Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Uwanja WA NMC JIJINI ARUSHA WAFUNGWA RASMI CHADEMA YANGURUMA!

    Report Post
    Page 5 of 7 FirstFirst ... 34567 LastLast
    Results 81 to 100 of 128
    1. #1
      Apolonary's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Location : SAN DIEGO COMMUNITY
      Posts : 1,444
      Rep Power : 678
      Likes Received
      242
      Likes Given
      30

      Default Uwanja WA NMC JIJINI ARUSHA WAFUNGWA RASMI CHADEMA YANGURUMA!

      Uwanja wa nmc jijin arusha umefungwa rasmi kwa kile kinachodaiwa ni kuizima chadema jijini arusha. KUfungwa kwa uwanja huo ni siku moja kabla ya rufaa ya mbunge lema na wakati ambapo chadema ilitarajia kufanya mkutano wake katika uwanja huo hii leo. TAARIFA ZAIDI BAADA YA UWANJA WA NMC KUFUNGWA NA KUANDALIWA KWA AJILI YA WAFANYABIASHA NDOGONDOGO MAARUFU KAMA MACHINGA, UONGOZI WA CDM MKOANI UMEWAOMBA RADHI WANACHAMA KWA KIPINDI HIKI HUKU CHAMA KIKIENDELEA KUTAFUTA ENEO LINGNE AMBALO LIPO ENEO LA KILOMBERO. OFISI KUU YA CHAMA ARUSHA.
      Last edited by Apolonary; 20th September 2012 at 07:34.
      nsanu likes this.

    2. Miaka 50

    3. #81
      MESTOD's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2010
      Posts : 2,558
      Rep Power : 943
      Likes Received
      677
      Likes Given
      131

      Default Re: Uwanja WA NMC JIJINI ARUSHA WAFUNGWA RASMI CHADEMA YANGURUMA!

      Quote By kingxvi
      bora tutapumua

      Pole sana. Mwambieni Tendwa akifute ili mlale kabisa.

    4. #82
      Shark's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 25th January 2010
      Posts : 4,573
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1305
      Likes Given
      245

      Default

      Quote By MESTOD
      Pole sana. Mwambieni Tendwa akifute ili mlale kabisa.
      Ana ubavu??

    5. #83
      PrN-kazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 2,207
      Rep Power : 5358
      Likes Received
      292
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Mzee wa Rula
      Sababu ya kuufunga ni nini?????
      si rahisi kupata jibu, sanasana utaambiwa Taarifa za Kiintelejinsia zinaonyesha huu uwanja hauna manufaa kwa wana-Arusha.

    6. #84
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,152
      Rep Power : 12555
      Likes Received
      5732
      Likes Given
      742

      Default

      Wanajenga nini Preta?
      FJM likes this.

    7. #85
      Mzalendo JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Posts : 899
      Rep Power : 529
      Likes Received
      274
      Likes Given
      212

      Default Re: Uwanja WA NMC JIJINI ARUSHA WAFUNGWA RASMI CHADEMA YANGURUMA!

      Quote By Crashwise
      nasikia wanajenga soko la wafanya biashara ndogo ndogo....
      Kwani Machinga Complex Imefikia wapi mkuu?
      "Happiness is what you think, what you say, and what you do are in harmony"

    8. FemaTV & Radio

    9. #86
      Msengapavi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2008
      Posts : 554
      Rep Power : 649
      Likes Received
      50
      Likes Given
      2

      Default Re: Uwanja WA NMC JIJINI ARUSHA WAFUNGWA RASMI CHADEMA YANGURUMA!

      Quote By Elizabeth Dominic
      Kweli?......................Ha kuna alternative ya uwanja mwingine?..................so unfair
      Alternative ni Viwanja vya reli (mahali fulani nyuma ya Shoprite), Ngaranaro shule ya msingi (oops
      watoto wanafanya mtihani); stadium (au kuna mechi?); Kaloleni mviringo! Nina uhakika kuwa mahali patapatikana tu. Penye njia pana njia!

    10. #87
      Marire's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st May 2012
      Posts : 2,199
      Rep Power : 952
      Likes Received
      593
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Ritz
      Umefungwa kwa sababu gani na utafunguliwa lini tujuze.
      ujuzwe nini na wewe kama vp si muulize nape,na kama mnaweza fungeni na jf muone

    11. #88
      emalau's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th April 2009
      Posts : 574
      Rep Power : 627
      Likes Received
      98
      Likes Given
      97

      Default Re: Uwanja WA NMC JIJINI ARUSHA WAFUNGWA RASMI CHADEMA YANGURUMA!

      Na mimi nimepita nikakuta wanafunga fence, nimemuuliza mwandishi mmoja akaniambia eti wanataka kujenga machinga complex, kinachosikitisha ni kwamba hili ndo eneo la wazi pekee lililokuwa limebaki Arusha.

