Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Propaganda ya mauaji imefanikiwa... CHADEMA fanyeni hiki!

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 64
    1. #1
      theHAVARD_product's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th May 2012
      Location : MICHIGAN DETROIT
      Posts : 122
      Rep Power : 379
      Likes Received
      40
      Likes Given
      115

      Post Propaganda ya mauaji imefanikiwa... CHADEMA fanyeni hiki!

      Kwanza nianze kusema mimi ni NAM person..sifungumani na Upande wowote Hasa katika Maslahi na matakwa ya wananchi,,im free opened MIND! Ndo maana naweza kusema kuwa CCM sasa kuna baadhi ya Mawaziri wanafanya Vizuri mfano,Kagasheki na Mwakyembe!

      Si hata vibaya CDM wakawa wanawapongeza Mawaziri wanaofanya Vizuri ili kuonesha Hawako katika kupinga tuuuu,,kwasababu wanachi wengi wanadhani UPINZANI ni Kupinga tu.ili kuonesha They lay at right SIDE!

      Juzi nilitoka kupiga soga na 'Waswahili' mtaani,Kutaka kujua lile tukio la R.I.P Mwangosi wananchi wamelipa uzito gani!Nikapita kwa vibanda vya mamantilie hadi kule kwenye GAHAWA!

      Wananchi hasa wale ambao hawana Muda wa kusoma Magazeti wala Kuangalia TV( kutokana na Ugumu wa Maisha) wanalaumu CDM!!Kuwa chama cha MAUAJI na VURUGU!!

      Ushauri wangu sasa ili kuwaweka wananchi sawa,

      1)Kuna Picha ile ambayo MWANGOSI anaonekana akilipuliwa Laivu,Isambazwe bure mpaka vijijini tena sana...Hii itasaidia kufuta tongotongo na Kuchafua chama.

      2)Ile VIDEO ya Mauaji isambazwe kwa CD tena bureee,kila mtu ashuhudie yale mauaji!

      BAJETI hai haitazidi 10 millioni,bt manufaa yake yataonekana 2015!

      CHADEMA mkipuuza hiki kitawa'COST sana!
      Last edited by theHAVARD_product; 15th September 2012 at 15:50.
      Mawenzi likes this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Borakufa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2011
      Location : Tohell
      Posts : 1,155
      Rep Power : 640
      Likes Received
      259
      Likes Given
      207

      Default re: Propaganda ya mauaji imefanikiwa... CHADEMA fanyeni hiki!

      Mwananchi yupi wa leo asiyejua hii kitu wewe mtu! hata kama hasomi magazeti wala hatizami tii vii, ataipata story kwenye kijiwe,shambani,kazini,bar,msi bani,harusini,hotelini kwenye daladala,ataambiwa na mwanae,babake.mamake,mjombake, shangazie,kaka au dadake!!!!! burazaa huu ni mtiti cos raia wa leo wa nchi hii ni wapya kabisaaa wale wa zamani wamekufa wote!

      Ane wai ushauri wako umezingatiwa.

    4. #3
      Nyakageni's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,248
      Rep Power : 0
      Likes Received
      769
      Likes Given
      52

      Default re: Propaganda ya mauaji imefanikiwa... CHADEMA fanyeni hiki!

      wazo zuri sana. M4C ilifanyie kazi
      theHAVARD_product likes this.

    5. #4
      Masanilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2007
      Location : Swat valley, Keta Keta
      Posts : 19,063
      Rep Power : 5468
      Likes Received
      3491
      Likes Given
      1910

      Default re: Propaganda ya mauaji imefanikiwa... CHADEMA fanyeni hiki!

      Habari za kwa mama ntilie nazo! Huyu naye ni GT
      Jasusi and Ng'wanangwa like this.

    6. #5
      MTENGETI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Posts : 535
      Rep Power : 524
      Likes Received
      199
      Likes Given
      40

      Default re: Propaganda ya mauaji imefanikiwa... CHADEMA fanyeni hiki!

      Binafsi natoa Ushuhuda Leo tarehe 15/09/2012 nilikuwa nasafiri kutoka Moshi kuja Mwanga. Kwenye kibasi watu wakawa wanajdili kuhusu hali ya Nchi ilivyo. Wanashukuru kama sio CDM tusingejua EPA ni nini!

      Kama sio CDM tusingejua misamiati mipya ya Polisi kutuua huku wakisema "Ameuwawa kwa kupigwa na kitu Kizito(BOMU) Ameuwawa kwa kuchomwa na kitu chenye ncha kali (Risasi - Muuza Magazeti Moro) Wamepigwa na Raia wenye Hasira (Wenje na Machemuli Mwanza) kwa hiyo ndugu yangu mleta thread.

