Nimewasoma makamanda wetu mkituletea habari hizi moja kwa moja.. Inasikitisha tu pale napowasoma viongozi wangu wanapojikanyaga wenyewe. Muhongo kashindwa kujibu kwa nini mikataba yote iliypopita haifuati sheria zilizowekwa na kamati ya kina ZZK. Muhongo ameshindwa kuwaeleza wananchi kwa Ufasaha kwamba Mrahaba hutolewa kwa asilimia 3 au 4 lakini hii haijumuishi Ubia waloingia baina ya nchi na shirika la ndani ambao unaweza kuwa asilimia 40 hadi 50. Muhimu zaidi kuliko yote ni Share kiasi gani nchi hiyo imechukua ktk Partnership na sii Mrahaba wa asilimia 3 au 4.
Kwa mkuu wangu ZZK kuhusiana na Corporate tax amekosea maana Botswana wanalipa isiyopungua asilimia 22 pamoja na Royalties ya asilimia 10, 5 na 3 kutokana na madini unayochimba. Kifupi Madini yanachangia asilimia 50 ya makusanyo ya mapato ya nchi hiyo. Mnaweza kupitia Google na kuandika - Is Taxation of Meneral in Botswana a success story? Mtakuta Pdf nzima inayoweza sana kutusaidia sisi ktk mikataba yetu. Kuna Page imesema hivi:-
• Taxes applicable to mining are royalties, corporate tax (22%) and withholding tax on dividends (7.5%). •
Royalties paid on gross market value @
–
10% for diamonds
–
5% for precious metals (gold, platinum etc.)
–
3% for all others minerals.
• Mining companies taxed using variable income tax rate (for all minerals except diamonds) using formula:
Annual Tax Rate = 70-1500/x, where x = taxable income/gross income
– Minimum rate is the standard corporate rate of 22% of the profit
• Tax Regime for diamonds requires negotiations on issues covering technical, financial and commercial aspects of the project.
•
Immediate 100% write-off of capital.
• Unlimited carry forward of losses.
Follow Us Here