Re: Mh. Pinda alazimika kutumia PIPOZIII.......POWER kumaliza hotuba yake

By
Amsterdam
na avatar yako ina picha ya mwana chadema alafu unaponda kimoyomoyo tehetehetehetehe poke mkuu
Nadhani hujaelewa avatar yangu ina maana gani, hembu isome vizuri.Gari la voda lina wanachama wa CDM wakiwa na Bendera,Vodacom technically ilipaswa support CCM na ina suppport CCM.Ila mfanyakazi haipendi CCM.Yaani ni kama polis ktk uniform na Gari la kazi akiwa kapaki gari huku wana CDM wakipanda na kukaa ili waweze sikiliza mmkutano.
Hapa Rostam anaweza amuru mtu apigwe stop fasta.
Last edited by Nicholas; 20th September 2012 at 12:50.
SIMPLY THE RADICAL: I can`t wait to see the criminalization of CCM,UWT,Bunch of Policemen/women,and all wanafiki na wachumia tumbo.
Follow Us Here