TiGo Maps
    Show/Hide This

    Topic: Spika Sitta amtimua nje Cheyo (UDP) Bungeni kwa kubishana naye!

    Report Post
    Page 1 of 7 123 ... LastLast
    Results 1 to 30 of 195
    1. #1
      Selous's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 13th January 2008
      Posts : 1,229
      Rep Power : 773
      Likes Received
      61
      Likes Given
      44

      Default Spika Sitta amtimua nje Cheyo (UDP) Bungeni kwa kubishana naye!

      Jamani ilikuwa hivi;

      Cheyo ameuliza swali kwenye kamati za kupitia mahesabu ya wizara ya mazingira. Alipouliza Sita hakuelewa ikabidi amuulize tena. wakati anauliza Sita akaingilia kuwa je wewe ni chemisty? jamaa akamwambia. baada ya kuuliza sita akamwambia hayo yalishasemwa na waziri.

      cheyo akasema ndo umejibu? sita akasema ameshatolea maelezo sio majibu. cheyo akasema hajaridhika.

      Sitta kamwaga radhi eti wapinzani wanapenda sana kila kitu wadikteti tu maana waklishasema lazima wasikilizwe tuu. akasema eti cheyo akishakalia kiti basi huku UDP hakuna mtu kuzungumza. Sita akasema eti cheyo anasema chemical haiunguzi mara moja. cheyo uvumilivu ukamshinda. basi akasimama, sita akamwambia kaa chini yaani kama polisi. nakwambia kaa chini. cheyo akaamua kuondoka na sita akasema sajini mtoeni nje. akatoka nje.


      Mbunge wa Bariadi Mashariki, John Cheyo akitoka nje ya ukumbi wa Bunjge Mjini Dodoma Juni 29, 2009 baada ya kuamriwa kufanya hivyo na Spika wa Bunge Samwel Sitta kwenye kikao cha jioni. (Picha kwa hisani ya Ofisi ya Waziri Mkuu)
      Last edited by Invisible; 29th June 2009 at 22:49. Reason: Nimeambatanisha picha
      Truth is not determined by majority vote. ~Doug Gwyn



    2. #2
      Mdau's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th March 2008
      Posts : 1,035
      Rep Power : 728
      Likes Received
      71
      Likes Given
      53

      Default Spika Sitta Anapotoka?

      Spika wa Bunge la Jamhuri amemfukuza nje ya ukumbi wa bunge mheshimiwa John Cheyo, baada ya koungea wakati yeye spika akiongea...kabla ya hapo mheshimiwa Cheyo alikuwa anamuuliza waziri kuhusiana na suala la North Mara na madhara yake kwa wananchi wanaozunguka....je, Spika anailinda serikali au udikteta umeanza kumzidia na sasa unatoka?? Kwa ntu makini aliyekua anafuatilia mjadala, Sitta alimprovoke Cheyo,haipingiki!!

    3. #3
      Superman's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 31st March 2007
      Location : On Move
      Posts : 4,618
      Rep Power : 1508
      Likes Received
      732
      Likes Given
      552

      Default Re: Cheyo atolewa bungeni kama siye

      Mkuu;

      haijakaa vizuri. bado sijakuapata vema . . .

    4. #4
      nat867's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th February 2008
      Posts : 101
      Rep Power : 543
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Exclamation Sitta azidi kuwa mbabe, aamuru Cheyo atolewe nje ya ukumbi wa Bunge

      nafungulia TBC dakika chache zilizopita nikakuta Sitta akiamuru Mh. John Cheyo Mbunge wa UDP atolewe nje ya ukumbi wa Bunge. kisa eti Cheyo hamsikii. cheyo kasema Mgodi wa North Mara unatoa chemicals ambazo zinaathiri wananchi taratibu. yeye kasimama kwa jeuri na kusema kama ni kemikali italeta madhara mara moja. cheyo naye kamtolea uvivu na kusema amesomea Textile Chemistry na anajua anachosema. Sita kawa mboyo na kuamuru askari wake wamtoe nje mara moja.
      na mara nikasikia Sitta akiongeza "naona wabunge wa upinzani wanataka kuendesha bunge kwa udikiteta"
      kwa kweli nimeshangaa na kusikitika.
      habari zaidi zitakuja na bila shaka hansard za bunge zitaonyesha kwa uzaidi.
      nawasilisha
      Tanzania= shamba la bibi...
      "Uungwana ni matendo"- raia mwema

    5. #5
      Limbani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2008
      Location : Kisiwani
      Posts : 1,099
      Rep Power : 741
      Likes Received
      224
      Likes Given
      52

      Default Re: Cheyo atolewa bungeni kama siye

      Spika sitta anadai Cheyo alikaidi amri yake na kutaka kubishana nae ndio maana akamtoa nje
      amidst the mists and coldest frost, he thrust his fists against the posts, and still insists he sees the ghosts...