      Ukweli we unafungamana na CCmabwepande. Huo ushauri wako upeleke huko huko kwa wanamabwepande wenzako KELB.
      CCM. - CHAMA CHA MACHUMA ULETE

    7. Miaka 50

    8. #6
      theHAVARD_product's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th May 2012
      Location : MICHIGAN DETROIT
      Posts : 122
      Rep Power : 379
      Likes Received
      40
      Likes Given
      115

      Default re: Propaganda ya mauaji imefanikiwa... CHADEMA fanyeni hiki!

      Quote By Masanilo
      Habari za kwa mama ntilie nazo! Huyu naye ni GT
      Hawa ndo wapiga kura....

    9. #7
      Emeka Anyaoku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Posts : 430
      Rep Power : 443
      Likes Received
      134
      Likes Given
      0

      Default re: Propaganda ya mauaji imefanikiwa... CHADEMA fanyeni hiki!

      Wapi wewe.kawadanganye magamba wenzako kwa popaganda laini ivyo.

    10. #8
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,480
      Rep Power : 19785
      Likes Received
      4300
      Likes Given
      1248

      Default re: Propaganda ya mauaji imefanikiwa... CHADEMA fanyeni hiki!

      Sio kweli uliyoyasema, ni wananchi wachache sana tena nidra kukutana nao wakilaumu cdm kwenye hayo matukio ya mauaji hata ukisikiliza tu vipindi vya radio utasikia wa kicomment kwa kulaumu jeshi la polisi kutumia nguvu kuizibiti cdm!

      Umejaribu kutunga story mkuu!
      Kwa hayo matukio kwa kweli jeshi la polisi lina laumiwa sana.

      Tena wengine wanahoji kwa nini nchimbi aliwasingizia wafuasi wa cdm kuwa walirusha kitu kizito?

      Hao wanao lahumu cdm tena wakati wanajua ukweli ni ccm na mabaraza yake:

      Tafadhali usiwasingizie wananchi kabisa wanaelewa kila kitu si watu wa kudanganywa kama huko nyuma walivyo kuwa wanawadanganya/!

    11. #9
      kapongoliso's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th July 2011
      Location : Kisasa Area
      Posts : 200
      Rep Power : 437
      Likes Received
      41
      Likes Given
      91

      Default re: Propaganda ya mauaji imefanikiwa... CHADEMA fanyeni hiki!

      Sheria zinazotungwa na Said Mwema na kutekelezwa na Kamuhanda! Ha haha ha ha haha usitake nijipalie kwa kucheka. Jaribu kuchukua muda ufuatilie mapinduzi ya Ufaranza (1789) mfalme kilimpata nini na mkeo malkia Antoniette. Wewe uspende kudanganya watu wakose kwa kukimbilia kibao kikigeuka muda si mrefu. Sheria za kikangaroo zimeshapitwa na wakati people are just taking stock who is who, where , when and history will tell and direct the course of events. Atawalaye kwa upanga atakufa kwa upanga. Karaghabau

    12. #10
      Las Mas Bobos's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2012
      Posts : 919
      Rep Power : 532
      Likes Received
      300
      Likes Given
      84

      Default re: Propaganda ya mauaji imefanikiwa... CHADEMA fanyeni hiki!

      Quote By Borakufa
      Mwananchi yupi wa leo asiyejua hii kitu wewe mtu! hata kama hasomi magazeti wala hatizami tii vii, ataipata story kwenye kijiwe,shambani,kazini,bar,msi bani,harusini,hotelini kwenye daladala,ataambiwa na mwanae,babake.mamake,mjombake, shangazie,kaka au dadake!!!!! burazaa huu ni mtiti cos raia wa leo wa nchi hii ni wapya kabisaaa wale wa zamani wamekufa wote!

      Ane wai ushauri wako umezingatiwa.
      Umekurupuka kumjibu mkuu naamini hukutafakari. Tanzania ni kubwa kuliko unavyoidhania. Kuna watu hapa hapa dar hawana redio wala TV. Wao huzipata habari mtaani kwa kusikia. Najua hata na wewe umeona kuwa yawezekana mtu kupata habari kwa njia hiyo, lkn umeshajiuliza habari atakayoipata mtu toka kwa mjumbe wa nyumba kumi ambaye akisikia CDM anasikia kichefuchefu itakuwa ya ubora gani?

