Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tundu Lissu hapa ulionesha umakini

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 29
    1. #1
      Eraldius's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th June 2011
      Posts : 320
      Rep Power : 465
      Likes Received
      70
      Likes Given
      6

      Default Tundu Lissu hapa ulionesha umakini

      Ni katika vikao vya bunge lililoisha ambapo aliuliza swali kwa nishati na madini,kwanini Tanzania taifa dogo tusisitishe ndoto ya kutumi nishati ya nucrear wakati mataifa makubwa yanataka kuachana nayo.mfano Japani.Muongo alisema sio kweli.
      Naleo Japani kuachana na Nucrear ni moja ya habari za Deutsche Welle.
      BIG UP LISU.

    2. Miaka 50

    3. #2
      VUTA-NKUVUTE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Posts : 1,703
      Rep Power : 723
      Likes Received
      892
      Likes Given
      125

      Default re: Tundu Lissu hapa ulionesha umakini

      Kiukweli,namkubali sana Lissu. Namfuatilia kujifunza zaidi. Natamani kuwa kama yeye niisaidie Kibaha yangu. Lissu hakurupuki...
      KOMBESANA and Manager like this.

    4. #3
      mshaurimkuu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd January 2011
      Posts : 46
      Rep Power : 431
      Likes Received
      8
      Likes Given
      0

      Default re: Tundu Lissu hapa ulionesha umakini

      Quote By VUTA-NKUVUTE
      Kiukweli,namkubali sana Lissu. Namfuatilia kujifunza zaidi. Natamani kuwa kama yeye niisaidie Kibaha yangu. Lissu hakurupuki...
      Kwa mapenzi ya Mungu, Singida jiandaeni kutoa Rais wa Tanganyika miaka michache ijayo.
      KOMBESANA likes this.

    5. #4
      Eraldius's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th June 2011
      Posts : 320
      Rep Power : 465
      Likes Received
      70
      Likes Given
      6

      Default re: Tundu Lissu hapa ulionesha umakini

      Kamanda tunatambua jinsi unavyobezwa na wasiopeda sisi tufahamu kinachoendelea.
      Jasusi likes this.

    6. #5
      BHULULU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Posts : 3,014
      Rep Power : 8379
      Likes Received
      833
      Likes Given
      696

      Default re: Tundu Lissu hapa ulionesha umakini

      Huyo jamaa (Sospeter) ameishaingizwa kwenye siasa lazima credibility ishuke tu

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      idawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2012
      Posts : 4,601
      Rep Power : 3334
      Likes Received
      1228
      Likes Given
      461

      Default re: Tundu Lissu hapa ulionesha umakini

      Lissu mara nyingi hakurupuki, hivyo serikali inatakiwa kuwa makini kujibu hoja zake.!

    9. #7
      Moony's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2011
      Location : Oshakati, Namibia
      Posts : 1,109
      Rep Power : 631
      Likes Received
      260
      Likes Given
      279

      Default re: Tundu Lissu hapa ulionesha umakini

      Quote By mshaurimkuu
      Kwa mapenzi ya Mungu, Singida jiandaeni kutoa Rais wa Tanganyika miaka michache ijayo.
      Hafai kuwa Rais, labda PM

    10. #8
      genekai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2010
      Location : Loitering!
      Posts : 7,529
      Rep Power : 2085
      Likes Received
      1073
      Likes Given
      1573

      Default re: Tundu Lissu hapa ulionesha umakini

      Ndo manake!!!
      The future of this country is being jeopardized by the intellectual slavery of our top leaders

    11. #9
      Escobar's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th September 2011
      Posts : 330
      Rep Power : 454
      Likes Received
      201
      Likes Given
      146

      Default re: Tundu Lissu hapa ulionesha umakini

      Quote By Moony
      Hafai kuwa Rais, labda PM
      Labda ni nani unadhani anafaa kuwa Rais?
      The only white man you can trust is a dead white man, "ROBERT MUGABE"


    12. #10
      Moony's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2011
      Location : Oshakati, Namibia
      Posts : 1,109
      Rep Power : 631
      Likes Received
      260
      Likes Given
      279

      Default re: Tundu Lissu hapa ulionesha umakini

      Quote By Escobar
      Labda ni nani unadhani anafaa kuwa Rais?
      Slaa, wewe, mimi na Salim
      Escobar likes this.

    13. #11
      Andras Mahenge's Avatar
      Member Array
      Join Date : 22nd August 2011
      Location : kwa mrefu
      Posts : 34
      Rep Power : 398
      Likes Received
      4
      Likes Given
      1

      Default re: Tundu Lissu hapa ulionesha umakini

      Nami namkubali sana kamanda Lissu ni kichwa..!