    6. #6
      Josh Michael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2009
      Location : Kibandani
      Posts : 2,401
      Rep Power : 934
      Likes Received
      22
      Likes Given
      80

      Default Re: Cheyo atolewa bungeni kama siye

      Sisi tunasema kuwa Sita ni mbabe sana sana hivyo kuwa na Wabunge wengi wa CCM ni Tatizo kubwa sana

    7. #7
      Rwabugiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th July 2007
      Posts : 2,510
      Rep Power : 1060
      Likes Received
      8
      Likes Given
      8

      Default Re: Cheyo atolewa bungeni kama siye

      Quote By Limbani View Post
      Spika sitta anadai Cheyo alikaidi amri yake na kutaka kubishana nae ndio maana akamtoa nje
      Lakini si walikuwa live? wacha tusubili maoni ya walio ona kilicho endelea, haya ni makubwa sasa, lakini kwanini amalizie kwa kusema anaona wapinzani..... hapo lazima kuna kitu.

    8. #8
      Kaizer's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 16th September 2008
      Posts : 9,563
      Rep Power : 5963
      Likes Received
      2486
      Likes Given
      3739

      Default Re: Spika Sitta amtimua nje Cheyo (UDP) Bungeni kwa kubishana naye!

      Kumbe bado ana donge moyoni la Mh Zitto, sasa hapa ngoja tusubiri details zaidi, but hii ni too low kwa Spika!
      "All we like sheep have gone astray; " Isaiah 53.6
      Kaizer@jamiiforums.com

    9. #9
      Josh Michael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2009
      Location : Kibandani
      Posts : 2,401
      Rep Power : 934
      Likes Received
      22
      Likes Given
      80

      Default Re: Spika Sitta amtimua nje Cheyo (UDP) Bungeni kwa kubishana naye!

      Kuliko kubaki na Bunge kama hili ni Bora kusiwe na wabunge

    10. #10
      Limbani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2008
      Location : Kisiwani
      Posts : 1,099
      Rep Power : 741
      Likes Received
      224
      Likes Given
      52

      Default Re: Cheyo atolewa bungeni kama siye

      Quote By Rwabugiri View Post
      Lakini si walikuwa live? wacha tusubili maoni ya walio ona kilicho endelea, haya ni makubwa sasa, lakini kwanini amalizie kwa kusema anaona wapinzani..... hapo lazima kuna kitu.
      Kwa kweli bunge hili ni upuuzi mtupu! Sitta anadai chemicals zinadhuru papo hapo, hajui kuna nyingine na Carcinogic kama heavy metals. Akasome kilichotokea Minamata, Japan! Dawa ni kuhakikisha dominance ya CCM 2010 ndani ya Bunge inapungua by at least 40%
      amidst the mists and coldest frost, he thrust his fists against the posts, and still insists he sees the ghosts...

    11. #11
      Sikonge's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 19th January 2008
      Location : Sikonge, Tabora
      Posts : 6,148
      Rep Power : 1772
      Likes Received
      1293
      Likes Given
      2039

      Default Re: Spika Sitta amtimua nje Cheyo (UDP) Bungeni kwa kubishana naye!

      Selous,
      Asante kwa ujumbe. Naona umeuandika kwa haraka sana ili kutupa habari LIVE. Tafadhali kama wakimaliza, basi upitie ujumbe wako na u-edit na kuongezea maelezo ili usomeke kwa ufasaha zaidi. Ukisoma kuna vitu nashindwa kuviunganisha. Ila niseme tena, asante kwa ujumbe .....
      Kansa aliyopandikiziwa JKN aliipata through toilet paper south africa! walio-initiate ni UWT(Waberoya wa JF).


    12. #12
      Josh Michael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2009
      Location : Kibandani
      Posts : 2,401
      Rep Power : 934
      Likes Received
      22
      Likes Given
      80

      Default Re: Spika Sitta amtimua nje Cheyo (UDP) Bungeni kwa kubishana naye!