      Hizo habari za mtaani za kusikia kwa mjomba na dada ndio balaa kabisa kwani mjinga mmoja anayeamini CDM wanaleta fujo anaweza akainfluence watu 100 kwa haraka na njia hii yako ikawa most negative

      Tanzania ni kubwa na ujinga ni sehemu ya maisha ya watu wa kijijini. Ushauri wake ni mzuri
      tenende likes this.
      By the time a man comes to realize that his father was right, he usually has a son who think he is wrong.

    13. #11
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,324
      Rep Power : 36530
      Likes Received
      7479
      Likes Given
      4604

      Default re: Propaganda ya mauaji imefanikiwa... CHADEMA fanyeni hiki!

      Quote By theHAVARD_product
      Hawa ndo wapiga kura....
      Toa uongo wako hapa......hakuna mwananchi asiyeujua ukweli wewe......nenda zako na ushauri wako wa giza

      Unajifanya hufungamani , basi utakuwa umetumwa na wanaofungamana.....rudi kajipange vizuri!
      Life without problems never make a strong and good person!

    14. #12
      Las Mas Bobos's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2012
      Posts : 919
      Rep Power : 532
      Likes Received
      300
      Likes Given
      84

      Default re: Propaganda ya mauaji imefanikiwa... CHADEMA fanyeni hiki!

      Quote By ruttashobolwa
      Sio kweli uliyoyasema, ni wananchi wachache sana tena nidra kukutana nao wakilaumu cdm kwenye hayo matukio ya mauaji hata ukisikiliza tu vipindi vya radio utasikia wa kicomment kwa kulaumu jeshi la polisi kutumia nguvu kuizibiti cdm!

      Umejaribu kutunga story mkuu!
      Kwa hayo matukio kwa kweli jeshi la polisi lina laumiwa sana.

      Tena wengine wanahoji kwa nini nchimbi aliwasingizia wafuasi wa cdm kuwa walirusha kitu kizito?

      Hao wanao lahumu cdm tena wakati wanajua ukweli ni ccm na mabaraza yake:

      Tafadhali usiwasingizie wananchi kabisa wanaelewa kila kitu si watu wa kudanganywa kama huko nyuma walivyo kuwa wanawadanganya/!
      Hao ni hao uliowasikia wewe redioni, umeshafika vijijini na kusikia watu wanasemaje kuhusu vyama vingi, achilia mbali vifo vya juzi?

      Shigela naye ni mwananchi. Kuna watu nyuma yake na wengine wanamsikiliza na kumwamini zaidi ya magazeti na redio kwani wanaamini kwa wadhifa wake anafahamu zaidi. Wassira naye ni mwananchi na ana wafuasi nyuma yake. Nape naye ni mwananchi na ana wafuasi.

      Usiseme wananchi wanaelewa as if uliongea nao wote. Kama unakaa Sinza unaweza kudhania hivyo lkn ukienda Buguruni ukamsikia mama lishe anachoongea utasikia kichefu chefu. 'Ah hawa CDM wanataka tu kutuletea fujo wengine sisi tutakimbilia wapi. Miaka yote tumejiuzia maandazi yetu hapa bila shida wao kwa uroho wao wa uongozi kazi kufanya fujo tu. Polisi wameshaambia msifanye kikao leo wanabisha, sasa wao na polisi mwenye nguvu nani, aah'

      Mtu mwenye maneno ya hivi unaweza ukamuhesabu katika upande wa harakati?
      theHAVARD_product likes this.
      By the time a man comes to realize that his father was right, he usually has a son who think he is wrong.

    15. #13
      Las Mas Bobos's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2012
      Posts : 919
      Rep Power : 532
      Likes Received
      300
      Likes Given
      84

      Default re: Propaganda ya mauaji imefanikiwa... CHADEMA fanyeni hiki!

      Quote By sweetlady
      Toa uongo wako hapa......hakuna mwananchi asiyeujua ukweli wewe......nenda zako na ushauri wako wa giza

      Unajifanya hufungamani , basi utakuwa umetumwa na wanaofungamana.....rudi kajipange vizuri!
      Hivi kwa nini wewe na shoga yako mkilielewa jambo mnadhani limeeleweka nchi nzima? Wewe ni mfano wa watu wasiofikiri. Hebu jaribu kufikiri nje ya mipaka ya maisha yako kabla hujakurupuka kutukana muanzisha mada.