    14. #12
      Moony's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2011
      Location : Oshakati, Namibia
      Posts : 1,109
      Rep Power : 631
      Likes Received
      260
      Likes Given
      279

      Default re: Tundu Lissu hapa ulionesha umakini

      Quote By Andras Mahenge
      Nami namkubali sana kamanda Lissu ni kichwa..!

      kama kiongozi mtendaji anafaa sana, that is WAZIRI MKUU ila tukiwa practical, SLAA na PINDA wanafaa kuwa marais

    15. #13
      politiki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2010
      Posts : 1,378
      Rep Power : 1341
      Likes Received
      728
      Likes Given
      130

      Default re: Tundu Lissu hapa ulionesha umakini

      chadema isipomsimamisha slaa basi please imsimamishe TUNDU LISSU. kWA kweli nchi hii itabadilika na amini msiamini CCM wengi wanaoipenda nchi hii wata cross over kuja kumuunga mkono kwa juhudi zake za country's first.

    16. #14
      Jasusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2006
      Posts : 10,623
      Rep Power : 2892
      Likes Received
      3840
      Likes Given
      12234

      Default re: Tundu Lissu hapa ulionesha umakini

      Quote By Moony
      kama kiongozi mtendaji anafaa sana, that is WAZIRI MKUU ila tukiwa practical, SLAA na PINDA wanafaa kuwa marais
      Pinda? Hata uwaziri mkuu umemshinda.

    17. #15
      zaleo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2011
      Posts : 791
      Rep Power : 535
      Likes Received
      234
      Likes Given
      528

      Default re: Tundu Lissu hapa ulionesha umakini

      Quote By mshaurimkuu
      Kwa mapenzi ya Mungu, Singida jiandaeni kutoa Rais wa Tanganyika miaka michache ijayo.
      Kama hawajamtundu, kwa sababu miaka mingi wanamtafuta sana. Ni kwa neema ya Mungu tu kwamba bado yupo hai leo, wamemtafutia matundu mengi kumlissu lakini wapi! Mungu akiwa upande wako kweli hakuna atakayekuwa kinyume nawe.
      “Mtu anaweza kuzini kwa siri lakini hawezi kuugua ukimwi kwa siri” by Hon Lema, MP - Arusha

    18. #16
      jogi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th September 2010
      Posts : 4,004
      Rep Power : 1216
      Likes Received
      978
      Likes Given
      247

      Default re: Tundu Lissu hapa ulionesha umakini

      Quote By Moony
      kama kiongozi mtendaji anafaa sana, that is WAZIRI MKUU ila tukiwa practical, SLAA na PINDA wanafaa kuwa marais
      unamaana pinda awe rais wa zanzibar au?
      Unamtafutia mtu ban wewe, PINDA!! Si anaweza kulia mbele ya joyce banda!!! Jitahidi kuwa 'siriazi' basi.
      Ni rahisi zaidi popo kuwa ndege, kuliko ndizi kuwa tunda

    19. #17
      Kibwagizo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st March 2012
      Posts : 100
      Rep Power : 382
      Likes Received
      8
      Likes Given
      1

      Default re: Tundu Lissu hapa ulionesha umakini

      kambless mungu, S.Muongo utatwambia nini.

    20. #18
      mianzini's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th August 2012
      Posts : 43
      Rep Power : 346
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default re: Tundu Lissu hapa ulionesha umakini

      mkuu weacha lisuu nikichwa asikudaganye mtu

    21. #19
      Tewe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2008
      Posts : 452
      Rep Power : 670
      Likes Received
      63
      Likes Given
      12

      Default

      Quote By Moony
      kama kiongozi mtendaji anafaa sana, that is WAZIRI MKUU ila tukiwa practical, SLAA na PINDA wanafaa kuwa marais
      Pinda? Huyu huyu kiongo wa shughuli za serikali legelege? Wewe huitakii nchi yetu mema, si bora ungesema 6

    22. #20
      mhalisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Posts : 565
      Rep Power : 600
      Likes Received
      139
      Likes Given
      121

      Default re: Tundu Lissu hapa ulionesha umakini

      Lissu ni mtu makini. Dk. Slaa wakati wakati anagombea urais mwaka 2010 aliwaambia wananchi wasiwe na wasiwasi wa yeye kuondoka bungeni kwasababu anawaachia mrithi wake ambaye ni Tundu Lissu.
      KOMBESANA likes this.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...