      Lakini umeelewa au vipi maana hoja uweze kusoma na kuelewa na pia kuna haja ya Kuchagua Spika asiye kuwa toka Chama Tawala

    13. #13
      MchunguZI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th June 2008
      Posts : 1,005
      Rep Power : 707
      Likes Received
      64
      Likes Given
      5

      Default Re: Spika Sitta amtimua nje Cheyo (UDP) Bungeni kwa kubishana naye!

      Quote By Sikonge View Post
      Selous,
      Asante kwa ujumbe. Naona umeuandika kwa haraka sana ili kutupa habari LIVE. Tafadhali kama wakimaliza, basi upitie ujumbe wako na u-edit na kuongezea maelezo ili usomeke kwa ufasaha zaidi. Ukisoma kuna vitu nashindwa kuviunganisha. Ila niseme tena, asante kwa ujumbe .....

      Naomba nisaidie hapo.

      Nimeshuhudia spika Sita akimfukuza mbg. Cheyo. Sababu kubwa ni kwamba eti amedharau kiti cha spika. Niliona live na yaliyotoke ni haya;

      Kwanza Cheyo aliuliza swali kwa Waziri Batilda akitaka kueleza kwamba hayo matatizo ya North mara ni ya siku nyingi na si ghafla kama ilivyoelezwa na Waziri. Spika kwanza kasema sikuelewi au rudia maana naamini hata waziri hakuelewa (sijui alijuaje). Cheyo karudia tena na kabla hajamaliza Spika kaingilia kati akitaka Cheyo aeleze kama kweli maelezo yake ni ya kisayansi. ‘Acid haiunguzi mara moja?” Cheyo akajibu anayo sayansi ya kemia, hivyo ana hakika. Spika akadai Cheyo kisha sahau Chemistry (kumbuka spika kasoma sheria). Cheyo akaonyesha kuridhika na mamlaka ya kiti cha spika lakini akasema hakuridhika na jibu la swali lake. Spika kaendelea na maelezo mareeefu ya kuonyesha kwamba Cheyo ni dikteta na akasema hajui huko UDP mambo yakoje.

      Haya! Cheyo kasimama akitaka kusema kitu, mara kaambiwa kaa chini! Go out! Sajenti mtoe nje!

      Maoni yangu ni kwamba, this was too much with this human so called ‘spika’ Nadhani sasa tuko hatua ngumu ya uongozi. Hata kama anayo madaraka ya kumfukuza mbunge bungeni, kuna lugha ya kutumia. Mara moja nilikubali kwamba huyo ndo Sitta. Hizi lugha za ‘go out!’

      Kuna tabia ambayo naiona kwa spika Sita. Mara nyingi anakuwa activated akiona akina mama. Labda hapo hakutaka bi Batilda aulizwe swali. Nimemuona hata akitambulisha wageni wa wabunge wenzake pale Bungeni, akiwepo mwanamke, lazima atatoa comments za ziada ambazo mara nyingi huwa ni zile za kubembeleza. Nadani tuna tatizo
      The educated differ from the uneducated as much as the living from the dead --Aristotle

    14. #14
      Hauxtable's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2007
      Posts : 369
      Rep Power : 611
      Likes Received
      1
      Likes Given
      3

      Default Re: Spika Sitta amtimua nje Cheyo (UDP) Bungeni kwa kubishana naye!

      .....kwanza ilikuwa Mh.Zitto, sasa ni Mh.Momose......there is surely a big storm ahead, Spika ajiandaye tu....this is just the calm.

    15. #15
      Josh Michael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2009
      Location : Kibandani
      Posts : 2,401
      Rep Power : 934
      Likes Received
      22
      Likes Given
      80

      Default Re: Spika Sitta amtimua nje Cheyo (UDP) Bungeni kwa kubishana naye!

      Hii ni Kusema kuwa Wabunge wa CCM mbona hawatolewi nje wa Kuambiwa kama hivyo, Sitta ni Mbabe bwana

    16. #16
      Junius's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th March 2009
      Posts : 3,098
      Rep Power : 1086
      Likes Received
      26
      Likes Given
      10

      Default Re: Spika Sitta amtimua nje Cheyo (UDP) Bungeni kwa kubishana naye!

      Aaaagh!
      hiyo ndo kasi na kiwango ya bw. sitta!?

    17. #17
      Josh Michael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2009
      Location : Kibandani
      Posts : 2,401
      Rep Power : 934
      Likes Received
      22
      Likes Given
      80

      Default Re: Spika Sitta amtimua nje Cheyo (UDP) Bungeni kwa kubishana naye!

