Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Zitto na Muhongo Live on BBC; ni kuhusu mafuta na gesi

    Report Post
    Page 1 of 5 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 98
    1. #1
      Mtego wa Noti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2010
      Location : kichakani
      Posts : 2,077
      Rep Power : 845
      Likes Received
      327
      Likes Given
      580

      Default Zitto na Muhongo Live on BBC; ni kuhusu mafuta na gesi

      BBC swahili wanarusha mahojiano kuhusu sekta ya mafuta na gesi. Yupo Zitto na Prof Muhongo.

      Follow the discussion:

      Waziri anasema mapato Tz tunapata kutoka rabaha, 3% and now 4%, corporate taxi, 30%, anasema makampuni yote yameanza kulipa.
      anasemakuna kampuni zimechimba madini zaidi ya miaka 7, walikuwa wanapewa miaka 5 ili kurudisha gharama zao, ila wengi ikifika mitano walikuwa wanasema hawapati faida hivyo kuomba kuongezewa siku.

    2. Study Abroad

    3. #2
      Mtego wa Noti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2010
      Location : kichakani
      Posts : 2,077
      Rep Power : 845
      Likes Received
      327
      Likes Given
      580

      Default re: Zitto na Muhongo Live on BBC; ni kuhusu mafuta na gesi

      Mtangazaji anasema pato wanalopata kama nchi haliendani na hali ya watz, yaani watz hawanufaiki na madini yao.
      Ncha ya mkuki haipigwi ngumi, na kina cha maji hakipimwi kwa kutia miguu yote kwenye maji!!!

    4. #3
      Mwita Maranya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2008
      Location : Ikorongo Game Reserve
      Posts : 7,914
      Rep Power : 11994
      Likes Received
      5244
      Likes Given
      5097

      Default Zitto na Prof. Muhongo Live on BBC Swahili

      Wanajadili juu ya mikataba ya rasilimali za asili kama madini, gesi asilia na mafuta.

    5. #4
      Mtego wa Noti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2010
      Location : kichakani
      Posts : 2,077
      Rep Power : 845
      Likes Received
      327
      Likes Given
      580

      Default re: Zitto na Muhongo Live on BBC; ni kuhusu mafuta na gesi

      Zitto anaulizwa kuhusu mikataba, namna ya kuifanya iwanufaishe wananchi.

      Anasema mikataba mingi inawafanya wawekezaji ndio wapate faida kuliko wananchi kwa nnchi za africa, anasema 2007, walipitia mikataba yote ya madini na mapendekezo yake ndio yalifanya kurekebisha sera ya madini n sheria ya madini.
      Invisible likes this.
      Ncha ya mkuki haipigwi ngumi, na kina cha maji hakipimwi kwa kutia miguu yote kwenye maji!!!

    6. #5
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,435
      Rep Power : 19775
      Likes Received
      4277
      Likes Given
      906

      Default re: Zitto na Muhongo Live on BBC; ni kuhusu mafuta na gesi

      Namsikia anafunguka

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Mtego wa Noti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2010
      Location : kichakani
      Posts : 2,077
      Rep Power : 845
      Likes Received
      327
      Likes Given
      580

      Default re: Zitto na Muhongo Live on BBC; ni kuhusu mafuta na gesi

      Zitto anaulizwa, je wamebadilisha mikataba ya madini ambayo haiwanufaishi watz?

      Anasema wamebadiisha sheria ili angalau mikataba mipya iwe na manufaa kwa watz
      Invisible likes this.
      Ncha ya mkuki haipigwi ngumi, na kina cha maji hakipimwi kwa kutia miguu yote kwenye maji!!!

    9. #7
      Uwezo Tunao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2010
      Posts : 6,865
      Rep Power : 2287
      Likes Received
      1131
      Likes Given
      1478

      Default Re: Zitto na Prof. Muhongo Live on BBC Swahili

      Hapo ni Uzalendo vs Ulaghai katika rasilmali za taifa.

    10. #8
      TUNTEMEKE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2009
      Location : Mombasa
      Posts : 4,504
      Rep Power : 11336
      Likes Received
      323
      Likes Given
      236

      Default Live: Zitto kawe vs Waziri Muhongo bbc radio(mjadala unaendele)

      Jaman ni mjadala mzuri sana wanachambua suala la mikataba ya madini na gasi,tuwasikilize

    11. #9
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,871
      Rep Power : 5052
      Likes Received
      3192
      Likes Given
      2619

      Default Re: Zitto na Prof. Muhongo Live on BBC Swahili

      Wakimaliza uta summarize wengine hatupo home na hatuna axex na radio.

    12. #10
      Mtego wa Noti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2010
      Location : kichakani
      Posts : 2,077
      Rep Power : 845
      Likes Received
      327
      Likes Given
      580

      Default re: Zitto na Muhongo Live on BBC; ni kuhusu mafuta na gesi

      Zitto anaulizwa, kuna mkataba uliorekebishwa? Anasema hakuna hata mmoja.
      Invisible likes this.
      Ncha ya mkuki haipigwi ngumi, na kina cha maji hakipimwi kwa kutia miguu yote kwenye maji!!!

    13. #11
      LINCOLINMTZA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th March 2011
      Location : Opposite The JF Web Page
      Posts : 1,355
      Rep Power : 694
      Likes Received
      348
      Likes Given
      216

      Default Re: Zitto na Prof. Muhongo Live on BBC Swahili

      Quote By Mwita Maranya
      Wanajadili juu ya mikataba ya rasilimali za asili kama madini, gesi asilia na mafuta.
      Mkuu huwezi kuwa Yeriko Nyerere kwenye kesi ya Mnyika? Updates ni muhimu.
      Love everybody, trust no body. If you can not convince them, confuse them. If you can not teach them, cheat them.

