema hivi?

      Soki Ozali Mwasi Yaka, Soki Ozali Mobali Koya Te


    13. #50
      Liky's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 74
      Rep Power : 373
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default Re: Ubadhilifu mkubwa wa viwanja unaofanywa na Chadema Jiji la Mwanza

      Ndo maana matata akapigwa chini na cdm.lakin matatizo ya viwanja bado ni tatizo la utendaji wa kabwe.ndo maana wananchi walimwambia pinda aondoke nae.yule ndo fisadi mwenye viwanja kila kona ya jiji

    14. #51
      hippocratessocrates's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2012
      Posts : 1,484
      Rep Power : 2119
      Likes Received
      566
      Likes Given
      162

      Default

      Quote By Ritz
      Mkuu hippocratessocrates,

      Ubadhilifu unaofanywa na madiwani wa Chadema ni kuhodhi viwanja vinavyotolewa na Halmashauri ya Jiji la Mwanza, viwanja vingi wamejigawia wao, diwani mmoja ana viwanja zaidi ya 20 ukiitaji kiwanja unanunua kwa diwani.

      Mkuu kuna viwanja vimepimwa maeneo ya Kiseke, Nyegezi, Bugarika, ukienda Halmashauri ya Jiji la Mwanza wanakuambia vimeisha lakini ukionana na madiwani wa Chadema wanavyo wanawauzia wananchi.

      Mkuu Halmashauri ya Jiji la Mwanza ambayo ipo chini ya Chadema imechafuka kwa rushwa.
      Mkuu Ritz, thanks for the update lakini nilivyokuwa najua

      1. Kiseke: Eneo la viwanja liligawiwa zamani na eneo kubwa lilipewa kanisa(kujenga chuo fulani) na pili viligawiwa na ndipo kwenye nyumba takribani 700 za NSSF) maeneo mengine yako wazi hadi kule majengo mapya)

      2. Bugarika: Hili ni eneleo la "mjini mjini" na nijuavyo mini vuwanja viligawiwa kati ya 2009/10..yaani kabla ya uongozi wa hao CHADEMA.


      3. Nyegezi: Sina uhakika upande upi ule wa St. Augustine, Luchelele, au upi...lakini ni huko huko ican tell you mkuu Ritz, kuna mkubwa mmoja anaeneo lake KUBWA tu ambao upatikanaji wake ni utata.


      let me do some digging,mkuu.
      pembe likes this.

    15. #52
      Marire's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st May 2012
      Posts : 2,199
      Rep Power : 952
      Likes Received
      593
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Ritz
      Madiwani wa Chadema wakishirikiana na Mwenyekiti wa kamati ya mipango ya Jiji la Mwanza Matata Henry, wanagawana viwanja, kutoka sehemu tofauti tofauti.
      ritz unajua mambo mengine unayoleta hapa yanakushushia heshima ya utu uliyobakiwa nayo kwani akili najua huna,hili ni jukwaa la magreat thinker tafakari kabla ya kuandika

    16. #53
      Marire's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st May 2012
      Posts : 2,199
      Rep Power : 952
      Likes Received
      593
      Likes Given
      0

      Default

      Huyo mkubwa si ni wilison kabwe mbona unamumunya maneno?tena anajenga hotel ,hata kiwanja cha kikwete kipo luchelele!

    17. #54
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,663
      Rep Power : 1907
      Likes Received
      1562
      Likes Given
      676

      Default Re: Ubadhilifu mkubwa wa viwanja unaofanywa na Chadema Jiji la Mwanza

      @ritz thread kama hii huwa unapata shilingi ngapi ili na mimi nijiunge upande wenu naona huwa unajitahidi kila wiki lazima ushuke na single ya CDM.

    18. #55
      MAFILILI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th April 2011
      Posts : 1,395
      Rep Power : 447
      Likes Received
      290
      Likes Given
      58

      Default Re: Ubadhilifu mkubwa wa viwanja unaofanywa na Chadema Jiji la Mwanza

      UFISADI mkubwa wa madiwani wa CHADEMA wakishirikiana na watendaji wa halmashauri husika. Pongezi kwa RC wa Kilimanjaro kwa kushitukia ubadhirifu Moshi Mjini

    19. #56
      pembe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 285
      Rep Power : 490
      Likes Received
      79
      Likes Given
      322

      Default Re: Ubadhilifu mkubwa wa viwanja unaofanywa na Chadema Jiji la Mwanza

      La msingi ni kupata data za kweli. Ila kama ni kweli hii peoples power inarudia yale yale basi hakuna ukombozi. Majina na namba za viwanjwa yawekwe hadharani na wapewe muda wa kulipia. Ufisadi mwiko CDM.