      Mimi nakwambia kuwa Ubabe huu utaisha mwaka 2010 kama Watzania wakiamua kufuata mafiga watatu

    18. #18
      Lunyungu's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 7th August 2006
      Location : Malampaka
      Posts : 7,109
      Rep Power : 2327
      Likes Received
      467
      Likes Given
      0

      Default Re: Spika Sitta amtimua nje Cheyo (UDP) Bungeni kwa kubishana naye!

      It is all about election na kuutaka u spika tena .Uchaguzi umefika na kuna mengi yatakuja .Wananchi wanaona na sijui itakuwaje .Hiki ni kiburi cha ajabu watu kudhani TZ inamilikiwa na wachache .CCM wamejawa na uoga na kukimbilia mambo mengi kama kutunga sheria nk.Wanaweza kujikuta wametunga sheria za kubana wakawa wapinzani ikawa kazi kwao .Huu ni uchaguzi Sitta anataka kuonyesha kwamba anaweza na hata kuibeba CCM.Lazima watete kemikali zile maana ni barrick huyo ambaye pesa yake huwapa nafasi ya kubakia madarakani .

    19. #19
      Josh Michael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2009
      Location : Kibandani
      Posts : 2,401
      Rep Power : 934
      Likes Received
      22
      Likes Given
      80

      Default Re: Spika Sitta amtimua nje Cheyo (UDP) Bungeni kwa kubishana naye!

      Wakati na saa inakuja sio Mbali sana utaona mwakani itakuwa vipi, maana na huyu jamaa anakuwa mbabe sana sana

    20. #20
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 26,634
      Rep Power : 22539
      Likes Received
      8482
      Likes Given
      4308

      Default Re: Spika Sitta amtimua nje Cheyo (UDP) Bungeni kwa kubishana naye!

      Mwenzenu wanataka kumuimpeach.... sasa ni lazima ajitutumue!
      mwanakijiji@jamiiforums.com
      Binafsi NAKERWA, NAKASIRISHWA, NA KUCHUKIZWA sana na haya mambo kwamba eti "ameshauriwa vibaya na wasaidizi wake!" Huwa mara zote najiuliza ikiwa anashauriwa vibaya ni kwanini basi kila wakati awe anachukua huo ushauri mbaya!! - NasDaz

    21. #21
      Josh Michael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2009
      Location : Kibandani
      Posts : 2,401
      Rep Power : 934
      Likes Received
      22
      Likes Given
      80

      Default Re: Spika Sitta amtimua nje Cheyo (UDP) Bungeni kwa kubishana naye!

      Quote By Mzee Mwanakijiji View Post
      Mwenzenu wanataka kumuimpeach.... sasa ni lazima ajitutumue!
      Watafanya mengi sana kwa ajili yao lakini Wananchi wanatazama na kuona kama vile ni uonevu sana kwa ajili ya Demokrasia, Mimi nakwambia siku moja kule bungeni watu watazichapa tu na kuona kama yale ya Somalia na Kenya, au Bunge la Makabwela Uingereza

    22. #22
      Mwawado's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2006
      Location : Tulsa, Oklahoma/MFA-TZ
      Posts : 1,215
      Rep Power : 837
      Likes Received
      55
      Likes Given
      63

      Default Re: Spika Sitta amtimua nje Cheyo (UDP) Bungeni kwa kubishana naye!

      Imefika wakati sasa wa kufikiria kutafuta Spika ambaye sio Mbunge,Hawa Maspika ambao ni Wabunge hata maamuzi yao yanaegemea upande mmoja...Si mara moja Mzee Sitta amekuwa mbabe katika maamuzi yake!!!Tukimuacha hivi hakutokuwa na haki katika uchangiaji hoja Bungeni.......Wanaojua taratibu za Bunge/serikali kuwepo Hoja ya kupata Spika kwa njia ya kupigiwa kura waombaji walio nje ya Bunge.
      Its not enough to do good if you can do better.

    23. #23
      Josh Michael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2009
      Location : Kibandani
      Posts : 2,401
      Rep Power : 934
      Likes Received
      22
      Likes Given
      80

      Default Re: Spika Sitta amtimua nje Cheyo (UDP) Bungeni kwa kubishana naye!

      Kuna ulazima wa kufanya hivyo maana hata Anne Makinda ndio mbabe hata kuzidi Sitta, Speed, na mtu wa Viwango kama yeye alivyojisema

    24. #24
      COMRADE44's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th July 2007
      Posts : 155
      Rep Power : 584
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Spika Sitta amtimua nje Cheyo (UDP) Bungeni kwa kubishana naye!