      Kama shughuli zako ni ofisini-nyumbani-ofisini-nyumbani huwezi kupata picha ya watu wanafikiri nini. Sisi wengine shughuli zetu ni za kuhamahama leo hapa kesho pale, tunasikia mengi na tunakutana na watu tofauti. Amini nakuambia, wapo watu wengi ambao hata ukiwaambia nini, bado watakwambia 'CDM walisababisha kwa kutotii amri halali ya polisi'

      Juzi tu hapa nilikuwa Tabora, mfanyakazi wa ngazi ya kati ya ofisi ya bodi ya Tumbaku anajadili hoja hii hii na wenzake, pamoja na elimu yake ya wastani bado comment yake ilikuwa 'ah hawa CDM nao sasa wamezidi. Haiwezekani kila siku wao mizozo tu na polisi. Kama hao polisi wangekuwa wakorofi mbona wasiwapige CCM au wasiwapige watu wakiwa kanisani? lazima tu kuna kitu watakuwa wanafanya, tena nimesikia wanalipwa na nani sijui ulaya huko waanzishe fujo ili hao wazungu wauze silaha. Nyie tuendeleeni tu na ushabiki wa kijinga, maisha ya vita sisi hatujayazoea'

      Kama huyu aliyeko ofisini ana mawazo haya, umeshajiuliza wa shambani ana mawazo gani ikiwa habari anazitegemea kwa mwenyekiti wa serikali ya kijiji?

      Msipende kupuuza jambo kabla ya kulitafakari. Tanzania haiishii saluni unakofanya kazi, kuna vijiji na mapori. Ikiwa shigela anayeishi mjini anaongea upuuzi ule, mama yake aliyemwacha kule kijijini atasema nini juu ya tukio kama hilo kama si kuishia kuilaumu CDM
      tenende likes this.
      By the time a man comes to realize that his father was right, he usually has a son who think he is wrong.

    16. #14
      Yericko Nyerere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd December 2010
      Location : Kigamboni, DSM
      Posts : 4,531
      Rep Power : 22963
      Likes Received
      2826
      Likes Given
      312

      Default re: Propaganda ya mauaji imefanikiwa... CHADEMA fanyeni hiki!

      Ni wazo zuri, haijalishi wangapi wanajua au laa, lakini hili tukio liwe chachu ya kuwafungua watu walio vijijini zaidi ambao mara nyingi hutumia redio Tanzania kupata habari za kitaifa kwakuwa redio hii ndio propaganda ya ccm.
      Manager and tenende like this.
      "Wakati wa kuasi kwa Watanzania kumefika, Uasi huo uanzie katika familia, Nitaongoza uasi huu katika familia yangu, na kila kijana wa kileo awe kiongozi wa uasi huo katika familia yake".

    17. #15
      theHAVARD_product's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th May 2012
      Location : MICHIGAN DETROIT
      Posts : 122
      Rep Power : 379
      Likes Received
      40
      Likes Given
      115

      Default re: Propaganda ya mauaji imefanikiwa... CHADEMA fanyeni hiki!

      MTENGETI

      ww unazungumzia watu wenye Acess ya kusafiri,watu wenye kupita hata kwenye meza ya Magazeti....!!! Nazungumzia watu wa NAMTUMBO na Mbamba Bay,,,nk

    18. #16
      theHAVARD_product's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th May 2012
      Location : MICHIGAN DETROIT
      Posts : 122
      Rep Power : 379
      Likes Received
      40
      Likes Given
      115

      Thumbs up re: Propaganda ya mauaji imefanikiwa... CHADEMA fanyeni hiki!

      Quote By Yericko Nyerere
      Ni wazo zuri, haijalishi wangapi wanajua au laa, lakini hili tukio liwe chachu ya kuwafungua watu walio vijijini zaidi ambao mara nyingi hutumia redio Tanzania kupata habari za kitaifa kwakuwa redio hii ndio propaganda ya ccm.
      Mkuu ww ni GT,kiukweli PROPAGANDA hii ya Magamba imefanikiwa sana....
      tenende likes this.

    19. #17
      Mag3's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 31st May 2008
      Posts : 3,536
      Rep Power : 1804
      Likes Received
      2460
      Likes Given
      2497

      Default re: Propaganda ya mauaji imefanikiwa... CHADEMA fanyeni hiki!