    20. #57
      Mnama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th October 2010
      Posts : 737
      Rep Power : 1162
      Likes Received
      174
      Likes Given
      108

      Default Re: Ubadhilifu mkubwa wa viwanja unaofanywa na Chadema Jiji la Mwanza

      Quote By Ritz
      Wanabodi,

      Wakazi wa Jiji la Mwanza wanalalamika ugawaji wa ardhi unaofanywa na Halmashauri ya Jiji la Mwanza watendaji wa Halamashauri wakishirikiana na madiwani wa Chadema ambao ndio wengi kwenye baraza la madiwani.

      Wananchi wa Mwanza wanalalamikia ubadhilifu wanaofanywa na madiwani wa Chadema kujigawia viwanja maeneo ya Kiseke, Nyegezi, Bugarika, na sehemu tofauti tofauti katika Jiji la Mwanza.

      Wananchi wa Mwanza walipeleka malalamiko yao kwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alipofanya ziara katika Jiji la Mwanza, Waziri Mkuu aliwambia wakazi wa Mwanza malalamiko yao wanatakiwa wayapeleke kwa chama cha Chadema, ambacho kina dhamana ya kuendesha Halmashauri hiyo, ambao Chadema wana nafasi ya Meya hadi madiwani

      Wananchi wa Mwanza wanalalamika unafanyiwa utapeli na Halamashauri ya Jiji la Mwanza viwanja hawapewi pamoja na kuwa wameishavilipia pesa lakini viwanja hivyo vipo mikononi mwa madiwani wa Chadema.
      Mh watakuwa na mikono mikubwa kweli hawa yaani ........ushabiki mwingine bwana.

    21. #58
      Tutor B's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th June 2011
      Location : Bukoba Municipal
      Posts : 1,940
      Rep Power : 1182
      Likes Received
      592
      Likes Given
      33

      Default Re: Ubadhilifu mkubwa wa viwanja unaofanywa na Chadema Jiji la Mwanza

      Quote By Kompis
      Huyu Ritz anafikiria kwa kutumia masaburi. msameheni bure!! Kama hajui hata wanaogawa na kupima viwanja anafikiri ni madiwani! Basi mnabishana na chizi!!
      Au ni Adam Chagulani anawachafua wenzake kwa kuwa katimuliwa nini?
      "Ukipendwa - penda, ipo siku utapenda - usipendwe"

    22. #59
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,152
      Rep Power : 12555
      Likes Received
      5732
      Likes Given
      742

      Default Re: Ubadhilifu mkubwa wa viwanja unaofanywa na Chadema Jiji la Mwanza

      Mkuu wangu hippocratessocrates,

      Kama unataka kiwanja Luchelele tafuta milioni 4 utauziwa madiwani wa Chadema wanavyo lakini ukienda Jiji wanakuambia vimeisha.

    23. #60
      Kyaiyembe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st December 2011
      Location : Kisukuru
      Posts : 1,135
      Rep Power : 604
      Likes Received
      345
      Likes Given
      303

      Default Re: Ubadhilifu mkubwa wa viwanja unaofanywa na Chadema Jiji la Mwanza

      Quote By Ritz
      Madiwani wa Chadema wakishirikiana na Mwenyekiti wa kamati ya mipango ya Jiji la Mwanza Matata Henry, wanagawana viwanja, kutoka sehemu tofauti tofauti.
      Kwenye nyekundu nimehamasika kujua maana ninakaeneo mbali na mjini nadhani hii technology itanifaa kukaleta mjini

      Quote By POMPO
      Madiwani wa Chadema wakishirikiana na Mwenyekiti wa kamati ya mipango ya Jiji la Mwanza Matata Henry, wanagawana viwanja, kutoka sehemu tofauti tofauti.
      Asante kwa kuyakuza ili yaeleweke vizuri!.

      Quote By Marire
      ritz unajua mambo mengine unayoleta hapa yanakushushia heshima ya utu uliyobakiwa nayo kwani akili najua huna,hili ni jukwaa la magreat thinker tafakari kabla ya kuandika
      Mkuu Marire labda hujamuelewa vizuri Ritz!.
      Kama sijaelewa vibaya, ni kuwa wamekusanya viwanja kutoka sehemu tofauti tofauti alafu wakaanza kuvigawana!.
      Sasa huu utaalamu watufundishe na sisi tuweze kukusanya vilivyoko vijijini tulete mjini tugawane!.
      "Ikulu ni mahala PATAKATIFU,
      mimi sikuchaguliwa kuja kupageuza kuwa pango la wala RUSHWA."
      By J.K. NYERERE.

    24. FemaTV & Radio
    Page 3 of 6 FirstFirst 12345 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...