      Sitas behaviour was bloody shameful.Arrogant,colonial,ush enzi and no respect kwa mzee mwenzake.What a disgrace.I was totally shocked and could not believe my eyes that this can happen in Nyereres Tanzania where we are supposed to respect each other. Hi nii unyama mtupu.

    25. #25
      Josh Michael's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2009
      Location : Kibandani
      Posts : 2,401
      Rep Power : 934
      Likes Received
      22
      Likes Given
      80

      Default Re: Spika Sitta amtimua nje Cheyo (UDP) Bungeni kwa kubishana naye!

      Kuna haja ya hawa jamaa kuwatazama kwa ajili ya kulinda viwango vyama, lakini mzee utaona mengi sana mwaka huu na mwakani, ni Upuuzi tu mzee wangu

    26. #26
      Ogah's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Posts : 4,966
      Rep Power : 21622
      Likes Received
      362
      Likes Given
      1398

      Default Re: Spika Sitta amtimua nje Cheyo (UDP) Bungeni kwa kubishana naye!

      Quote By MchunguZI View Post
      Naomba nisaidie hapo.

      Nimeshuhudia spika Sita akimfukuza mbg. Cheyo. Sababu kubwa ni kwamba eti amedharau kiti cha spika. Niliona live na yaliyotoke ni haya;

      Kwanza Cheyo aliuliza swali kwa Waziri Batilda akitaka kueleza kwamba hayo matatizo ya North mara ni ya siku nyingi na si ghafla kama ilivyoelezwa na Waziri. Spika kwanza kasema sikuelewi au rudia maana naamini hata waziri hakuelewa (sijui alijuaje). Cheyo karudia tena na kabla hajamaliza Spika kaingilia kati akitaka Cheyo aeleze kama kweli maelezo yake ni ya kisayansi. ‘Acid haiunguzi mara moja?” Cheyo akajibu anayo sayansi ya kemia, hivyo ana hakika. Spika akadai Cheyo kisha sahau Chemistry (kumbuka spika kasoma sheria). Cheyo akaonyesha kuridhika na mamlaka ya kiti cha spika lakini akasema hakuridhika na jibu la swali lake. Spika kaendelea na maelezo mareeefu ya kuonyesha kwamba Cheyo ni dikteta na akasema hajui huko UDP mambo yakoje.

      Haya! Cheyo kasimama akitaka kusema kitu, mara kaambiwa kaa chini! Go out! Sajenti mtoe nje!

      Maoni yangu ni kwamba, this was too much with this human so called ‘spika’ Nadhani sasa tuko hatua ngumu ya uongozi. Hata kama anayo madaraka ya kumfukuza mbunge bungeni, kuna lugha ya kutumia. Mara moja nilikubali kwamba huyo ndo Sitta. Hizi lugha za ‘go out!’

      Kuna tabia ambayo naiona kwa spika Sita. Mara nyingi anakuwa activated akiona akina mama. Labda hapo hakutaka bi Batilda aulizwe swali. Nimemuona hata akitambulisha wageni wa wabunge wenzake pale Bungeni, akiwepo mwanamke, lazima atatoa comments za ziada ambazo mara nyingi huwa ni zile za kubembeleza. Nadani tuna tatizo
      .......hebu tuwekeeni hiyo hansard.....ili tujue ilikuwaje

    27. #27
      Zak Malang's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2008
      Posts : 1,011
      Rep Power : 692
      Likes Received
      132
      Likes Given
      1

      Default Re: Spika Sitta amtimua nje Cheyo (UDP) Bungeni kwa kubishana naye!


      Huyu Spika Six sasa kagundua kwamba zile kampeni za akina RA za kuhakikisha yeye na akina Sendeka, Anna Kilango, Mwakyembe, Kimaro na Selelii hawarudi Bungeni 2010 (na hivyo pengine kuukosa Uspika kwa kipindi kingine) ni za dhati, na siyo laghai. Hivyo kajikuta hana njia na kugeuka 180 degrees kulinda tumbo.