      Haya ni matunda ya kuwa na myopic leadership!

    12. #89
      sambamba's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 162
      Rep Power : 391
      Likes Received
      23
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By Safari_ni_Safari
      kumbe CDM ikiwa kazini hampumui eeh?
      Watapumuaje wakati compressor sisi ndo tunamiliki? Viva CDM

    13. #90
      Preta's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : yaeda chini
      Posts : 14,726
      Rep Power : 15101
      Likes Received
      7175
      Likes Given
      6842

      Default

      Quote By Ritz
      Wanajenga nini Preta?
      wanasawazisha tu na uzio umeshawekwa......nimepita dk 5 zilizopita nimekuta watu wachache.....ila taarifa niliyopata......mkutano utakuwepo j4.....pipoooooz....

    14. #91
      Shardcole's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th January 2012
      Posts : 4,393
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1032
      Likes Given
      4

      Default Re: Uwanja WA NMC JIJINI ARUSHA WAFUNGWA RASMI CHADEMA YANGURUMA!

      Mungu yupo pamoja nasi.

      Tulianza na Mungu na Tutamaliza na Mungu.

    15. #92
      giLESi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2011
      Posts : 777
      Rep Power : 535
      Likes Received
      217
      Likes Given
      235

      Default Re: Uwanja WA NMC JIJINI ARUSHA WAFUNGWA RASMI CHADEMA YANGURUMA!

      ndo raha ya kuongozwa na chama mfu , ccm

    16. #93
      Man 4 Move's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd September 2012
      Posts : 10
      Rep Power : 339
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Uwanja WA NMC JIJINI ARUSHA WAFUNGWA RASMI CHADEMA YANGURUMA!

      hawa jamaaa na mapolisi wao ipo siku wataja jua kuwa wao ni shida sana katika jamii

    17. #94
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,152
      Rep Power : 12555
      Likes Received
      5732
      Likes Given
      742

      Default

      Quote By Marire
      ujuzwe nini na wewe kama vp si muulize nape,na kama mnaweza fungeni na jf muone
      Mkuu JF sio mali ya Chadema.

    18. #95
      COURTESY's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2011
      Location : MABWEPANDE
      Posts : 1,708
      Rep Power : 742
      Likes Received
      511
      Likes Given
      672

      Default Re: Uwanja WA NMC JIJINI ARUSHA WAFUNGWA RASMI CHADEMA YANGURUMA!

      Quote By Ritz
      Wanajenga nini Preta?
      we jamaa mnafiki sana,go and ask ur boss!!

    19. #96
      Man 4 Move's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd September 2012
      Posts : 10
      Rep Power : 339
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Uwanja WA NMC JIJINI ARUSHA WAFUNGWA RASMI CHADEMA YANGURUMA!

      waache ujinga vijana wetu watachezea wapi mpira? wao wajue wazi kuwa hila zao zote dhidi ya cdm ni bure,wakati huu Mungu yupo na cdm na sio mafisadi

    20. #97
      Preta's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : yaeda chini
      Posts : 14,726
      Rep Power : 15101
      Likes Received
      7175
      Likes Given
      6842

      Default

      Quote By Msengapavi
      Alternative ni Viwanja vya reli (mahali fulani nyuma ya Shoprite), Ngaranaro shule ya msingi (oops
      watoto wanafanya mtihani); stadium (au kuna mechi?); Kaloleni mviringo! Nina uhakika kuwa mahali patapatikana tu. Penye njia pana njia!
      pale kaloleni ni padogo....makamanda hawatatoshea.....

    21. #98
      hasason's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th September 2012
      Posts : 178
      Rep Power : 370
      Likes Received
      15
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Apolonary
      Uwanja wa nmc jijin arusha umefungwa rasmi kwa kile kinachodaiwa ni kuizima chadema jijini arusha. KUfungwa kwa uwanja huo ni siku moja kabla ya rufaa ya mbunge lema na wakati ambapo chadema ilitarajia kufanya mkutano wake katika uwanja huo hii leo.
      Nlipita hapo juz nkaona kama kuna kandarasi anatengeneza kalavat au!

    22. #99
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,152
      Rep Power : 12555
      Likes Received
      5732
      Likes Given
      742

      Default

      Quote By COURTESY
      we jamaa mnafiki sana,go and ask ur boss!!
      Wewe ni Chadema-Kata nimekusamehe.

    23. #100
      HAMY-D's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th September 2011
      Location : NDICHI.
      Posts : 827
      Rep Power : 552
      Likes Received
      129
      Likes Given
      9

      Default

      Quote By Elizabeth Dominic
      Kweli?......................Ha kuna alternative ya uwanja mwingine?..................so unfair
      so unfair? welcome to life my dear.

    24. Study Abroad
    Page 5 of 7 FirstFirst ... 34567 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...