      Quote By theHAVARD_product
      Kwanza nianze kusema mimi ni NAM person..sifungumani na Upande wowote Hasa katika Maslahi na matakwa ya wananchi,,im free opened MIND! Ndo maana naweza kusema kuwa CCM sasa kuna baadhi ya Mawaziri wanafanya Vizuri mfano,Kagasheki na Mwakyembe!
      Hapa tulipofikia kama taifa, mwananchi yeyote mwenye akili timamu hawezi katu kutamka maneno kama hayo hapo juu ila awe ni mwongo, mnafiki au limbukeni. Hizi sifa zote tatu zinamfanya awe adui mkubwa wa Watanzania wote wanaolipenda kwa dhati taifa lao na wana nia njema ya kulikomboa taifa kutoka mikononi mwa walafi, wezi na wauaji waliojificha chini ya kivuli cha chama tawala, CCM. Huwezi kudai unalipenda taifa lako huku umesimama kando ukishuhudia linavyoteketezwa na genge la wahuni...genge hilo linaweza kuwa madarakani kisheria (sheria walizozitunga wao na kuzisimamia) lakini kamwe hakina uhalali kama vitendo vyake vinakinzana katiba ya nchi.

      theHAVARD_product, watu wa aina yako ni hatari kuliko hata hao polisi ambao, kama mazezeta, wanaamriwa kuwaua ndugu zao ambao ilitakiwa wawalinde kwani ndio waajiri wao wanaowalipa mishahara. Utakuwa punguani mkubwa kama unaamini kwamba siku zote uwongo utadumu, ni swali la muda tu na serikali yoyote ile inayotegemea uwongo ili iweze kubaki madarakani, haidumu, huo ndio ukweli. Yeyote yule, awe Kagasheki au Mwakyembe, anayeshirikishwa katika utendaji wa kila siku wa serikali hiyo, anabariki vitendo vyote vinavyofanyika ndani ya serikali, hawezi kukwepa lawama. Ni kama dereva anayeendesha gari huku amewapakia wezi, akakaa pembeni akishuhudia wanavyoiba, halafu anajitenga nao akidai kama dereva hajavunja sheria.

      theHAVARD_product, ningekuwa wewe nisingeendelea kutetea huu umbea uliouleta humu jamvini, kumbuka na sisi wengine tunawasikia wananchi wanasemaje. Je, baada ya propaganda za Mwigulu za kuwalaumu Chadema Igunga kwa kummwagia kada wa CCM tindikali na kumdhalilisha DC kwa kumvua hijabu, hali ilikuwaje baadaye huko Arumeru? Tofauti na maoni yako mimi nakuhakikishia kwamba hayo unayoyaongelea ndiyo yanazidi kuipandisha chati Chadema na ndio maana Kikwete yuko kimya hadi leo kuhusu kifo cha Mwangosi, wananchi wameamka hawataki tena kusikia matamko ya kipuuzi, wamechoka nayo. Ya Ulimboka bado yakaja ya Chona na hata vumbi haijatulia yamekuja ya Mwangosi...that is the way the cookie crumbles, na bado...eti una open mind, open mind my foot!
      Jasusi, Mzawa Halisi and muchetz like this.
      The true sign of intelligence is not knowledge but imagination.
      Education is what remains after one has forgotten what one has learned in School
      -Albert Einstein.


    20. #18
      Chimunguru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2009
      Posts : 7,794
      Rep Power : 2148
      Likes Received
      1221
      Likes Given
      545

      Default re: Propaganda ya mauaji imefanikiwa... CHADEMA fanyeni hiki!

      Wewe huwajui wa TZ, analysis yako nadhani umeuifanya kwenye koo za viongozi wa CCM

    21. #19
      Mbozib's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2012
      Posts : 358
      Rep Power : 430
      Likes Received
      43
      Likes Given
      5

      Default re: Propaganda ya mauaji imefanikiwa... CHADEMA fanyeni hiki!

      Ni kweli kabisa jamaa ametoa ushauri mzuri Tz wajinga ni wengi haswa wale wenye mafungamano na magamba.

    22. #20
      SUPERXAVERY's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th September 2012
      Posts : 80
      Rep Power : 354
      Likes Received
      6
      Likes Given
      8

      Default

      'cdm walisababisha kwa kutotii amri halali ya polisi'

      'ah hawa cdm nao sasa wamezidi. Haiwezekani kila siku wao mizozo tu na polisi. Kama hao polisi wangekuwa wakorofi mbona wasiwapige ccm au wasiwapige watu wakiwa kanisani? Lazima tu kuna kitu watakuwa wanafanya, tena nimesikia wanalipwa na nani sijui ulaya huko waanzishe fujo ili hao wazungu wauze silaha. Nyie tuendeleeni tu na ushabiki wa kijinga, maisha ya vita sisi hatujayazoea'
      na huo ndio ukweli ambao cdm mmekua mkiupotosha umma kwa kutumia media, kukashifu kila chombo cha habari chenye mtizamo tofauti nanyi, watanzania ukiacha washabiki wa cdm, ni waelewa and soon mtalitambua hilo.

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...