    14. #12
      Uwezo Tunao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2010
      Posts : 6,865
      Rep Power : 2287
      Likes Received
      1131
      Likes Given
      1478

      Default Re: Zitto na Prof. Muhongo Live on BBC Swahili

      Mkuu Mtego pamoja na Kamanda Mwita, endeleeni kutuhabarisha zaidi.

      Quote By Mtego wa Noti
      BBC swahili wanarusha mahojiano kuhusu sekta ya mafuta na gesi. Yupo Zitto na Prof Muhongo.
      Follow the discussion.
      Waziri anasema mapato Tz tunapata kutoka rabaha, 3% and now 4%, corporate taxi, 30%, anasema makampuni yote yameanza kulipa.
      anasemakuna kampuni zimechimba madini zaidi ya miaka 7, walikuwa wanapewa miaka 5 ili kurudisha gharama zao, ila wengi ikifika mitano walikuwa wanasema hawapati faida hivyo kuomba kuongezewa siku.

    15. #13
      Manyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2011
      Posts : 1,694
      Rep Power : 714
      Likes Received
      287
      Likes Given
      258

      Default re: Zitto na Muhongo Live on BBC; ni kuhusu mafuta na gesi

      Sasa ni Mchumi toka Nairobi, nae anakiri kuna shida kubwa katika hili, kwani mpangilio wa kuinua wachimbaji wadogowadogo ili wainuke na kuleta mitambo ni ngumu kutambuliwa na mabank!
      Invisible likes this.

    16. #14
      Mtego wa Noti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2010
      Location : kichakani
      Posts : 2,077
      Rep Power : 845
      Likes Received
      327
      Likes Given
      580

      Default re: Zitto na Muhongo Live on BBC; ni kuhusu mafuta na gesi

      muhongo anasema tatizo la mikataba ni elimu kwa wanaoingia mikataba
      Invisible likes this.
      Ncha ya mkuki haipigwi ngumi, na kina cha maji hakipimwi kwa kutia miguu yote kwenye maji!!!

    17. #15
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,089
      Rep Power : 13049
      Likes Received
      14065
      Likes Given
      14838

      Default Re: Zitto na Prof. Muhongo Live on BBC Swahili

      mahasimu wawili.

      Tupe basi samare ya kila alichoongea kati ya hao.

    18. #16
      Mtego wa Noti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2010
      Location : kichakani
      Posts : 2,077
      Rep Power : 845
      Likes Received
      327
      Likes Given
      580

      Default re: Zitto na Muhongo Live on BBC; ni kuhusu mafuta na gesi

      mkenya anazungumzia kwamba hatuna elimu ila unajua kiingereza tu ambacho hakitusaidii kupata kazi za kitaalam ktk makampuni ya madini., hatuna teknolojia.
      Mkandara and Invisible like this.
      Ncha ya mkuki haipigwi ngumi, na kina cha maji hakipimwi kwa kutia miguu yote kwenye maji!!!

    19. #17
      Manyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2011
      Posts : 1,694
      Rep Power : 714
      Likes Received
      287
      Likes Given
      258

      Default re: Zitto na Muhongo Live on BBC; ni kuhusu mafuta na gesi

      Pia huyu mchumi wa Kenya anasema Waafrika hatuna elimu inayotusaidia kuchimba madini na kuleta utajiri, bali tuna elimu ya kuajiriwa katika makampuni ya nje!
      Mkandara and Invisible like this.

    20. #18
      Mtego wa Noti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2010
      Location : kichakani
      Posts : 2,077
      Rep Power : 845
      Likes Received
      327
      Likes Given
      580

      Default re: Zitto na Muhongo Live on BBC; ni kuhusu mafuta na gesi

      Mchimbaji kutoka Iringa, anaulizwa unanufaikaje na madini?

      Anajibu, kuna mapungufu matatu wachimbaji wakubwa ndio wanaonufaika na haya madini na serikali inawalinda, kwa sisi wana apolo, tunachiba bila mkataba na bila mshahara.

      Anasema wachimbaji wadogo ndio wanaotambua maeneo yenye madini, mfano waligundua madini kule mpwapwa....amekatizwa na mtangazaji...
      Mkandara and Invisible like this.
      Ncha ya mkuki haipigwi ngumi, na kina cha maji hakipimwi kwa kutia miguu yote kwenye maji!!!

    21. #19
      Manyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2011
      Posts : 1,694
      Rep Power : 714
      Likes Received
      287
      Likes Given
      258

      Default re: Zitto na Muhongo Live on BBC; ni kuhusu mafuta na gesi

      kipindi hiki cha BBC tatizo ni muda unakuwa mdogo sana!

    22. #20
      Mtego wa Noti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2010
      Location : kichakani
      Posts : 2,077
      Rep Power : 845
      Likes Received
      327
      Likes Given
      580

      Default Re: Zitto na Muhongo Live on BBC; ni kuhusu mafuta na gesi

      muhongo anaulizwa.seikali wanadhibije ili kujua na kupata haki ambayo wanatahili kupata?
      anasema serikali imejitah maana wanafatiliwa huk mgodini jinsi wanavyochimba, kuna wakala ambao wanafatilia kila kitu. toka wakala uanze, mapato yameongezeka. kwa sheria madini hayatoki nje bila kibali cha serikali, ndio maana juzi mmoja amekamatwa kipeleka madini nje. tunajitahidi ingawa wengine wanaiba.
      wachimbaji wadogo ndio wanaiba zaidi maana hata kodi hawalipi na hawatunzi takwimu na hawafati sheria.
      Pasco likes this.
      Ncha ya mkuki haipigwi ngumi, na kina cha maji hakipimwi kwa kutia miguu yote kwenye maji!!!

    23. Miaka 50
    Page 1 of 5 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...