      Yaani ghafla kawatosa wananchi aliokuwa akitamka anawapigania na kuwapa wakati mgumu mafisadi. Naona sasa ametambua CCM ni ya akina nani na yeye hana chochote na inabidi afate amri. Suala la Meremeta lilinistua sana na hapo hapo nikaona kuwa Sitta hana principles kabisa.
      Being prolific doesnt mean you are an accomplished person

    28. #28
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 26,634
      Rep Power : 22539
      Likes Received
      8482
      Likes Given
      4308

      Default Re: Spika Sitta amtimua nje Cheyo (UDP) Bungeni kwa kubishana naye!

      Mwawado, kisheria Spika si lazima we Mbunge. Tunaweza kuwa na Spika nje ya Bunge ni swali la nani na kura tu.
      mwanakijiji@jamiiforums.com
      Binafsi NAKERWA, NAKASIRISHWA, NA KUCHUKIZWA sana na haya mambo kwamba eti "ameshauriwa vibaya na wasaidizi wake!" Huwa mara zote najiuliza ikiwa anashauriwa vibaya ni kwanini basi kila wakati awe anachukua huo ushauri mbaya!! - NasDaz

    29. #29
      Bluray's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th March 2008
      Posts : 3,448
      Rep Power : 1219
      Likes Received
      8
      Likes Given
      0

      Default Re: Spika Sitta amtimua nje Cheyo (UDP) Bungeni kwa kubishana naye!

      The continuing grotesque caricaturing of that august office of the Speaker of the parliament of the URT would irk even the most austere mannered observers.

      That a speaker would not only ineloquently disgrace his chair, but do so in repeated shameful frenzies, within the space of a few days, and apparently with all the proud pomposity of an unchecked sadist rural headmaster berserkly drunk with power, begs the question on whether true democracy is served in our parliament.

      Moreover, his unfortunate, if not downright partisan remarks about the opposition MPs, not only exposes his ignorance of his arbitrating role, but sheds light on his lack of grace, character, impartiality, integrity, knowledge and a knack for compromise.

      In a parliament that is so one sided by the sheer number of CCM members, the Speaker being from CCM, only a fool like Speaker Sitta would feel threatened and overreact in this way. I have never witnessed a Speaker so hellbent on dictating -without as much as providing the statutory stipulation guiding him - as Samuel Sitta. Compared to Pius Msekwa, Msekwa seems like a gentleman and a scholar.

      But the greater tragedy tham Sitta is the status quo -including if not led by CCM members- allowing this hegemony of Draconian heavyhandedness, the uncalled for stigmatization and unfounded stereotyping, as long as it is directed towards the opposition.Parliamentary business is now conducted in the most shoddy way, one would be excused to envy the grace displayed in the conducts of football rivarlies -Simba vs Yanga, and wish our parliament could at least rise to that level.

      One need not a degree in law or PR to note that Speaker Siatta does not set an example of abiding by the very same stipulation he is so quick to decree. I believe in the right of expression, and an MP as a representative of the people should have protection from Orwellian orangutangs and Ottomanlike ombudsmen like Sitta.

      One of these days we may even witness what went down in the South Korean parliament, a pure parliament fist fight.Then maybe some people will learn not to play "Keeper of The Gate" too much when it comes to the people's interest.

      Another sad day for the almost lost cause of Tanzanian democracy.
      The Singularity is Near.

    30. #30
      Chimunguru's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 3rd May 2009
      Posts : 5,621
      Rep Power : 1598
      Likes Received
      629
      Likes Given
      182

      Default Re: Spika Sitta amtimua nje Cheyo (UDP) Bungeni kwa kubishana naye!

      Hii Inasikitisha sana hawa watu wa CCM wameshaona kwamba wadanganyika hatujui lolote ndo maana wanafanya wanavyotaka, jamani tubadilike hawa CCM wanawakumbatia wawekezaji wasiojali maisha ya mtanzania wa kawaida, siipendi kabsaa CCM coz they take us for granted, kwa nini 2010 tusiwe against na hiki chama?, lets be honest wadau with CCM everything is a failure

    Page 1 of 7 123 ... LastLast

    LinkBacks (?)

    1. 30th June 2009, 01:25

    Similar Topics

    1. Replies: 126
      Last Post: 2nd July 2011, 00:32
    2. Replies: 4
      Last Post: 15th November 2010, 07:41
    3. News Alert: Spika Sitta Apotoka Tena Bungeni !- " Wapinzani wana Hila!"!.
      By Pasco in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 19
      Last Post: 11th June 2010, 16:50
    4. Spika Sitta - Iko wapi ripoti ya uchawi bungeni?
      By Mgaya in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 19
      Last Post: 4th July 2008, 16:07

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...